Mwigulu amvaa Mpina asema alifanya sherehe kwa kuchoma nyavu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 июн 2023
  • Waziri wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba ametumia muda mwingi kumshambulia Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina kuhusiana na hoja yake ya kupinga biashara zisifungwe kwa wamiliki wanaodaiwa kodi.
    Dk Mwigulu amesema hayo leo Jumatatu Juni 26, 2023 wakati akihitimisha hoja yake ya bajeti kuu Serikali kwa mwaka 2023/24.
    Akimjibu Dk Mwigulu amemweleza Mpina sio ubingwa wala ustaarabu kupinga kila kitu na kwamba yeye anamwelewa sana Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu suala la kuzifunga biashara.
    Amesema kama mbunge hajaelewa ni bora kuuliza wabunge wenzake ili kuepuka aibu ya kupinga kila kitu.

Комментарии • 51

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Год назад +2

    Wewe hufai kwenye wizara. Mzingo kwa serikari.

  • @georgebajuty7549
    @georgebajuty7549 Год назад +2

    Mwigulu akili hauna kweli mpina kakosea nini

  • @realswahilicultural8140
    @realswahilicultural8140 Год назад +2

    Huyu waziri anadhani anaongoza wanyaturu wenzake😅😅😅😅

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Год назад +2

    Alipowaambia watu waende wakaishi Burundi aliona anafanya vizuri

  • @SilvesterRaphael-xb6it
    @SilvesterRaphael-xb6it Год назад +2

    Acha kutuzuga mwigulu ss watu wa kanda ya ziwa tunamkubali mpina sababu saidia sana kuongezeka kwa samaki katika maziwa yetu hata ss wenye uwezo wa chini tulimudu kununua kitoweo cha samaki lakini leo hii samaki kwenye maziwa yetu wamepingua kwa sababu mambo yamerudi kama zamani mwendo wa uvuvi haramu harafu unamsema vibaya mpina kwa lipi acha hizo mwigulu jibu hoja za mpina

  • @desolz3809
    @desolz3809 Год назад +2

    Hujajibu hoja Mwiguru umepuyanga 🤣🤣🤣🤣

    • @kunyaobelela4062
      @kunyaobelela4062 Год назад

      Kelele tu, labda kwA vile mke na binti yake walikuwepo aliona amtambie luhaga

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Год назад +2

    Unaziba hoja zilizopo mezani kwa kisingizio cha mpina jibu hoja zake kwa sasa yale ya mpina na nyavu yalipita.
    Kama unauchungu na sisi watanzania fanya VAT iwe mauzo bilioni moja kuliko kutukimbiza na mauzo ya million Mia moja

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Год назад +4

    Mpina yuko juu utapasuka musamba

  • @ejidemaswalikinoja5643
    @ejidemaswalikinoja5643 Год назад +2

    Leo kaona ka point mpina katereza sasa ndo anaogerea kama bata mzinga😂😂😂😂Kama msomi mwenye phd huwezi kukaa kusemea kaneno kamoja kwenye point mia za mtu

  • @donaldmarco576
    @donaldmarco576 Год назад +4

    Leo mheshiwa waziri umeongea points za msingi sana kwa muelewa atakuwa amekuelewa sana

  • @reganmartin5485
    @reganmartin5485 Год назад +1

    Mpina hajapinga mjibu kwa hoja na sheria za nchi

    • @kunyaobelela4062
      @kunyaobelela4062 Год назад

      Mpina kashasema uelewa na usikivu wa mwigulu upo chini. achA mpina aendelee kuchapa kazi

  • @pamaco_wa_viwanda
    @pamaco_wa_viwanda Год назад +1

    Mindset mbovu sana Huyu amepataje uwaziri na Udokta maana ni kichwa panzi

  • @christianmwashala9760
    @christianmwashala9760 Год назад +1

    Mm mpina naona ndio mbunge Wang yaaan uyo jamaaa yupo care sanaaa

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 Год назад +1

    Mpina jiandae kwenda chadema maana utakatwa

  • @mshombozimbanda3418
    @mshombozimbanda3418 10 месяцев назад

    Acha kuharibu sifa ya mwenzio.Mbona ulikuwa umenyamza mpaka rais ndio umeiingilia kati.

  • @simonkitaly9767
    @simonkitaly9767 Год назад +1

    Wow! Doctor safiiiiii

  • @alexanderjey257
    @alexanderjey257 Год назад

    wazir hebu jikite kwenye hoja, acha chuki binafsi ,mpina anaongea wa nidhamu kubwa sana

  • @oscarkitime2698
    @oscarkitime2698 Год назад +1

    Safi sana.Umeeleweka vizuri sana Dr.

  • @hamismwangwale563
    @hamismwangwale563 Год назад +1

    Jibu hoja sio mpina

  • @ramdanmbara8500
    @ramdanmbara8500 Год назад

    Kwakweli Mwigulu ni katika Mawaziri wa hovyo waliowahi kupewa nafasi kuongoza, hivi Samia S. Hasan ananufaika kipi hasa kutoka kwa mtu huyu wa hovyo?

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 Год назад

    Mpina kabila gani? Magufuli alisema,alimtafuta waziri Chizi wa uvuvi,ndio akampata Mpina,akaanza kuchoma nyavu, kupima samaki hata bunge lilipigwa faini. Leo amedhulumu ardhi ya watu morogoro.

  • @hollojuma9538
    @hollojuma9538 10 месяцев назад

    WW mwingulu acha ujinga kiukweli WW hufaii kuwa wazili WW ndo mwizi MKUBWA

  • @simonkitaly9767
    @simonkitaly9767 Год назад +3

    My challenge Iko kwenye kumwekea Rais maneno kinywani kwamba amesema au anataka ....

  • @barakaothumani6421
    @barakaothumani6421 Год назад

    dah huyu jamaa amejua kujificha kwa mama, hebu jaribu kumjibu Mpina kwa maswali aliyokuwa anakuuliza maana wewe unalalamika tu , yaniungejua tunavyomuelewa Mpina hatausinge mpakazia hivyo maana wew ndo kilusi wa Nchi hii na genge lako Ila Mungu anawaona na Watanzania tunawaona

  • @emmanueliman7408
    @emmanueliman7408 Год назад

    We jibu hoja za wabunge sio mpina,majibu ya mikopo inayokopwa,kero za cig,na mengineyo usijifiche kwa rais

  • @zacharialameck1980
    @zacharialameck1980 Год назад

    Hivi kukua kumbe inachukua muda mrefu sana🤔.

    • @kunyaobelela4062
      @kunyaobelela4062 Год назад

      Mbn wengine had mauti huwa inawakuta hawajakua, huyu nae kashachelewa kukua😂

  • @kunyaobelela4062
    @kunyaobelela4062 Год назад

    Stick to your points nyavu na viwanda then what

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 Год назад

    Wote mnajenga Nyumba moja yanini kugombea fito?

  • @BRYNGROUP
    @BRYNGROUP Год назад +1

    TANGU MKUTANO WA WAFANYABIASHARA BAADA YA KUA ATTACKED BY WANANCHI SASA AMEANZA KUJITAMBUA WAZIRI WAFEDHA

  • @theleo3899
    @theleo3899 Год назад

    Duh zero brain badala ya kujib hoja we unakomaa na madhaifu ya mkosoaji wako

  • @pamaco_wa_viwanda
    @pamaco_wa_viwanda Год назад

    Mmenikosha Mwananchi Digital Mwigulu is useless

  • @sadickbudoda4361
    @sadickbudoda4361 Год назад

    Acha ngonjera, nyavu haram haziruhusiw nchin kulingana na mujibu wa katiba yetu, kasome ujikumbushe acha kutetea ujinga pia acha kujificha kwenye kivur cha rais

  • @saramwanagamilo4429
    @saramwanagamilo4429 Год назад +2

    🎉uongo

  • @victoriamazula5592
    @victoriamazula5592 Год назад

    Acheni mabif yenu. Too much malumbano.

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc8941 Год назад +1

    Good. leo kidogo nakuelewa

  • @2003hintay
    @2003hintay Год назад +3

    Mpina anaona wivu kuukosa uwaziri

  • @peterbalyagati7834
    @peterbalyagati7834 Год назад +1

    Swala la mizigo,swala kodi moja mfano kwenye vyakula sio kila mmoja anakwenda kukusanya nimekuelewa na kukusapport

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Год назад

    Safi sana Mhe Mwigulu

  • @mhifadhi797
    @mhifadhi797 Год назад

    Wewe na mpina kila mtu ana bifu na mwenzake

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Год назад

    Msamehe tu Mpina atakuwa hajawahi kufanya biashara au kujiajiri

  • @saramwanagamilo4429
    @saramwanagamilo4429 Год назад

    Anaongopa

  • @froma3732
    @froma3732 Год назад

    Hao ndio wele walikuwa wanaongozwa na mkono wa chuma

  • @saramwanagamilo4429
    @saramwanagamilo4429 Год назад

    🎉😢fhrgoso

  • @peterrandego1489
    @peterrandego1489 Год назад

    Mwigulu hapa naona akili yako inaanza kuchambua pumba na mchele ongera ila ujue gendere wa biashara ni hawa vijana wa TRA tafadhali wakemee wasije wakarudia tena wakome