1 - MBINU ZA KUACHILIA NGUVU ZA MUNGU WAKATI UNAOMBA || Mwl Christopher Mwakasege || Babati 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Semina ya Neno la Mungu Babati || DAY 1 || TAREHE 29|2|2024
    .................................................................................................................
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
    M-PESA 0754 211 633
    TIGO-PESA 0715 511 633
    AIRTEL MONEY 0682 657 080
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
    PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
    CRDB BANK
    ACC: 01J2032214400
    JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Комментарии • 81

  • @raymondroyer7414
    @raymondroyer7414 7 месяцев назад +11

    Bwana Yesu pokea sifa na utukufu kwa utumishi wa Huduma Mtumishi wako Mwakasege Hallelujah

    • @WinfridaKalinga
      @WinfridaKalinga 7 месяцев назад +1

      Naitwa winfrida peter kalinga nipo Arusha ninashida ya uzazi najiunganisha na madhabahu ya mtumishi wako huyu Ee Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @HawaSeif-l4w
      @HawaSeif-l4w 7 месяцев назад

      Amina amina

  • @doricekisaaka1699
    @doricekisaaka1699 7 месяцев назад +3

    Damu ya yesu ipite na kuachilia uponyaji kwenye fahamu za mamamdogo teddy kwa Jina la yesu , amen

  • @LucyMeela-ip8he
    @LucyMeela-ip8he 7 месяцев назад +4

    Najiungamanisha na hii madhabahu nikiwa Dar es Salaam mbezi beach na omba Roho mtakatifu unisaidi kuomba kwa jina la Yesu

  • @maryowenya
    @maryowenya 7 месяцев назад +9

    Huyu ni Mungu tu katupendelea katupa mtumishi wake huyu TZ.

  • @AlexMchau
    @AlexMchau 7 месяцев назад +3

    Asante Mungu kwajili mtumishi wako Mwalimu Mwakasege.

  • @tabithakitundu8736
    @tabithakitundu8736 7 месяцев назад +1

    Siku za mwisho. Mwakasege kwa kulijua hilo anawaita watu kwa Yesu. Ananawa mikono kazi kwa wasioitika.

  • @GenerosaKayombo
    @GenerosaKayombo 7 месяцев назад +2

    Yesu nami naomba uniponye mgongo na kiuno amina

  • @mariammwamzanya3089
    @mariammwamzanya3089 7 месяцев назад +2

    Asante Mungu nikiwa ofisini napokea upako hapa hapa nilipo ubarikiwe Mwl.

  • @salamaisayas8281
    @salamaisayas8281 7 месяцев назад +2

    Namshukuru Mungu Kwa kunirejesha na maombi hays na nakiri kujiungamanisha na Mwl ktk maombi yake haya akiwa Manyara. SMEN

  • @demetriamallya8461
    @demetriamallya8461 7 месяцев назад +2

    Nimepoteza hamu ya kuomba..na ATA nikiomba siuoni ule uwepo wa Mungu uliokuwepo mwanzo.naomba maombi yenu

    • @watotopalacetv6999
      @watotopalacetv6999 7 месяцев назад +1

      Ingia kwenye maombi ya Toba na rehema

    • @tausimhando6866
      @tausimhando6866 7 месяцев назад

      Omba Toba Sana,itarudisha uhusiano wako na Mungu

    • @naomiobeld-hq1eu
      @naomiobeld-hq1eu 6 месяцев назад

      Ombaaa , UTAKASO ,Mungu Rohomtakatifu atakupa hamu ya kuomba

  • @mwasienos7882
    @mwasienos7882 7 месяцев назад +2

    Asante Yesu kristo nimepokea nguvu za Mungu na Roho takatifu ya Mungu imejazwa ndani yangu

  • @LornaMwaluko
    @LornaMwaluko 7 месяцев назад +2

    Asante. YESU NAMI. Napokea. Niko. Dodoma naahudumiwe Kila. Atakaesikiliza

  • @deodathamhagama1
    @deodathamhagama1 7 месяцев назад +2

    Amen

  • @LoulouFredrick
    @LoulouFredrick 3 месяца назад

    Mungu wa majeshi nashukuru nimepoma.

  • @catherinejacob9876
    @catherinejacob9876 4 месяца назад

    Nami najiunganisha kwenye hii mathabahu kwa jina la yesu

  • @barakamapasa2947
    @barakamapasa2947 5 месяцев назад

    Kwa Damu ya Yesu naunganisha madhabahu hii na familia yangu na Ukoo wangu wote.

  • @mrdeniskomba6199
    @mrdeniskomba6199 7 месяцев назад +1

    Nimebarikiwa sana kuyatendea kazi masahauri yangu.
    Ni Baraka sana pale unasoma title ya somo linalofundishwa kuliko zamani unasoma Jina wakati picha inajieleza
    Mbarikiwe sana....

  • @AvelinaBoniphace
    @AvelinaBoniphace 7 месяцев назад +1

    Najiungamanisha na haya madhabahu nikiwa mwanza mungu asikie kuomba kwangu

  • @liliankenan2011
    @liliankenan2011 7 месяцев назад

    Mungu tunakushukru mno kwa Mtumishi wako hakika tunabarikiwa mno mno. Najiungamanisha na baraka hizi mimi na familia yangu. Amen

  • @LovenessKileo-fc1tk
    @LovenessKileo-fc1tk 6 месяцев назад

    Mung naomba unifungue kila kifungo Cha shetani nikapakate na kufunguliwa katika kazi zangu zote na biashara zangu zote mungu

  • @lightnessmassawe1721
    @lightnessmassawe1721 7 месяцев назад +1

    Nabarikiwa mno.. Asante sana Mungu kwa ajili ya huyu mtumishi wako mwl Mwakasege

  • @LucyMeela-ip8he
    @LucyMeela-ip8he 7 месяцев назад +1

    Amina

  • @SekelaLazaro
    @SekelaLazaro 6 месяцев назад

    Amen, Asante Yesu kwa uponyaji wako

  • @salamaisayas8281
    @salamaisayas8281 7 месяцев назад +1

    Nazidi kumuomba Mungu anisaidie kumuombea kuwa nae daima kimaombi Kwa kila Jambo !!

    • @JescarMwakosya
      @JescarMwakosya 6 месяцев назад

      Amina sana mwl nabarikiwa sana semina ya neno la mung natamani san mungu aziachilie nguvu zake katika kuomb kwangu
      bye Jescar joseph mwakosya🙏🙏🙏

  • @neemabonice202
    @neemabonice202 Месяц назад

    Asante mungu

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 7 месяцев назад

    Nimuunganisha boss wangu katika madhabau hii apokee uponyaji kwa Jina la yesu Amen 🙏

  • @justicemollel4928
    @justicemollel4928 6 месяцев назад

    Hallelujah Hallelujah

  • @PaskaliZelote
    @PaskaliZelote 7 месяцев назад

    Najiungamanisha na maombi haya toka Bassotu mungu akulinde mtumishi karibu Bassotu Hanang Manyara

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 7 месяцев назад

    Napokea uponyaji kwenye mwili wangu Kwa Jina la yesu Amen 🙏

  • @lucyngoje1546
    @lucyngoje1546 5 месяцев назад

    You are Yahweh alfa and omega

  • @AgnesMgina-ud6ho
    @AgnesMgina-ud6ho 6 месяцев назад

    Asante YESU nami nimepokea uponyaji

  • @juliusvictormhina285
    @juliusvictormhina285 7 месяцев назад

    1.Ufahamu unakupa Imani
    2.Kuna tofauti kati ya Nguvu za Mungu na utendaji kazi wa Nguvu za Mungu
    Efeso 3:20
    Marko 8:22-25

  • @SarahPascal-l2g
    @SarahPascal-l2g 7 месяцев назад +2

    Tumebarikiwa sana watu wa Babati,,, Mungu azid kumlinda mtumishi

    • @TheresiaSillo
      @TheresiaSillo 3 месяца назад

      Mungu akubariki maisha Yako yote

  • @yuliahenry3383
    @yuliahenry3383 7 месяцев назад

    NAPOKEA UPONYAJI Kwa jina la Yesu Kristo

  • @BellaMndeme
    @BellaMndeme 7 месяцев назад

    Amen Sifa utukufu na eshima ni zako wewe Yesu

  • @asianamlay8248
    @asianamlay8248 3 месяца назад

    Amen 🙏🙏

  • @ramlamakala1484
    @ramlamakala1484 7 месяцев назад

    Mungu azidi kuwapa kibali daima 🙏 🙌 👏

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 7 месяцев назад

    Ee Mungu naomba umponye boss wangu aweke kutembea Tena

  • @celinaphysoo4919
    @celinaphysoo4919 7 месяцев назад +1

    Karibuni na mbulu jamn mtimishi

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 7 месяцев назад

    Damu ya yesu ipite kwenye miguu ya boss wangu na mikono aweze kutembea kwa Jina la yesu

  • @claudiajosephmselle5091
    @claudiajosephmselle5091 7 месяцев назад

    Napokea nguvu za Mungu kwa kupitia Madhabau haya

  • @neemajaphet2896
    @neemajaphet2896 6 месяцев назад +1

    A❤❤❤❤❤

  • @VictorNdeoya
    @VictorNdeoya 7 месяцев назад

    Yesu tupe ufahamu kAma wachombo chako hiki.

  • @MartinaMalick
    @MartinaMalick 7 месяцев назад

    Mungu akubariki sana baba

  • @realswahilicultural8140
    @realswahilicultural8140 6 месяцев назад

    Amen AMEN ❤❤

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 7 месяцев назад

    HALELUYA!

  • @egidentibahezwa1294
    @egidentibahezwa1294 7 месяцев назад

    Amen, Mons/Belgique

  • @KarolinaKija
    @KarolinaKija 5 месяцев назад

    Damu ya yesu iniweke huru

  • @AnnaHassan-e3k
    @AnnaHassan-e3k 6 месяцев назад

    MUNGU aendelee kujidhihirisha kwetu kupitia mtumishi wake mwakasege

  • @MagdalenaJoram-p3j
    @MagdalenaJoram-p3j 7 месяцев назад +1

    NAJIUNGAMANISHA NA MADHABAU

  • @hairnsimon3629
    @hairnsimon3629 7 месяцев назад +1

    Najiungamanisha na hii madhabau nikiwa dodoma mjini nzuguguni

  • @juliusvictormhina285
    @juliusvictormhina285 7 месяцев назад

    Kiwango changu cha nguvu pia kinaamua kiwango changu cha UCHUMI
    MUNGU hatoi utajiri anatoa Nguvu

  • @LidyaPaul-jt4cp
    @LidyaPaul-jt4cp 3 месяца назад

    Mungo naomba uponye mamahangu
    Anaemia

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 7 месяцев назад

    Ngoja ss niangalie

  • @AbelshedrackNnko
    @AbelshedrackNnko 7 месяцев назад +1

    Milele ndie bwana

  • @walterkisaro-9168
    @walterkisaro-9168 7 месяцев назад

    Najiungamanisha na mimi uvimbe jichoni

  • @GivenErasto
    @GivenErasto 6 месяцев назад +1

    M

  • @juliusvictormhina285
    @juliusvictormhina285 7 месяцев назад

    Kiwango cha matokeo kiwango cha Nguvu
    Colosai 1:29

  • @walterkisaro-9168
    @walterkisaro-9168 7 месяцев назад

    Jicho langu la kushoto uvimbe uyeyuke

  • @angelalengutai8350
    @angelalengutai8350 7 месяцев назад +2

    Amen

  • @JoshuaHilgath
    @JoshuaHilgath 7 месяцев назад +2

    Amina

  • @asianamlay8248
    @asianamlay8248 3 месяца назад

    Amen 🙏🙏🙏

  • @butwawestonmwailubi
    @butwawestonmwailubi 7 месяцев назад

    Amen Amen ✝️✝️

  • @MagdalenaJoram-p3j
    @MagdalenaJoram-p3j 7 месяцев назад

    NAJIUNGAMANISHA NA MADHABAU

  • @ANETHNTIMBA
    @ANETHNTIMBA 7 месяцев назад +1

    Amen

  • @getrudejaphet2819
    @getrudejaphet2819 7 месяцев назад +1

    Amen

  • @eduulowassa4347
    @eduulowassa4347 7 месяцев назад +2

    Amen

  • @jescabahati4709
    @jescabahati4709 7 месяцев назад +2

    Amen

  • @franklinisaya4796
    @franklinisaya4796 7 месяцев назад +1

    Amina

  • @LucyMeela-ip8he
    @LucyMeela-ip8he 7 месяцев назад +1

    AMEN

  • @samsonkaminyoge8527
    @samsonkaminyoge8527 6 месяцев назад

    Amina

  • @jesusismyeverything1630
    @jesusismyeverything1630 7 месяцев назад

    Ameeen

  • @upendoelizabihu6314
    @upendoelizabihu6314 7 месяцев назад

    Amen

  • @jisraelel2334
    @jisraelel2334 7 месяцев назад

    AMEN