3 - MBINU ZA KUACHILIA NGUVU ZA MUNGU WAKATI UNAOMBA || Mwl Christopher Mwakasege || Babati 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Semina ya Neno la Mungu Babati || DAY 3 || TAREHE 02| Marchi | 2024
    .................................................................................................................
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
    M-PESA 0754 211 633
    TIGO-PESA 0715 511 633
    AIRTEL MONEY 0682 657 080
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
    PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
    CRDB BANK
    ACC: 01J2032214400
    JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Комментарии • 39

  • @denisbongore3098
    @denisbongore3098 11 месяцев назад +13

    Bwana Yesu asifiwe sana tangia 2015 nimekuwa nakusikiliza Mtumishi wa Mungu na mafundisho Yako yamekuwa yakiniongoza sana na Sasa Niko chuo Cha bible Nairobi nazidi kubarikiwa sana na mahubiri Yako

    • @DottoModest
      @DottoModest 11 месяцев назад

      Bwana yesu asifiwe, mwalim nguvu zake aliye juu zkufunike pamoja na ile maana iliyo ndan yako ikue kutoka iman kwenda iman nguvu kwenda nguvu na utukufu kwenda utukufu,nabalikuwa sana na mafundisho ya kwel ya neno la mungu, naitwa dotto modest luhunga, barikiwa sanaa mwl, mwakasege

  • @DanyMashalla
    @DanyMashalla 11 месяцев назад +4

    Hamna mtu anayemwabudu Mwl Mwakasege, Bali tunakubali Ile huduma ambayo ameweka ndani yake. Yaani Mungu Mwenyezi azidi kumtumia na sifa na utukufu ni kwa BWANA.🙏

  • @HevistaVayinga
    @HevistaVayinga 11 месяцев назад +2

    Yesu asante kwa Neno hili la majira kwangu, endelea kumkumbuka mjoli wako yeye na familia yake na huduma yao ukumbuke Yesu Neema yako kwao isipungue

  • @SuzanaLema-w6m
    @SuzanaLema-w6m 11 месяцев назад +3

    Bwana Yesu asantee kwa ajili ya mtumishi wako hakika tunabarikiwa

  • @faustersteven7233
    @faustersteven7233 11 месяцев назад +2

    Bwanaa Yesu Asifiwe najiunganisha na madhabahu haya mwaka huu Bwanaa Yesu nikakuoneeee katika NDOA

  • @Réverendsamy
    @Réverendsamy 11 месяцев назад +2

    Mwakasege.mtumishi wa Mungu.umeinuwa huduma yangu sana.tangu mwaka 2015 mpaka leo.mashariki ya Congo tunakusiliza sana.tunajisifia Mungu wako sana.

  • @josephinemapuga3515
    @josephinemapuga3515 11 месяцев назад +1

    Bwana YESU apewe sifa.namshukuru Mungu Kwa neema zake,nguvu na uweza anazoachilia kwetu kupitia madhabahu hii, najiunganisha na watoto, familia yangu wote tuendelee kupokea , Amen

  • @beatricehenry3053
    @beatricehenry3053 11 месяцев назад +5

    Mungu naomba toba kwaajili ya mzazi mwenzangu kwa maneno yake yaliyoumiza moyo wangu

    • @EliasMollel-f6y
      @EliasMollel-f6y 8 дней назад

      Pole sana yupo mungu afutaye maneno ya kutamkiwa👏

  • @reginarupia2478
    @reginarupia2478 11 месяцев назад +1

    Ubarikiee sn kiongozi wa sifa huwaga nabarikiwa sn na huduma yako. Nabarikiwa sn na Mafundisho ya mwl Mwakasege.nabarikiwa sn na maombi ya mama Mwakasege na wapangaji wote tunawaombea sn..!
    Ili Mungu azidi kutulisha vyakula vinavyotupa kukua Kila hatua.
    Amen

  • @maryjohn1235
    @maryjohn1235 11 месяцев назад +1

    Haleruya haleruya tuna barikiwa kwa neno

  • @fatresisrael7980
    @fatresisrael7980 11 месяцев назад +1

    Asante Bwana Yesu🙌

  • @barakamapasa2947
    @barakamapasa2947 9 месяцев назад

    Amen 🤲🤲🤲🤲👏👏🙌🙌🙌

  • @maryswai3403
    @maryswai3403 11 месяцев назад +1

    MUNGU ndiye wa kuinuliwa na sio mwl.kwa kuwa utakuwa unamwabudu yeye badala ya kumpa MUNGU sofa tusiwe tunasifia huduma yake Bali MUNGU tu ndio apewe sofa Amen

  • @eliwanzitabonifasi4476
    @eliwanzitabonifasi4476 11 месяцев назад

    Barikiwa sana utunzwe sana na kuhifadhiwa.Mimi nakutakia huduma njema.songa mbele

  • @ReynarKilawe
    @ReynarKilawe 11 месяцев назад

    Ubarikiwe na Mungu, Mungu ainuliwe zaidi kwasababu unawajibika kuhubiri injili yake

  • @yuliahenry3383
    @yuliahenry3383 11 месяцев назад +2

    Yesu Nahitaji nguvu za Mungu Kwenye Mfumo wa KAZI ELIMU ofisi na ajira yangu Kwa Damu ya YESU naachilia nguvu zako Kazini kwangu nisikwame Kwa Jina la YESU KRISTO

  • @estherndosi8100
    @estherndosi8100 11 месяцев назад +1

    Kwa hiyo nguvu za Mungu zinatenda kazi kwa kuomba... Mungu anafanya mambo makubwa kwa kadiri tunavyoomba...asante Yesu kwa mafundisho haya...

    • @gastonmodestkaziri2566
      @gastonmodestkaziri2566 11 месяцев назад

      Ndiyo hivyo! Yaani, ingawa anatenda hata yale ambayo hatukuomba, lakini ni sahihi kabisa kwamba Mungu anatenda kwa kidiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu! Waefeso 3:20 (kwa ufafanuzi zaidi).

  • @theresialubida161
    @theresialubida161 11 месяцев назад +1

    Asante Bwana Yesu

  • @rosengowo8666
    @rosengowo8666 9 месяцев назад

    Hallelujah

  • @glorykoka9958
    @glorykoka9958 11 месяцев назад +1

    Yesu Kristo Asante

  • @GraysonTonga
    @GraysonTonga 11 месяцев назад +1

    We love you so much thank you for your attention to be ready to save the LORD

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 10 месяцев назад

    Ameen

  • @Rose-o8t2n
    @Rose-o8t2n 11 месяцев назад

    Amina 🙏🙏🙏

  • @lazaroayoyohana5920
    @lazaroayoyohana5920 11 месяцев назад

    thank
    Jesus

  • @dianamosha4715
    @dianamosha4715 11 месяцев назад

    Amen

  • @Elisterk5
    @Elisterk5 11 месяцев назад +1

    Ameni🙏

  • @TumainArajickson-d2r
    @TumainArajickson-d2r 11 месяцев назад +1

    Unastaili BWANA

  • @LornaMwaluko
    @LornaMwaluko 11 месяцев назад +1

    Hakika Kuna. Kitunimepata ambacho ni kipyakabisa. YESU. AINULIWE MUNGU MJALIE. M tumishiwako.

  • @christerbellaangelo4783
    @christerbellaangelo4783 11 месяцев назад

    Amen 🙏

  • @RoidaLwekela
    @RoidaLwekela 11 месяцев назад +1

    Naelewa sasa kuhusu kiriba cha zamani na kiriba kipya.

  • @nazajesusservant
    @nazajesusservant 7 месяцев назад

    mifumo🤔🤔🤔

  • @TumpaleMulilege
    @TumpaleMulilege 11 месяцев назад +1

    Kwaajili ya nini

  • @christerbellaangelo4783
    @christerbellaangelo4783 11 месяцев назад +2

    Amen 🙏

  • @rosengowo8666
    @rosengowo8666 9 месяцев назад

    Hallelujah

  • @geofreyuswege9148
    @geofreyuswege9148 10 месяцев назад

    Amen