MHE. DKT. NCHEMBA AWAAGA RAIS WA BURUNDI NA RAIS WA SUDANI KUSINI BAADA YA MKUTANO MKOANI ARUSHA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 ноя 2023
  • Mhe. Dkt. Nchemba awaaga Rais wa Burundi, Mhe. Evariste Ndayishimiye na Rais wa Sudani Kusini, Mhe. Salva Kiir, baada ya kuhudhuria Mkutano wa 23 wa Viongozi Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, uliofanyika, Mkoani Arusha.

Комментарии • 1

  • @ayubuenos773
    @ayubuenos773 7 месяцев назад

    Vile naiona kesho ya 😊😊😊