Mwigulu Nchemba Amlipua Mpina I Amesma Mpina Anafurahia Akiona Watu Wanaumia
HTML-код
- Опубликовано: 25 июн 2023
- Waziri wa Fedha na Mipango amesema kuwa Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, aliwataka waache utaratibu kufungia Bishara au shughuli za uzalishaji lakini ameshangazwa na Mbunge wa Kisesa Mhe. Mpina Luhaga ambaye anaona jambo hilo halina maana kwa sababu yeye anafurahia akiona watu wakiumia
Mhe. Dkt. Mwigulu amesema kuwa Mhe. Mpina anaona jambo hilo la Mama kama halina maana kwa sababu anafurahia akiona watu wanateseka ndio maana wakati alipokuwa Waziri alikuwa anachoma nyavu za Wavuvi na kufunga viwanda.
Endelea kuperuzi kurasa za zetu za mitandao ya kijamii na kutembelea akaunti yetu ya RUclips “Clouds Media” ili upate updates zote za Bunge.
#KutokaBungeni
#7bisha
#CloudsDigitalUpdates - Спорт
Safi sana waziri.tra waache kufunga account za watu kwa madeni ya vat ambayo uukidaiwa utalipa tu wao funga account na kufunga mashine za efd
Well done shemeji
Mwigulu ni kichaa aliyelewa madaraka..
Kwanini kwa hapo kakosea wap
Mpina Ana shida
bas ww sio mfatiliaji ...