Assalamu'alaykum!samahani naomba ufafanuzi kidogo; ninavyojua mimi kuwa suuratil-fatiha ina aya saba (7) na aya ya kwanza ni Bismillah Rahmani rahiim,sasa Shekhe nimesikia ukisema aya ya kwanza ni Alhamdulillah lilah rabbillaamiin,sasa naomba kuwekwa sawa ili tufahamu vzur Inshaa-Allah
Allwahhumma inni As,aluka bi haqqi suurati YAASIIN,wamaa fiiihha minal sirri wal asraari,wannuuru wal anuwaari,walburhhaanil adhwiim,Bisirri YAASIIN walqur,aanil hakiiim,Bihaqqi maa qara,atu,waBihaqqi hhadhihhi suuurat indaka, waBihaqqi man anzalahha,waBihaqqi maa nazalat alayhhi,waBi haqqi maafiihha,nina ssirril Adhwiiimu,AS,aluka...................... Dua hii inasomwa ×3. Kisha kukamilisha aya iliyobaki mpaka mwisho wa sura.
Asalamu aleikum vp hali Yako ustadhi nilikuwa nauliza kuwa je ukiwa wataka kusoma hichi kisomo kwa muda wowote je inafaaa au nilazima iwe huwo muda wa alfajiri baada ya swala ya subuhi
اهلا وسهلا ومرحبا بكم: الحمد لله والصلاة والسلام على رسول الله وهذ الدعاء: اللهم اني اسالك بحق سورة يس، وما فيها من السر والأسرار ، والنور والأنوار، والبرهان العظيم، بسر يس والقرآن الحكيم،بحق ما قرأت وبحق هذه السورة عندك، وبحق من انزلها،وبحق ما نزلت عليه،وبحق ما فيها،من السر العظيم،اسالك كذا وكذا....... وكمل الآية الشريفة:فسبحان الذي بيده ملكوت كل شيء واليه ترجعون
Kwenye huu mda Kwa wale ambao wana watoto wanaoenda shule mda huwo inakua ni mda wa kuwaandaa na wengine ni mda wa kwenda makazini Hakuna mda kwenye nyakati za usiku
Asalam aleykum Sheikh wangu jazakallahu khayr Lakini sasa Sisi tuna fundishwa aya yakwanza surah fatha bismillahi rahmani arahim .ndo zitakwa ya saba , tukiazia , alhamdulillahi itakwa ni aya sita. Naomba Samahani ikiwa nime kukosea
ni aina ya dhikr kubwa saan inayosem lailah illah wahu-wahdahu-lasharikalahu -lahulmulk walahu-hamdu-wahuwa ala-kul-shain qadir. inafadhili nying saaaaaaaan zaid ya saaaaan ukisem mara 100 nyirad hiy faid ya (1) Allah anakupa thawab 100, (2)Allah anakusameh madhambi (100), (3)Allah anakuepsha na shetan sik nzim yan ukisem asbh na jion (4)Allah anakupa fadhila ya kuwachia watumwa 10 huru
Wewe muongo mbona unasema ayya ya kwanza ni alhamdu lillahi rabbil alamiyna maana yake msahafu ya kwako inapishana na misahafu yote inayoonesha ayya ya kwanza ni bismi llahi Rahman Rahim nyinyi mumepoteza umma. Lakini kabla ya kusoma qur'an nakushauria anza kutizama number za ayya za suratul fatiha zilivyopangiliwa kabla ya kuropoka huna manufaa inatakiwa usome ujue bismillahi Rahman Rahim ina umuhimu gani katika swala ama kuitamka ama kwa kuisoma kimyakimya lakini bora zaidi ni kuitamka kwa sauti. Mnapeleka umma wapi?!
Inshallah, sheikh Allah akujaalie uendelee kutuelimisha hakika mwenyezi mungu atakulipa.
Inshallah nafatilia mafundisho Yako sheikh Allah akujaalie Kila la kheri
Shukran Allaalh akujaze heri asante
Jazzakah Allah kheir...baadal kheir jannatul Naim.
Barakah ALLAHU fiiqum hbbi
Masha Allah
Assalamu'alaykum!samahani naomba ufafanuzi kidogo; ninavyojua mimi kuwa suuratil-fatiha ina aya saba (7) na aya ya kwanza ni Bismillah Rahmani rahiim,sasa Shekhe nimesikia ukisema aya ya kwanza ni Alhamdulillah lilah rabbillaamiin,sasa naomba kuwekwa sawa ili tufahamu vzur Inshaa-Allah
Jazakallahu khayr
Mashallah ya shekh Allaah akujaze kheri nyingi
Ma Sha Allah... Alhamdulillah
Ahaaa
Baada ya salat alfajiri
Shukran Sheikh wetu Allah akuhifadhi na akulipe kheri nyingi.
Je Kuna matatizo yeyote ukiitumia Yasiin Kwa mtindo huu katika nyakati nyengine mbali na asubuhi
MashAllah Sheihk Allah aendeleye anakuhifadhi, Dua tuandikiye mu herufu awo mkiswahili, shukran
Masha Allah, Allahu Akbar, Jazzakallahu kheri Sheikh, bila shaka unasema ukweli sheikh na imenisaidia sana tena sana ktk mambo yangu.. yote..
Shukran ,afwan
Mashaallah
Mashaallah
Qur_an_inasiri_kubwa_jongera
Shukran
MashaAllah
Allah akupe kila la kheri Sheikh wetu 🇰🇪
Shukran shekh wetu kwa mafunzo mazuri
Shukran saana sheikh Allah akujaze kheir
Mashallah shukran sana mwalimu mungu akubarik
Afwan
Shukran Sheikh Allah akujaze kheri na baraka tele fii dunia na akhera.Unafahamisha kwa dhati.Baraka Llahu fiik.
samahani shekhe naomba uniandikie
Maa sha Allah
Shukran sheikh wetu
Ila huo muda ndio mtihan
Shukran kwa Elmu kakaake Fathiya
Allwahhumma inni As,aluka bi haqqi suurati YAASIIN,wamaa fiiihha minal sirri wal asraari,wannuuru wal anuwaari,walburhhaanil adhwiim,Bisirri YAASIIN walqur,aanil hakiiim,Bihaqqi maa qara,atu,waBihaqqi hhadhihhi suuurat indaka, waBihaqqi man anzalahha,waBihaqqi maa nazalat alayhhi,waBi haqqi maafiihha,nina ssirril Adhwiiimu,AS,aluka......................
Dua hii inasomwa ×3.
Kisha kukamilisha aya iliyobaki mpaka mwisho wa sura.
Asante
Shukran Allah bariiq
Shukrn san
Jazakllah khaillah shehe😭😭
Mungu_akulipe
MashaAllah. Sheikh tuandikie kwa herufi hizi duaa tafadhwal
Shukran Sheikh kwa maelekezo mazuri M'Mungu akulipe kwa hili. Nauliza wapi nitakipata kitabu hicho Ahmiyat duaa..
Mashaallah
Assalamu aleikum warmatulla taala wabarakatu Alhadulilahi Alhadulilahi Tabaraka ladhi wahuwa ala kull shein kadir.
Maashaallah
Asalamu aleikum vp hali Yako ustadhi nilikuwa nauliza kuwa je ukiwa wataka kusoma hichi kisomo kwa muda wowote je inafaaa au nilazima iwe huwo muda wa alfajiri baada ya swala ya subuhi
Jazaaqallah
Nawomba afadhali bismillah diyo ayat yakuanza mze wangu
Inshàallh
اللهم امين
Assalam walequm maalimu naweza pata kitabu cha dua hii? Kama ndio, wapi?
Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatu.@Sheikh Rajab Salim naeza anza kusoma Alkhamis, IJumaa alafu nimalize Jumatatu ama ni lazima nianze jumatatu?shukran
Mashaallah ustadhi lkn dua tutaipata wapi
Asante sheikh
Je unasoma wakati gani?.
Alfajir_
Ushahid wa utaratibu huu ninin??
Namba zako shehe au ndo za kwenye kioo
Hapo vipi shekhe ulipofahamisha Aya ya kwanza ya suratul faatiha na ukaisoma ni Mimi sikukufahamu au umeteleza?
Mama
tuandikie icho kitabu kinaitwaje
😂 19:41
اهلا وسهلا ومرحبا بكم:
الحمد لله والصلاة والسلام على رسول الله
وهذ الدعاء:
اللهم اني اسالك بحق سورة يس،
وما فيها من السر والأسرار ،
والنور والأنوار، والبرهان العظيم،
بسر يس والقرآن الحكيم،بحق ما قرأت وبحق هذه السورة عندك، وبحق من انزلها،وبحق ما نزلت عليه،وبحق ما فيها،من السر العظيم،اسالك كذا وكذا.......
وكمل الآية الشريفة:فسبحان الذي بيده ملكوت كل شيء واليه ترجعون
Mashaallaah wajazaakallaahu khayra.
Kwenye huu mda
Kwa wale ambao wana watoto wanaoenda shule mda huwo inakua ni mda wa kuwaandaa na wengine ni mda wa kwenda makazini
Hakuna mda kwenye nyakati za usiku
Tunajaribu iyo namba kueza kupata kitabu shk lkn haina majibu
Asalam aleykum
Sheikh wangu jazakallahu khayr
Lakini sasa Sisi tuna fundishwa aya yakwanza surah fatha bismillahi rahmani arahim .ndo zitakwa ya saba , tukiazia , alhamdulillahi itakwa ni aya sita. Naomba Samahani ikiwa nime kukosea
Hujakosea_ni_kweli_aya_ya_kwanza_ni_bissimillah
tahlili ndio nini??
ni aina ya dhikr kubwa saan inayosem lailah illah wahu-wahdahu-lasharikalahu -lahulmulk walahu-hamdu-wahuwa ala-kul-shain qadir. inafadhili nying saaaaaaaan zaid ya saaaaan ukisem mara 100 nyirad hiy faid ya (1) Allah anakupa thawab 100, (2)Allah anakusameh madhambi (100), (3)Allah anakuepsha na shetan sik nzim yan ukisem asbh na jion (4)Allah anakupa fadhila ya kuwachia watumwa 10 huru
Jazakha Allah Khairan,Allah akufanyie wepesi ktk kila jambo lako unalolihitajia,nilikua sijui tahlili ni nini,ila umenifahamisha@@fayeezabdallah2217
Na tuko Mbali na dar
Shehe naomba kuuliza je unanua tatizo mojatu au unawezakunuiya mambo mengi. ?kama huna muda unawezamtuakusomee.
Wewe muongo mbona unasema ayya ya kwanza ni alhamdu lillahi rabbil alamiyna maana yake msahafu ya kwako inapishana na misahafu yote inayoonesha ayya ya kwanza ni bismi llahi Rahman Rahim nyinyi mumepoteza umma. Lakini kabla ya kusoma qur'an nakushauria anza kutizama number za ayya za suratul fatiha zilivyopangiliwa kabla ya kuropoka huna manufaa inatakiwa usome ujue bismillahi Rahman Rahim ina umuhimu gani katika swala ama kuitamka ama kwa kuisoma kimyakimya lakini bora zaidi ni kuitamka kwa sauti. Mnapeleka umma wapi?!
😮Aya ya kwanza ya suratil fateha ni ipi?Tunakukumbusha. Rejea na maelezo yako ulivyoanza.
Masha Allah
MashaAllah
Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatu.@Sheikh Rajab Salim naeza anza kusoma Alkhamis, IJumaa alafu nimalize Jumatatu ama ni lazima nianze jumatatu?shukran