SIRI YA SURA YASIN KATIKA KUONDOA HARAKA MARADHI YA MAJINI NA UCHAWI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 ноя 2021
  • Wasiliana na Sheikh Nassoro Muhammad kwa namba hizi 0717749113 kwa Maswali, ushauri na kwatiba za kuwatoa majini na vifungo mbalimbali
    ⚫️ WASILIANA NASI MIRAJ KHAN ( WHATSAPP +255 713 730 907), ( +255 745 661 711)
    ⚫️ Email: buikhan21@gmail.com

Комментарии • 66

  • @japharymakula262
    @japharymakula262 4 месяца назад +3

    Shukran sana sheikh nafanyia kazi hili inshaallah, jaafar kutoka kahama

  • @janataninaim9193
    @janataninaim9193 2 года назад +7

    Mashaallah tabaraka Allah allah akujazi kheri fidunia wal akhera

  • @binthatv2794
    @binthatv2794 2 года назад +4

    Manshallah Allah akujaze Amani akupe kila la kheri akufungulie riski akupe umri murefu wenye furaha manshallah

  • @nasramohamed9497
    @nasramohamed9497 Год назад +4

    Mola akupe kila la heri duniani na ahera asanti sana

  • @aishaabdallah5838
    @aishaabdallah5838 Год назад +6

    Maashaallah shekh nassor nakupenda kwajili ya Allah unatupa faida kubwa sana wallahi

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 8 месяцев назад +2

    Alhamndulillah Namuomba ALLAH Akujalie Zaidi Amiina

  • @athumanimachozi3360
    @athumanimachozi3360 2 года назад +5

    Jazzaqallahu kheri, Al akhiy Allah s.w) akuifadhi mzee wa kazi

  • @welcome-qk6ps
    @welcome-qk6ps 2 года назад +5

    Allah akupe kila la kheri amiin upo sahihi

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 Год назад +3

    Allah_akulipe_kheri_DAIMA_nimefurahii_sana_yasin_ni_kisomo_kizito

  • @sfiaalanazi5479
    @sfiaalanazi5479 7 месяцев назад +3

    Asalam alykum waramatullah warakaatu shekh Nassoro tuletee ya kujifunga mwili inshaallah shukran shekh wetu Allah akuhifadhi.

    • @user-pc6io7wt5l
      @user-pc6io7wt5l 4 месяца назад

      Tunaomba tuletee za kujifunga miili sasa maan ni hatar sana

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 10 месяцев назад +2

    Shukrani Sana shekh wetu Qur'an ni tiba sema ibilisi anatuzonga na usingizi

    • @sfiaalanazi5479
      @sfiaalanazi5479 7 месяцев назад

      Kabisa ukitaka tu kusoma quran wasinzia

  • @hidayahemedi9423
    @hidayahemedi9423 2 года назад +3

    Mashallah mashallah mashallah sheikh jazakallahul khair

  • @saandiyamusilm399
    @saandiyamusilm399 Год назад +2

    Mungu yakupe kila cha kheri amin shukrana

  • @simwangepierre4036
    @simwangepierre4036 Год назад +2

    Alihamdullilah Yah Rabb, Aksante sana Sheikh

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 2 года назад +3

    بارك الله فيك

  • @FatumaTwalib-so9wj
    @FatumaTwalib-so9wj Год назад +2

    Mashallah 🙏

  • @welcomeorange7357
    @welcomeorange7357 2 года назад +3

    Jazakallah khair

  • @mwanamakahaji240
    @mwanamakahaji240 3 месяца назад +1

    JAZAKA LWAHL-KHEIR

  • @chimenyamwatuwa7341
    @chimenyamwatuwa7341 Год назад +2

    Mashaalah

  • @rolandolussoca8124
    @rolandolussoca8124 Месяц назад

    Shukrani djazila

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed1991 2 года назад +3

    shukran sana shekhe

  • @AishaAthimani
    @AishaAthimani Месяц назад +1

    Alhamndulillah shekh wangu nilisoma nilipatwa na mambo makubwa nilitapika sana vitu vikaanza kunitembea mwili mzima yamejitokeza majini yanasema yalipotoka

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 2 дня назад

      Allahu Akbar
      Pole sana Aisha
      Allah akufanyie wepesi yatoke

  • @abdulmalickupete7540
    @abdulmalickupete7540 2 года назад +2

    Shukrani al akhy

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed1991 Год назад +3

    shukran shekhe

  • @user-sk7ir2nv1z
    @user-sk7ir2nv1z Месяц назад

    Mashaallah ❤

  • @HajrahRamadan
    @HajrahRamadan 14 дней назад

    Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu,shehe namiaka zaidi ya ishirini naumwa jamani nisaidieni dua

  • @abdulmalickupete9015
    @abdulmalickupete9015 2 года назад +3

    Shekhe barakallahu shukrani

  • @salummnguruta4518
    @salummnguruta4518 Год назад +6

    Kwenye kila alamnashrah unaanza na Bismillah au unaunganisha?

  • @nebulanhiijjj
    @nebulanhiijjj Год назад +4

    Asalamalekum sheikh kama hujii kuisoma yassin je

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 6 месяцев назад

    Bismillahi Rahman Rahmi niyamuhimu sana.

  • @nurusalumu8663
    @nurusalumu8663 Год назад +7

    Shekhe mm nimesoma nikaona miujiza mikubwa

  • @israkikitano311
    @israkikitano311 2 года назад +4

    Uko vizuur Alhabib

  • @munaisa5850
    @munaisa5850 Год назад +4

    Mashaallah

  • @omaryjongo7436
    @omaryjongo7436 5 месяцев назад

    Asalaam alaikum sheikh wangu.Msaada Wako HASAD imenikumba Hali ya kiuchumi inazidi kuporomoka ,Wateja wamekoma na Hali imenibadilikia Sana

  • @aminamkindi922
    @aminamkindi922 2 года назад +7

    Asalam aleykum hakika nitasadiki maana surat Yassin ilinikomboa na uchawi na majini,ALLAH KAREEM 🙏

    • @Namanda425
      @Namanda425 Год назад

      Vipi ilikukomboa

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 10 месяцев назад

      ​@@Namanda425ni kweli namimi imenisaidia Sana unaisoma mara 3 kila ikifika mubin unasimama na kusoma alamnshrah 10, ukimaliza.sema ya rabbi nifungue vifungo vya kishetani mpaka unamaliza

  • @RazzackNdayambaje
    @RazzackNdayambaje 23 дня назад

    Naam shukran sana,kwakuzingua nyumba imefungwa kichawi tunaweza tumia utaratibu huo?

  • @user-yi8yr9gl8i
    @user-yi8yr9gl8i 4 месяца назад

    Asant ustadhi

  • @user-wq8lp4th2b
    @user-wq8lp4th2b 4 месяца назад

    SHUKRAN

  • @jenephawangui7472
    @jenephawangui7472 2 года назад +3

    Asalaam aleikhum shekhe. Nafaa hiki kisomo nisome mara ngapi labda Kwa wiki? Shukran

  • @AbujannatyRayaan-sf4fx
    @AbujannatyRayaan-sf4fx 21 день назад

    As salaam alaykum wa rahamatullahi wa barakaatuh Akhil kariim Baarakallahu fiik!
    Mimi Nina swali ! Nimepata clip hii Leo lakini nataka niulize tu haya yalioaungumziwa hapa yanapatikana katika kitabu Gani? Na ni Nani katika wema walio tangulia ameyafunza haya ? Ao Mtume (Rehma Na Amani ziwe juu yake) kayafunza haya kweli ? Naomba Ndugu yangu Lillahi unipe ushahidi

  • @user-bk2de8ov6c
    @user-bk2de8ov6c 4 месяца назад

    Bismillah

  • @AishaAthimani
    @AishaAthimani Месяц назад

    Shekh wangu niendele kusoma tena yatatoka?

  • @user-yi8yr9gl8i
    @user-yi8yr9gl8i 4 месяца назад

    Kama mimi sijuwi ata kusoma nishaumwa sikunyingi na nishahangaika shehe sasa kama kusoma hatujuwi tunaweza kusomewa

  • @abilahirufai8269
    @abilahirufai8269 2 года назад +3

    Mm nauliza unavyosoma Surat Inshrah unaanza bismillahi au unasoma bila bismillahi

  • @marohoibramaroho7511
    @marohoibramaroho7511 11 месяцев назад +3

    Mími sijui kusoma kurani lkn naomba kisomo

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 3 месяца назад

    Shehe tunataka kusomewa

  • @chibarmohamed1913
    @chibarmohamed1913 Год назад +2

    ahsante sana sheikh ila nna suali moja ukisoma hio mubiyn ya saba ukasoma huo sura alamnashrah zote , unaishiya hapo nakuomba dua zako au unamalizia yasin tena adi mwisho??

  • @user-yi8yr9gl8i
    @user-yi8yr9gl8i 4 месяца назад

    Kwa siku ngapi

  • @hamzamatar6708
    @hamzamatar6708 2 года назад

    Shekhar ikiwa namsomea mtu??????

    • @mirajkhan_
      @mirajkhan_  2 года назад

      Mpigie sheikh kwenye namba yake kwa maelezo zaidi

    • @alhajjanabi1298
      @alhajjanabi1298 Год назад

      NAOMBA NAMBA YAKO SHEIKH WANGU