Bugufi ya Burundi oyeee na leo inaoitwa Buhangaza na facilities ambazo tumepewa bandari za Daresalaam na kigoma na kwenye njia rail way ya Daresalaam to kigoma zipatikane na zisaidie wafanya vyashara wa Burundi ili vitu vifikie wa rundi kwa beyi chini
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa Rais John Pombe Joseph Magufuli safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa
Viva Rais wa Burundi NEVA Na kupenda sana Imana igufashe mu mabanga ujejwe y 'Igihugu .
Huo ndo uzalendo,udugu na upendo wa kiafrika unaotakiwa🗳️🇹🇿✔️🙏👍
Hongereni sana marais wetu
Saaafi sana Wana wa Africa👍
Tanzania & Burundi, oyeeeeeeee, hakuna matata.
Tanzanians Mungu awabaliki sana sana. Mmekuwa nasi kwa magumu na mazuri. Mungu aendelee kuwabaliki.
Rais zetu mungu awe nanyi
Magufuli+Dayimishiye Burundi oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee 🙏🙋
Safi sana mweshimiwa
Hongera sana raisi wangu. Nwenyezi Mungu akulinde kwa neema yake.
Verry hummble president, hongera sana
Asante mheshimiwa Évariste N., Hakika Mungu nipamoja nanyi, hamuna lakuogopa, vive la relation sincère entre BURUNDI et TANZANIE.
Ninawatakia kila lá gheri marais wote wa wili
This president is so humbled... I appreciate my president JPM.
Safi sana mheshimiwa sisi ni taifa jirani zaidi ya ndugu
Kenya wana kitu cha kujifunza hapa.Shida yao ujuaji mwingi. Hebu tuishi kwa upendo km huu
Hii ndio poa tunataka kuona makufuli akiwatembelea
Mungu awabariki
Vizuri sana kwamukutano wabandugu ba President Burundi na Tanzania oyeee
Nawapenda sana ma Raïs wetu.mungu awalinde
BABA WA taifa NDACHIMIYE vrs DOCT POM JOSEPH MAGUFULI muwe kitu kimoja kbs
Karibu sana Mh.Ndayishimiye..Ahsante sana kwa kuongea Kiswahili...
Karibu kwetu tz
Huu ndio uzalendo wa kiafrika hongera sana magufuli
Heshima ya rais wa burundi na upendo wake kwa Tanzanian naona wazungu hawata wapa mda ili muijenge Africa
Amiin amiin
Poa sana Baba
Upendo huu unahitajika sasa hata inchini mwetu DRC.
Asante san raisi wetu,mungu akubariki,raisi magufuli mungu akubarki,ume dusaidia kbisa wa barundi
Bugufi ya Burundi oyeee na leo inaoitwa Buhangaza na facilities ambazo tumepewa bandari za Daresalaam na kigoma na kwenye njia rail way ya Daresalaam to kigoma zipatikane na zisaidie wafanya vyashara wa Burundi ili vitu vifikie wa rundi kwa beyi chini
Huyu jamaa mnyenyekevu sana. Anaonekana kuwa na hekima. Hakika Burundi imempata Rais.
Hakika watu wa Burundi mmempata Rais. Mtumieni vizuri mtafika mbali.
José kami lion
Kama umesikia kakosea kutaja heshima kubwa kwangu akasena Ku.... Ngonga like
Amejikakamuwa sawa wewe tukikwambia uzungumze kikwetu utaweza kweli?
Hajitambui , dadui
🇧🇮🇧🇮,😚
Tusipopendana Watanzania upendo kwa majirani ni unafiki tosha ..
Kamikazisandrine
Q boy
Waw
Ukitaka kuekewana na mangu uwee mjinga kama huyu rais ndio mtaelewana
Mjinga na lofa ni ww
Byararangiye hasigaye ifirimbi ya nyuma...Kurikirira ukuri ganza
ruclips.net/video/lKoCMoSgOeY/видео.html
sorry what kind of president that Ndayishimiye is ?how can u call another president like u your father ?nonsense😡
Nilimuona mtu kampanda fisi| hutumika kuiba mbuzi| sikuwa sawa ruclips.net/video/FyJnu0SPBw4/видео.html
Kampeni imekushida watuletea wezi wenzako wakusaidie kuiba kura zetu
Angalia hapa umaarufu wa Tundu Lissu utashangaa
ruclips.net/video/s5Aab7GBIYY/видео.html
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa Rais John Pombe Joseph Magufuli safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa