Dua nzito sana yenye uwezo wa kurudisha ubaya kwa alie kufanyia:sheikh omay al-basary

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 71

  • @malina9320
    @malina9320 Год назад +5

    Subhanallah Allah atujalie tuwe miongoni mwa waja wema atuondoshee chuki atunusuru na hasad madhara. Allah awalinde watoto wetu na hasad za aina zote amiin

    • @faidikatv
      @faidikatv  Год назад

      Allahumma aamin aamin yaa rabb

  • @aishaibrahim4477
    @aishaibrahim4477 21 день назад

    BAARAKALLAHU FEYK

  • @ZainabKaombeAhmed
    @ZainabKaombeAhmed Месяц назад

    Jazzakallah sheikh

  • @aishaibrahim4477
    @aishaibrahim4477 Месяц назад

    Kwa cc wanawake ni sawa kuswali Jamaa

  • @nuruabeid9934
    @nuruabeid9934 Год назад +2

    Alhamdulilah Allah akujaalie kila la kheir Ameen kwa mafunzo yk

  • @madameba2169
    @madameba2169 Год назад +1

    Shukran mungu akulipe. ila sasa kuhusu watoto kuharibika hukutwambiya vizuri kama tunasoma ile dua tu ya mwanzo zenye zinakuja kila mubini ao tunaendeleya vyote ulivyo elekeza

  • @malina9320
    @malina9320 Год назад +2

    Ameen ameen Ya rabb

  • @ashaabdurhman
    @ashaabdurhman Год назад +2

    ALLAHUAQBAR

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Год назад +1

    WA llahi nahtaj dua ya kuwauwa walonifanyia ubaya tangu mdogo mpaka sasa😢

    • @faidikatv
      @faidikatv  Год назад

      Watakufa wengi hasanat🤣🤣🤣

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 Год назад

      @@faidikatv wa llah mizimu yao inanisumbua na Mimi sipendi ushirikina Sasa Niko mbali na familia yangu wanaanza kutesa familia yangu

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 Год назад

      @@faidikatv insha'Allah wafe tu

  • @RaqiimHassan
    @RaqiimHassan 2 месяца назад

    Mashaallah Allah akulipe kheri

  • @user-bo1xl6ec6n
    @user-bo1xl6ec6n Год назад +1

    Jazakallahu khayra shukran Sana shekh

  • @user-bt8bk7pm6e
    @user-bt8bk7pm6e 10 месяцев назад

    Amin amin amin. Allah akuhifaz sheh wetu

  • @mohammedmbaruk2034
    @mohammedmbaruk2034 11 месяцев назад

    A.A SHEIKH KWASIKU NGAPI SHEIKH AL BASRY

  • @mariamjacobs2721
    @mariamjacobs2721 Год назад +1

    Amiiiin Amiiiin Amiiiin Amiiiin Thuma Amiiiin Yarab!!

  • @madameba2169
    @madameba2169 Год назад +1

    Amine aminevya rabbi

  • @nuliatbaraka6350
    @nuliatbaraka6350 Год назад

    Shukrani sana Shk ila naomba utuandikie hayo maneno tunayotakiwa kuisoma mara 11 tafadhali.
    Shukrani sana

    • @jamillahaidha8184
      @jamillahaidha8184 6 месяцев назад

      Ingia google andika Ayatul Kifaya yatakuja

  • @karimabdoul7619
    @karimabdoul7619 Год назад +1

    MashaAllah allah awajaze kheri.
    Lakin tunge omba zaidi muwa nuna tupa tiya Référence (Dalil)
    Iataku vizuri zaidi.
    Ku kubalika n kupokelewa.
    Nani ambaye amefunza hayo.?
    Kitabu gani.??
    Siyo kwa kupinga sheikh bali ni kutafuta swaab zaidi na kufat sunnat.

  • @fatmaalzidy1170
    @fatmaalzidy1170 Год назад +1

    Masha Allla shukrani

  • @user-hs2tx5rq1d
    @user-hs2tx5rq1d 11 месяцев назад +1

    Tumeshuru Dana,

  • @RahulPapito-go3hm
    @RahulPapito-go3hm Год назад

    Shukran jazakallah khayran

  • @user-pw9lf6yt9b
    @user-pw9lf6yt9b 7 месяцев назад

    shukrani shekhe

  • @Zepetobruhh
    @Zepetobruhh Год назад

    Ameen summa Ameen

  • @husseinhalima
    @husseinhalima Год назад

    Shukran baarakallahu fiika

  • @mariamjacobs2721
    @mariamjacobs2721 Год назад

    Shukran Jidan Ustadha.

  • @timamwalago5094
    @timamwalago5094 Год назад

    Shukrani

  • @madameba2169
    @madameba2169 Год назад

    Shukran

  • @hamidarashid39
    @hamidarashid39 Год назад

    Aa Mimi ninamatatizo yasiosikia visomo lakin shukraan kwa hiyo Dua

    • @faidikatv
      @faidikatv  Год назад

      Pole sana shilamana na dua hio insha Allah

  • @maryam4va538
    @maryam4va538 Год назад +1

    Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Hizo mubin 7 ndio zipi Sheikh ?

    • @user-qn6kk4lp9v
      @user-qn6kk4lp9v 11 месяцев назад

      Zipo surat yaseen Kuna Aya ZINAISHIA na neno mubeen

  • @chozimasoud9031
    @chozimasoud9031 9 месяцев назад

    Shukrani ostadh je kama sijui kusoma ninawezay kusomea na ostadh na ikanipa majibu?

    • @faidikatv
      @faidikatv  9 месяцев назад

      Naam bila shaka

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Год назад

    Aya zilizobaki unasoma wapi mana umefika kunfayakuun.

  • @nayeemn9275
    @nayeemn9275 Год назад

    Amiiyn thumma Amiiyn, Amani ya mungu irejee kwako pia.
    Sasa mbona muda wadua utakua mreefu Laaisha itaingia mtu hajamaliza.
    Je ukifanya ungine muda kma swalatil hadja kisha ukatumia iyo dua haijuzu?.
    Allah awape umri mreefu wenye kheri na Baraka muzdi kutuelimisha.

    • @faidikatv
      @faidikatv  Год назад

      Aamin aamin mbona muda unatosha

    • @nayeemn9275
      @nayeemn9275 Год назад

      @@faidikatv Allah aweke wepesi
      Pia iwe sadaka yenu yakudumu.

    • @faidikatv
      @faidikatv  Год назад

      @@nayeemn9275 aamin aamin yaa rabb

  • @fromallahtoallah6294
    @fromallahtoallah6294 Год назад

    Mashaa Allah
    Na tusiojua surat Yaseen?

    • @faidikatv
      @faidikatv  Год назад

      Mnasomewa tu

    • @ishajivraj560
      @ishajivraj560 Год назад

      ​@@faidikatv asalam alekum

    • @ishajivraj560
      @ishajivraj560 Год назад

      ​@@faidikatv sheikh je ikiwarudia huo ubaya nahao Madui hawezi tena kurudisha huyo ubaya

    • @ishajivraj560
      @ishajivraj560 Год назад

      ​@@faidikatv siku ngapi sheikh tusome

    • @faidikatv
      @faidikatv  Год назад

      @@ishajivraj560 wa alaykum salaam

  • @salsabilatamim6523
    @salsabilatamim6523 Год назад

    Assallam alykum shekh je unaweza kuswali hata usiku saa 9 au mpk baada ya maghrib

    • @faidikatv
      @faidikatv  Год назад +1

      Usiku saa 9 ndio bora zaidi ukiweza

    • @salsabilatamim6523
      @salsabilatamim6523 Год назад

      Nimekosea samahan shekh sio kuswal nilikua manaanisha kusoma yaseen na ile dua unaruhusiwa hata usiku au mpk baada ya maghrib tu

    • @faidikatv
      @faidikatv  Год назад +1

      @@salsabilatamim6523 hata usiku pia manake yote hio ni mida dua zakubaliwa kiwepesi