RAIS DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI MLOWO WILAYA MBOZI
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akiwasalimia Wananchi wa Mlowo Wilaya Mbozi Mkoa Songwe Njiani kuelekea Dodoma Mara baada ya Kumaliza Ziara yake Mkoani Rukwa leo tarehe 18 Julai, 2024.
Asante mama miaka10 niyakooooo! Mungu awe nawe.
asante mama yetu Bi Samia kwa kazi nzuri..ila mbozi tunashida ya maji mama...marafiki zangu wako hapo wanalalamika maji
Barabara inayounganisha wilaya ya Mbozi na Momba mkoa wa Songwe ingefikiriwa kujengwa kwa lami kwani imaeneo yanachangia sana uchumi wa nchi hii.Daraja lililopo mto Nkana ni jembamba sana na lipo kwenye kituta kilicholika. Kuna siku litakuja kusababisha vifo na itakuwa "too late"! Ni vema wabunge wangeliombea fedha kabla ya ajali.
Hongera mhe Rais kwa maamuzi uliyoyachukua mara moja kuokoa uhai wa mjukuu wako
Asante mama kwa kumsaidia huyo atibiwe.Mungu akubariki.
Acheni kuwaumiza waTanzania kwa uzembe wenu na mkidanganyana Imani!!
Mama unafanya mambo makubwa kwa nchi yetu asante mama yangu
Mh! Mkandaras Ana karibia kupatikana du? Mbona tumepgw na kitu kizito?,, ,,Punguz sias