Soma Suurah Hii X73 Ukidhulumiwa Na Kuonewa / Dawa Ya Dhuluma Ni Hii /Sheikh Hashimu Rusaganya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Soma Suurah Hii X73 Ukidhulumiwa Na Kuonewa / Dawa Ya Dhuluma Ni Hii /Sheikh Hashimu Rusaganya
    Mashaa Allah Sheikh Hashimu Rusaganya akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Soma Suurah Hii X73 Ukidhulumiwa Na Kuonewa / Dawa Ya Dhuluma Ni Hii /Sheikh Hashimu Rusaganya
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Airtel Money +255782466586
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/Dars...
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    RUclips @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv

Комментарии • 38

  • @KashanoKashano
    @KashanoKashano 2 месяца назад +1

    Alhamdullah Allaah subhaanahu wataala akuhifadhi

  • @katore1982
    @katore1982 5 месяцев назад +1

    TabarakaAllah fii ustadhi

  • @rahmaismaily3358
    @rahmaismaily3358 5 месяцев назад

    Mashaallah ...shekh Allah akuhifadh

  • @ashamhina3233
    @ashamhina3233 5 месяцев назад

    Jadhakallah kheri Shekh wangu

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 5 месяцев назад

    MashaAllah be blessed Ameen

  • @mussampeyama6795
    @mussampeyama6795 5 месяцев назад

    Shehee hiyo duwa ya kuzurumiwa na kuonewa naomba MSAADA nisome kwa kiswahili

  • @SaudaMfaume
    @SaudaMfaume 23 дня назад

    Alhamdullillah

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 5 месяцев назад

    شكرا جزيل

  • @LeilaWilfred-zc7gn
    @LeilaWilfred-zc7gn 5 месяцев назад

    Amiin shekh wetuu

  • @asmahan6195
    @asmahan6195 День назад

    Naichuka hiyo

  • @faizunmohd9839
    @faizunmohd9839 5 месяцев назад

    Mashaallah tabarakallah

  • @user-ed1tt9tb1i
    @user-ed1tt9tb1i 5 месяцев назад

    Mashaallah shekhe wangu

  • @havijawabakari7445
    @havijawabakari7445 4 месяца назад

    Allah akuzidishie

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 5 месяцев назад

    MashaAllah

  • @KinanaZagar-pv6qc
    @KinanaZagar-pv6qc 9 дней назад

    Shekhe kama umefanyiwa uwadui umerogwa humjui nani unaumwa tu utasoma pia dua hiyo

  • @eddymaphy
    @eddymaphy 5 месяцев назад

    Aamin yarabbil'alamin

  • @AzlanTalki
    @AzlanTalki Месяц назад

    Saut Safi yaki twariqa ya ndani KABISA

  • @JackilineNdokole
    @JackilineNdokole 4 месяца назад +1

    Naomba niisome kwa kiswahili kiarabu sikijui mm mkiristo

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  4 месяца назад

      aya sawa

    • @AbdallaMwagora-sm1rj
      @AbdallaMwagora-sm1rj 3 месяца назад +1

      Usilimu kwanza maana hiyo ni Quran na haitafanya kazi ukiwa huna Imani ya kiislamu.

  • @user-lb8lq7um5x
    @user-lb8lq7um5x Месяц назад

    Uwo sasa ushilikina wagandane vp ? Fundisha watu waombe dua lkn hukumu ALLAH NDO ANAJUA🙏🏻

  • @sulekhan7119
    @sulekhan7119 5 месяцев назад

    Shekhe mimi naisoma naweka maji kwa glas najina lahuyo mtu ninaye mnuia nikisha maliza nayapaka mwilini nalala sasa kazi kwenye ndoto Allah akibar nawanyanyasa

    • @abdulkisome9538
      @abdulkisome9538 3 месяца назад

      Kaka nipe ujuzi huu

    • @sulekhan7119
      @sulekhan7119 3 месяца назад

      @@abdulkisome9538 Huwa mimi binafsi naswali lakaa 2 nikishatoa saramu nasoma Alamtallah 27 Tambati adah 27 nikisha maliza natia nia tu

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b 5 месяцев назад +1

    Ivi Mtume ndivyo katufundisha hivi ukidhumiwa???
    Dalili juu ya hili Shekhe

    • @eddymaphy
      @eddymaphy 5 месяцев назад +1

      Wauliza swali au watoa ukumbusho wa mtume ?

    • @raidataty8502
      @raidataty8502 3 месяца назад

      Kwenye u Islam ni Sawa kurudisha ubaya kwa aliye kudhulumu ila kusamehe ni bora zaid

  • @mussampeyama6795
    @mussampeyama6795 5 месяцев назад

    Shehee tafadhali naomba namba no ya simu

  • @AbdallahMbutu-ps9uk
    @AbdallahMbutu-ps9uk 5 месяцев назад

    Sheikh ni siku gani na saa ngapi kufanya/kusoma dua hii?

    • @donzein5213
      @donzein5213 20 дней назад

      Mujarab jumamos baad adhuhur.ama j4 mchana

  • @user-gw4ti6vi5e
    @user-gw4ti6vi5e 5 месяцев назад

    Na fatilia nikiwa saudia

  • @shelabaruani9391
    @shelabaruani9391 5 месяцев назад

    Shekhe mimi naomba namba namba zako

  • @ummysaid7619
    @ummysaid7619 3 месяца назад

    Leo nafanya kuna mtu kanitapel pesa yng

  • @AkilidjumaMundu-ub9os
    @AkilidjumaMundu-ub9os 2 месяца назад

    Nahuliza sheikh wetu akuna fusho? Utafusha?

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 5 месяцев назад

    Ni Udikteta ukikamatwa na polisi kama wamekizuia lazima wakupe chakula, mnaishi katika nchi ambayo haifuati sheria.

  • @UmuMakangira-ch8ot
    @UmuMakangira-ch8ot 3 месяца назад

    Shekhe naomba namba ya simu nina shida na ww sana tafadhali

  • @user-uz3nu3pc4i
    @user-uz3nu3pc4i 3 месяца назад

    utamswalia mtume mara ngap