Sheikh alhamdu linlah nashukuru kwa maelekezo yako ya dua zako za kinga Mimi kila siku nafuatilia vipindi vyako sheikh, Mimi kwetu Moçambique mocimboa da praia.
Kumbuka hana chochote wanataka kumdhurumu vyote wahindi walokuwa ombaomba wakapewa misaada ili wakae kwenye majengo yake akirudi wamlipe especially Tilapia hotel na viwanda vya Samak na hotel na appartments zote zilizojulikana kama Islamic hotel za dar na mwanza
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh naomba kuuliza je wasoma kila siku kwa siku saba au wasoma kisha watia Maji mahali watumia hayo kidogo kidogo kwa siku saba
Kuoga kunakokusudiwa hata jagi Moja linatosha kwa siku na huogei chooni yaani MFANO wa kujipaka MAJI hadi yakuchuruzike yaenee mwili wote hiyo ndoo ni NYINGI sana
Assalaam alaykm warahmatullah wabarakaatuh Shekh ...nauliza je kisomo iko unaweza kusomea nyumba ya biashara pengine uliijenga na haingii watu ( wapangaji ) ...je inafaa...??
Sheikh yule mtoto alokupa minyaa mwanza kwenye machafuko ya Askari kuua danguro la watoto wadogo shinyanga guest au city link unamkumbuka???mlikuwa pembeni ya fensi ya sanyenge ni mwana wa ALLAH MANAT SALAMA ALLAH RASURI akiluomba msaada wa ukweli utamkumbuka na utamsaidia ki halali???
Shukrani sheikh Allah akujalie maisha marefu tunafaidika na dua zako
Shukran saana Akhi kwa elimu yenye manufaa unayotufundisha Allah akulipe kheyr kwa uwezo wake Allahumma Ammiin yaarab 🤲🤲🤲🤲
NAKUKUBALI SANA MKUU.
Shukran sheikh jazakallaahu kheir.
جزاك الله خيرا
Shukrani shehe Allah akujalie afya njema uzidi kutupa elimu yenye manufaa
Shukrani mwalim mungu akulipe mema akuinuwe daraja duniyani naahera
Djazakallah rihairani
Maan shaallah shekhe unatusaidia sana
Shukran sheikh Allah akupe mwisho mwema.
Asanteee sharifuu asantee
Sheikh alhamdu linlah nashukuru kwa maelekezo yako ya dua zako za kinga Mimi kila siku nafuatilia vipindi vyako sheikh, Mimi kwetu Moçambique mocimboa da praia.
Asante shehe
الحمد لله رب العلمين
Mashallah
شكرا
Mashaallah
شكرن جزير شريف
Kumbuka hana chochote wanataka kumdhurumu vyote wahindi walokuwa ombaomba wakapewa misaada ili wakae kwenye majengo yake akirudi wamlipe especially Tilapia hotel na viwanda vya Samak na hotel na appartments zote zilizojulikana kama Islamic hotel za dar na mwanza
Baba kwa wa dini nyingine je
Nakufatilia lakini hapo lugha dolo
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh naomba kuuliza je wasoma kila siku kwa siku saba au wasoma kisha watia Maji mahali watumia hayo kidogo kidogo kwa siku saba
Kuoga kunakokusudiwa hata jagi Moja linatosha kwa siku na huogei chooni yaani MFANO wa kujipaka MAJI hadi yakuchuruzike yaenee mwili wote hiyo ndoo ni NYINGI sana
Assalaam alaykm warahmatullah wabarakaatuh Shekh ...nauliza je kisomo iko unaweza kusomea nyumba ya biashara pengine uliijenga na haingii watu ( wapangaji ) ...je inafaa...??
Sasa kwaivyo shekh ayo maji uliyasomea yakiisha kabla siku saba unasomea mengine
Assalaam alaykum shekh wangu naomba uliza ni aya zipi mbili katika quran tukufu ambazo zina heruf zote za quran
Suratul fatih aya ya mwisho
Sheikh yule mtoto alokupa minyaa mwanza kwenye machafuko ya Askari kuua danguro la watoto wadogo shinyanga guest au city link unamkumbuka???mlikuwa pembeni ya fensi ya sanyenge ni mwana wa ALLAH MANAT SALAMA ALLAH RASURI akiluomba msaada wa ukweli utamkumbuka na utamsaidia ki halali???
Shekhe mimi ninamatatizo makubwa nakupataje? Maana ata mwanangu amefungwa kizazi nisaidie shekhe
Asamu also kamami ni konamme hajani owa si fai ksoma
Sheikh uko nje ya NCHI?
Unafaa uogee chooni au pahali ambapo sio chooni sheikh
Si chooni
MUNGU AKUFANYIE WEPESI
No bafuni ndio uogee
Kogea uwani au nje. Yaani, pasipo chooni.
Haifai kuogea chooni kwani ni Quran tukufu
sheikh naweza kumuogesha na mwanangu wa mwaka??
Unamwogesha tu Haina shida ndugu yangu ni maji ya Dua km Kuna husda hazitompata
Shukran sheikh 🙏🙏🙏