@@kibaraislamiccentre5552 Yaan sijaelewa ndani ta sku 7,,Aya hio isomwe Kila sku mara 90..au mara 90 ndani ya sku 7 (kwamana Kwa siku mara 10) au 90 Kwa siku Moja tu..
Assalam aleykum warah matuAllah wabaraqat, sheikh mimi na zipenda sana vidio zako na yote unayotupa ni sasa hihi kabisa mtu ni bora kukaa kitako mwenyewe. Lakini. Huja tumalizia kwenye surat yassin
Shukran shekh,Alla akujalie neema njema inshaalah
Unafundisha vixur mungu akuweke
Allah atujaalie sote InshaAllah
Shukran mungu akujaalie
Mashalla
Shukran ninaelimika sana
Am listening.
Shukran sana SHEIKH
Mungi Akulipe kheri
Allahuma amiin
Maa Shaa Allah kwa mafundisho yako... shukran jazeelan... Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu
Waleykum Salam Naam karibu Sana kwenye Channel yetu Hii tutaendelee Kutoa Mada zenye mafundisho makubwa insha'Allah
@@kibaraislamiccentre5552 muhimu sana ustadh...Mimi binafsi napata faida..jazakallahu khyran
@@kibaraislamiccentre5552SS sh😮😮 12:29 12:33 sheikh ni tumie no. Yako ya wattsapp
Mashaallah Allahu
Shukran shehe ubarikiwe Allah akuzidishiye elimu
MaashaAllah MaashaAllah
Tunaelimika
Allah akulipe ujira kamili Ameen
Shukran ustadhi Allahu batik yaarab
Amiin
@@kibaraislamiccentre5552
Yaan sijaelewa ndani ta sku 7,,Aya hio isomwe Kila sku mara 90..au mara 90 ndani ya sku 7 (kwamana Kwa siku mara 10) au 90 Kwa siku Moja tu..
Mashaalah shekh
Mashaaallaah
Shukran
JAZAKALLAH shekh niliibiwa nyumbani mwaka mzima sasa inshaAllah ntaitumia
Ni kweli kbs shekh wng mm nimsilim lkn naikubal quran xan inatatua mambo kwa haraka haina dakika wala sekunde
Jazakallah
As salaam alaykum warahmatullah wabarakatuh Shekhe tunasoma kwa idadi
Allah akupe ujira kamili Ameen
Uko VIZURI sheikh
Kabla yasikungap
Kama nimeibiwa miezi imepita
Shekh kwamtu aliye kuibia pesa kwanjia ya kishirikina yafaa kufanya
Sheikh je km kitu kilichpotea kimepatikana kabla ya siku 7 unasimamisha hiyo dua kusoma?
Assalam aleykum warah matuAllah wabaraqat, sheikh mimi na zipenda sana vidio zako na yote unayotupa ni sasa hihi kabisa mtu ni bora kukaa kitako mwenyewe. Lakini. Huja tumalizia kwenye surat yassin
insha'Allah week ijayo utaiona sheikh wang
Inshaa Allah tutaendelea kuwaletea faida za surat yaasin
IPO Tayari Mada ingia RUclips sheikh
As salaam alaykum warahmatullah wabarakatuh Shekhe tunasoma kwa idadi gani? Barakallah fikhii
@@halifasaidi6653si KASEMA hapo unasoma kikao kimoja mara 90
Soma Kwa siku 7
Niaya ya ngapi sura gani ?
Suurat Luqman aya ya 16
Sheikh Naitaji number yako
Kila siku mara 90 kwa muda wa siku saba???
Drinking bad things drunk