3. MBINU ZA KUSHINDA VITA VINAVYOKUJA VYA KIFIKRA KATIKA MIFUMO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: MBEYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Semina Ya Neno La Mungu Mbeya // Day 3 // Tarehe 25 Oktoba 2024
    .................................................................................................................
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
    M-PESA 0754 211 633
    0752 888 847
    TIGO-PESA 0715 511 633
    AIRTEL MONEY 0682 657 080
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
    WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _
    CRDB BANK
    ACC: 01J2032214400
    JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Комментарии • 39

  • @zadockkandenga
    @zadockkandenga 3 месяца назад +6

    Mwlm, Mungu aku zidishie maarifa zaidi ya kutafakari Neno.

  • @johnea3046
    @johnea3046 3 месяца назад +1

    Mwalimu anatupa madini kiasi kwamba hadi naogopa, Jina la Bwana Libarikiwe.😊

  • @betreaceparali9725
    @betreaceparali9725 2 месяца назад

    Asante mungu kwa kituletea mtu wa kutufundisha kwa hekima tusaidie kuelewa

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад +3

    Kwakweli mwalim Mwakasege baba hutadaiwa 😢
    Umefanya kazi kubwa kutuambia ,kutufundisha,kutuonya jmn 🙌
    Yaani mpk machozi yananitoka

  • @stellasilungwe1095
    @stellasilungwe1095 3 месяца назад +1

    Mungu wa mbinguni akubariki baba maana mafundisho yako yananifanya Mimi Kila siku yananitoa hatua moja kwenda nyingine, najifunza kusoma neno na kuliishi neno la Kristo ndani yangu, Namuomba Mungu azidi kunipa neema ya kulisoma neno lake,kulielewa na kuliishi....pia awabariki watumishi wote wa Mana kwa kazi nzuri Tena yenye baraka

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 3 месяца назад +1

    Asante Mungu kwa ajili ya mtumishi wako

  • @jesusislord8560
    @jesusislord8560 3 месяца назад +1

    Siri nzito, Mungu akuhifadhi kwa ajili yetu❤

  • @AngelaPeter-g2u
    @AngelaPeter-g2u 3 месяца назад +1

    Asante MUNGU wangu kakunifungua ki fikra.

  • @SarahMollel-ul5um
    @SarahMollel-ul5um 3 месяца назад

    Mungu asante kwa uduma ihi ya mana kwn imekuw fraja kwa watazania

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад +1

    Kweli baba wengi hatusomi neno
    Nimeona juzi uliposoma mstari wa ...kuwa kiongozi wa wajane tangu tumboni
    Tulipigiana mpk simu marafiki kadhaaa kila mtu anashangaa haujui huo msrtari😮
    Yesu tusaidie.
    Na kiukweli nimesoma sbb ya masomo yako, hasa vya agano la kale,unavyofundisha inafanya mtu awe interested kusoma!
    Ubarikiwe baba Yesu akutunze

  • @MaryProches
    @MaryProches 3 месяца назад +1

    Mwalimu hii ndio shida nimekuwa nikipitia sasa😭 kusoma neno ata kuomba ni changamoto kwangu, saa ingine naijiulz je hii imani niliyo nayo ni ya Mungu wa kweli? Sijui kwnn naumia sana.

  • @AgnesMgina-ud6ho
    @AgnesMgina-ud6ho 3 месяца назад +1

    Ubalikiwe mtumishi

  • @NiceAkundael
    @NiceAkundael 3 месяца назад +1

    Hakika Mungu nimwema barikiwa

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 3 месяца назад

    Mungu atukuzwe kwaajiri yako na yetu pia mwalim

  • @eunicekileo
    @eunicekileo 3 месяца назад

    ❤❤❤❤Uaminifu wako Mungu ni mkuu mno 🎉

  • @arubalydia224
    @arubalydia224 3 месяца назад +1

    Eti chura ni special meal 😂😂 baba Mungu azidishe miaka uishi SANAA ❤️🇰🇪🇸🇦

    • @jesusislord8560
      @jesusislord8560 3 месяца назад

      Imagine😅😅😅 hata wangesema nguruwe basi kama kuku hawajaona😅

    • @arubalydia224
      @arubalydia224 3 месяца назад

      @jesusislord8560 🤣🤣haya maisha yanazingua bna thoo

    • @jesusislord8560
      @jesusislord8560 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂​@@arubalydia224

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

    Yesu tusaidie
    Kwahiyo sshv inatakiwa umuulize Mungu nn mtt au we mwenyewe asomee huko chuo kabla hajaenda

  • @Mayianidan
    @Mayianidan 3 месяца назад +1

    YAWE YAWE WEMA AWAKO NI WAMIMILELE I'm from Kenya boder kilimanjaro

    • @arubalydia224
      @arubalydia224 3 месяца назад

      Naomba nitafute kuenda kwenye kongamano

  • @helendawai
    @helendawai 3 месяца назад

    Amen🙏

  • @VictorKahangwa
    @VictorKahangwa 3 месяца назад

    Uturehemu Bwana twaomba!

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 3 месяца назад

    Ameen ❤

  • @RevFridaSama
    @RevFridaSama 2 месяца назад

  • @AniaethMganyizi
    @AniaethMganyizi 3 месяца назад +1

    Asante mwalim ubalikiwe

  • @evarisaernest2146
    @evarisaernest2146 3 месяца назад

    AMEN

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 3 месяца назад

    Ameen

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

    Aiseee ss nimeelewa kwann unatakiwa ulijue neno kwa kusoma
    Maana km ndo wanabadirisha kidogo kidogo na hujui memo itafika mahali unasom akiti amba

  • @jovitacostas4172
    @jovitacostas4172 3 месяца назад

    1Kor 10:15

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

    😂😂 nimecheka huu ushuhuda wa chura🙌
    Kumbe kuna kufunga bila maombi nimecheka mimi😂😂😂

  • @anthonygondwe1608
    @anthonygondwe1608 3 месяца назад

    Lisiloghoshiwa🙏

  • @taturamadhan3621
    @taturamadhan3621 3 месяца назад

    Ameen🙏

  • @NeemaKanyasa
    @NeemaKanyasa 3 месяца назад

    Ameeen

  • @sebastian.asanteyesuwillia2425
    @sebastian.asanteyesuwillia2425 3 месяца назад

    Ameen

  • @GraceSichale
    @GraceSichale 3 месяца назад

    Ameen