Mwigulu amvaa Mpina asema alifanya sherehe kwa kuchoma nyavu
HTML-код
- Опубликовано: 25 июн 2023
- Waziri wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba ametumia muda mwingi kumshambulia Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina kuhusiana na hoja yake ya kupinga biashara zisifungwe kwa wamiliki wanaodaiwa kodi.
Dk Mwigulu amesema hayo leo Jumatatu Juni 26, 2023 wakati akihitimisha hoja yake ya bajeti kuu Serikali kwa mwaka 2023/24.
Akimjibu Dk Mwigulu amemweleza Mpina sio ubingwa wala ustaarabu kupinga kila kitu na kwamba yeye anamwelewa sana Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu suala la kuzifunga biashara.
Amesema kama mbunge hajaelewa ni bora kuuliza wabunge wenzake ili kuepuka aibu ya kupinga kila kitu.
Wewe hufai kwenye wizara. Mzingo kwa serikari.
Mwigulu akili hauna kweli mpina kakosea nini
Huyu waziri anadhani anaongoza wanyaturu wenzake😅😅😅😅
Alipowaambia watu waende wakaishi Burundi aliona anafanya vizuri
Acha kutuzuga mwigulu ss watu wa kanda ya ziwa tunamkubali mpina sababu saidia sana kuongezeka kwa samaki katika maziwa yetu hata ss wenye uwezo wa chini tulimudu kununua kitoweo cha samaki lakini leo hii samaki kwenye maziwa yetu wamepingua kwa sababu mambo yamerudi kama zamani mwendo wa uvuvi haramu harafu unamsema vibaya mpina kwa lipi acha hizo mwigulu jibu hoja za mpina
Hujajibu hoja Mwiguru umepuyanga 🤣🤣🤣🤣
Kelele tu, labda kwA vile mke na binti yake walikuwepo aliona amtambie luhaga
Unaziba hoja zilizopo mezani kwa kisingizio cha mpina jibu hoja zake kwa sasa yale ya mpina na nyavu yalipita.
Kama unauchungu na sisi watanzania fanya VAT iwe mauzo bilioni moja kuliko kutukimbiza na mauzo ya million Mia moja
Mpina yuko juu utapasuka musamba
Leo kaona ka point mpina katereza sasa ndo anaogerea kama bata mzinga😂😂😂😂Kama msomi mwenye phd huwezi kukaa kusemea kaneno kamoja kwenye point mia za mtu
Leo mheshiwa waziri umeongea points za msingi sana kwa muelewa atakuwa amekuelewa sana
Mpina hajapinga mjibu kwa hoja na sheria za nchi
Mpina kashasema uelewa na usikivu wa mwigulu upo chini. achA mpina aendelee kuchapa kazi
Mindset mbovu sana Huyu amepataje uwaziri na Udokta maana ni kichwa panzi
Doctor wa mchongo bora hata musukuma
Mm mpina naona ndio mbunge Wang yaaan uyo jamaaa yupo care sanaaa
Mpina jiandae kwenda chadema maana utakatwa
Acha kuharibu sifa ya mwenzio.Mbona ulikuwa umenyamza mpaka rais ndio umeiingilia kati.
Wow! Doctor safiiiiii
wazir hebu jikite kwenye hoja, acha chuki binafsi ,mpina anaongea wa nidhamu kubwa sana
Safi sana.Umeeleweka vizuri sana Dr.
Jibu hoja sio mpina
Kwakweli Mwigulu ni katika Mawaziri wa hovyo waliowahi kupewa nafasi kuongoza, hivi Samia S. Hasan ananufaika kipi hasa kutoka kwa mtu huyu wa hovyo?
Mpina kabila gani? Magufuli alisema,alimtafuta waziri Chizi wa uvuvi,ndio akampata Mpina,akaanza kuchoma nyavu, kupima samaki hata bunge lilipigwa faini. Leo amedhulumu ardhi ya watu morogoro.
WW mwingulu acha ujinga kiukweli WW hufaii kuwa wazili WW ndo mwizi MKUBWA
My challenge Iko kwenye kumwekea Rais maneno kinywani kwamba amesema au anataka ....
dah huyu jamaa amejua kujificha kwa mama, hebu jaribu kumjibu Mpina kwa maswali aliyokuwa anakuuliza maana wewe unalalamika tu , yaniungejua tunavyomuelewa Mpina hatausinge mpakazia hivyo maana wew ndo kilusi wa Nchi hii na genge lako Ila Mungu anawaona na Watanzania tunawaona
We jibu hoja za wabunge sio mpina,majibu ya mikopo inayokopwa,kero za cig,na mengineyo usijifiche kwa rais
Hivi kukua kumbe inachukua muda mrefu sana🤔.
Mbn wengine had mauti huwa inawakuta hawajakua, huyu nae kashachelewa kukua😂
Stick to your points nyavu na viwanda then what
Wote mnajenga Nyumba moja yanini kugombea fito?
TANGU MKUTANO WA WAFANYABIASHARA BAADA YA KUA ATTACKED BY WANANCHI SASA AMEANZA KUJITAMBUA WAZIRI WAFEDHA
Uongozi wangu ningemtumbua
Duh zero brain badala ya kujib hoja we unakomaa na madhaifu ya mkosoaji wako
Mmenikosha Mwananchi Digital Mwigulu is useless
Acha ngonjera, nyavu haram haziruhusiw nchin kulingana na mujibu wa katiba yetu, kasome ujikumbushe acha kutetea ujinga pia acha kujificha kwenye kivur cha rais
🎉uongo
Acheni mabif yenu. Too much malumbano.
Good. leo kidogo nakuelewa
Mpina anaona wivu kuukosa uwaziri
Swala la mizigo,swala kodi moja mfano kwenye vyakula sio kila mmoja anakwenda kukusanya nimekuelewa na kukusapport
Safi sana Mhe Mwigulu
Wewe na mpina kila mtu ana bifu na mwenzake
Msamehe tu Mpina atakuwa hajawahi kufanya biashara au kujiajiri
Anaongopa
Hao ndio wele walikuwa wanaongozwa na mkono wa chuma
🎉😢fhrgoso
Mwigulu hapa naona akili yako inaanza kuchambua pumba na mchele ongera ila ujue gendere wa biashara ni hawa vijana wa TRA tafadhali wakemee wasije wakarudia tena wakome