HAYA NDIO MATUMIZI YA SURAT YAASIN | KATIKA KUTATUA SHIDA ZETU | SHEIKH RAJABU SALUM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 72

  • @AbdallahSuleiman-e8g
    @AbdallahSuleiman-e8g Месяц назад

    Inshallah, sheikh Allah akujaalie uendelee kutuelimisha hakika mwenyezi mungu atakulipa.

  • @KhadijaSwaleh-y9p
    @KhadijaSwaleh-y9p Месяц назад

    Inshallah nafatilia mafundisho Yako sheikh Allah akujaalie Kila la kheri

  • @zanzibarfin5789
    @zanzibarfin5789 3 месяца назад

    Shukran Allaalh akujaze heri asante

  • @MesalimRashid
    @MesalimRashid Год назад +2

    Jazzakah Allah kheir...baadal kheir jannatul Naim.

  • @ArafaSuleiman-db9pw
    @ArafaSuleiman-db9pw 5 месяцев назад +2

    Barakah ALLAHU fiiqum hbbi

  • @Zepetobruhh
    @Zepetobruhh Год назад +1

    Masha Allah

  • @yusuphahmedymngombe3706
    @yusuphahmedymngombe3706 2 года назад +6

    Assalamu'alaykum!samahani naomba ufafanuzi kidogo; ninavyojua mimi kuwa suuratil-fatiha ina aya saba (7) na aya ya kwanza ni Bismillah Rahmani rahiim,sasa Shekhe nimesikia ukisema aya ya kwanza ni Alhamdulillah lilah rabbillaamiin,sasa naomba kuwekwa sawa ili tufahamu vzur Inshaa-Allah

  • @KhanifaJumapili
    @KhanifaJumapili 5 месяцев назад +1

    Jazakallahu khayr

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 2 года назад +3

    Mashallah ya shekh Allaah akujaze kheri nyingi

  • @ibrahimbashir4778
    @ibrahimbashir4778 Год назад +1

    Ma Sha Allah... Alhamdulillah

  • @maryamalyahmedi7914
    @maryamalyahmedi7914 2 года назад +1

    Ahaaa
    Baada ya salat alfajiri

  • @abubakarswaleh5667
    @abubakarswaleh5667 Год назад +1

    Shukran Sheikh wetu Allah akuhifadhi na akulipe kheri nyingi.

  • @mattarmattar3026
    @mattarmattar3026 Год назад +1

    Je Kuna matatizo yeyote ukiitumia Yasiin Kwa mtindo huu katika nyakati nyengine mbali na asubuhi

  • @ngendishakaasha3340
    @ngendishakaasha3340 2 года назад +2

    MashAllah Sheihk Allah aendeleye anakuhifadhi, Dua tuandikiye mu herufu awo mkiswahili, shukran

  • @isack6099
    @isack6099 2 года назад +4

    Masha Allah, Allahu Akbar, Jazzakallahu kheri Sheikh, bila shaka unasema ukweli sheikh na imenisaidia sana tena sana ktk mambo yangu.. yote..

  • @barkaabdallah2407
    @barkaabdallah2407 2 года назад +1

    MashaAllah
    Allah akupe kila la kheri Sheikh wetu 🇰🇪

  • @fuadshell5188
    @fuadshell5188 2 года назад +1

    Shukran shekh wetu kwa mafunzo mazuri

  • @mamkubwaashura8096
    @mamkubwaashura8096 2 года назад +1

    Shukran saana sheikh Allah akujaze kheir

  • @asdasd9253
    @asdasd9253 2 года назад +2

    Mashallah shukran sana mwalimu mungu akubarik

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 2 года назад +1

    Shukran Sheikh Allah akujaze kheri na baraka tele fii dunia na akhera.Unafahamisha kwa dhati.Baraka Llahu fiik.

  • @Naw89
    @Naw89 2 года назад +1

    Maa sha Allah
    Shukran sheikh wetu
    Ila huo muda ndio mtihan

  • @vildankara7635
    @vildankara7635 2 года назад +1

    Shukran kwa Elmu kakaake Fathiya

  • @rajabsalimalqushairiyyu7023
    @rajabsalimalqushairiyyu7023 2 года назад +10

    Allwahhumma inni As,aluka bi haqqi suurati YAASIIN,wamaa fiiihha minal sirri wal asraari,wannuuru wal anuwaari,walburhhaanil adhwiim,Bisirri YAASIIN walqur,aanil hakiiim,Bihaqqi maa qara,atu,waBihaqqi hhadhihhi suuurat indaka, waBihaqqi man anzalahha,waBihaqqi maa nazalat alayhhi,waBi haqqi maafiihha,nina ssirril Adhwiiimu,AS,aluka......................
    Dua hii inasomwa ×3.
    Kisha kukamilisha aya iliyobaki mpaka mwisho wa sura.

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 2 года назад +1

    Mungu_akulipe

  • @shamsamanja9141
    @shamsamanja9141 2 года назад +1

    MashaAllah. Sheikh tuandikie kwa herufi hizi duaa tafadhwal

    • @shamsamanja9141
      @shamsamanja9141 2 года назад

      Shukran Sheikh kwa maelekezo mazuri M'Mungu akulipe kwa hili. Nauliza wapi nitakipata kitabu hicho Ahmiyat duaa..

  • @halimasaidi1952
    @halimasaidi1952 Год назад +1

    Mashaallah

  • @biashasuleimanabdalla481
    @biashasuleimanabdalla481 2 года назад +1

    Assalamu aleikum warmatulla taala wabarakatu Alhadulilahi Alhadulilahi Tabaraka ladhi wahuwa ala kull shein kadir.

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha2625 2 года назад +1

    Maashaallah

  • @salimchiranzi
    @salimchiranzi Год назад +1

    Asalamu aleikum vp hali Yako ustadhi nilikuwa nauliza kuwa je ukiwa wataka kusoma hichi kisomo kwa muda wowote je inafaaa au nilazima iwe huwo muda wa alfajiri baada ya swala ya subuhi

  • @aminasalmin6058
    @aminasalmin6058 2 года назад +1

    Jazaaqallah

  • @saidmahamoud5646
    @saidmahamoud5646 2 года назад +1

    Nawomba afadhali bismillah diyo ayat yakuanza mze wangu

  • @SalumOmary-f6b
    @SalumOmary-f6b 7 месяцев назад +1

    Inshàallh

  • @najmasaleh5536
    @najmasaleh5536 2 года назад +1

    اللهم امين

  • @SalmaMpangala-k8x
    @SalmaMpangala-k8x 10 месяцев назад +1

    Assalam walequm maalimu naweza pata kitabu cha dua hii? Kama ndio, wapi?

  • @RamaMkongwe
    @RamaMkongwe 2 года назад +1

    Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatu.@Sheikh Rajab Salim naeza anza kusoma Alkhamis, IJumaa alafu nimalize Jumatatu ama ni lazima nianze jumatatu?shukran

  • @abuubakarjuma3230
    @abuubakarjuma3230 2 года назад +1

    Mashaallah ustadhi lkn dua tutaipata wapi

  • @maryamalyahmedi7914
    @maryamalyahmedi7914 2 года назад +1

    Asante sheikh
    Je unasoma wakati gani?.

  • @SaidFupi
    @SaidFupi 3 месяца назад

    Ushahid wa utaratibu huu ninin??

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 6 месяцев назад +1

    Namba zako shehe au ndo za kwenye kioo

  • @mattarmattar3026
    @mattarmattar3026 Год назад +1

    Hapo vipi shekhe ulipofahamisha Aya ya kwanza ya suratul faatiha na ukaisoma ni Mimi sikukufahamu au umeteleza?

  • @aisahalharasi2044
    @aisahalharasi2044 2 года назад +1

    Mama

  • @jamilarajab4610
    @jamilarajab4610 Год назад +1

    tuandikie icho kitabu kinaitwaje

  • @AdiliOmari
    @AdiliOmari 5 месяцев назад +1

    😂 19:41

  • @rajabsalimalqushairiyyu7023
    @rajabsalimalqushairiyyu7023 2 года назад +9

    اهلا وسهلا ومرحبا بكم:
    الحمد لله والصلاة والسلام على رسول الله
    وهذ الدعاء:
    اللهم اني اسالك بحق سورة يس،
    وما فيها من السر والأسرار ،
    والنور والأنوار، والبرهان العظيم،
    بسر يس والقرآن الحكيم،بحق ما قرأت وبحق هذه السورة عندك، وبحق من انزلها،وبحق ما نزلت عليه،وبحق ما فيها،من السر العظيم،اسالك كذا وكذا.......
    وكمل الآية الشريفة:فسبحان الذي بيده ملكوت كل شيء واليه ترجعون

  • @hadhyaabdull2298
    @hadhyaabdull2298 Год назад +1

    Kwenye huu mda
    Kwa wale ambao wana watoto wanaoenda shule mda huwo inakua ni mda wa kuwaandaa na wengine ni mda wa kwenda makazini
    Hakuna mda kwenye nyakati za usiku

  • @issaiddi7003
    @issaiddi7003 Год назад +1

    Tunajaribu iyo namba kueza kupata kitabu shk lkn haina majibu

  • @salimanasser5466
    @salimanasser5466 2 года назад +1

    Asalam aleykum
    Sheikh wangu jazakallahu khayr
    Lakini sasa Sisi tuna fundishwa aya yakwanza surah fatha bismillahi rahmani arahim .ndo zitakwa ya saba , tukiazia , alhamdulillahi itakwa ni aya sita. Naomba Samahani ikiwa nime kukosea

  • @YusrayYunus-rr1kq
    @YusrayYunus-rr1kq Год назад +2

    tahlili ndio nini??

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 Год назад

      ni aina ya dhikr kubwa saan inayosem lailah illah wahu-wahdahu-lasharikalahu -lahulmulk walahu-hamdu-wahuwa ala-kul-shain qadir. inafadhili nying saaaaaaaan zaid ya saaaaan ukisem mara 100 nyirad hiy faid ya (1) Allah anakupa thawab 100, (2)Allah anakusameh madhambi (100), (3)Allah anakuepsha na shetan sik nzim yan ukisem asbh na jion (4)Allah anakupa fadhila ya kuwachia watumwa 10 huru

    • @sharifamhina4345
      @sharifamhina4345 2 месяца назад

      Jazakha Allah Khairan,Allah akufanyie wepesi ktk kila jambo lako unalolihitajia,nilikua sijui tahlili ni nini,ila umenifahamisha​@@fayeezabdallah2217

  • @issaiddi7003
    @issaiddi7003 Год назад

    Na tuko Mbali na dar

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 16 дней назад

    Shehe naomba kuuliza je unanua tatizo mojatu au unawezakunuiya mambo mengi. ?kama huna muda unawezamtuakusomee.

  • @foodcook3626
    @foodcook3626 Год назад

    Wewe muongo mbona unasema ayya ya kwanza ni alhamdu lillahi rabbil alamiyna maana yake msahafu ya kwako inapishana na misahafu yote inayoonesha ayya ya kwanza ni bismi llahi Rahman Rahim nyinyi mumepoteza umma. Lakini kabla ya kusoma qur'an nakushauria anza kutizama number za ayya za suratul fatiha zilivyopangiliwa kabla ya kuropoka huna manufaa inatakiwa usome ujue bismillahi Rahman Rahim ina umuhimu gani katika swala ama kuitamka ama kwa kuisoma kimyakimya lakini bora zaidi ni kuitamka kwa sauti. Mnapeleka umma wapi?!

  • @haddadmuhunzi3794
    @haddadmuhunzi3794 3 месяца назад

    😮Aya ya kwanza ya suratil fateha ni ipi?Tunakukumbusha. Rejea na maelezo yako ulivyoanza.

  • @mulhatfamau6811
    @mulhatfamau6811 Год назад +1

    Masha Allah

  • @munaisa5850
    @munaisa5850 2 года назад +1

    MashaAllah

  • @habybty_Khaleed
    @habybty_Khaleed 2 года назад +3

    Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatu.@Sheikh Rajab Salim naeza anza kusoma Alkhamis, IJumaa alafu nimalize Jumatatu ama ni lazima nianze jumatatu?shukran