1 - MBINU ZA KUACHILIA NGUVU ZA MUNGU WAKATI UNAOMBA || Mwl Christopher Mwakasege || Babati 2024
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Semina ya Neno la Mungu Babati || DAY 1 || TAREHE 29|2|2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Bwana Yesu pokea sifa na utukufu kwa utumishi wa Huduma Mtumishi wako Mwakasege Hallelujah
Naitwa winfrida peter kalinga nipo Arusha ninashida ya uzazi najiunganisha na madhabahu ya mtumishi wako huyu Ee Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amina amina
Damu ya yesu ipite na kuachilia uponyaji kwenye fahamu za mamamdogo teddy kwa Jina la yesu , amen
Najiungamanisha na hii madhabahu nikiwa Dar es Salaam mbezi beach na omba Roho mtakatifu unisaidi kuomba kwa jina la Yesu
Huyu ni Mungu tu katupendelea katupa mtumishi wake huyu TZ.
Asante Mungu kwajili mtumishi wako Mwalimu Mwakasege.
Siku za mwisho. Mwakasege kwa kulijua hilo anawaita watu kwa Yesu. Ananawa mikono kazi kwa wasioitika.
Yesu nami naomba uniponye mgongo na kiuno amina
Asante Mungu nikiwa ofisini napokea upako hapa hapa nilipo ubarikiwe Mwl.
Namshukuru Mungu Kwa kunirejesha na maombi hays na nakiri kujiungamanisha na Mwl ktk maombi yake haya akiwa Manyara. SMEN
Nimepoteza hamu ya kuomba..na ATA nikiomba siuoni ule uwepo wa Mungu uliokuwepo mwanzo.naomba maombi yenu
Ingia kwenye maombi ya Toba na rehema
Omba Toba Sana,itarudisha uhusiano wako na Mungu
Ombaaa , UTAKASO ,Mungu Rohomtakatifu atakupa hamu ya kuomba
Asante Yesu kristo nimepokea nguvu za Mungu na Roho takatifu ya Mungu imejazwa ndani yangu
Asante. YESU NAMI. Napokea. Niko. Dodoma naahudumiwe Kila. Atakaesikiliza
Amen
Mungu wa majeshi nashukuru nimepoma.
Nami najiunganisha kwenye hii mathabahu kwa jina la yesu
Kwa Damu ya Yesu naunganisha madhabahu hii na familia yangu na Ukoo wangu wote.
Nimebarikiwa sana kuyatendea kazi masahauri yangu.
Ni Baraka sana pale unasoma title ya somo linalofundishwa kuliko zamani unasoma Jina wakati picha inajieleza
Mbarikiwe sana....
Najiungamanisha na haya madhabahu nikiwa mwanza mungu asikie kuomba kwangu
Mungu tunakushukru mno kwa Mtumishi wako hakika tunabarikiwa mno mno. Najiungamanisha na baraka hizi mimi na familia yangu. Amen
Mung naomba unifungue kila kifungo Cha shetani nikapakate na kufunguliwa katika kazi zangu zote na biashara zangu zote mungu
Nabarikiwa mno.. Asante sana Mungu kwa ajili ya huyu mtumishi wako mwl Mwakasege
Amina
Amen, Asante Yesu kwa uponyaji wako
Nazidi kumuomba Mungu anisaidie kumuombea kuwa nae daima kimaombi Kwa kila Jambo !!
Amina sana mwl nabarikiwa sana semina ya neno la mung natamani san mungu aziachilie nguvu zake katika kuomb kwangu
bye Jescar joseph mwakosya🙏🙏🙏
Asante mungu
Nimuunganisha boss wangu katika madhabau hii apokee uponyaji kwa Jina la yesu Amen 🙏
Hallelujah Hallelujah
Najiungamanisha na maombi haya toka Bassotu mungu akulinde mtumishi karibu Bassotu Hanang Manyara
Napokea uponyaji kwenye mwili wangu Kwa Jina la yesu Amen 🙏
You are Yahweh alfa and omega
Asante YESU nami nimepokea uponyaji
1.Ufahamu unakupa Imani
2.Kuna tofauti kati ya Nguvu za Mungu na utendaji kazi wa Nguvu za Mungu
Efeso 3:20
Marko 8:22-25
Tumebarikiwa sana watu wa Babati,,, Mungu azid kumlinda mtumishi
Mungu akubariki maisha Yako yote
NAPOKEA UPONYAJI Kwa jina la Yesu Kristo
Amen Sifa utukufu na eshima ni zako wewe Yesu
Amen 🙏🙏
Mungu azidi kuwapa kibali daima 🙏 🙌 👏
Ee Mungu naomba umponye boss wangu aweke kutembea Tena
Karibuni na mbulu jamn mtimishi
Damu ya yesu ipite kwenye miguu ya boss wangu na mikono aweze kutembea kwa Jina la yesu
Napokea nguvu za Mungu kwa kupitia Madhabau haya
A❤❤❤❤❤
Yesu tupe ufahamu kAma wachombo chako hiki.
Mungu akubariki sana baba
Amen AMEN ❤❤
HALELUYA!
Amen, Mons/Belgique
Damu ya yesu iniweke huru
MUNGU aendelee kujidhihirisha kwetu kupitia mtumishi wake mwakasege
NAJIUNGAMANISHA NA MADHABAU
Najiungamanisha na hii madhabau nikiwa dodoma mjini nzuguguni
Kiwango changu cha nguvu pia kinaamua kiwango changu cha UCHUMI
MUNGU hatoi utajiri anatoa Nguvu
Mungo naomba uponye mamahangu
Anaemia
Ngoja ss niangalie
Milele ndie bwana
Najiungamanisha na mimi uvimbe jichoni
M
Kiwango cha matokeo kiwango cha Nguvu
Colosai 1:29
Jicho langu la kushoto uvimbe uyeyuke
Amen
Amina
Amen 🙏🙏🙏
Amen Amen ✝️✝️
NAJIUNGAMANISHA NA MADHABAU
Amen
Amen
Amen
Amen
Amina
AMEN
Amina
Ameeen
Amen
AMEN