MAGUFULI AFOKA - "MTU AKIPOTEA TU, Mnasema USALAMA WAMEMCHUKUA"
HTML-код
- Опубликовано: 10 янв 2020
- MAGUFULI AFOKA - "MTU AKIPOTEA TU, Mnasema USALAMA WAMEMCHUKUA"
Mhe Dot John magufuli akizungumza na Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Mjini Unguja Hapo jana Tarehe 10 jan 2020
GLOBAL TV ONLINE (+255 784 888982)
HABARI MPYA DAILY:
ruclips.net/user/playlist?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
ruclips.net/user/playlist?list...
GLOBAL RADIO TV:
ruclips.net/user/playlist?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
ruclips.net/user/playlist?li
Naona heshima itachukua mkondo wake. Mataifa mengine hasa makubwa duniani wanalinda sana heshima za nchi zao km hapa majuzi kuna kambi zilishambuliwa kwa makombora na lazima palikuwa na uharibifu na hata kuna waliopoteza maisha ila kiongozi mkuu wahilo taifa alijitokeza nakusema nikweli kambi zao zilishambuliwa ila hakuna uharibifu wala aliyejerhiwa wala kufa. Hii nikulilindia heshima taifa lake ila huku kwetu duh!
Kweli bro unajuwa ss watanzania wengi sijuwi niujinga mvichwa maana ubishi umezidi huku tukijifanya wajuaji huku hatujui.Nchi nyingi wanamauwaji ya holela ila nchi imekaa kimya.
RIP magufuli. Naomba urudiwe
Kweli kabisa mkuu wakamatwe point kubwa mkuu wa nchi hata MTU akichepuka wansingizia usalama sukuma ndani JPM wengine wanapenda kiki sukuma ndani nchi izidi kua na amani kila siku maneno tu hapa kazi tu
Huwezi kupendwa na Kila mtu hapa duniani hayo yatakuwa maisha ya kuigiza,maisha halisi lazima upendwe na kuchukiwa ,
Safi Sana kamanda John Pombe Joseph Magufuli....umetusaidia Sana.
Safi sana mkuu wangu. Nakupenda bure yaan.
Mi narudi Zimbabwe
tolu tolu
Nenda!!! Kwani nani atashtuka? Hata kama ukinywa sumu ni shauri yako.
Wao njo wausika
Hao wasiojulikana katika nchi yetu ni watu gani? Rais viagize vyombo vya ulinzi wasijulikana tuwafahamu au watokomee kabisa. Na jeshi la polisi lisitumie maneno tata bila ufafanuzi.
Hivi anaonhea nini huyu kwa nini mtu akipotea siku ya tatu unamkuta segerea na ana kesi ya kuhujumu uchumi? Huyu jamaa vipi simuelewi mie
Wewe inabidi uwe wa kwanza kukamatwa!!
@@moseshaule586 sababu ni nini
yani leo ndio umetuhakikishia na ushahidi umekamilika
Mi nilidhani utawakemea polisi kuacha kuwakamata watu bila kufuata taratibu na kupelekea watu kupata taharuki. Dhibiti chanzo sio maneno. Maneno yanaletwa na matendo.
Imeeleweka hiyo
Hapo ndio nilikuwaga na subiria
Waopigaa makofiii sijuiiii kama wanaelewaaaaaaa🤔🤔🤔🤔
Ukweli nikwamba hawaelewi niushabikituu
Ww uliye comment ndo huelewi kwn anaongea kinyamwez Apo achan uchadema nyie
@@zikirination6769 akili za kuwrkewa. Umewekewa akili YA lkuichukia CHADEMA tu na huenda hao wanaoshangilia ni imported.
Wanaelewa Sana..
Kama wanasifiwa wao kwa kazi nzuri ulitegemea wanune..!??
Au hujagundua alikuw anahutubia Askari ndugu.
Sikuwa ile Mr Zitto alipo tweet kwamba Prof Asad kapotea while alikuwa kwenye ishu zake ,,,,
Ndicho anacho kiongelea Mr President,,
huyu ndie jpm ninae mjua akisema kitu kasema kweli
Warudisheni waliotekwa na wanaojiita wasiojulikana kwanza hawa wasiojulikana wameanza miaka hii mbona enzi za jk mkapa kulikua hakuna? Mnakwama wapi?
:-P😜
kumbe swala la watu kuchukuliwa na wasio julikana imekuwa kawaida duh tanzania tunaenda wapi jamani
Mnao tukana Hanna akili namuone aibu iv kunamtu anayetukana kama zito, mbowe na vijana Wa chadema weng tu mbona mnaodai wametengwa niwatu wakawaida sana na wanapatikana baada ya taratibu za kisheria na usalama au wengine wanaibuka wenyewe
Eeeeeeh episode yangapi jaman niliishiwa mb
inshu nzito inaelezewa kiwepesi namna hii!!? nahayo maagizo nikama msisitizo tu wamwendelezo.
kbs
Mh. Rais usisikilize wapumbavu chapa kazi watu wamekuwa wajinga sana mtu amezima simu anaambiwa katekwa
Duuuh na wewe pia ni mtu eti una akili
Kumbe ni mwanamke ndiyo maana akili ni ndogo, ila nimeamini kazi yako ni kupika tu labda na chali basi
Je kwa maana hiyo usalama tulionao ni upi?
Sio askari wote kwa zenji askari hawasadii muheshimiwa fanya uchunguzi ndio utajua aibu za askari wa Zanzibar kifua mbele kwa maslahi yao
Hawa wapuuzi wanashangilia nini????
Apo kuna watu bado hawakuelewa kitu
Aliye naidhin ya kutoa taarifa nichombo cha usalama na ww kamautapewa kibar baada ya kupata rb nasio kuropokaropoka CAG aliwauumbua
Acha nikae kimnya
erick kihuru kweli bora tukae kimya Baba
Wanao potosha umaa ndo wanao mpiga mzee
Katika 10 Kuna 3 wasiompenda jpm kwa masirahi yao binafisi ,katika hawo 3 hawawezi kuwashinda hawo 7 ,so hawo 3 wavumilie tu mhula wa jpm uishe ,kumchukia kwao haiwaondolei hawo 7 sababu za kutompenda
Kwel kabisa emanueli
Mkuu sisi tupo nyuma yako
Endelea kuwa nyuma yake ndiyo maana huelewi
Tunaongea hivyo upelelezi hatuoni sasa ninani kama sio wao
Watanzania sisi sio wapumbavu
Mzee maliza mihula yako uendee 2meshakuchokaaa maisha menyewe hayaelewek saiv😎😎😎
Gideon Elias hahahahahhh mzee nimecheka kichiz
Gideon Elias hahahahahhh mzee nimecheka kichiz
Gideon Elias hahahahahhh mzee nimecheka kichiz
maaskari oyeee
kiazi
Hao wanaopiga makofi itakua hata hawaelewi kinachozungumzwa,na wengi ni wanawake acha nsiwalaumu ila kiukweli lipo tatzo kwenye hivi vyombo rais anavyosifia inabidi vijitathmini kwanin raia wanavilalamikia
Toa ushaidi baba umeambiwa wacha kipiga mayowe
@@worldtechnology492 nitoe ushahidi kwani hapa Ni mahakamani
@@mathiaszakaria7052 nenda sasa mahakamani ukatoe ushahidi kama unao mbona easy tyuuu bro
Kwaiyo wanawake hawajui kitu si ndio? Wakati mwingine sie wananchi ni wagomvi sana. Sasa mwenye nchi kashatoa tamko watu kama we we muwe mnashikwa mkatoe ushahidi.
Kuwa na adabu na heshima kwa wanawake, Kuna na heshima na nidham kwa mama yako kwa maana nae ni mwanamke, acha ujinga na jifunze kuwa na adabu siku zote. Najua utabisha Tena kwa sababu kufikiri kwako hakukutoshi
Yaani we magu mtu uliyebakia kumtisha ni mkeo
Upelelezi haukamiliki alafu unatutisha unadhani xx watoto
Ingia anga zake uone km anamtisha mkewe tu au na ww 😕
Umechanganyikiwa wewe,yaani unafikiri huu ujinga kila kitu usalama was kitaifa unanufuisha nani jiongeze
Narudia tena ingia anga zake uone pussy weh
Huyu mzee anawapa kiupa umbere hawa wajamaa ili wampende nawazidi kumpa ulinz maana anayajua yanayotendeka nchini mwake so sili ukwer unajulikana tu watz sio wajinga.ila mwisho wa ubayaaa .................!!!?
Hao wanao piga makofi wanaelewa chochote apo
hakuna nchi ya wapumbavu kama (T)aiwan yaani nayaona kabisa yanapiga makofi..🏃🏃🏃🏃🏃😥😥
Bulaya Confidential wewe ndio mpumbavu mnaolazimisha watu wamchukie Mahgu mliozowea kula vya bure mliotumbuliwa ama mjomba wako . Nani asie yaona mazuri ya magu. Hama nchi tu
@@petermgmgalula2104 siku ukijitambua kuwa hauna akili utakuwa umechekewa sana, toka uhuru hii tabia ya kupotea watu haikuwepo, lakini toka 2015/20 mambo yamekuwa tofauti, ama zamani michepuko/waganga hawakuwepo..shame!! Taiwan ni nchi ya ajabu sijapata kuona...
Bulaya Confidential Akili ni nini? Kwanza kuona, kutafakali na kutoa maamuzi sahihi. Wewe ndio huna. Akilli kwa sababu ni muasilika wa tumbua tumbua ndo maana unaonngea hayo.Unahitaji msaada wa kisaikolojia ili uamini Mungu kanena Mungu akisema enough is enough no one can stop that. Utekaji ulikuwepo toka kipindi cha Nyerere takwimu tunazo leteni sera zingine. Hapa kazi tu maendeleo ndio oyeeeee
Anamaanisha mtu akipotea hakuna kulalamika,hakuna kutoa taarifa sehem yoyote na ukisema tu MTU wangu kapotea inatakiwa uwekwe ndan,,,sio ukamtafute,,,,mi ndivyo nilivyoelewa.tunakoelekea sio poa.
Anayekulinda muheshimiwa ni mungu tu hakuna mwingine tengua kauli bwana aendelee kukulinda na kumpa utukufu
Kwenye hili la kupotea watu mzee, sikuuungi mkono aiwezekani wasiojulikana hawakamatwi natunajisifu tupo salamaa,hii inatuchafulia sifa ya nchi yetu,unafanya mengi mazuri ila hili ni DOA kubwa sana kwa taifa kipindi cha jk hii kitu haikuwepo,waliomtisha Nape niwatu wasiojulikana hii noma sana
Blaza usidanganywe asee tena kipindi cha Kj ndo ilikuwa hatari sema ya kimya kimya at saivi kila mtu ni mwandishi wa habari anaweza kupost kila tukio hafu mseme Uhuru wa habari hamna .nyooo Watu wataka Uhuru gani?
Wee ukijifanya mjuwaji unadhani utakuwa salama?
Wee Fanya yako usivunje katiba ya nchi uone kama utaskia mtu anakufuata wala kuhutajika central police
Mimi mpaka leo nashangaa nani alianzisha msemo wa wasiojulikana tujiulize na alikuwa na maana gani
TANZANIA YETU hHaaaa hili nalo halioni huyu dingi aise
Huyu mtu bora nisisikilize speech zake yaani anaongea vitu vya ajabu anaweza kukutendesha dhambi aisee wacha ninyamaze
Unyamaze na umeshasema ww vp?
Mataila wanapiga makofi
Nafikir hujagundua kuwa alikuwa akihutubia askari masikini...!
Pole ndugu..
Bangi hizi
😂 😂
usitudanganye wamu hiii izituumach mbona tawala za wenzako watu hawapotei nakupigwa risasi
Ujinga ni pale wapinzani wakaishiwa sera za kuwadanganya wananchi na kubaki kutengeza matukio ya kutekwa huko ni kuishowa
Mfungwa mtarajiwa anajaribu kuleta mambo ya kaosari,mbona mlikula na kunywa pamoja ,😂😂😂
🇹🇿🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Kwann wapotee wanaokupinga ww tu! Mbona hawapotei hao vimbelembele wa ccm!? Usitake kujificha kwenye shamba la karanga utawashika hao hao
Nan wa chama tofauti na ccm alie potea usijue alipo kwa kutekwa?
Kanusha yanayo kuhusu yasiyo kuhusu achana nayo speech yake na ccm vinahusiana nini?
Usitutishe banaaaaa kwani akina Tito ilikueje?
Kwan tito hujulikani alipo
Sawa kabisa asante sana Mhe
Watanzania wamerogwa nanani? sasa munashangiliann?
Tunashangilia anaongea ukweli kwamba toa ushahidi kama amepotea mbona kazi ndogo
Anaongea ukweli, kama una ushahidi unatakiwa uutoe kwa Polisi
😂😂😂 Imeisha hiyo mzee baba,asa ww endelea na upayukaji wako,fyete fyete fyoto fyoto fyuuuu fwataaaaa...
wewe mzee hiyo yote ni hatia inakutoa nishai tuletee ben saanane na azory gwanda ww ndio unahusika acha kutupiga mkwara, mpk leo waliomtwanga lisu hakuna mtu yoyote aliehojiwa, pia ukazuia wabunge wa chama chako kwenda kumjulia hali, alfu unatupiga mkwara!!!!??? TUTASEMA TUUUU
Foolish
Foolish ww nawalio kudanganya
@@worldtechnology492 bila shaka!!!
@@jumakapilima5674 Kaaazi kweli kweli .
Yaani watu wanapotea halafu yeye anasema wameenda kwa waganga halafu amesahau alichosema moo alivyopotea mbona majibu hatupatii huu ni uongozi unapita tuu