Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

SHEIKH NYUNDO// MAJINI WAHUNI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 сен 2021

Комментарии • 60

  • @seifchembela4346
    @seifchembela4346 2 года назад +14

    Dar mwenyz mungu amlehemu na amjalie awe miongoni mwa watakao ingia pepeon

  • @LuqmanAndrew-nu9rx
    @LuqmanAndrew-nu9rx 3 месяца назад +1

    Allah amrehemu Sheikh Nyundo

  • @chabunu3367
    @chabunu3367 2 года назад +15

    Kabisa sheikh nyundo Allah akujaliye miongoni mwa watu wapeponi

  • @MsafiriSalumu
    @MsafiriSalumu 4 месяца назад +1

    Mungu amfungurie milango ya pepo

  • @islaminmyheart9348
    @islaminmyheart9348 2 года назад +5

    This sheik is always real Maa shaa Allah similar words from his delighted heart comes out to his blessed mouth. Rahimahu llahu taala.

  • @jamilahali-jg8er
    @jamilahali-jg8er 2 месяца назад +2

    Majini mahaba mpo 😂😂😂Allah tukinge kwa kila balaha yrabii n walio tngulia wasamehe dhambi zao yrabii Mola wangu

  • @user-zc1uk8ze9t
    @user-zc1uk8ze9t 3 месяца назад +1

    ALLAH akurehem🤲

  • @mansoormannix1753
    @mansoormannix1753 5 месяцев назад +1

    Allahumma ghfirlahu warhamhu wasqinhu makana fil jannat.

  • @rehemaseif1785
    @rehemaseif1785 2 года назад +11

    Innalillah wainnailayh rajiu'un. Allah s.w amjaalie shekh wetu pepo ya Firdaus. Amin.

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 2 года назад +11

    Tunamuomba Allah. Malazi yako yawe umo katika raha. Amiin.

  • @shebanjuma8531
    @shebanjuma8531 2 года назад +11

    Allah Subhanawata'Allah amjaalie pepo sheikh Nyundo.

  • @khalidali1130
    @khalidali1130 24 дня назад

    Allah Amrehem sheikh wetu Ameen

  • @saidmfaumekombo8067
    @saidmfaumekombo8067 2 года назад +5

    Yote alipofanya Allah amuekee kwenye mizani yake ya kheir

  • @daudimgalla9455
    @daudimgalla9455 Год назад +1

    Yaa Allah Anmuomba Atufufue sote Tukiwa Waislam Insha Allah

  • @alyaabdallah3863
    @alyaabdallah3863 Год назад +3

    Ya Allah mwangazie nur katika kabur lake na siku ya malipo tulipe kher pamoja nae

  • @mariamsudi8845
    @mariamsudi8845 2 года назад +4

    Mungu akulehem shekh nyundo

  • @mtumwaabdala5421
    @mtumwaabdala5421 2 года назад +7

    Mungu akulaze mahala pema

  • @shamisfahiye9628
    @shamisfahiye9628 2 года назад +7

    Allah amrahamu

  • @mohamedmaingo9151
    @mohamedmaingo9151 Год назад +2

    ALLAH AKUPE KAULI THABITI

  • @akimmiradji981
    @akimmiradji981 2 года назад +2

    mwanyezimungu akurehemu

  • @medwho959
    @medwho959 2 года назад +2

    May Allah reward you. Gems of wisdom.

  • @dusabearafatrwigema9248
    @dusabearafatrwigema9248 Год назад +1

    Nikweli

  • @yahyafeiswal7929
    @yahyafeiswal7929 Год назад +1

    Mashaallah

  • @chundesaalim6540
    @chundesaalim6540 2 года назад +5

    Rip dady

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 2 года назад +3

    Shukran

  • @AliMohamed-gv7nw
    @AliMohamed-gv7nw 2 года назад +3

    Allahumma ghfrllahum warhamhum

  • @ramazaniramazanimoise
    @ramazaniramazanimoise Год назад +1

    😂😂

  • @abduwahabi7019
    @abduwahabi7019 4 месяца назад +1

    Alikuwa anauzungumzaji usio mwema ila namuomba Allah amsamehe makosa yake na amuingize ktk pepo yake

    • @muqbulmuqbul7589
      @muqbulmuqbul7589 2 месяца назад

      Kama Gani? He gives the best speeches and keeps the audience alive by entertaining them. You can also hear the audience enjoying the speech.Hata watoto watakimbilia msikiti hii ili kumsikiliza na watapenda kukuja msikiti. Na hivyo ndivyo walimu hufanya kufundisha.

  • @tatumussa651
    @tatumussa651 2 года назад +1

    Uu

  • @yusufasami4464
    @yusufasami4464 Год назад

    😂 I did not know he died.

  • @LyonWalker_
    @LyonWalker_ 2 года назад +2

    Ila hizi ni pointles co kila mwenye ukimwi alingonoka

    • @affaanothmaan6287
      @affaanothmaan6287 2 года назад

      Na huu pia ni mfano wa chuki! kwani wapi shekh kasema kila mwenye ukimwi kangonoka.!?

    • @LyonWalker_
      @LyonWalker_ 2 года назад

      @@affaanothmaan6287 anawasema wenye ukimwi utadhani ni sifa angalieni kuongea sana haimaanishi unajua vingi

    • @abdulrazakhassanor498
      @abdulrazakhassanor498 2 года назад

      kwani ukimwi nini?

    • @KhamisHaroub-uj5ci
      @KhamisHaroub-uj5ci 4 месяца назад

      Tulia dawa ikuingie asilimia kubwa ya ukimwi ni zinna

  • @bas2823
    @bas2823 2 года назад +2

    Please heshimu nafsi yako na uheshimu dini yako na uwaheshimu wanawake kwa sababu wanawake ndio mama zenu walikuzaeni nyote wanaume na wanawake. Linda mdomo wako kwa kutukana wanawake ni mama zenu wanawake thumma umm 3 times leo weye badala ya kuwaheshimu wanawake unawatukana. Eeehh shekhe weye! Mbona uko hivi!?? Mmeheshimu mwanamke ni mama aako ni mwanamme please waheshimu wanawake ni Mama zenu please. Ewe shekhe

    • @mukrimchumhaji587
      @mukrimchumhaji587 2 года назад +3

      Hajawahi kutukana wanawake Bali anawambia ukweli waache maasi warudi kwa Allah na kila mwanamke sio mama yake je wale wanaocheza uchi kwenye mziki wambiwe na Nan au ndo wale hawajitukanishi wanaouza mwili wambiwe na Nan Huyu shekhe msema kweli Allah amrehemu huko aliko Dawa mpka kiama

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 2 года назад +1

      Hajatukana hapo Isipokua anaelimisha , Na hayo yote aliyoyasema ndo yaliyopo yanayofanywa hapa Duniani

    • @mastertripple8177
      @mastertripple8177 2 года назад

      Au na wewe ni miongon mwa madada poa unaambiw ukweli hutak unakua kama filauni

    • @khamisrubea5083
      @khamisrubea5083 Год назад

      Unajua kama ashatangulia akhera ?

    • @KhamisHaroub-uj5ci
      @KhamisHaroub-uj5ci 4 месяца назад

      Kwaio wakikera pia wasiambiwe

  • @bas2823
    @bas2823 2 года назад +1

    Ikiwa unataka kufanya vichekesho watu wacheke fanya lakini usitukane wanawake kwani ni Mama zenu nyote makhuluku ALLAH HAO WANAWAKE OK! PLEASE OK! SHEKHE RESPECT THE MOTHERS OF YRS ALL U MEN N WOMEN PLEASE N RESPECT YR SELF AS A SHEIKH NOT COMEDY OF VICHAKESHO OK! MIMI NNAKUNASIHI WACHA MANENO MABAYA YA KUSEMA WA KINA MAMA NA WATU WENGINE WOTE UNAPATA DHAMBI KUBWA SANA TENA KILA UKIHUBIRI UBAHIJALIZIYA KITABU CHAKO CHA DHAMBI PLEASE DONT DO THAT OK! BROTHER U R GOOD MAN. BE MORE GOOD TO OTHERS N TO YR SELF N YR FAMILY N TO YR GOD! OK!

    • @hilalkindy7699
      @hilalkindy7699 2 года назад

      Tulia dawa ikuingie ww

    • @jimj8285
      @jimj8285 2 года назад

      Hahaaaaa ukimwi Sio mchezooo!!! Unaoza unajinyea na Boro lako na Kuma yako!!!! Baaalaaa unanukaaa unakuwa kama nyani!!!

    • @khamiskhamis3165
      @khamiskhamis3165 Год назад

      Dawa mpaka kiyama hajatukanwa mwanamke apo dawa tu iyo