Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

SHEIKH YUSUF DIWANI | Zipo njia halali za kutoa Kafara ili ufanikiwe. Kumdhuru Albino NI KUFR.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2024
  • .
    .
    NG'ARI NG'ARI 2022 SEASON - Epsd 082 - Aired on Cloudstv | 06 JLY '24
    .
    .
    Ni JUMAMOSI Hii Saa Tatu Kamili Usiku (09:00pm) kupitia Cloudstv.
    .
    .
    Tazama Kipindi cha NG'ARING'ARI Clouds Tv kila Siku ya JUMAMOSI Saa 3 Kamili Usiku (09:00pm).
    Marudio: Jumapili saa 12 Jioni (06:00pm) & Jumatano saa 7 Mchana (01:00pm).
    .
    .
    .
    .
    Angalia Cloudstv kupitia:
    ⎮ Azam channel no. 403 ⎮ Dstv no. 387 ⎮ Startimes no. 109 / Antenna 497.
    .
    .
    .
    .
    .
    #YUSUFDIWANI #SINIA #ngaringari

Комментарии • 35

  • @user-dj1os5ib8x
    @user-dj1os5ib8x 28 дней назад +3

    Sheikh anakaribia kugusana magoti na demu, kakaa kajiachia habari hana.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 28 дней назад

      Kisha ndio alikua akiwapigisha kelele kina Sheikh Mohammed Ishaka huyo, si wa kujibizana naye kabisa huyo.

    • @twahaally7251
      @twahaally7251 25 дней назад

      Mtihan wallaahi

    • @mootelahamongus633
      @mootelahamongus633 24 дня назад

      Ndio watu wajionee

  • @user-cs5ob6tt8c
    @user-cs5ob6tt8c 27 дней назад +2

    Mungu Akubariki

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed Месяц назад +5

    We sema ni mganga

  • @twahaally7251
    @twahaally7251 26 дней назад +1

    يَا أَيُّهَا النَّبِيُّ قُل لِّأَزْوَاجِكَ وَبَنَاتِكَ وَنِسَاءِ الْمُؤْمِنِينَ يُدْنِينَ عَلَيْهِنَّ مِن جَلَابِيبِهِنَّ ۚ ذَٰلِكَ أَدْنَىٰ أَن يُعْرَفْنَ فَلَا يُؤْذَيْنَ ۗ وَكَانَ اللَّـهُ غَفُورًا رَّحِيمًا ﴿٥٩﴾
    Ee Nabiy! Waambie wake zako, na mabinti zako, na wanawake wa Waumini wajiteremshie jilbaab zao. Hivyo kunapeleka karibu zaidi watambulikane (kwa heshima) wasiudhiwe. Na Allaah daima ni Mwingi wa kughufuria, Mwenye kurehemu. [Al-Ahzaab: 59

  • @user-cs5ob6tt8c
    @user-cs5ob6tt8c 27 дней назад +1

    Nakuamini Mungu akubariki

  • @Junja_Tv
    @Junja_Tv 28 дней назад +2

    Nakukubali sana

  • @ginazngo4317
    @ginazngo4317 27 дней назад +1

    Hatari sana

  • @tigerroar3545
    @tigerroar3545 4 дня назад

    Mganga Diwani amekaa na mwanamke wanapiga porojo

  • @user-ff4zb2qn1l
    @user-ff4zb2qn1l 18 дней назад +1

    Sheikh ukaaji huo na mtangazaji mliyo ukaa binafsi naona hauko sawa

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev 27 дней назад +1

    Chawi

  • @AmourHamza-m3j
    @AmourHamza-m3j 26 дней назад +1

    Kwani kuwa shekhe kunakataza kua mganga ww unae lopoka hayajakufika hospitali huwa unatibiwa na baba yako?

  • @twahaally7251
    @twahaally7251 26 дней назад +1

    Wamekaa zero distance

  • @twahaally7251
    @twahaally7251 26 дней назад

    Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao na wahifadhi tupu zao, na wala wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa yale yanayodhihirika. Na waangushe khimaar (shungi) zao mpaka vifuani mwao, na wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa kwa waume zao, au baba zao, au baba za waume wao, au wana wao wa kiume, au wana wa kiume wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kiume wa kaka zao, au wana wa kiume wa dada zao, au wanawake wao (wa Kiislamu), au wale iliyowamiliki mikono yao ya kuume, au wafuasi wanaume wasio na matamanio ya jimai miongoni mwa wanaume au watoto ambao hawatambui kitu kuhusu sehemu za siri za wanawake. Na wala wasipige miguu yao yakajulikana yale wanayoyaficha katika mapambo yao. Na tubuni kwa Allaah nyote, enyi Waumini mpate kufaulu. [An-Nuwr: 31].

  • @NassirAliy
    @NassirAliy Месяц назад +1

    Ushekhe huna ila isipokua ushirikina

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 23 дня назад

    Hawa matipwa tipwa ni mke na mme au mtiani

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s 26 дней назад

    Waislamu tuwe makini wimbi la waganga njaa na matapeli kwa jina la usheikh utabibu limekua kubwa sana sasa tupa kama walokole tumeiga mambo ya makanisani

  • @BakariMussa-qn4oy
    @BakariMussa-qn4oy 29 дней назад

    Nyie wenyewe hamjitambui

  • @Junja_Tv
    @Junja_Tv 28 дней назад +1

    Sheikh JUNJA apa ila Bora ungeishusha HII krp coz Kuna mziki TUPO PAMOJA sheikh

  • @twahaally7251
    @twahaally7251 26 дней назад

    Kwanza inakuwaje mpaka wanahojiwa na wanawake na wala hana stara

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 29 дней назад +2

    Huo mziki vipi hapo 😂😂😂

    • @tigerroar3545
      @tigerroar3545 4 дня назад

      hahahahah makhurafi ,masufi wanapenda mziki hapo umekosekana mpunga tu

  • @BakariOmari-tr8cy
    @BakariOmari-tr8cy 25 дней назад +1

    Unakaaje ivo namwanamke na unajiita shekhe snafundisha nini

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 26 дней назад

    Kafara no UCHAWI uliojificha kwa kisingizio cha Dini. Dini haijasema hivyo, ni SHIRKI hiyo, je Mtume Muhammad s.a w. alifundisha hivyo? Masheikh mnawapoteza watu, na nyinyi wenyewe mnapotea, KIA ma kuna UJI WA CHUMA CHA MOTO UNAVALISHWA KAMA SKIN TAITI. special kwa wapotezao.

  • @user-sx1xi4yb2z
    @user-sx1xi4yb2z 23 дня назад

    Liongo hili jamaa,,na linajufanya lenyewe limetimia,, tapeli tu hili msiliamini.
    Lilitaka kunipiga nilipokua dubai,,nikalushtukia,
    Mie huwa nawachana tuu watu wa hovyo kama hawa,,
    Uchawi tuu umeeatawala wehu nyie.mnajiita mashekhe wakat ni. Wezi tu kama wezi wenginene

  • @BakariOmari-tr8cy
    @BakariOmari-tr8cy 25 дней назад

    Hapa hamnashekhe makhuraf waendako niwajingatuuuu sasa unakaaje ivo na mwanamke kunaulaximagani wakufanya ivo

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 29 дней назад +1

    Mganga wa kienyeji katika ubora wake amejifichia kwenye kivuli cha ushekhe arafu unawakufurisha wahabi kumbe yeye ndo mshirikina anajifanya shekhe ilimu enyewe huna

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu 22 дня назад

      Yeye ametaja vyuo alivyo soma, wewe umemuona Hana elimu, je wewe umesoma wapi? Inawezekana hata kupata udhu hujui.

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 22 дня назад +1

      @@jamalkishangu ni bora uwe kupata udhu hujui kuliko kujifanya shekhe arafu mganga wa kienyeji mushiriki hutopata kitu kwa allah

    • @tigerroar3545
      @tigerroar3545 4 дня назад

      @@jamalkishangu hana ushehe huyo mchawi tu huyo

  • @twahaally7251
    @twahaally7251 26 дней назад

    Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao na wahifadhi tupu zao, na wala wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa yale yanayodhihirika. Na waangushe khimaar (shungi) zao mpaka vifuani mwao, na wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa kwa waume zao, au baba zao, au baba za waume wao, au wana wao wa kiume, au wana wa kiume wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kiume wa kaka zao, au wana wa kiume wa dada zao, au wanawake wao (wa Kiislamu), au wale iliyowamiliki mikono yao ya kuume, au wafuasi wanaume wasio na matamanio ya jimai miongoni mwa wanaume au watoto ambao hawatambui kitu kuhusu sehemu za siri za wanawake. Na wala wasipige miguu yao yakajulikana yale wanayoyaficha katika mapambo yao. Na tubuni kwa Allaah nyote, enyi Waumini mpate kufaulu. [An-Nuwr: 31].