Wamitulinga toka geto hadi mjengoniii, ahahah singeli next level..Big brother kama kawa mh. Wazungu wanaicheza huku..chini kwa chini...very true lets live our dreams inawezekana.
hii ngoma ni noma sana. naikubali mno na always prof Jay a.k.a the Great Sage, huwa hakosei na habahatishi hata kidogo. saafi sanaaa Honourable prof Jay(Mp).
Hii ni singeli ya kwanza mimi kuipenda sikuwwahi kupenda singeli ila hii imekua na ladha na ujumbe mzuri na imeshawishi vijana kuepukana na uhuni na kushawishi wafanye kazi, kila laheri mfike mbali kama Pr. J wa Mitulinga
Kazi nzuri sana, nimependa ujumbe ni jambo la kuanza kuuujenga vyema huu muziki huwe ndio alama ya Taifa na sio kuwa taifa la kufata upepo mana miaka ya nyuma tulikuwa tunaiga miziki toka kwa hawa..... ~1990's ilikuwa ni Hip Hop ya America 1992-1999 Congo Music/Awilo Koffi, Pepe Kale EXtra Musica 2000-2007 Bongo flavor yenye mixer za Mamton 2008-2014 - Kwaito 2015- Up to date ni kuwaiga wanaigeria tu kuanzia beat mpaka uimbaji.... so huu ni ujinga mbona hawakuiga Taarabu wenzetu au mnanda.... Tubadilike tuboreshe vyetu
Singeli kama haikupigwa na Mesen Selekta siwezi kuiskiliza 🤝🤝
Niwe mkweli tuuu, huyu sholo ni noma sana kwenye huu mziki, hii ngoma ni ngom pendwa kwangu miaka oote, huu ndio mziki sasa wa tz
Hili singeli la karne qmamake ✌🎶
Inawezekana kutoka homeless to millionaire
Mungu akuponye urudi tena kazini bro 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
2024 mesen anapig bit aise so poa
2020 tujuane apa hili goma lilikua noma sana
Kazi safi 🔥🔥
Music 🔥 from soomalia 🇸🇴 2023
duuuuuh prf j we nomaa bhanaaa ndo kazi yakooo iyooooo
Kazi ni kazi brother...Kiswahili tu kiko sawa..
Mungu akufanyie wepesi uinukiwe
baada ya miezi mitatu, utakua haukamatiki huu wimbo🔥🔥🔥
Kazi kazi
Big up prof j.
Wamitulinga toka geto hadi mjengoniii, ahahah singeli next level..Big brother kama kawa mh. Wazungu wanaicheza huku..chini kwa chini...very true lets live our dreams inawezekana.
Ngoma kali
kama unamkubali mbunge paka sasa 2020 gonga like twende sawa
Namkubali Jay mpaka kesho
254 namkubali process jy
Salute kwako zee la mitulinga, ujumbe umefika
nice song Professor Jay wametulinga
Hoi babaaaa..!
Pona kamanda Wangu pona haraka baba
Upo vizuri sana kiongozi
Tiiishaaa sanaa
Wangap tumekuja kuichek hii ngoma baad ya kusikia plofes jey anaumwa san
aaanhaa wanachezje sengelii
hiphop singeli hiyo dah noma sana le professor
🔥🔥🔥hatareeee hatareeee kisingeli ndo mziki we2!!kazi kazi kazi
watu wa singeli sauti za fanana... nlifikiria manfongo
hata mm nilijua man fongo
Kile kidem cheny njano hatar san kweny chamgando🙄😍😍
J and sholo ni noma
Jasili hakosi asili mkuu... Kitaa mpaka mjengoni na bado upo kitaa na masela.... Big up bro
Ukubwa kweli dawa.salute wa mitulinga🙌
hii ngoma ni noma sana. naikubali mno na always prof Jay a.k.a the Great Sage,
huwa hakosei na habahatishi hata kidogo. saafi sanaaa Honourable prof Jay(Mp).
weee!!!!.....:'(hip hop ya kisingeli👌👌👌👌profjize umenishinda baba lol!... nimeipenda
Kazi Kazi,maisha kama kioo ukisema haufeli,,,haufeli kweli
profesor juuuuuuuuu yan ili gomaa ni xhgdaaa kaz kaz kaz
nice one mheshimiwa nakuamini tangu
Greeting from 🇸🇴 somalia 🇸🇴
I salute you from +254 wataelewa tu. Prof Jizze, ujumbe umepokelewa huo.
hongera sana professor j kuwaamasisha vijana kupitia nyimbo wanazo zpenda
daaah bonge la ngoma mpk choz linanitoka jinc nyimbo ilivyonikolea pig up jay
Daaahhhhhh!!!!!!!
aiseee hy video sasa
@Msafiri unajua mpk unakera sasa
big up sana
bonge la ngoma
Mziki MBAYA SANA prof....done
mziki wa kisoro sana
Siria Lemmy ndo tatizo la kukariri hilo
Abel Daniel mbaya kivipi sema unataka wafanyaje waboreshe sio unakosoa afu unaishia hewani
my African ppls
Kweli kazi kazi. Big up mheshimiwa kwa kuendelea kuihubiria jamii zaidi ya watu wa mikumi. Ngoma ipo poa sana.
Bonge la ngoma,safi sana mheshimiwa,safi sana sholo mwamba.
professor kazini.....haya basi, wamwagie sumu.
Singeli ndo habari ya mjini
Yapita
mensen selekta we ni shida hapa mjini... du!!! heshima yako jombaaaaa......
daaah bro ivi niwewe daaah umeshusha siv kwa % kubwa
kweli we prof...... idea mupya na ujumbe nimepata hakuna vya bure , ndoto zinafuatwa hazijileti eti wow!!!!!
weraaaaaaaaaa kazi kazi mzazi kama unagetho mwanangu onesha funguo
Tuwekeee dude la uchaguzi boss
Duh! upewe u proffessor officially!
wamitulingaa,,,moto tayari ushaa uasha,,,zidi zaidi kuupepetea,uko juu bwana,from kenyan boy,sand boy.
duh aisee pamoja sana sholo mwamba akiw na mwanaume wa mjengoni
Hii ngoma nimehikubali sanaa na kuwatakiya mazuri Professor Jay ft Shiolo M..
Hapa muheshimiwa ume malizaaa, ujumbe burudani yaani ni full package 👊👊
lol!! watanzania bwana lol!! nyinyi ni noma mnakata mauno mpakaa.....mwaletea watu...!!!
yani i really enjoy this song unapata ijumbe kabisa nyimbo inakufurahisha big up Muheshimiwa
nakucheck Mr mp, love from Uganda
kweliiii....kazi kazi kaziiiziiiu
Mzee unapotea sasa,,,mi shabiki wako sana ndo mana nasema kweli,,, labda baadae itakaa vzr maskioni na machoni mwangu ila kwasasa duu
Iko gud sana
mesen heshima yakooooooooo, kwa ubunifu wakoo, singeli ndan ya internationally
Vitu vizuri sio mpaka sauzi kumbe, Bonge ya Video
saf sana ngoma kali, umekuja tofaut kabsa saf sana
hatari sana brother.... salute professor Jay
nimeelewa sana hii ngoma Kweli kazi kazi
Bonge moja moja la joint, vide imetulia kinoma poa! Its all about Hip Hop! Creativeness is the sea
prof yuko vizuri sana toka enzi hizo namkubali sana
Hii ni singeli ya kwanza mimi kuipenda sikuwwahi kupenda singeli ila hii imekua na ladha na ujumbe mzuri na imeshawishi vijana kuepukana na uhuni na kushawishi wafanye kazi, kila laheri mfike mbali kama Pr. J wa Mitulinga
Nakubal sholo
Namkubali mbunge wa mikumi mkoa wa moro
safi sana sholo na jay
big up professor j, nice msg for Tanzanian guys,
hatar sna..big up
najua umeangalia wapi vijana wapo wengi kwasasa big up ila vp unabaki huko huko au
#Mwendo wa singeli
Tujuane tuliorudi apa July 2021
2017 and forever still hits
Kazi kazi
Hapa kazi tuu
Huyu si yule prof tunajua. Vua suti, rudi pigs hip hop ya ukweli
The energy from Sholo Mwamba is amazing
Zuri
Jmbo KALI UNYAMA MWNG
ok skuiz cjuw sholo kafia wp daah🤔
Ipo poa sna nyimbo km ikawa hv singeri itafika mbali big up prof j mzee wa mitulinga
big up bro umegusa eneo muhimu kabisaaaa
KE ,TZ kazi kazi... hii imetisha. this how u fuse hip hop with East African culture. kazi safi
Hakuna kibaya hapo mi binfsi nimeupenda kunzia audio hadi video. Kuwa Kiongozi haimaanishi kusahau fani yko
its good idea..umeona mbalii
Kichupa chamaaaanaaaaa kiwapajoto watoto wadogo
Omg this is too dope Jay, you never disappoint me 🔥💯
Been A fan of Professor Jay since i can remember. From 254 Nairobi, BIG UP!!!!! Great Stuff
Mzee wa mituringa profesa umetisha...
hapa kweli kazi
jay we ni shiiiiiidaaaaaa.....!!!!
naikubali kweli hii ngoma!!!! KazI....kazi kazi kazi!
Tupeni cha ukucha maisha magum piga kazi singeli naipenda sana hii
kweli kaza kazi
Kazi nzuri sana, nimependa ujumbe ni jambo la kuanza kuuujenga vyema huu muziki huwe ndio alama ya Taifa na sio kuwa taifa la kufata upepo
mana miaka ya nyuma tulikuwa tunaiga miziki toka kwa hawa.....
~1990's ilikuwa ni Hip Hop ya America
1992-1999 Congo Music/Awilo Koffi, Pepe Kale EXtra Musica
2000-2007 Bongo flavor yenye mixer za Mamton
2008-2014 - Kwaito
2015- Up to date ni kuwaiga wanaigeria tu kuanzia beat mpaka uimbaji.... so huu ni ujinga
mbona hawakuiga Taarabu wenzetu au mnanda....
Tubadilike tuboreshe vyetu