Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
SHEIKH YUSUF DIWANI | Zipo njia halali za kutoa Kafara ili ufanikiwe. Kumdhuru Albino NI KUFR.
HTML-код
- Опубликовано: 7 июл 2024
- .
.
NG'ARI NG'ARI 2022 SEASON - Epsd 082 - Aired on Cloudstv | 06 JLY '24
.
.
Ni JUMAMOSI Hii Saa Tatu Kamili Usiku (09:00pm) kupitia Cloudstv.
.
.
Tazama Kipindi cha NG'ARING'ARI Clouds Tv kila Siku ya JUMAMOSI Saa 3 Kamili Usiku (09:00pm).
Marudio: Jumapili saa 12 Jioni (06:00pm) & Jumatano saa 7 Mchana (01:00pm).
.
.
.
.
Angalia Cloudstv kupitia:
⎮ Azam channel no. 403 ⎮ Dstv no. 387 ⎮ Startimes no. 109 / Antenna 497.
.
.
.
.
.
#YUSUFDIWANI #SINIA #ngaringari
Sheikh anakaribia kugusana magoti na demu, kakaa kajiachia habari hana.
Kisha ndio alikua akiwapigisha kelele kina Sheikh Mohammed Ishaka huyo, si wa kujibizana naye kabisa huyo.
Mtihan wallaahi
Ndio watu wajionee
Mungu Akubariki
We sema ni mganga
يَا أَيُّهَا النَّبِيُّ قُل لِّأَزْوَاجِكَ وَبَنَاتِكَ وَنِسَاءِ الْمُؤْمِنِينَ يُدْنِينَ عَلَيْهِنَّ مِن جَلَابِيبِهِنَّ ۚ ذَٰلِكَ أَدْنَىٰ أَن يُعْرَفْنَ فَلَا يُؤْذَيْنَ ۗ وَكَانَ اللَّـهُ غَفُورًا رَّحِيمًا ﴿٥٩﴾
Ee Nabiy! Waambie wake zako, na mabinti zako, na wanawake wa Waumini wajiteremshie jilbaab zao. Hivyo kunapeleka karibu zaidi watambulikane (kwa heshima) wasiudhiwe. Na Allaah daima ni Mwingi wa kughufuria, Mwenye kurehemu. [Al-Ahzaab: 59
Nakuamini Mungu akubariki
Nakukubali sana
Hatari sana
Mganga Diwani amekaa na mwanamke wanapiga porojo
Sheikh ukaaji huo na mtangazaji mliyo ukaa binafsi naona hauko sawa
Chawi
Kwani kuwa shekhe kunakataza kua mganga ww unae lopoka hayajakufika hospitali huwa unatibiwa na baba yako?
Wamekaa zero distance
Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao na wahifadhi tupu zao, na wala wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa yale yanayodhihirika. Na waangushe khimaar (shungi) zao mpaka vifuani mwao, na wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa kwa waume zao, au baba zao, au baba za waume wao, au wana wao wa kiume, au wana wa kiume wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kiume wa kaka zao, au wana wa kiume wa dada zao, au wanawake wao (wa Kiislamu), au wale iliyowamiliki mikono yao ya kuume, au wafuasi wanaume wasio na matamanio ya jimai miongoni mwa wanaume au watoto ambao hawatambui kitu kuhusu sehemu za siri za wanawake. Na wala wasipige miguu yao yakajulikana yale wanayoyaficha katika mapambo yao. Na tubuni kwa Allaah nyote, enyi Waumini mpate kufaulu. [An-Nuwr: 31].
Ushekhe huna ila isipokua ushirikina
Hawa matipwa tipwa ni mke na mme au mtiani
Waislamu tuwe makini wimbi la waganga njaa na matapeli kwa jina la usheikh utabibu limekua kubwa sana sasa tupa kama walokole tumeiga mambo ya makanisani
Nyie wenyewe hamjitambui
Sheikh JUNJA apa ila Bora ungeishusha HII krp coz Kuna mziki TUPO PAMOJA sheikh
Kwanza inakuwaje mpaka wanahojiwa na wanawake na wala hana stara
Huo mziki vipi hapo 😂😂😂
hahahahah makhurafi ,masufi wanapenda mziki hapo umekosekana mpunga tu
Unakaaje ivo namwanamke na unajiita shekhe snafundisha nini
sio shehe huyo labda shehena
Kafara no UCHAWI uliojificha kwa kisingizio cha Dini. Dini haijasema hivyo, ni SHIRKI hiyo, je Mtume Muhammad s.a w. alifundisha hivyo? Masheikh mnawapoteza watu, na nyinyi wenyewe mnapotea, KIA ma kuna UJI WA CHUMA CHA MOTO UNAVALISHWA KAMA SKIN TAITI. special kwa wapotezao.
Unajua maana ya kafara
Liongo hili jamaa,,na linajufanya lenyewe limetimia,, tapeli tu hili msiliamini.
Lilitaka kunipiga nilipokua dubai,,nikalushtukia,
Mie huwa nawachana tuu watu wa hovyo kama hawa,,
Uchawi tuu umeeatawala wehu nyie.mnajiita mashekhe wakat ni. Wezi tu kama wezi wenginene
Hapa hamnashekhe makhuraf waendako niwajingatuuuu sasa unakaaje ivo na mwanamke kunaulaximagani wakufanya ivo
Mganga wa kienyeji katika ubora wake amejifichia kwenye kivuli cha ushekhe arafu unawakufurisha wahabi kumbe yeye ndo mshirikina anajifanya shekhe ilimu enyewe huna
Yeye ametaja vyuo alivyo soma, wewe umemuona Hana elimu, je wewe umesoma wapi? Inawezekana hata kupata udhu hujui.
@@jamalkishangu ni bora uwe kupata udhu hujui kuliko kujifanya shekhe arafu mganga wa kienyeji mushiriki hutopata kitu kwa allah
@@jamalkishangu hana ushehe huyo mchawi tu huyo
Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao na wahifadhi tupu zao, na wala wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa yale yanayodhihirika. Na waangushe khimaar (shungi) zao mpaka vifuani mwao, na wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa kwa waume zao, au baba zao, au baba za waume wao, au wana wao wa kiume, au wana wa kiume wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kiume wa kaka zao, au wana wa kiume wa dada zao, au wanawake wao (wa Kiislamu), au wale iliyowamiliki mikono yao ya kuume, au wafuasi wanaume wasio na matamanio ya jimai miongoni mwa wanaume au watoto ambao hawatambui kitu kuhusu sehemu za siri za wanawake. Na wala wasipige miguu yao yakajulikana yale wanayoyaficha katika mapambo yao. Na tubuni kwa Allaah nyote, enyi Waumini mpate kufaulu. [An-Nuwr: 31].