HATA KAMA WACHAWI NA MAJINI WA KIJIJI KIZIMA ,UKIFANYA HIVI HAWATO KUKARIBIA...MUJARABU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • SHEIKH S NGUSURA
    +255762664094
    +255716447727
    KARIBU KATIKA OFISI ZETU ZA BUGURUNI MALAPA MTAA WA GULAM NYUMBA NO 19

Комментарии • 41

  • @manasa2449
    @manasa2449 Год назад +3

    Shukrani sheikh Allah akujalie maisha marefu tunafaidika na dua zako

  • @saeedamarsaeed8630
    @saeedamarsaeed8630 Год назад +1

    Shukran saana Akhi kwa elimu yenye manufaa unayotufundisha Allah akulipe kheyr kwa uwezo wake Allahumma Ammiin yaarab 🤲🤲🤲🤲

  • @BabuHaji
    @BabuHaji Год назад +2

    NAKUKUBALI SANA MKUU.

  • @hassanware
    @hassanware Год назад +1

    Shukran sheikh jazakallaahu kheir.

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 Год назад +1

    جزاك الله خيرا

  • @hadijaismail3619
    @hadijaismail3619 Год назад

    Shukrani shehe Allah akujalie afya njema uzidi kutupa elimu yenye manufaa

  • @muhamedyhakimu6563
    @muhamedyhakimu6563 Год назад

    Shukrani mwalim mungu akulipe mema akuinuwe daraja duniyani naahera

  • @ziadanirere4457
    @ziadanirere4457 Год назад

    Djazakallah rihairani

  • @hadijajohn7434
    @hadijajohn7434 Год назад

    Maan shaallah shekhe unatusaidia sana

  • @deobigirimana45
    @deobigirimana45 Год назад

    Shukran sheikh Allah akupe mwisho mwema.

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Год назад

    Asanteee sharifuu asantee

  • @nhamoabdalanze341
    @nhamoabdalanze341 Год назад

    Sheikh alhamdu linlah nashukuru kwa maelekezo yako ya dua zako za kinga Mimi kila siku nafuatilia vipindi vyako sheikh, Mimi kwetu Moçambique mocimboa da praia.

  • @chimenyamwatuwa7341
    @chimenyamwatuwa7341 Год назад

    Asante shehe

  • @sengayassin5293
    @sengayassin5293 Год назад

    الحمد لله رب العلمين

  • @destineluna5768
    @destineluna5768 Год назад

    Mashallah

  • @swabraty1760
    @swabraty1760 Год назад

    شكرا

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 Год назад

    Mashaallah

  • @sengayassin5293
    @sengayassin5293 Год назад

    شكرن جزير شريف

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 11 месяцев назад

    Kumbuka hana chochote wanataka kumdhurumu vyote wahindi walokuwa ombaomba wakapewa misaada ili wakae kwenye majengo yake akirudi wamlipe especially Tilapia hotel na viwanda vya Samak na hotel na appartments zote zilizojulikana kama Islamic hotel za dar na mwanza

  • @Angel-do2lb
    @Angel-do2lb Год назад

    Baba kwa wa dini nyingine je

  • @mrambasura6309
    @mrambasura6309 Год назад +1

    Nakufatilia lakini hapo lugha dolo

  • @fatumatwaha1553
    @fatumatwaha1553 Год назад

    Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh naomba kuuliza je wasoma kila siku kwa siku saba au wasoma kisha watia Maji mahali watumia hayo kidogo kidogo kwa siku saba

    • @msafiriduwiya953
      @msafiriduwiya953 Год назад

      Kuoga kunakokusudiwa hata jagi Moja linatosha kwa siku na huogei chooni yaani MFANO wa kujipaka MAJI hadi yakuchuruzike yaenee mwili wote hiyo ndoo ni NYINGI sana

  • @alinyamawi2968
    @alinyamawi2968 Год назад

    Assalaam alaykm warahmatullah wabarakaatuh Shekh ...nauliza je kisomo iko unaweza kusomea nyumba ya biashara pengine uliijenga na haingii watu ( wapangaji ) ...je inafaa...??

  • @mwanakonyaume3611
    @mwanakonyaume3611 Год назад

    Sasa kwaivyo shekh ayo maji uliyasomea yakiisha kabla siku saba unasomea mengine

  • @hamzahazali-wx3pn
    @hamzahazali-wx3pn Год назад

    Assalaam alaykum shekh wangu naomba uliza ni aya zipi mbili katika quran tukufu ambazo zina heruf zote za quran

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 11 месяцев назад

    Sheikh yule mtoto alokupa minyaa mwanza kwenye machafuko ya Askari kuua danguro la watoto wadogo shinyanga guest au city link unamkumbuka???mlikuwa pembeni ya fensi ya sanyenge ni mwana wa ALLAH MANAT SALAMA ALLAH RASURI akiluomba msaada wa ukweli utamkumbuka na utamsaidia ki halali???

  • @AishaSaidi-om3xq
    @AishaSaidi-om3xq Год назад

    Shekhe mimi ninamatatizo makubwa nakupataje? Maana ata mwanangu amefungwa kizazi nisaidie shekhe

  • @rizikinyiro2263
    @rizikinyiro2263 Год назад

    Asamu also kamami ni konamme hajani owa si fai ksoma

  • @selemanimsangi7805
    @selemanimsangi7805 Год назад

    Sheikh uko nje ya NCHI?

  • @HassanAli-mk8mm
    @HassanAli-mk8mm Год назад

    Unafaa uogee chooni au pahali ambapo sio chooni sheikh

  • @aminaomar6269
    @aminaomar6269 Год назад

    sheikh naweza kumuogesha na mwanangu wa mwaka??

    • @hadijaismail3619
      @hadijaismail3619 Год назад

      Unamwogesha tu Haina shida ndugu yangu ni maji ya Dua km Kuna husda hazitompata

  • @egidenkeshimana7905
    @egidenkeshimana7905 Год назад

    Shukran sheikh 🙏🙏🙏