![Hazina TV - Wizara ya Fedha](/img/default-banner.jpg)
- Видео 151
- Просмотров 45 440
Hazina TV - Wizara ya Fedha
Добавлен 12 май 2021
Karibu kwenye Ukurasa Rasmi wa Wizara ya Fedha. #mofURT #urtmof
Видео
DKT NCHEMBA AKIJIBU HOJA ZA BAJETI KUU 2024/2025 BUNGENI DODOMA
Просмотров 68414 часов назад
DKT NCHEMBA AKIJIBU HOJA ZA BAJETI KUU 2024/2025 BUNGENI DODOMA
MHE. CHANDE AKIZUNGUMZA BUNGENI WAKATI WA KUHITIMISHA BAJETI KUU YA SERIKALI 2024/25
Просмотров 20716 часов назад
MHE. CHANDE AKIZUNGUMZA BUNGENI WAKATI WA KUHITIMISHA BAJETI KUU YA SERIKALI 2024/25
DKT. NCHEMBA AWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO KUWA SERIKALI INAWATHAMINI
Просмотров 2,9 тыс.19 часов назад
DKT. NCHEMBA AWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO KUWA SERIKALI INAWATHAMINI
SERIKALI YASITISHA ZOEZI LA UKAGUZI WA RISITI KARIAKOO
Просмотров 6 тыс.19 часов назад
SERIKALI imesitisha zoezi la ukaguzi wa risiti za Kielekroniki (EFD) na ritani za kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), iliyokuwa ikifanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania kupitia mkoa wa kikodi wa Kariakoo, Jijini Dar es Salaam, wakati ukiandaliwa utaratibu mzuri wa utekelezaji wa suala hilo katika Soko Kuu la Kimataifa la Kariakoo. Hayo yamesemwa kwa niaba ya Serikali, jijini Dodoma, na Waziri wa ...
HOTUBA YA BAJETI KUU YA SERIKALI 2024/25
Просмотров 10221 час назад
HOTUBA YA BAJETI KUU YA SERIKALI 2024/25
DKT NCHEMBA - TRA WANATEKELEZA SHERIA ZILIZOTUNGWA NA BUNGE
Просмотров 7628 дней назад
DKT NCHEMBA - TRA WANATEKELEZA SHERIA ZILIZOTUNGWA NA BUNGE
HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA KWA MWAKA 2024-25
Просмотров 2,5 тыс.28 дней назад
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), ameliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuiidhinishia Wizara yake mapato na matumizi ya jumla ya shilingi trilioni 18.17 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na maendeleo kwa mafungu yake nane (8) ya kibajeti. Dkt. Nchemba alitoa maombi hayo wakati akiwasilisha Bajeti ya Wizara ya Fedha Jijini Dodoma, ili iweze kutekeleza vipaumbele vyake...
DKT NCHEMBA AZINDUA MFUMO WA KIELETRONIKI WA FORODHA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
Просмотров 448Месяц назад
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amewaongoza Mawaziri wa Nchi nyingine wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika uzinduzi wa Mfumo wa Kielektroniki (EAC e-Tariff Software), utakaorahisisha upatikanaji wa taarifa mbalimbali za kiforodha. Uzinduzi huo umefanyika wakati wa Mkutano wa 44 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la Jumuiy...
FILAMU KUHUSU ELIMU YA FEDHA KWA UMMA
Просмотров 1,6 тыс.Месяц назад
FILAMU HII IMEANDALIWA NA WIZARA YA FEDHA KWA AJILI YA UTOAJI WA ELIMU YA FEDHA KWA UMMA. FILAMU HII IMEBEBA MAUDHUI KUHUSU; 1. MATUMIZI YA FEDHA BINAFSI 2. MIKOPO ( VICOBA VISIVYO RASMI ) 3. UMUHIMU WA BAJETI 4. KUPANGA MAISHA YA KUSTAAFU NA UMUHIMU WA BIMA.
SHIRIKA LA BIMA LA CHINA LAWEKA NIA UGHARAMIAJI RELI YA KISASA - SGR
Просмотров 541Месяц назад
Shirika la Bima la China - (China Export and Credit Insurance Corporation (SINOSURE) linaendelea na taratibu za upatikanaji fedha za kugharamia ujenzi wa Kipande cha Tano cha Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Isaka hadi Mwanza chenye urefu wa Kilomita 341 na kuonesha nia ya kusaidia upatikanaji fedha za ujenzi wa kipande cha sita cha ujenzi wa Reli hiyo kutoka Tabora hadi Kigoma chenye urefu wa zaidi...
DKT. NCHEMBA AONGOZA MKUTANO WA 16 WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI EAC
Просмотров 412Месяц назад
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) ameongoza Mkutano wa 16 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Fedha na Uchumi (SCFEA) na mkutano wa Mashauriano ya Kibajeti wa Mawaziri wa Fedha na Uchumi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwa niaba ya Waziri wa Fedha na Mipango wa Sudani Kusini, Mhe. Mhandisi Awow Daniel Chuang Deng, ambaye ndiye Mwenyekiti wa sasa wa Baraza hilo, unaofanyika tarehe ...
IMF YARIDHISHWA NA NAMNA TANZANIA INAVYOTEKELEZA MPANGO WA ECF.
Просмотров 421Месяц назад
IMF YARIDHISHWA NA NAMNA TANZANIA INAVYOTEKELEZA MPANGO WA ECF.
DKT NCHEMBA: WANANCHI WA KIPUNGUNI KULIPWA FIDIA
Просмотров 4632 месяца назад
DKT NCHEMBA: WANANCHI WA KIPUNGUNI KULIPWA FIDIA
UJERUMANI YAAHIDI KUSAIDIA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NCHINI
Просмотров 393 месяца назад
UJERUMANI YAAHIDI KUSAIDIA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NCHINI
DKT. NCHEMBA AFAFANUA TAARIFA YA UKOMO WA BAJETI 2024 2025
Просмотров 1373 месяца назад
DKT. NCHEMBA AFAFANUA TAARIFA YA UKOMO WA BAJETI 2024 2025
NCHI ZA AFRIKA ZAKUBALIANA KUTUMIA TEKNOLOJIA KUONGEZA MAPATO
Просмотров 753 месяца назад
NCHI ZA AFRIKA ZAKUBALIANA KUTUMIA TEKNOLOJIA KUONGEZA MAPATO
DKT NCHEMBA ANA KWA ANA NA MAKAMU WA RAIS WA AfDB
Просмотров 394 месяца назад
DKT NCHEMBA ANA KWA ANA NA MAKAMU WA RAIS WA AfDB
DKT. NCHEMBA ATETA NA UONGOZI WA GGM
Просмотров 935 месяцев назад
DKT. NCHEMBA ATETA NA UONGOZI WA GGM
WIZARA YA FEDHA YAANZA KUTOA ELIMU YA FEDHA KWA UMMA KUPITIA SANAA
Просмотров 2085 месяцев назад
WIZARA YA FEDHA YAANZA KUTOA ELIMU YA FEDHA KWA UMMA KUPITIA SANAA
FAHAMU JINSI UBIA KATI YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI UNAVYOWEZA KUKUZA UCHUMI KWA HARAKA
Просмотров 675 месяцев назад
FAHAMU JINSI UBIA KATI YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI UNAVYOWEZA KUKUZA UCHUMI KWA HARAKA
CEF - ZANZIBAR, YUSUF IBRAHIM MESSAGE TO THE WORLD BANK'S IDA20 MID TERM REVIEW MEETING PARTICIPANTS
Просмотров 646 месяцев назад
CEF - ZANZIBAR, YUSUF IBRAHIM MESSAGE TO THE WORLD BANK'S IDA20 MID TERM REVIEW MEETING PARTICIPANTS
MHE. DKT. SAADA MKUYA - TANZANIA IPO TAYARI KWA MKUTANO WA BENKI YA DUNIA (IDA20 MID-TERM REVIEW).
Просмотров 966 месяцев назад
MHE. DKT. SAADA MKUYA - TANZANIA IPO TAYARI KWA MKUTANO WA BENKI YA DUNIA (IDA20 MID-TERM REVIEW).
BELETE : ZANZIBAR IS READY FOR THE WORLD BANK'S MID-TERM REVIEW MEETING.
Просмотров 286 месяцев назад
BELETE : ZANZIBAR IS READY FOR THE WORLD BANK'S MID-TERM REVIEW MEETING.
DR. JUMA MALIK AKIL MESSAGE FOR THE UPCOMING WORLD BANK’S IDA20 MID-TERM REVIEW MEETING.
Просмотров 417 месяцев назад
DR. JUMA MALIK AKIL MESSAGE FOR THE UPCOMING WORLD BANK’S IDA20 MID-TERM REVIEW MEETING.
DKT. JUMA MALIK AKIL AWAKARIBISHA WAGENI KWENYE MKUTANO WA IDA20 MID-TERM REVIEW, 6-8 DESEMBA, 2023.
Просмотров 1197 месяцев назад
DKT. JUMA MALIK AKIL AWAKARIBISHA WAGENI KWENYE MKUTANO WA IDA20 MID-TERM REVIEW, 6-8 DESEMBA, 2023.
MHE. DKT. NCHEMBA AWAAGA RAIS WA BURUNDI NA RAIS WA SUDANI KUSINI BAADA YA MKUTANO MKOANI ARUSHA.
Просмотров 1807 месяцев назад
MHE. DKT. NCHEMBA AWAAGA RAIS WA BURUNDI NA RAIS WA SUDANI KUSINI BAADA YA MKUTANO MKOANI ARUSHA.
HON. DR. SAADA MKUYA SALUM MESSAGE FOR THE UPCOMING WORLD BANK’S IDA20 MID-TERM REVIEW MEETING.
Просмотров 1197 месяцев назад
HON. DR. SAADA MKUYA SALUM MESSAGE FOR THE UPCOMING WORLD BANK’S IDA20 MID-TERM REVIEW MEETING.
H.E DR. HUSSEIN ALI MWINYI’S MESSAGE TO THE WORLD BANK’S IDA20 MID-TERM REVIEW MEETING PARTICIPANTS.
Просмотров 767 месяцев назад
H.E DR. HUSSEIN ALI MWINYI’S MESSAGE TO THE WORLD BANK’S IDA20 MID-TERM REVIEW MEETING PARTICIPANTS.
Bando..
Mnafahamu fika wenye nyumba wengi hawana mahusiano mazuri na wapangaji., vivyo hivyo kama mlivyo choka kuwafuatilia mmewabebesha wapangaji mzigo mzito. Mngekaa na wenye nyumba kujadili jinsi ya kuokota hio kodi. Jengo halihamishiki mnashindwaje kuwaona au kuwapata wenye nyumba. Hapa nina mwaka na mwenye nyumba hajahangaika kunirudishia hata sumni. Kwa nini mmetuhamishia sisi hio headache. Kisha mnatamba mmekusanya kodi ya matrilioni wakati ni tozo ya luku. Badilikeni. Leo mmenikata 6,000 nzima na mimj si miliki nyumba. Bure kabisa!
Muongo huyu kbs
Mshamba tu chalamila
Mh.Waheshimuni Kwa Kiwango Kikubwa Wafanyabiashara Hawa Wazawa. Hawa Waiteni Mara Kwa Mara Sasikilizeni Sio Kwa Madharau.
Saw yote heli ila ipo siku
Safi saana Serikali yetu sikivu
Maneno mazuri Mh muigulu wanaojiajiri ni wachache kuliko wasubiri ajira basi naomba muwasaidia wafanya biashara msiwababe sana
Sawa lakin kudi isiwe kubwa zipungue pungue kuna rafiki yangu moja niko nae nimfanyabiashara mdogo tu lakin akinieleza makodi yaliyoko kila kona kwaanzia nyumba unayolala mpaka unapoamka nihizi ata hii pumzi ingekuwa sio ya Mungu tungelipizwa 😂😂
Chalamila hatumtaki mkoa wa Dar es salam
Wengine wanakatishwa tamaa na hizi Kodi wanaacha biashara na wengi wanatamani kufanya wanashindwa kwasababu ya mifumo mibovu fateni uhalisia makusanyo na biashara haviendani
Chalamila hasa busara na hekima anakurupuka hovyo hovyo tu kama mganga wakienyeji
Mnafiki huyu anasema msidhani hatuoni Ina maana anafanya makusudi ndio Kwa maana alisema tuhamie barundi mnafiki utamuona anaongea polepole kama mtu
Ni sahihi kbs roho mbaya sana mshezi
Yaani kamata kamata itarudi tena!!!
Serekali msipoangalia mkaona wananchi ni wapuuzi kwa kutuongezea kodi kila mkiamka kuna siku watachoka
Just make best kiswahili speech as one has to talk Politics only
MNAHISI HATUNA UMUHIM WA KUISHI NILILIPISHWA LAND ROVER DISCOVER 3 MILION 27 MUKANIHARIBIA MAISHA TRA MAHASIDI WA MAISHA YETU HATA MUNGU ANAJUA ILA 1 DAYTIME GONE TELL
🤝Pongez nying kwako wazil wa fetha
ELIBARICK JEREMIAH MWALUKO HONGERA SANA WAZIRI
Hongera sana Waziri wa Fedha kwa namna unavyoliwakilisha Taifa vizuri.
Huyu mwiguru ndio matatizo yote na kitira mkumbo matatizo hayo toka mwaka jana hakumaliza mpaka leo wanamuangusha mama huyo na kundi lake hamishwe tu
Samtamu najiuliziga uyo laisi ambae anawekwa juu sana inamana atakuja tatua tatizo la laia adi litokee tatizo gani ::
Wasenge nyie mnajiona miungu watu kwaio kukutana na wewe amejiona ngekewa au?
Hiki ni kikao cha kutatua changa moto za wafanya biashara kwa Waziri au ni mazungumzo kawaida.
Vichwa 💀 sawa sawa
Wazir anawanyia dhihaka akii😢..watu kila siku wanalalamikia yaleyale,kamati mliunda na hakuna mlichofanyaa...leo unasema kukaa karibu na wew ni hatua wakat watu wako serious wanapigania maisha yao
Mungu atunusulu
Mm
Nan kamtuma kwanza chalamila k/koo
kuna kijusi kinatutishia uku ata busara halina
Mbona ni ngumu kupata control namba kutoka brela kulipia leseni ya biashara
Bajeti kuu ya serikari
Baker kuu ya serikato
nämpä hönġër xn mbünġë msükümä kwänï änäpämbänä xnä.
hönġër kw bäjëtï ÿä fëdhä 2024_25
Hakika Nimejufunza na Nimeelewa Sana kanuni na Taratibu Za Pesa ,Pia kazi ya Media Team ni Nzuri Mno Short Video Yenye vipande Mlivyoviwekea vipaumbele Venye Message inayoelekaa Pia Haichoshii kusikiliza na Kutazama kama Mtu Akiwa Makini kwa lengo la Kujifunza 👏.
Mungu mbariki wazir wa fedha wa Tz Dr mwiguru L Nchemba kwa uzalendo katika nchi yetu na Kaz kubwa anayoifanya
Elimu nzuri sana Mungu awabariki sana
Tunataka mtufundishe how to invest how to saving how to trade and marketing sio kila siku bima na spend
Hcho unachokiongelea sio kwa uma usipokuw na uelewa wa fedha hata hvo vitu ni changamoto
Je kwa mfano mtu aliyepoteza control number yake anaweza ipata
Sawa mheshimiwa
Mungu tu asaidie Hilo Sasa limalizike maàn linavunja Sana imani ya wananchi
Kazi iendelee piga kazi baba
I suggest in next fora we invite speakers who are taxpayers to share their views on the best ways to improve tax collection qnd administration
Congratulations MOF team for excellent preparations
I still have questions on this Tanzania finince minister ngulu nchemba World bank is vary heavy to Africa why we have political on leadership Rong thinking to push Africa into technology and creat better economy this what we are doing is the crush our resources into cares pay back world loan we took and hand over resources weasy politician into leadership and one if the weasy adier in Africa is wait education hold our brain education without the technology darkness achieve better economy in our Africa continental when our first leader refiuse so much wirld bank money das not min they did not think Africa without locel medicine locel sayantist reach abd manfercture same of Africa medicine is pointless we already feleyer on pablic hospital long time
Big up Dkt. Mwigulu umefaganua vizuri GGM wamekuelewa
Kwa hakika hili ni somo ambalo anaesoma uchumi, anafundishwa akiwa kashamaliza form5/ KunatopiC inaitwa money nawakubali sana wizara kwa kucheza ndani yafumo sahihi #SPINO MAFIA #THUGZULU
Rais atoe hotuba kwa misingi ya katiba tuliyonayo.
Congratulations
Vile naiona kesho ya 😊😊😊
👊🏿congrat🎉