Mashallah Tabarakallah shekh shukranii Kwa faida hi Allah akulipe Kila lenye heri shekh wetu kipenzi, Nakupenda Kwa ajili ya Allah... Shekh naomba uniandikie hio dhikri ulosema Kwa mtu anayefanyiwa Uadui, LAAILAHA ILLA ALLAHu Muhammadun shafiullah,,,Ni hivyo au nimekosea shekh naomba usaidizi wako please
Shukran Sheikh Jazzakallah kheir.Allah akujaalie kill la kheir.
Assalam 'alaykum warahmatullahi wabarakatuh Asante sana Sheikh Kwa kutuelimisha, Allah awazidishie ilimu na faham muendelee kutuelimisha, insha Allah.
Shukran Allah akujalie kutupatia elim
Shukran sana sheikh wangu kwa Elimu hiyo. Allah akupe Kila Lakheri Sheikh Wangu
@@saidishekalaghe3496 aamin aamin kaka tupo pamoja japo umepotea sana
Shukran
Asalam alaykum warahmatullah wabarakat shukran jazakallahu kheir kwa ilmu
Shukran sheikhe Allah akujalie afya njema na siha njema uweze kutuelimisha na nehma za Allah
Subhana Llaah
Shukrani Shukrani
Mashallah Tabarakallah shekh shukranii Kwa faida hi Allah akulipe Kila lenye heri shekh wetu kipenzi, Nakupenda Kwa ajili ya Allah... Shekh naomba uniandikie hio dhikri ulosema Kwa mtu anayefanyiwa Uadui, LAAILAHA ILLA ALLAHu Muhammadun shafiullah,,,Ni hivyo au nimekosea shekh naomba usaidizi wako please
Mashallah 🙏🙏🙏
Lailaha ilalaha fasubuhana llah
🙏❤
👍
Assalamu alaykumu je unaweza kumfanyia mtu mwingine ?
@@IssaZawamba naam unaweza kumfanyia mwengine