SIRI YA SURA YASIN KATIKA KUONDOA HARAKA MARADHI YA MAJINI NA UCHAWI
HTML-код
- Опубликовано: 28 ноя 2021
- Wasiliana na Sheikh Nassoro Muhammad kwa namba hizi 0717749113 kwa Maswali, ushauri na kwatiba za kuwatoa majini na vifungo mbalimbali
⚫️ WASILIANA NASI MIRAJ KHAN ( WHATSAPP +255 713 730 907), ( +255 745 661 711)
⚫️ Email: buikhan21@gmail.com
Shukran sana sheikh nafanyia kazi hili inshaallah, jaafar kutoka kahama
Mashaallah tabaraka Allah allah akujazi kheri fidunia wal akhera
Manshallah Allah akujaze Amani akupe kila la kheri akufungulie riski akupe umri murefu wenye furaha manshallah
Mola akupe kila la heri duniani na ahera asanti sana
Maashaallah shekh nassor nakupenda kwajili ya Allah unatupa faida kubwa sana wallahi
mashallah
Alhamndulillah Namuomba ALLAH Akujalie Zaidi Amiina
Jazzaqallahu kheri, Al akhiy Allah s.w) akuifadhi mzee wa kazi
Allah akupe kila la kheri amiin upo sahihi
Allah_akulipe_kheri_DAIMA_nimefurahii_sana_yasin_ni_kisomo_kizito
Asalam alykum waramatullah warakaatu shekh Nassoro tuletee ya kujifunga mwili inshaallah shukran shekh wetu Allah akuhifadhi.
Tunaomba tuletee za kujifunga miili sasa maan ni hatar sana
Shukrani Sana shekh wetu Qur'an ni tiba sema ibilisi anatuzonga na usingizi
Kabisa ukitaka tu kusoma quran wasinzia
Mashallah mashallah mashallah sheikh jazakallahul khair
Mungu yakupe kila cha kheri amin shukrana
Alihamdullilah Yah Rabb, Aksante sana Sheikh
بارك الله فيك
Mashallah 🙏
Jazakallah khair
JAZAKA LWAHL-KHEIR
Mashaalah
Shukrani djazila
shukran sana shekhe
Alhamndulillah shekh wangu nilisoma nilipatwa na mambo makubwa nilitapika sana vitu vikaanza kunitembea mwili mzima yamejitokeza majini yanasema yalipotoka
Allahu Akbar
Pole sana Aisha
Allah akufanyie wepesi yatoke
Shukrani al akhy
shukran shekhe
Mashaallah ❤
Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu,shehe namiaka zaidi ya ishirini naumwa jamani nisaidieni dua
Shekhe barakallahu shukrani
Kwenye kila alamnashrah unaanza na Bismillah au unaunganisha?
Asalamalekum sheikh kama hujii kuisoma yassin je
Bismillahi Rahman Rahmi niyamuhimu sana.
Shekhe mm nimesoma nikaona miujiza mikubwa
Twambie umefanyeje umesema alamnshrah jumla 498
Umeona nn dada tupe ushahidi
Uko vizuur Alhabib
Mashaallah
Asalaam alaikum sheikh wangu.Msaada Wako HASAD imenikumba Hali ya kiuchumi inazidi kuporomoka ,Wateja wamekoma na Hali imenibadilikia Sana
Asalam aleykum hakika nitasadiki maana surat Yassin ilinikomboa na uchawi na majini,ALLAH KAREEM 🙏
Vipi ilikukomboa
@@Namanda425ni kweli namimi imenisaidia Sana unaisoma mara 3 kila ikifika mubin unasimama na kusoma alamnshrah 10, ukimaliza.sema ya rabbi nifungue vifungo vya kishetani mpaka unamaliza
Naam shukran sana,kwakuzingua nyumba imefungwa kichawi tunaweza tumia utaratibu huo?
Asant ustadhi
SHUKRAN
Asalaam aleikhum shekhe. Nafaa hiki kisomo nisome mara ngapi labda Kwa wiki? Shukran
As salaam alaykum wa rahamatullahi wa barakaatuh Akhil kariim Baarakallahu fiik!
Mimi Nina swali ! Nimepata clip hii Leo lakini nataka niulize tu haya yalioaungumziwa hapa yanapatikana katika kitabu Gani? Na ni Nani katika wema walio tangulia ameyafunza haya ? Ao Mtume (Rehma Na Amani ziwe juu yake) kayafunza haya kweli ? Naomba Ndugu yangu Lillahi unipe ushahidi
Bismillah
Shekh wangu niendele kusoma tena yatatoka?
Kama mimi sijuwi ata kusoma nishaumwa sikunyingi na nishahangaika shehe sasa kama kusoma hatujuwi tunaweza kusomewa
Mm nauliza unavyosoma Surat Inshrah unaanza bismillahi au unasoma bila bismillahi
Lazima bismillahy
unaunginisha. unapoanza na Bismilahi maana unaanza kitu kingine
Mími sijui kusoma kurani lkn naomba kisomo
Jifunze utajua
Unaweza kusomewa kaka ukihitajia
Shehe tunataka kusomewa
ahsante sana sheikh ila nna suali moja ukisoma hio mubiyn ya saba ukasoma huo sura alamnashrah zote , unaishiya hapo nakuomba dua zako au unamalizia yasin tena adi mwisho??
Unamaliziy
Mpaka mwisho utamaliza
Kwa siku ngapi
Shekhar ikiwa namsomea mtu??????
Mpigie sheikh kwenye namba yake kwa maelezo zaidi
NAOMBA NAMBA YAKO SHEIKH WANGU