NG'ARING'ARI
NG'ARING'ARI
  • Видео 166
  • Просмотров 607 753
BROTHERMEN WA DUNIA | Mimi na Sharo Milionea wote tumetokea katika kundi la King Mjuto
BROTHERMEN WA DUNIA
Comedian
COMEDIAN / INFLUENCER
signed under: @luay_entertainment
MATANGAZO YA BIASHARA YAKO
MANAGER:📞💬+255653237117 / 📞💬+255746970009
RUclips CHANNEL 👇
youtube.com/@LUAY_TV?si=zvsEpV6qAWS8xAKi
Просмотров: 164

Видео

FARHEM FASHION | Designs sahihi kwa Nguo za Maharusi wa kisasa. [2024]
Просмотров 35Месяц назад
FARHEM FASHION | Designs sahihi kwa Nguo za Maharusi wa kisasa. [2024]
MAMDOGO | Training ya kubana BINGO Style kwa Bridals / Maharusi
Просмотров 23Месяц назад
MAMDOGO | Training ya kubana BINGO Style kwa Bridals / Maharusi
KANISA LA KIPENTEKOSTE | Upendo atawazwa rasmi na kuwa Mchungaji
Просмотров 482 месяца назад
KANISA LA KIPENTEKOSTE | Upendo atawazwa rasmi na kuwa Mchungaji
SHEIKH YUSUF DIWANI | Zijue faida za kumchinja Swala (Mbuzi pori)
Просмотров 1132 месяца назад
SHEIKH YUSUF DIWANI | Zijue faida za kumchinja Swala (Mbuzi pori)
SHEIKH YUSUF DIWANI | Kondoo alitolewa kama Fidia kwa Ismail ili Kafara ifanyike.
Просмотров 653 месяца назад
SHEIKH YUSUF DIWANI | Kondoo alitolewa kama Fidia kwa Ismail ili Kafara ifanyike.
SHEIKH SHARIFF SAID JOHN | Hatujalazimishwa Kuoa Mke zaidi ya Mmoja. UKWELI LEO NAUSEMA!
Просмотров 1013 месяца назад
Mimi nina Mke Mmoja! Ukweli Mchungu! Leo Nausema! Sunnah ya kuoa Mke zaidi ya mmoja ni sunnah iliyofungamanishwa na Sharti. Baadhi yetu wengi sisi wanaume tunaegemea katika upande mmoja wa kwamba ni Sunnah na inayo haki ya kuongeza, tunakiuka hiki kipande cha Sharti.
LINDA | Biashara hii imenitoa kimaisha. Niliuacha Uwalimu na kufanya hii Biashara.
Просмотров 4413 месяца назад
LINDA | Biashara hii imenitoa kimaisha. Niliuacha Uwalimu na kufanya hii Biashara.
SHEIKH YUSUF DIWANI | Waganga wapo wa aina 2. WAKISHIRIKINA & WAKISWALIHINA
Просмотров 1693 месяца назад
SHEIKH YUSUF DIWANI | Waganga wapo wa aina 2. WAKISHIRIKINA & WAKISWALIHINA
NASWIAT BREMBO | Usitie vitu hivi sehemu za Siri. GIRLS MNAPOTOSHWA!
Просмотров 2173 месяца назад
Jamani hao Ma-babies / Wapenzi / Wanaume zenu hata muwafanyie nini, wakiamua wameamua! Kuna tabia za Wasichana walio wengi kutia vitu kwenye sehemu zao za siri kwa madhumuni ya kuwalaghai wanaume. Ukweli ni kwamba Masomo wengi kupitia mitandao yao ya Kijamii wanawapotosha sana WARI / WASICHANA wengi kwa kuwapa elimu ambayo sio kabisa. . . . . Nisikilize mimi Naswiat nikueleze ukweli wa jambo le...
MAMA BOUTIQUE | Nguvu zao za kiume tunazimaliza sisi wamama wenyewe. Acha leo nifunguke!
Просмотров 1233 месяца назад
MAMA BOUTIQUE | Nguvu zao za kiume tunazimaliza sisi wamama wenyewe. Acha leo nifunguke!
LEILA YUSUF | Yes, ni kweli nipo Singo. Mume ni Mtihani kwangu! SITAKI KUOLEWA TENA!
Просмотров 17 тыс.3 месяца назад
JAMANI Usitie vitu hivi sehemu zako za Siri: ruclips.net/video/zSHmHevmMNc/видео.html . . Kwenye Suala la DINI Ndoa ni kitu cha Kheri pia ni ibada lakini pia ndoa ni bahati na kila mtu na Bahati yake. Kwanye MAISHA YANGU ninaweza kusema kwamba, Mimi sina bahati na NDOA. . . . . Timestamps / Chapters / Segments: 00:00 Sina Bahati na Ndoa japo ni ibada kwenye Dini yetu. 01:51 Nilipokuwa kwenye nd...
SHEIKH YUSUF DIWANI | Zipo njia halali za kutoa Kafara ili ufanikiwe. Kumdhuru Albino NI KUFR.
Просмотров 4,1 тыс.3 месяца назад
. . NG'ARI NG'ARI 2022 SEASON - Epsd 082 - Aired on Cloudstv | 06 JLY '24 . . Ni JUMAMOSI Hii Saa Tatu Kamili Usiku (09:00pm) kupitia Cloudstv. . . Tazama Kipindi cha NG'ARING'ARI Clouds Tv kila Siku ya JUMAMOSI Saa 3 Kamili Usiku (09:00pm). Marudio: Jumapili saa 12 Jioni (06:00pm) & Jumatano saa 7 Mchana (01:00pm). . . . . Angalia Cloudstv kupitia: ⎮ Azam channel no. 403 ⎮ Dstv no. 387 ⎮ Start...
JOYCE DESIGNER | Kutoka kumiliki Million 20 mpaka kuitafuta Elfu 50 ya kodi nakosa! Simulizi Part 2.
Просмотров 4314 месяца назад
JOYCE DESIGNER | Kutoka kumiliki Million 20 mpaka kuitafuta Elfu 50 ya kodi nakosa! Simulizi Part 2.
JOYCE DESIGNER | Kutoka kumiliki Million 20 mpaka kuitafuta Elfu 50 ya kodi nakosa! Simulizi Part 1.
Просмотров 3924 месяца назад
JOYCE DESIGNER | Kutoka kumiliki Million 20 mpaka kuitafuta Elfu 50 ya kodi nakosa! Simulizi Part 1.
MTUMISHI SAMWEL | Herufi ''A & D'' zikikutana pamoja, KELELE huwa haziishi kwenye Mahusiono.
Просмотров 2784 месяца назад
MTUMISHI SAMWEL | Herufi ''A & D'' zikikutana pamoja, KELELE huwa haziishi kwenye Mahusiono.
Je, #TeziDume linaweza kuvimba na likaonekana? Juma Athuman mkazi wa Kigoma anauliza | TABIBU MADUHU
Просмотров 164 месяца назад
Je, #TeziDume linaweza kuvimba na likaonekana? Juma Athuman mkazi wa Kigoma anauliza | TABIBU MADUHU
TEDDY MHANDO: Nampenda sana Mzee Yusuph. Yeye ni chaguo langu kutoka moyoni
Просмотров 1524 месяца назад
TEDDY MHANDO: Nampenda sana Mzee Yusuph. Yeye ni chaguo langu kutoka moyoni
Darling, Sweetheart, Baby & Mpenzi Haya ni majina ya Hisia tu.
Просмотров 1394 месяца назад
Darling, Sweetheart, Baby & Mpenzi Haya ni majina ya Hisia tu.
NG'ARI NG'ARI 2022 SEASON - Epsd 078 - Promo_YouTube | 08 JUN '24.
Просмотров 674 месяца назад
NG'ARI NG'ARI 2022 SEASON - Epsd 078 - Promo_RUclips | 08 JUN '24.
DULLA MAKABILA: Mungu atanilipa kwa kile walichonifanyia!
Просмотров 334 месяца назад
DULLA MAKABILA: Mungu atanilipa kwa kile walichonifanyia!
TABIBU MADUHU: Kufanya Tendo la Ndoa kwa mwaka mzima bila mimba hilo ni Tatizo la Uzazi.
Просмотров 674 месяца назад
TABIBU MADUHU: Kufanya Tendo la Ndoa kwa mwaka mzima bila mimba hilo ni Tatizo la Uzazi.
SUZY BALE: Neno la KuDaNga ni neno tu ila lina maana nyingi. Hata ''Kuombaomba'' ni KUDANGA pia!
Просмотров 704 месяца назад
SUZY BALE: Neno la KuDaNga ni neno tu ila lina maana nyingi. Hata ''Kuombaomba'' ni KUDANGA pia!
ASLAY ndiye aliye umaliza Utoto na Usichana wangu. HaPiNDuKi KwANgU!: BY NANA MAPOZI
Просмотров 2334 месяца назад
ASLAY ndiye aliye umaliza Utoto na Usichana wangu. HaPiNDuKi KwANgU!: BY NANA MAPOZI
TAMASHA LA SWAHILI BARKAH 2024: #Hurairah #BABDEOMILADU #SwahiliBarkah
Просмотров 1355 месяцев назад
TAMASHA LA SWAHILI BARKAH 2024: #Hurairah #BABDEOMILADU #SwahiliBarkah
SIFA 3 ZA MKE | 01. Mwanamke awe msaidizi. 02. Awe na uwezo wa kum-shape mume.
Просмотров 715 месяцев назад
SIFA 3 ZA MKE | 01. Mwanamke awe msaidizi. 02. Awe na uwezo wa kum-shape mume.
Pata nafasi ya namna ya kumiliki MJENGO kutoka kwa Mama Mokane
Просмотров 1875 месяцев назад
Pata nafasi ya namna ya kumiliki MJENGO kutoka kwa Mama Mokane
LEILA RASHID : '' Kinanda anachonipigia mume wangu Mzee Yusuph ni Special sana ''
Просмотров 5 тыс.5 месяцев назад
LEILA RASHID : '' Kinanda anachonipigia mume wangu Mzee Yusuph ni Special sana ''
RAHA ZA PWANI vol. II
Просмотров 1,5 тыс.5 месяцев назад
RAHA ZA PWANI vol. II
MBEGU ZA KIUME NDIO CHANZO CHA MIMBA NYINGI KUHARIBIKA. Tabibu Maduhu amefafanua suala hili kiundani
Просмотров 1216 месяцев назад
MBEGU ZA KIUME NDIO CHANZO CHA MIMBA NYINGI KUHARIBIKA. Tabibu Maduhu amefafanua suala hili kiundani

Комментарии

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z Месяц назад

    Ni sahihi mwanangu. Mziki waachieeee.........❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @SadaJeremia
    @SadaJeremia Месяц назад

    Dada angu minahitaji ya kwenda na kuludi

  • @OdastinaMabiti
    @OdastinaMabiti Месяц назад

    mtumishi sam nasikia we ni kamanda wa kupatanisha herufi. sasa naomba unisaidie O inamechi na ipi?

  • @IdhamarieAhmed
    @IdhamarieAhmed Месяц назад

    Stara ya mke ni mume. Usijidanganye wala kupoteza wenzako. Pesa wala kazi si muhimu kuliko mume ,na ana daraja kubwa .mke radhi yke kwa mumewe. Maisha huenda na vi wili wili etc mke na mume,usipote .la muhimu maisha ni subra.

  • @BimkubwaJuma-ew5dg
    @BimkubwaJuma-ew5dg Месяц назад

    Uyo rais satembee nawewe unanini

  • @ndutweshomari1366
    @ndutweshomari1366 2 месяца назад

    Nimejifunza waislamu wengi hawana Elimu ya Talaka.Yaani huyu Dada anajigamba eti talaka ya Mahakamani haina Rejea.kwani Waislamu Talak inatoa mahakama!?.

  • @tigerroar3545
    @tigerroar3545 2 месяца назад

    Mganga Diwani amekaa na mwanamke wanapiga porojo

  • @husseinadan9329
    @husseinadan9329 3 месяца назад

    Karibu, leila, nikuoe uhuru utapewa

  • @monarm9363
    @monarm9363 3 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤😘😘😘😘😘😘😘🌹🌹🌹🌹🌹🌹💐💐💐💐💐💐

  • @AlimiahAlimiah-k8i
    @AlimiahAlimiah-k8i 3 месяца назад

    Sheikh ukaaji huo na mtangazaji mliyo ukaa binafsi naona hauko sawa

  • @MariamMbarak-i6e
    @MariamMbarak-i6e 3 месяца назад

    Mane no yako ni dhahabu

  • @karamaabood4367
    @karamaabood4367 3 месяца назад

    Mh mh mh🏃🏃

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 3 месяца назад

    Kuwa kafiri tuu

  • @abuuiqrimah1125
    @abuuiqrimah1125 3 месяца назад

    Hata hiyo ni ushilikina amna kitu hapo pia diwani nae mushilikina

  • @AllyKija
    @AllyKija 3 месяца назад

    Macho yake tu anaonekana mtihani tupu

  • @AllyKija
    @AllyKija 3 месяца назад

    Shida anapotosha Hana maadili kbs laanatulaah

  • @HajiKelly
    @HajiKelly 3 месяца назад

    Dada yang kachoka tu uzee😂

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 3 месяца назад

    Hawa matipwa tipwa ni mke na mme au mtiani

  • @AmAl-x9j
    @AmAl-x9j 3 месяца назад

    Liongo hili jamaa,,na linajufanya lenyewe limetimia,, tapeli tu hili msiliamini. Lilitaka kunipiga nilipokua dubai,,nikalushtukia, Mie huwa nawachana tuu watu wa hovyo kama hawa,, Uchawi tuu umeeatawala wehu nyie.mnajiita mashekhe wakat ni. Wezi tu kama wezi wenginene

  • @baharamsalim3572
    @baharamsalim3572 3 месяца назад

    UTAPATA UTAKALO NA MUNGU ATAKUPA HLOO UTAKALO MTANGAZAJI NA WW JITANGAZE PIAH UACHANE UWE NA UHURU

  • @eddielkindy
    @eddielkindy 3 месяца назад

    Kosa lako ni kuikejeli dini tuu

  • @abdihirsi362
    @abdihirsi362 3 месяца назад

    Sister yangu hapo umkosea kusema hutaki ndoa ni dhambi kubwa kuwa mtu scw asema mwenye hataki kuoa ajua si uma wangu

  • @odaamirsaab9185
    @odaamirsaab9185 3 месяца назад

    Pole sana amka saa nane zausiku wakati mola kataramka kwa sama umuombe kwa ikhlas inshallah shida zitaisha kwa uwezo wake

  • @alibachirofficial3939
    @alibachirofficial3939 3 месяца назад

    Umalaya2

  • @AhmedHassan-cj9uv
    @AhmedHassan-cj9uv 3 месяца назад

  • @BakariOmari-tr8cy
    @BakariOmari-tr8cy 3 месяца назад

    Unakaaje ivo namwanamke na unajiita shekhe snafundisha nini

  • @BakariOmari-tr8cy
    @BakariOmari-tr8cy 3 месяца назад

    Hapa hamnashekhe makhuraf waendako niwajingatuuuu sasa unakaaje ivo na mwanamke kunaulaximagani wakufanya ivo

  • @IssaNasir-v2e
    @IssaNasir-v2e 3 месяца назад

    Waislamu tuwe makini wimbi la waganga njaa na matapeli kwa jina la usheikh utabibu limekua kubwa sana sasa tupa kama walokole tumeiga mambo ya makanisani

  • @twahaally7251
    @twahaally7251 3 месяца назад

    Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao na wahifadhi tupu zao, na wala wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa yale yanayodhihirika. Na waangushe khimaar (shungi) zao mpaka vifuani mwao, na wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa kwa waume zao, au baba zao, au baba za waume wao, au wana wao wa kiume, au wana wa kiume wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kiume wa kaka zao, au wana wa kiume wa dada zao, au wanawake wao (wa Kiislamu), au wale iliyowamiliki mikono yao ya kuume, au wafuasi wanaume wasio na matamanio ya jimai miongoni mwa wanaume au watoto ambao hawatambui kitu kuhusu sehemu za siri za wanawake. Na wala wasipige miguu yao yakajulikana yale wanayoyaficha katika mapambo yao. Na tubuni kwa Allaah nyote, enyi Waumini mpate kufaulu. [An-Nuwr: 31].

  • @twahaally7251
    @twahaally7251 3 месяца назад

    Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao na wahifadhi tupu zao, na wala wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa yale yanayodhihirika. Na waangushe khimaar (shungi) zao mpaka vifuani mwao, na wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa kwa waume zao, au baba zao, au baba za waume wao, au wana wao wa kiume, au wana wa kiume wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kiume wa kaka zao, au wana wa kiume wa dada zao, au wanawake wao (wa Kiislamu), au wale iliyowamiliki mikono yao ya kuume, au wafuasi wanaume wasio na matamanio ya jimai miongoni mwa wanaume au watoto ambao hawatambui kitu kuhusu sehemu za siri za wanawake. Na wala wasipige miguu yao yakajulikana yale wanayoyaficha katika mapambo yao. Na tubuni kwa Allaah nyote, enyi Waumini mpate kufaulu. [An-Nuwr: 31].

  • @twahaally7251
    @twahaally7251 3 месяца назад

    يَا أَيُّهَا النَّبِيُّ قُل لِّأَزْوَاجِكَ وَبَنَاتِكَ وَنِسَاءِ الْمُؤْمِنِينَ يُدْنِينَ عَلَيْهِنَّ مِن جَلَابِيبِهِنَّ ۚ ذَٰلِكَ أَدْنَىٰ أَن يُعْرَفْنَ فَلَا يُؤْذَيْنَ ۗ وَكَانَ اللَّـهُ غَفُورًا رَّحِيمًا ﴿٥٩﴾ Ee Nabiy! Waambie wake zako, na mabinti zako, na wanawake wa Waumini wajiteremshie jilbaab zao. Hivyo kunapeleka karibu zaidi watambulikane (kwa heshima) wasiudhiwe. Na Allaah daima ni Mwingi wa kughufuria, Mwenye kurehemu. [Al-Ahzaab: 59

  • @twahaally7251
    @twahaally7251 3 месяца назад

    Kwanza inakuwaje mpaka wanahojiwa na wanawake na wala hana stara

  • @twahaally7251
    @twahaally7251 3 месяца назад

    Wamekaa zero distance

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 3 месяца назад

    Mm nimekupenda .njoo kwangu .nitakupeleka kwa uhuru na hata ukisema ruto pia

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 3 месяца назад

    Km ni mwanaume unahis ndoa ni kifungo au mwanamke polen sana

  • @AmourHamza-m3j
    @AmourHamza-m3j 3 месяца назад

    Kwani kuwa shekhe kunakataza kua mganga ww unae lopoka hayajakufika hospitali huwa unatibiwa na baba yako?

  • @tobosha3236
    @tobosha3236 3 месяца назад

    Msungo tu uyo mwanamke

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 3 месяца назад

    Kafara no UCHAWI uliojificha kwa kisingizio cha Dini. Dini haijasema hivyo, ni SHIRKI hiyo, je Mtume Muhammad s.a w. alifundisha hivyo? Masheikh mnawapoteza watu, na nyinyi wenyewe mnapotea, KIA ma kuna UJI WA CHUMA CHA MOTO UNAVALISHWA KAMA SKIN TAITI. special kwa wapotezao.

  • @FahadAbdulrahman-s8q
    @FahadAbdulrahman-s8q 3 месяца назад

    Nakuamini Mungu akubariki

  • @FahadAbdulrahman-s8q
    @FahadAbdulrahman-s8q 3 месяца назад

    Mungu Akubariki

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev 3 месяца назад

    Chawi

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401 3 месяца назад

    Hawa ni wale wanawake ambao wanataka huru zao dunia ismame nishuke 😂😂

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5ni 3 месяца назад

    Naomba mimi nikuoe mlaani shaitwani fanya nikuoe kheri itapatikana Inshallah

  • @ginazngo4317
    @ginazngo4317 3 месяца назад

    Hatari sana

  • @jumaseifjuma4185
    @jumaseifjuma4185 3 месяца назад

    Wako wanawake tele kwenye ndoa na wameweza kutengeneza maisha ndani ya ndoa na maisha yanakwenda vizuri tu. Muandishi unataka kuwapa vichwa vikubwa hao kinadada wasiotaka ndoa tangu mapema na ujuaji mwingi. Ungewafuata na hao waliomuoa ukawahoji. Msema pweke hakosei.

    • @ngaringari
      @ngaringari 3 месяца назад

      @@jumaseifjuma4185 noted!

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 3 месяца назад

    Ndoa ni lazima kwa mwanamke kwa mwanaume Wanawake wengi hawadumu ktk ndoa kwa sabanu hizi 1- Huingia katka ndoa bila kujua elimu ya ndoa 2- Kujifanya anajua kuliko mwanaume 3- kujiona anaweza kutafta pesa( wanawake wote wanaojifanya wamastaa hawana wanaume) 4- wanasoma elimu ya mdoa krk mitandao nan kasema nın bıla kujua kuwa kıla ötu ana aıma ta mume wake 5- kufananısha maısha yake ma menzake kwa mumewe 6- kupaza saut anapoongea na mumewe 7- kujisahau akiwa katka ndoa na kuish tu atakavyo 7- kuisg kimazoea 8- kutokumjua aina ya mune alinaye 9-

    • @ngaringari
      @ngaringari 3 месяца назад

      @@twaibumikidadi7377 Nice comments!

  • @hamadmohamed3056
    @hamadmohamed3056 3 месяца назад

    Hiv Kwa Nini wanawake wengi wakishapata mafanikio kidogo tuu huu wanaanza kujiona wanaweza kuishi bila wanaume?

  • @TheTarabist
    @TheTarabist 3 месяца назад

    Mume humuhitaji? Utakuwa ni mgonjwa. Usitoe mfano wako kwa wanawake wengine walio na afya zao kamili za mwili.

  • @sefoadelino6684
    @sefoadelino6684 3 месяца назад

    Kuolewa ni asili ya kila mwanadamu mwenye afia

  • @sefoadelino6684
    @sefoadelino6684 3 месяца назад

    Pole sana leyla. Kaonane na Daktari, unaumwa