MAGUFULI AFOKA - "MTU AKIPOTEA TU, Mnasema USALAMA WAMEMCHUKUA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 янв 2020
  • MAGUFULI AFOKA - "MTU AKIPOTEA TU, Mnasema USALAMA WAMEMCHUKUA"
    Mhe Dot John magufuli akizungumza na Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Mjini Unguja Hapo jana Tarehe 10 jan 2020
    GLOBAL TV ONLINE (+255 784 888982)
    HABARI MPYA DAILY:
    ruclips.net/user/playlist?list...
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    ruclips.net/user/playlist?list...
    GLOBAL RADIO TV:
    ruclips.net/user/playlist?list...
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    ruclips.net/user/playlist?li

Комментарии • 113

  • @eddynyaki5539
    @eddynyaki5539 4 года назад +6

    Naona heshima itachukua mkondo wake. Mataifa mengine hasa makubwa duniani wanalinda sana heshima za nchi zao km hapa majuzi kuna kambi zilishambuliwa kwa makombora na lazima palikuwa na uharibifu na hata kuna waliopoteza maisha ila kiongozi mkuu wahilo taifa alijitokeza nakusema nikweli kambi zao zilishambuliwa ila hakuna uharibifu wala aliyejerhiwa wala kufa. Hii nikulilindia heshima taifa lake ila huku kwetu duh!

    • @japharybbudal5953
      @japharybbudal5953 4 года назад

      Kweli bro unajuwa ss watanzania wengi sijuwi niujinga mvichwa maana ubishi umezidi huku tukijifanya wajuaji huku hatujui.Nchi nyingi wanamauwaji ya holela ila nchi imekaa kimya.

  • @jogechi2105
    @jogechi2105 3 года назад

    RIP magufuli. Naomba urudiwe

  • @jumamohamedy2005
    @jumamohamedy2005 4 года назад +3

    Kweli kabisa mkuu wakamatwe point kubwa mkuu wa nchi hata MTU akichepuka wansingizia usalama sukuma ndani JPM wengine wanapenda kiki sukuma ndani nchi izidi kua na amani kila siku maneno tu hapa kazi tu

  • @leonardemmanuel9249
    @leonardemmanuel9249 4 года назад +3

    Huwezi kupendwa na Kila mtu hapa duniani hayo yatakuwa maisha ya kuigiza,maisha halisi lazima upendwe na kuchukiwa ,

  • @gideonkalumbu5220
    @gideonkalumbu5220 4 года назад +3

    Safi Sana kamanda John Pombe Joseph Magufuli....umetusaidia Sana.

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 4 года назад +2

    Safi sana mkuu wangu. Nakupenda bure yaan.

  • @tolutolu2970
    @tolutolu2970 4 года назад +2

    Mi narudi Zimbabwe

    • @machaggechacha3422
      @machaggechacha3422 4 года назад

      tolu tolu
      Nenda!!! Kwani nani atashtuka? Hata kama ukinywa sumu ni shauri yako.

  • @tiganatigana3327
    @tiganatigana3327 4 года назад

    Wao njo wausika

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 4 года назад +6

    Hao wasiojulikana katika nchi yetu ni watu gani? Rais viagize vyombo vya ulinzi wasijulikana tuwafahamu au watokomee kabisa. Na jeshi la polisi lisitumie maneno tata bila ufafanuzi.

  • @fredyhaonga2871
    @fredyhaonga2871 4 года назад +5

    Hivi anaonhea nini huyu kwa nini mtu akipotea siku ya tatu unamkuta segerea na ana kesi ya kuhujumu uchumi? Huyu jamaa vipi simuelewi mie

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 4 года назад +1

    yani leo ndio umetuhakikishia na ushahidi umekamilika

  • @juliuskabalika5212
    @juliuskabalika5212 4 года назад +2

    Mi nilidhani utawakemea polisi kuacha kuwakamata watu bila kufuata taratibu na kupelekea watu kupata taharuki. Dhibiti chanzo sio maneno. Maneno yanaletwa na matendo.

  • @makiadijonasi6859
    @makiadijonasi6859 4 года назад

    Imeeleweka hiyo

  • @ccmmbweawajangwani3505
    @ccmmbweawajangwani3505 4 года назад

    Hapo ndio nilikuwaga na subiria

  • @benjaminpatrick6364
    @benjaminpatrick6364 4 года назад +10

    Waopigaa makofiii sijuiiii kama wanaelewaaaaaaa🤔🤔🤔🤔

    • @georgeigogo9259
      @georgeigogo9259 4 года назад

      Ukweli nikwamba hawaelewi niushabikituu

    • @zikirination6769
      @zikirination6769 4 года назад +1

      Ww uliye comment ndo huelewi kwn anaongea kinyamwez Apo achan uchadema nyie

    • @faustinluambano2958
      @faustinluambano2958 4 года назад

      @@zikirination6769 akili za kuwrkewa. Umewekewa akili YA lkuichukia CHADEMA tu na huenda hao wanaoshangilia ni imported.

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 4 года назад

      Wanaelewa Sana..
      Kama wanasifiwa wao kwa kazi nzuri ulitegemea wanune..!??
      Au hujagundua alikuw anahutubia Askari ndugu.

    • @alvangidion9366
      @alvangidion9366 4 года назад

      Sikuwa ile Mr Zitto alipo tweet kwamba Prof Asad kapotea while alikuwa kwenye ishu zake ,,,,
      Ndicho anacho kiongelea Mr President,,

  • @rashidmalilo3657
    @rashidmalilo3657 4 года назад +1

    huyu ndie jpm ninae mjua akisema kitu kasema kweli

  • @magrethswai7028
    @magrethswai7028 4 года назад +1

    Warudisheni waliotekwa na wanaojiita wasiojulikana kwanza hawa wasiojulikana wameanza miaka hii mbona enzi za jk mkapa kulikua hakuna? Mnakwama wapi?

  • @valentineevarist5628
    @valentineevarist5628 4 года назад

    kumbe swala la watu kuchukuliwa na wasio julikana imekuwa kawaida duh tanzania tunaenda wapi jamani

  • @martinekija4188
    @martinekija4188 4 года назад +1

    Mnao tukana Hanna akili namuone aibu iv kunamtu anayetukana kama zito, mbowe na vijana Wa chadema weng tu mbona mnaodai wametengwa niwatu wakawaida sana na wanapatikana baada ya taratibu za kisheria na usalama au wengine wanaibuka wenyewe

  • @zeranchimbi2808
    @zeranchimbi2808 4 года назад

    Eeeeeeh episode yangapi jaman niliishiwa mb

  • @mayungahima1987
    @mayungahima1987 4 года назад +1

    inshu nzito inaelezewa kiwepesi namna hii!!? nahayo maagizo nikama msisitizo tu wamwendelezo.

  • @ombennassary7438
    @ombennassary7438 4 года назад +4

    Mh. Rais usisikilize wapumbavu chapa kazi watu wamekuwa wajinga sana mtu amezima simu anaambiwa katekwa

    • @fredyhaonga2871
      @fredyhaonga2871 4 года назад

      Duuuh na wewe pia ni mtu eti una akili

    • @fredyhaonga2871
      @fredyhaonga2871 4 года назад

      Kumbe ni mwanamke ndiyo maana akili ni ndogo, ila nimeamini kazi yako ni kupika tu labda na chali basi

  • @fredyhaonga2871
    @fredyhaonga2871 4 года назад

    Je kwa maana hiyo usalama tulionao ni upi?

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 4 года назад

    Sio askari wote kwa zenji askari hawasadii muheshimiwa fanya uchunguzi ndio utajua aibu za askari wa Zanzibar kifua mbele kwa maslahi yao

  • @stevenlyando1801
    @stevenlyando1801 4 года назад

    Hawa wapuuzi wanashangilia nini????

  • @justinmuhammed9865
    @justinmuhammed9865 4 года назад

    Apo kuna watu bado hawakuelewa kitu

  • @martinekija4188
    @martinekija4188 4 года назад

    Aliye naidhin ya kutoa taarifa nichombo cha usalama na ww kamautapewa kibar baada ya kupata rb nasio kuropokaropoka CAG aliwauumbua

  • @erickkihuru4529
    @erickkihuru4529 4 года назад +1

    Acha nikae kimnya

  • @bikozikomo9496
    @bikozikomo9496 4 года назад +6

    Wanao potosha umaa ndo wanao mpiga mzee

    • @leonardemmanuel9249
      @leonardemmanuel9249 4 года назад

      Katika 10 Kuna 3 wasiompenda jpm kwa masirahi yao binafisi ,katika hawo 3 hawawezi kuwashinda hawo 7 ,so hawo 3 wavumilie tu mhula wa jpm uishe ,kumchukia kwao haiwaondolei hawo 7 sababu za kutompenda

    • @ananiachelesi1486
      @ananiachelesi1486 4 года назад

      Kwel kabisa emanueli

  • @tz7976
    @tz7976 4 года назад +1

    Mkuu sisi tupo nyuma yako

    • @fredyhaonga2871
      @fredyhaonga2871 4 года назад

      Endelea kuwa nyuma yake ndiyo maana huelewi

  • @dramataizaplatnumz
    @dramataizaplatnumz 4 года назад +3

    Tunaongea hivyo upelelezi hatuoni sasa ninani kama sio wao

  • @ricksonmrema1693
    @ricksonmrema1693 4 года назад +3

    Watanzania sisi sio wapumbavu

  • @gideonelias5379
    @gideonelias5379 4 года назад +8

    Mzee maliza mihula yako uendee 2meshakuchokaaa maisha menyewe hayaelewek saiv😎😎😎

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 4 года назад +7

    Hao wanaopiga makofi itakua hata hawaelewi kinachozungumzwa,na wengi ni wanawake acha nsiwalaumu ila kiukweli lipo tatzo kwenye hivi vyombo rais anavyosifia inabidi vijitathmini kwanin raia wanavilalamikia

    • @worldtechnology492
      @worldtechnology492 4 года назад +1

      Toa ushaidi baba umeambiwa wacha kipiga mayowe

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 4 года назад

      @@worldtechnology492 nitoe ushahidi kwani hapa Ni mahakamani

    • @worldtechnology492
      @worldtechnology492 4 года назад

      @@mathiaszakaria7052 nenda sasa mahakamani ukatoe ushahidi kama unao mbona easy tyuuu bro

    • @kelvinjohn6851
      @kelvinjohn6851 4 года назад +1

      Kwaiyo wanawake hawajui kitu si ndio? Wakati mwingine sie wananchi ni wagomvi sana. Sasa mwenye nchi kashatoa tamko watu kama we we muwe mnashikwa mkatoe ushahidi.

    • @yohanasebabili8438
      @yohanasebabili8438 4 года назад +1

      Kuwa na adabu na heshima kwa wanawake, Kuna na heshima na nidham kwa mama yako kwa maana nae ni mwanamke, acha ujinga na jifunze kuwa na adabu siku zote. Najua utabisha Tena kwa sababu kufikiri kwako hakukutoshi

  • @isaackedward1947
    @isaackedward1947 4 года назад +5

    Yaani we magu mtu uliyebakia kumtisha ni mkeo
    Upelelezi haukamiliki alafu unatutisha unadhani xx watoto

    • @brendajulius2995
      @brendajulius2995 4 года назад +1

      Ingia anga zake uone km anamtisha mkewe tu au na ww 😕

    • @stanslausangelus8714
      @stanslausangelus8714 4 года назад

      Umechanganyikiwa wewe,yaani unafikiri huu ujinga kila kitu usalama was kitaifa unanufuisha nani jiongeze

    • @brendajulius2995
      @brendajulius2995 4 года назад

      Narudia tena ingia anga zake uone pussy weh

  • @ramadhaninurrumtungi4474
    @ramadhaninurrumtungi4474 4 года назад +1

    Huyu mzee anawapa kiupa umbere hawa wajamaa ili wampende nawazidi kumpa ulinz maana anayajua yanayotendeka nchini mwake so sili ukwer unajulikana tu watz sio wajinga.ila mwisho wa ubayaaa .................!!!?

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 4 года назад

    Hao wanao piga makofi wanaelewa chochote apo

  • @bulayaconfidential7212
    @bulayaconfidential7212 4 года назад

    hakuna nchi ya wapumbavu kama (T)aiwan yaani nayaona kabisa yanapiga makofi..🏃🏃🏃🏃🏃😥😥

    • @petermgmgalula2104
      @petermgmgalula2104 4 года назад

      Bulaya Confidential wewe ndio mpumbavu mnaolazimisha watu wamchukie Mahgu mliozowea kula vya bure mliotumbuliwa ama mjomba wako . Nani asie yaona mazuri ya magu. Hama nchi tu

    • @bulayaconfidential7212
      @bulayaconfidential7212 4 года назад

      @@petermgmgalula2104 siku ukijitambua kuwa hauna akili utakuwa umechekewa sana, toka uhuru hii tabia ya kupotea watu haikuwepo, lakini toka 2015/20 mambo yamekuwa tofauti, ama zamani michepuko/waganga hawakuwepo..shame!! Taiwan ni nchi ya ajabu sijapata kuona...

    • @petermgmgalula2104
      @petermgmgalula2104 4 года назад

      Bulaya Confidential Akili ni nini? Kwanza kuona, kutafakali na kutoa maamuzi sahihi. Wewe ndio huna. Akilli kwa sababu ni muasilika wa tumbua tumbua ndo maana unaonngea hayo.Unahitaji msaada wa kisaikolojia ili uamini Mungu kanena Mungu akisema enough is enough no one can stop that. Utekaji ulikuwepo toka kipindi cha Nyerere takwimu tunazo leteni sera zingine. Hapa kazi tu maendeleo ndio oyeeeee

  • @ernestchilongan6778
    @ernestchilongan6778 4 года назад +4

    Anamaanisha mtu akipotea hakuna kulalamika,hakuna kutoa taarifa sehem yoyote na ukisema tu MTU wangu kapotea inatakiwa uwekwe ndan,,,sio ukamtafute,,,,mi ndivyo nilivyoelewa.tunakoelekea sio poa.

    • @georgejovin761
      @georgejovin761 4 года назад +1

      Anayekulinda muheshimiwa ni mungu tu hakuna mwingine tengua kauli bwana aendelee kukulinda na kumpa utukufu

  • @tanzaniayetu6973
    @tanzaniayetu6973 4 года назад

    Kwenye hili la kupotea watu mzee, sikuuungi mkono aiwezekani wasiojulikana hawakamatwi natunajisifu tupo salamaa,hii inatuchafulia sifa ya nchi yetu,unafanya mengi mazuri ila hili ni DOA kubwa sana kwa taifa kipindi cha jk hii kitu haikuwepo,waliomtisha Nape niwatu wasiojulikana hii noma sana

    • @michaelmbise3874
      @michaelmbise3874 4 года назад

      Blaza usidanganywe asee tena kipindi cha Kj ndo ilikuwa hatari sema ya kimya kimya at saivi kila mtu ni mwandishi wa habari anaweza kupost kila tukio hafu mseme Uhuru wa habari hamna .nyooo Watu wataka Uhuru gani?
      Wee ukijifanya mjuwaji unadhani utakuwa salama?
      Wee Fanya yako usivunje katiba ya nchi uone kama utaskia mtu anakufuata wala kuhutajika central police

    • @ubidgzg4610
      @ubidgzg4610 4 года назад

      Mimi mpaka leo nashangaa nani alianzisha msemo wa wasiojulikana tujiulize na alikuwa na maana gani

    • @ramadhaninurrumtungi4474
      @ramadhaninurrumtungi4474 4 года назад

      TANZANIA YETU hHaaaa hili nalo halioni huyu dingi aise

  • @allanmapamba4765
    @allanmapamba4765 4 года назад

    Huyu mtu bora nisisikilize speech zake yaani anaongea vitu vya ajabu anaweza kukutendesha dhambi aisee wacha ninyamaze

  • @tiganatigana3327
    @tiganatigana3327 4 года назад +1

    Mataila wanapiga makofi

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 4 года назад

      Nafikir hujagundua kuwa alikuwa akihutubia askari masikini...!
      Pole ndugu..

  • @hashimuhehwa3780
    @hashimuhehwa3780 4 года назад

    Bangi hizi

  • @mfarijikibinga9281
    @mfarijikibinga9281 4 года назад

    😂 😂

  • @awadhijuma4223
    @awadhijuma4223 4 года назад +2

    usitudanganye wamu hiii izituumach mbona tawala za wenzako watu hawapotei nakupigwa risasi

    • @jazirymasunga5461
      @jazirymasunga5461 4 года назад

      Ujinga ni pale wapinzani wakaishiwa sera za kuwadanganya wananchi na kubaki kutengeza matukio ya kutekwa huko ni kuishowa

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 года назад

    Mfungwa mtarajiwa anajaribu kuleta mambo ya kaosari,mbona mlikula na kunywa pamoja ,😂😂😂

  • @eliyawilliammagesamarwa8413
    @eliyawilliammagesamarwa8413 4 года назад

    🇹🇿🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @yunushamis4839
    @yunushamis4839 4 года назад +5

    Kwann wapotee wanaokupinga ww tu! Mbona hawapotei hao vimbelembele wa ccm!? Usitake kujificha kwenye shamba la karanga utawashika hao hao

    • @musajames5359
      @musajames5359 4 года назад

      Nan wa chama tofauti na ccm alie potea usijue alipo kwa kutekwa?

    • @musajames5359
      @musajames5359 4 года назад

      Kanusha yanayo kuhusu yasiyo kuhusu achana nayo speech yake na ccm vinahusiana nini?

  • @denisadriano9153
    @denisadriano9153 4 года назад +5

    Usitutishe banaaaaa kwani akina Tito ilikueje?

  • @salumuhamissi3492
    @salumuhamissi3492 4 года назад +2

    Watanzania wamerogwa nanani? sasa munashangiliann?

    • @worldtechnology492
      @worldtechnology492 4 года назад +1

      Tunashangilia anaongea ukweli kwamba toa ushahidi kama amepotea mbona kazi ndogo

    • @menikojohn2782
      @menikojohn2782 4 года назад

      Anaongea ukweli, kama una ushahidi unatakiwa uutoe kwa Polisi

  • @kalufunyangenyakinyungu5087
    @kalufunyangenyakinyungu5087 4 года назад

    😂😂😂 Imeisha hiyo mzee baba,asa ww endelea na upayukaji wako,fyete fyete fyoto fyoto fyuuuu fwataaaaa...

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 4 года назад +1

    wewe mzee hiyo yote ni hatia inakutoa nishai tuletee ben saanane na azory gwanda ww ndio unahusika acha kutupiga mkwara, mpk leo waliomtwanga lisu hakuna mtu yoyote aliehojiwa, pia ukazuia wabunge wa chama chako kwenda kumjulia hali, alfu unatupiga mkwara!!!!??? TUTASEMA TUUUU

  • @bernardobernard4501
    @bernardobernard4501 4 года назад

    Foolish

  • @gastonmaheng8256
    @gastonmaheng8256 4 года назад

    Yaani watu wanapotea halafu yeye anasema wameenda kwa waganga halafu amesahau alichosema moo alivyopotea mbona majibu hatupatii huu ni uongozi unapita tuu