WAZIRI MWIGULU AMJIBU HALIMA MDEE“HUU URAFIKI UNATUPONZA” AMTAJA MBUNGE MPINA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2023
  • Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba akijibu hoja za wabunge kuhusu muswada wa sheria ya ununuzi wa umma wa mwaka 2023

Комментарии • 6

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 10 месяцев назад

    Yaan wew mzee wew

  • @AsteriaYusuph-sy8ki
    @AsteriaYusuph-sy8ki 10 месяцев назад +1

    Fanyen mtakavyo tu ila mwisho wa cku kuna kifo na nyie mbwa mtakufa tu

  • @avitrugakingirajr1669
    @avitrugakingirajr1669 10 месяцев назад

    Mbona unapata kigugumizi kujibu maswali weye unabifu na mpina acha utoto

  • @mabalanyerere1541
    @mabalanyerere1541 10 месяцев назад

    Kama wazir unataka watanzania wafurahi namatunda yao mfunte mkataba wa bandar kidogo ccm yangu nitaendelea kuiamini Kama ulivo sema Tanzania inaendesho na sheliya kwann bandali yetu mnaitowa mbira kuzigatia sheliya zetu za Tanzania bandari ifutwe mkataba hautuutaki ?

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 10 месяцев назад

    🤣🤣🤣🤣🤣 Tumeibeba Tanzania moyon na shingon

  • @user-bz7zt8np8m
    @user-bz7zt8np8m 10 месяцев назад +1

    Tunapaswa kuimini Serikali