Subhanallah Allah atujalie tuwe miongoni mwa waja wema atuondoshee chuki atunusuru na hasad madhara. Allah awalinde watoto wetu na hasad za aina zote amiin
Shukran mungu akulipe. ila sasa kuhusu watoto kuharibika hukutwambiya vizuri kama tunasoma ile dua tu ya mwanzo zenye zinakuja kila mubini ao tunaendeleya vyote ulivyo elekeza
MashaAllah allah awajaze kheri. Lakin tunge omba zaidi muwa nuna tupa tiya Référence (Dalil) Iataku vizuri zaidi. Ku kubalika n kupokelewa. Nani ambaye amefunza hayo.? Kitabu gani.?? Siyo kwa kupinga sheikh bali ni kutafuta swaab zaidi na kufat sunnat.
Amiiyn thumma Amiiyn, Amani ya mungu irejee kwako pia. Sasa mbona muda wadua utakua mreefu Laaisha itaingia mtu hajamaliza. Je ukifanya ungine muda kma swalatil hadja kisha ukatumia iyo dua haijuzu?. Allah awape umri mreefu wenye kheri na Baraka muzdi kutuelimisha.
Subhanallah Allah atujalie tuwe miongoni mwa waja wema atuondoshee chuki atunusuru na hasad madhara. Allah awalinde watoto wetu na hasad za aina zote amiin
Allahumma aamin aamin yaa rabb
BAARAKALLAHU FEYK
Jazzakallah sheikh
Kwa cc wanawake ni sawa kuswali Jamaa
Alhamdulilah Allah akujaalie kila la kheir Ameen kwa mafunzo yk
Shukran mungu akulipe. ila sasa kuhusu watoto kuharibika hukutwambiya vizuri kama tunasoma ile dua tu ya mwanzo zenye zinakuja kila mubini ao tunaendeleya vyote ulivyo elekeza
Ameen ameen Ya rabb
ALLAHUAQBAR
WA llahi nahtaj dua ya kuwauwa walonifanyia ubaya tangu mdogo mpaka sasa😢
Watakufa wengi hasanat🤣🤣🤣
@@faidikatv wa llah mizimu yao inanisumbua na Mimi sipendi ushirikina Sasa Niko mbali na familia yangu wanaanza kutesa familia yangu
@@faidikatv insha'Allah wafe tu
Mashaallah Allah akulipe kheri
Jazakallahu khayra shukran Sana shekh
Amin amin amin. Allah akuhifaz sheh wetu
A.A SHEIKH KWASIKU NGAPI SHEIKH AL BASRY
Amiiiin Amiiiin Amiiiin Amiiiin Thuma Amiiiin Yarab!!
Amine aminevya rabbi
Shukrani sana Shk ila naomba utuandikie hayo maneno tunayotakiwa kuisoma mara 11 tafadhali.
Shukrani sana
Ingia google andika Ayatul Kifaya yatakuja
MashaAllah allah awajaze kheri.
Lakin tunge omba zaidi muwa nuna tupa tiya Référence (Dalil)
Iataku vizuri zaidi.
Ku kubalika n kupokelewa.
Nani ambaye amefunza hayo.?
Kitabu gani.??
Siyo kwa kupinga sheikh bali ni kutafuta swaab zaidi na kufat sunnat.
Masha Allla shukrani
Tumeshuru Dana,
Shukran jazakallah khayran
shukrani shekhe
Ameen summa Ameen
Shukran baarakallahu fiika
Shukran kadhaalika
Shukran Jidan Ustadha.
Shukran kadhaalika
Shukrani
Shukran
Aa Mimi ninamatatizo yasiosikia visomo lakin shukraan kwa hiyo Dua
Pole sana shilamana na dua hio insha Allah
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Hizo mubin 7 ndio zipi Sheikh ?
Zipo surat yaseen Kuna Aya ZINAISHIA na neno mubeen
Shukrani ostadh je kama sijui kusoma ninawezay kusomea na ostadh na ikanipa majibu?
Naam bila shaka
Aya zilizobaki unasoma wapi mana umefika kunfayakuun.
Amiiyn thumma Amiiyn, Amani ya mungu irejee kwako pia.
Sasa mbona muda wadua utakua mreefu Laaisha itaingia mtu hajamaliza.
Je ukifanya ungine muda kma swalatil hadja kisha ukatumia iyo dua haijuzu?.
Allah awape umri mreefu wenye kheri na Baraka muzdi kutuelimisha.
Aamin aamin mbona muda unatosha
@@faidikatv Allah aweke wepesi
Pia iwe sadaka yenu yakudumu.
@@nayeemn9275 aamin aamin yaa rabb
Mashaa Allah
Na tusiojua surat Yaseen?
Mnasomewa tu
@@faidikatv asalam alekum
@@faidikatv sheikh je ikiwarudia huo ubaya nahao Madui hawezi tena kurudisha huyo ubaya
@@faidikatv siku ngapi sheikh tusome
@@ishajivraj560 wa alaykum salaam
Assallam alykum shekh je unaweza kuswali hata usiku saa 9 au mpk baada ya maghrib
Usiku saa 9 ndio bora zaidi ukiweza
Nimekosea samahan shekh sio kuswal nilikua manaanisha kusoma yaseen na ile dua unaruhusiwa hata usiku au mpk baada ya maghrib tu
@@salsabilatamim6523 hata usiku pia manake yote hio ni mida dua zakubaliwa kiwepesi