Profesor Jay ft. Sholo Mwamba - Kazi Kazi Official Video

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Follow Me:
    Twitter: / professorjaytz
    Instagram: / professorjaytz
    Facebook: / professorjaytz

Комментарии • 359

  • @barzkitaa
    @barzkitaa 22 дня назад

    Singeli kama haikupigwa na Mesen Selekta siwezi kuiskiliza 🤝🤝

  • @haroonmarco490
    @haroonmarco490 Год назад +2

    Niwe mkweli tuuu, huyu sholo ni noma sana kwenye huu mziki, hii ngoma ni ngom pendwa kwangu miaka oote, huu ndio mziki sasa wa tz

  • @idrisaathumani4891
    @idrisaathumani4891 3 года назад +2

    Hili singeli la karne qmamake ✌🎶

  • @user-od3fv4zb8u
    @user-od3fv4zb8u 2 месяца назад +1

    Inawezekana kutoka homeless to millionaire

  • @lilianpeter3950
    @lilianpeter3950 Год назад +2

    Mungu akuponye urudi tena kazini bro 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @user-be8do1zz5o
    @user-be8do1zz5o 5 месяцев назад +4

    2024 mesen anapig bit aise so poa

  • @hassanimapanga7024
    @hassanimapanga7024 4 года назад +5

    2020 tujuane apa hili goma lilikua noma sana

  • @mwanakendra
    @mwanakendra 3 года назад +2

    Kazi safi 🔥🔥

  • @Tyger23ihhv
    @Tyger23ihhv Год назад +1

    Music 🔥 from soomalia 🇸🇴 2023

  • @kweziibrahim3374
    @kweziibrahim3374 8 лет назад +1

    duuuuuh prf j we nomaa bhanaaa ndo kazi yakooo iyooooo

  • @prolynenancie
    @prolynenancie 8 лет назад +1

    Kazi ni kazi brother...Kiswahili tu kiko sawa..

  • @muniracheusi9955
    @muniracheusi9955 Год назад +1

    Mungu akufanyie wepesi uinukiwe

  • @SweetAniimal
    @SweetAniimal 8 лет назад +9

    baada ya miezi mitatu, utakua haukamatiki huu wimbo🔥🔥🔥

  • @gaspakauki1718
    @gaspakauki1718 8 лет назад +5

    Kazi kazi
    Big up prof j.

  • @kiddyadams
    @kiddyadams 8 лет назад +3

    Wamitulinga toka geto hadi mjengoniii, ahahah singeli next level..Big brother kama kawa mh. Wazungu wanaicheza huku..chini kwa chini...very true lets live our dreams inawezekana.

  • @KissaDonald-lo9co
    @KissaDonald-lo9co Год назад +2

    Ngoma kali

  • @zkiduku4068
    @zkiduku4068 4 года назад +16

    kama unamkubali mbunge paka sasa 2020 gonga like twende sawa

  • @jonaskilomba4094
    @jonaskilomba4094 3 года назад +1

    Namkubali Jay mpaka kesho

  • @adbdulkadir.aden.5604
    @adbdulkadir.aden.5604 3 года назад

    254 namkubali process jy

  • @ajbakari762
    @ajbakari762 2 года назад +1

    Salute kwako zee la mitulinga, ujumbe umefika

  • @yusufjuma264
    @yusufjuma264 8 лет назад +14

    nice song Professor Jay wametulinga

  • @mikemnyamwezi7856
    @mikemnyamwezi7856 5 лет назад +1

    Hoi babaaaa..!

  • @e-tvnews9231
    @e-tvnews9231 Год назад +1

    Pona kamanda Wangu pona haraka baba

  • @richardmbwilo38
    @richardmbwilo38 3 года назад +1

    Upo vizuri sana kiongozi

  • @carterkb17
    @carterkb17 8 лет назад

    Tiiishaaa sanaa

  • @sospeterchambo6996
    @sospeterchambo6996 Год назад +1

    Wangap tumekuja kuichek hii ngoma baad ya kusikia plofes jey anaumwa san

  • @RoseMary-hp5bz
    @RoseMary-hp5bz 8 лет назад

    aaanhaa wanachezje sengelii

  • @haddysophiasson7530
    @haddysophiasson7530 8 лет назад +6

    hiphop singeli hiyo dah noma sana le professor

  • @innocentandrew7317
    @innocentandrew7317 8 лет назад +5

    🔥🔥🔥hatareeee hatareeee kisingeli ndo mziki we2!!kazi kazi kazi

  • @mamawanyumba103
    @mamawanyumba103 8 лет назад

    watu wa singeli sauti za fanana... nlifikiria manfongo

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 2 года назад +1

    Kile kidem cheny njano hatar san kweny chamgando🙄😍😍

  • @ibrahimshembilu8658
    @ibrahimshembilu8658 8 лет назад +1

    J and sholo ni noma

  • @mugishamutalemwa9191
    @mugishamutalemwa9191 8 лет назад +1

    Jasili hakosi asili mkuu... Kitaa mpaka mjengoni na bado upo kitaa na masela.... Big up bro

  • @omarbongo3975
    @omarbongo3975 8 лет назад +1

    Ukubwa kweli dawa.salute wa mitulinga🙌

  • @tompatel849
    @tompatel849 8 лет назад +1

    hii ngoma ni noma sana. naikubali mno na always prof Jay a.k.a the Great Sage,
    huwa hakosei na habahatishi hata kidogo. saafi sanaaa Honourable prof Jay(Mp).

  • @mamawanyumba103
    @mamawanyumba103 8 лет назад +4

    weee!!!!.....:'(hip hop ya kisingeli👌👌👌👌profjize umenishinda baba lol!... nimeipenda

  • @kaloymlambi8038
    @kaloymlambi8038 8 лет назад +5

    Kazi Kazi,maisha kama kioo ukisema haufeli,,,haufeli kweli

  • @martharobert44
    @martharobert44 8 лет назад +1

    profesor juuuuuuuuu yan ili gomaa ni xhgdaaa kaz kaz kaz

  • @sashalamar8215
    @sashalamar8215 8 лет назад +1

    nice one mheshimiwa nakuamini tangu

  • @runsheegmediaa5990
    @runsheegmediaa5990 3 года назад +3

    Greeting from 🇸🇴 somalia 🇸🇴

  • @AliHassan-ht7ug
    @AliHassan-ht7ug 8 лет назад +6

    I salute you from +254 wataelewa tu. Prof Jizze, ujumbe umepokelewa huo.

  • @elishasanga2604
    @elishasanga2604 8 лет назад +4

    hongera sana professor j kuwaamasisha vijana kupitia nyimbo wanazo zpenda

  • @richardmaxmilian7574
    @richardmaxmilian7574 8 лет назад +3

    daaah bonge la ngoma mpk choz linanitoka jinc nyimbo ilivyonikolea pig up jay

  • @gmsuya244
    @gmsuya244 8 лет назад +2

    Daaahhhhhh!!!!!!!
    aiseee hy video sasa
    @Msafiri unajua mpk unakera sasa
    big up sana
    bonge la ngoma

  • @abeldaniel4395
    @abeldaniel4395 8 лет назад

    Mziki MBAYA SANA prof....done

    • @sirialemmy37
      @sirialemmy37 8 лет назад +1

      mziki wa kisoro sana

    • @eddiejohnsen311
      @eddiejohnsen311 8 лет назад +1

      Siria Lemmy ndo tatizo la kukariri hilo

    • @fadhiliibrahim9702
      @fadhiliibrahim9702 7 лет назад +1

      Abel Daniel mbaya kivipi sema unataka wafanyaje waboreshe sio unakosoa afu unaishia hewani

  • @clementjackson60
    @clementjackson60 8 лет назад +1

    my African ppls

  • @mwinyimvuanzukwi1921
    @mwinyimvuanzukwi1921 7 лет назад

    Kweli kazi kazi. Big up mheshimiwa kwa kuendelea kuihubiria jamii zaidi ya watu wa mikumi. Ngoma ipo poa sana.

  • @georgeosodo616
    @georgeosodo616 8 лет назад +1

    Bonge la ngoma,safi sana mheshimiwa,safi sana sholo mwamba.

  • @briantusu.8938
    @briantusu.8938 8 лет назад

    professor kazini.....haya basi, wamwagie sumu.

  • @godfreychristopher4733
    @godfreychristopher4733 8 лет назад +1

    Singeli ndo habari ya mjini

  • @emmanuel17794
    @emmanuel17794 Год назад +2

    Yapita

  • @vianeyminja9430
    @vianeyminja9430 8 лет назад +1

    mensen selekta we ni shida hapa mjini... du!!! heshima yako jombaaaaa......

  • @tanchmogha2663
    @tanchmogha2663 8 лет назад

    daaah bro ivi niwewe daaah umeshusha siv kwa % kubwa

  • @antidiusrwehumbiza3960
    @antidiusrwehumbiza3960 8 лет назад

    kweli we prof...... idea mupya na ujumbe nimepata hakuna vya bure , ndoto zinafuatwa hazijileti eti wow!!!!!

  • @sirgomahojoa969
    @sirgomahojoa969 8 лет назад

    weraaaaaaaaaa kazi kazi mzazi kama unagetho mwanangu onesha funguo

  • @aminambarka9020
    @aminambarka9020 4 года назад +1

    Tuwekeee dude la uchaguzi boss

  • @mudaafricadance2581
    @mudaafricadance2581 8 лет назад

    Duh! upewe u proffessor officially!

  • @sandboyke
    @sandboyke 7 лет назад

    wamitulingaa,,,moto tayari ushaa uasha,,,zidi zaidi kuupepetea,uko juu bwana,from kenyan boy,sand boy.

  • @clementgeorge5486
    @clementgeorge5486 7 лет назад +3

    duh aisee pamoja sana sholo mwamba akiw na mwanaume wa mjengoni

  • @jildow4533
    @jildow4533 8 лет назад +1

    Hii ngoma nimehikubali sanaa na kuwatakiya mazuri Professor Jay ft Shiolo M..

  • @mauabahari
    @mauabahari 8 лет назад +2

    Hapa muheshimiwa ume malizaaa, ujumbe burudani yaani ni full package 👊👊

  • @p.b.mghettoking2597
    @p.b.mghettoking2597 8 лет назад +1

    lol!! watanzania bwana lol!! nyinyi ni noma mnakata mauno mpakaa.....mwaletea watu...!!!

  • @yusufjuma264
    @yusufjuma264 8 лет назад +1

    yani i really enjoy this song unapata ijumbe kabisa nyimbo inakufurahisha big up Muheshimiwa

  • @Xtrememusicincorperation
    @Xtrememusicincorperation 8 лет назад +1

    nakucheck Mr mp, love from Uganda

  • @nuumaniiddy6888
    @nuumaniiddy6888 8 лет назад

    kweliiii....kazi kazi kaziiiziiiu

  • @lmentertainment5186
    @lmentertainment5186 8 лет назад

    Mzee unapotea sasa,,,mi shabiki wako sana ndo mana nasema kweli,,, labda baadae itakaa vzr maskioni na machoni mwangu ila kwasasa duu

  • @manchuji3408
    @manchuji3408 8 лет назад

    Iko gud sana

  • @emanuelvintan9395
    @emanuelvintan9395 8 лет назад

    mesen heshima yakooooooooo, kwa ubunifu wakoo, singeli ndan ya internationally

  • @stanslauskayombo1801
    @stanslauskayombo1801 8 лет назад

    Vitu vizuri sio mpaka sauzi kumbe, Bonge ya Video

  • @kilagane183
    @kilagane183 8 лет назад +1

    saf sana ngoma kali, umekuja tofaut kabsa saf sana

  • @rashidijongo972
    @rashidijongo972 8 лет назад +6

    hatari sana brother.... salute professor Jay
    nimeelewa sana hii ngoma Kweli kazi kazi

  • @stanleymwaikambo1460
    @stanleymwaikambo1460 8 лет назад +3

    Bonge moja moja la joint, vide imetulia kinoma poa! Its all about Hip Hop! Creativeness is the sea

  • @bahathmsola2790
    @bahathmsola2790 8 лет назад

    prof yuko vizuri sana toka enzi hizo namkubali sana

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 8 лет назад

    Hii ni singeli ya kwanza mimi kuipenda sikuwwahi kupenda singeli ila hii imekua na ladha na ujumbe mzuri na imeshawishi vijana kuepukana na uhuni na kushawishi wafanye kazi, kila laheri mfike mbali kama Pr. J wa Mitulinga

  • @johmassawe2154
    @johmassawe2154 5 лет назад +1

    Nakubal sholo

  • @adbdulkadir.aden.5604
    @adbdulkadir.aden.5604 3 года назад

    Namkubali mbunge wa mikumi mkoa wa moro

  • @twahamtumbi6527
    @twahamtumbi6527 8 лет назад

    safi sana sholo na jay

  • @rashidsaid8973
    @rashidsaid8973 8 лет назад +3

    big up professor j, nice msg for Tanzanian guys,

  • @agyjimmy6262
    @agyjimmy6262 8 лет назад

    hatar sna..big up

  • @MtafutajiOnline
    @MtafutajiOnline 8 лет назад

    najua umeangalia wapi vijana wapo wengi kwasasa big up ila vp unabaki huko huko au

  • @carterkb17
    @carterkb17 8 лет назад +1

    #Mwendo wa singeli

  • @mariamunishi4123
    @mariamunishi4123 3 года назад +1

    Tujuane tuliorudi apa July 2021

  • @yusufjuma264
    @yusufjuma264 7 лет назад +11

    2017 and forever still hits
    Kazi kazi
    Hapa kazi tuu

  • @miltonemusumbah2544
    @miltonemusumbah2544 8 лет назад +1

    Huyu si yule prof tunajua. Vua suti, rudi pigs hip hop ya ukweli

  • @adammfinanga8233
    @adammfinanga8233 4 года назад +16

    The energy from Sholo Mwamba is amazing

  • @victormhaiki7633
    @victormhaiki7633 8 лет назад

    Ipo poa sna nyimbo km ikawa hv singeri itafika mbali big up prof j mzee wa mitulinga

  • @jamessospeter6010
    @jamessospeter6010 8 лет назад

    big up bro umegusa eneo muhimu kabisaaaa

  • @TheKEprince
    @TheKEprince 8 лет назад

    KE ,TZ kazi kazi... hii imetisha. this how u fuse hip hop with East African culture. kazi safi

  • @kaimbamustafa
    @kaimbamustafa 8 лет назад +5

    Hakuna kibaya hapo mi binfsi nimeupenda kunzia audio hadi video. Kuwa Kiongozi haimaanishi kusahau fani yko

  • @makwaruzomohamed2067
    @makwaruzomohamed2067 8 лет назад

    its good idea..umeona mbalii

  • @nambizzy1605
    @nambizzy1605 8 лет назад

    Kichupa chamaaaanaaaaa kiwapajoto watoto wadogo

  • @fidelehatunga9668
    @fidelehatunga9668 8 лет назад +7

    Omg this is too dope Jay, you never disappoint me 🔥💯

  • @loudentertainmentworld6181
    @loudentertainmentworld6181 8 лет назад +5

    Been A fan of Professor Jay since i can remember. From 254 Nairobi, BIG UP!!!!! Great Stuff

  • @rajabumwanaupanga4430
    @rajabumwanaupanga4430 8 лет назад

    Mzee wa mituringa profesa umetisha...

  • @adamjairos6815
    @adamjairos6815 8 лет назад

    hapa kweli kazi

  • @vianeyminja9430
    @vianeyminja9430 8 лет назад

    jay we ni shiiiiiidaaaaaa.....!!!!

  • @dkim7190
    @dkim7190 7 лет назад +3

    naikubali kweli hii ngoma!!!! KazI....kazi kazi kazi!

  • @neemapeter6009
    @neemapeter6009 7 лет назад +3

    Tupeni cha ukucha maisha magum piga kazi singeli naipenda sana hii

  • @frankmanga3721
    @frankmanga3721 8 лет назад

    kweli kaza kazi

  • @omarinhomoudy
    @omarinhomoudy 8 лет назад +1

    Kazi nzuri sana, nimependa ujumbe ni jambo la kuanza kuuujenga vyema huu muziki huwe ndio alama ya Taifa na sio kuwa taifa la kufata upepo
    mana miaka ya nyuma tulikuwa tunaiga miziki toka kwa hawa.....
    ~1990's ilikuwa ni Hip Hop ya America
    1992-1999 Congo Music/Awilo Koffi, Pepe Kale EXtra Musica
    2000-2007 Bongo flavor yenye mixer za Mamton
    2008-2014 - Kwaito
    2015- Up to date ni kuwaiga wanaigeria tu kuanzia beat mpaka uimbaji.... so huu ni ujinga
    mbona hawakuiga Taarabu wenzetu au mnanda....
    Tubadilike tuboreshe vyetu