FULL VIDEO: Makonda akiwataja wanaotuhumiwa kwa dawa za kulevya DSM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2017
  • Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda leo February 2 2017 amewaita Waandishi wa habari na kuwaambia kuhusu uchunguzi aliofanya kwa wanaotumia na kufanya biashara ya dawa za kulevya kwenye jii la Dar es salaam.

Комментарии • 166

  • @celitomclassic5085
    @celitomclassic5085 7 лет назад +3

    kazi njema our RC..... wiki ijayo fyatua mashoga ukianza na Kaoge... wanachafua mji... please i beg for this....

  • @NormanEric
    @NormanEric 7 лет назад +1

    kazi nzuri mheshimiwa Makonda. kwenye vita hii nakuunga mkono kwa asilimia Mia moja.. Big Up sana

  • @hassankayla4076
    @hassankayla4076 7 лет назад +6

    Mungu akusimamie sana mkuu #PAULMAKONDA ahsante sana #MILARD kwa habar moto moto

  • @sifacycy_bby8827
    @sifacycy_bby8827 7 лет назад +4

    Hapo sawa kabisa ziwieni haswaaaa maana wazazi wengi watoto wao wanaume wakiume wanaharibika sn kwaju yahizo dawa zakulevya! Asant san #Ayo tv Mungu azidi kubariki office yenu nabaraka tele and baraka kwa #Makonda anapeleka vzr

  • @nicksonimbuya3387
    @nicksonimbuya3387 7 лет назад +4

    I appreciate you mkuu Paul makonda pambana tutafika na mungu atakulinda god be with you

  • @datiusnjungani2784
    @datiusnjungani2784 7 лет назад +3

    Mungu akulinde ni kazi Ngumu sana kwa maana umo wapo wabunge madiwani mawazili viongozi wa kijeshi yahani ni kazi ya Mungu hii kwa kweli Mungu wetu akuepushe na mabaya yote But dah hii vita Ngumu sana

  • @ahmadsjuma7012
    @ahmadsjuma7012 7 лет назад +2

    viongozi kama nyinyi ndio tunaowataka, hao watu wakubwa wanawaumiza hawa wanyonge ni bora sheria ichukue mkondo wake. kazi njema mkuu.

  • @EsterPaul-uc7ny
    @EsterPaul-uc7ny Месяц назад

    Mungu akusimamiee mheshimiwaa makee kazi hyooo sioo rahis mpaka uweee namoyoo , mheshimiwaa nashidaa sana naombaa unisaidiee hataaa helaa yamtaji nipooo chuoni ninamaishaa mangumu Sanaa

  • @faridmobji
    @faridmobji 7 лет назад +3

    safi kabisa Hizi ndo kazi na tusihurumiane katika hili yaani waaadhibiwe vikali

  • @ahmed-shakirmwamba4992
    @ahmed-shakirmwamba4992 7 лет назад +8

    Tatizo hili litaisha kama mtafuata au mtamuiga Rais Duterte wa Philippines.

  • @xaverythozo6961
    @xaverythozo6961 7 лет назад

    nice, kazi nzuri mungu akupe nguvu usichoke uzidi kupambana iwe mfano mzuri kwa mikoa mingine

  • @petermwantole9433
    @petermwantole9433 7 лет назад +18

    Una kazi ngumu na ya hatari , lakini Mungu atakusimamia...

  • @mwanahella9650
    @mwanahella9650 7 лет назад +1

    Allah atakusimamia japokua vita uloingia ndani yake baba uwiii😷😷mkondo wake ni mrefu sana,
    InShaAllah Mungu atakusimamia ktk hili taifa linateketea

  • @afandehassan1
    @afandehassan1 7 лет назад

    Mheshimiwa Paul Makonda la kwanza nakupongeza sana kwa kazi nzuri na hatari unayofanya la pili kuwa makini sana unapowataja hasa polisi wazembe wanaoshirikiana na hawa wafanya biashara za dawa za kulevya kwani akiwa bado mamlakani na umemtaja kwa mkutano na wandishi wa habari huoni wanaweza kuharibu uchunguzi ambayo bado hujakamilisha?

  • @frankkahimba1248
    @frankkahimba1248 7 лет назад +1

    Nampa big up sana huyu mkali (Mheshimiwa P Makonda).
    Natamani aje kuwa rais wa nchi hii tena ni baada tu mheshimiwa Magufuli kumaliza muda wake.

  • @innocentchristian4774
    @innocentchristian4774 7 лет назад +12

    Kwa Hili Nakupa 100% Bt Bado ya Mashoga

    • @aishahussein8741
      @aishahussein8741 7 лет назад +2

      innocent christian kwel mashoga alisemaga lkn wap bado wanajitangaza ila awafatilii

  • @halimaaminiamini1965
    @halimaaminiamini1965 7 лет назад

    Hongera sana mkuu wetu!! kwan madawa yametuharibia kizazi chetu Mungu akusimamie kwahili kwan ni vita kali mnooo!!!

  • @mercymtweve55
    @mercymtweve55 7 лет назад

    Hongera Sana Kwa kazi nzuri,Mungu Akutangulie na akufanyie wepesi.

  • @mohamedintumbitumbimbamba6105
    @mohamedintumbitumbimbamba6105 7 лет назад +1

    Kila la kheri Paul Makonda kiongozi kijana mchapakazi. Tupo pamoja katika kupambana na dawa za kulevya. Wito wangu kwako kuwa, hiyo ni vita kubwa jipange kwa umakini na kusanya ushahidi na vielelezo vya kutosha kutokomeza tatizo hilo.

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice1600 7 лет назад +1

    safi sana Mh. Makonda mungu akulinde

  • @nyash2542
    @nyash2542 7 лет назад +1

    254 huwezi kuwataja watuhumiwa kabla hujawapata na ushahidi kazi nzuri ila umeivujisha mapema rahisi kwao kupata mbinu yakujitetea..

  • @ignassilili8162
    @ignassilili8162 7 лет назад +1

    sjawahi kukupa pongezi kwa hiliiiiii mungu akusimamieee mkuuu makondaaaa

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 7 лет назад +1

    Tatizo maadui ni wengi sana ila wanaopambana nao ni wachache tu. Simetime hata wengine wenye dhamana ya kupambana na maadui nao wamegeuka kuwa wasaliti tena, but jeshi la Mungu ni zaidi ya majeshi yaliyopo dunia na wala halina mshindani, go ahead Bwana mkubwa hakika sifa zako zitajulikana Mbinguni na wala si dunia pekee. Usichoke kutenda mema nasi tutazidi kukuombea dua ili Mungu azidi kuwa upande wako na kukulinda na mabaya yote.

  • @josephmasome494
    @josephmasome494 7 лет назад

    Mungu kufanyie wepesi katika majukumu yako mh Makonda

  • @delphinacharles1304
    @delphinacharles1304 7 лет назад +3

    Mungu akutangulie katika kutimiza wajibu wako

  • @kadijahkadijah2799
    @kadijahkadijah2799 7 лет назад +2

    shukran.miladiayoo

  • @sphrb1063
    @sphrb1063 7 лет назад

    mwenyezi mungu akupiganie ktk kazi yako

  • @sizaanselim1642
    @sizaanselim1642 7 лет назад

    Mh. paul makonda haupo peke yako ila Mungu aliyejuu yupo pamoja na ww kwani ulichofanya ni jambo la busara la kuokoa vijana wetu. unahitaji to be motivated. what you do today it will bring change tomorrow.

  • @bnxbxn1085
    @bnxbxn1085 7 лет назад +1

    MUNGU akutie nguvu katika kazi uzofanya

  • @salimmalaatu3663
    @salimmalaatu3663 7 лет назад

    saf sanaaa mweshimiwa Muumba akuongezee nguvu akupe ujasiri Paul Makonda

  • @stevenmamba2464
    @stevenmamba2464 7 лет назад +3

    Huyu hana lolote anawadhalilisha wasanii nakuwachafulia majina yao kujitafutia umaarufu. Kama mnaushahidi Polisi na upelelezi wameshindwaje kwenda kuwahoji bila camera na TV ? Wasanii wetu leo wanawika Afrika nzima badala ya kuwalinda na kuwasappoti ndo kwanza tunawachafulia majina.

  • @anaquinones7383
    @anaquinones7383 7 лет назад +1

    kama kweli utafanyaivyo basi mungu akupenguvu maana nchi imealibika ususani dar rekebisa nikweli usiwe msemaji 2 tuone Na vitendo ukifanya tupo tunaekuweka ktk swala zetu tunakuombeya kwa mungu makonde Fanya kz usitizame MTU mualibifu ukamu acha 2 mungu awenawe. akulinde

  • @ritchiexanti9587
    @ritchiexanti9587 7 лет назад +2

    Hii vita so ya mtu mmoja.. Maana hizi business huwa zina network.. So kama unatupamba tu Paul Makonda halaf hufatilii hili swala kwanza yatakutokea puani and then DSM itabak bandar na shamba la madawa hayo.... Na vijana wataangamia

  • @anodnjenje9084
    @anodnjenje9084 7 лет назад +4

    Good job kamata wote...

  • @manasemwakagali9358
    @manasemwakagali9358 7 лет назад

    kazi ngumu hii, Mungu amsimamie kwakweli

  • @kitengeambari2646
    @kitengeambari2646 7 лет назад

    mungu amlinde makonda na ulinzi aongezewe

  • @topesafi9742
    @topesafi9742 7 лет назад +9

    na hawa walio unlike wafanyiwe uchunguziii,mpk kielewekee.

    • @bettylozie9038
      @bettylozie9038 7 лет назад +1

      adili eliakimu 😂😂😂😂😂😂 itabidi tena kwa haraka saana

    • @sitibora4942
      @sitibora4942 7 лет назад

      adili eliakimu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @joycemichaellovelove2221
    @joycemichaellovelove2221 7 лет назад +1

    kaz njema Mh.kila la kher Munch akutunze akuepushie na kukusimamia

  • @shaibuhamisi8715
    @shaibuhamisi8715 7 лет назад

    shukrani sana millard Ayo

  • @ibramagige7750
    @ibramagige7750 7 лет назад +1

    safi sana mkuu mungu akulinde

  • @richardpaul6709
    @richardpaul6709 7 лет назад +4

    Nahic 2tafika 2 mungu amlinde 2 mh poul makonda

    • @markakhereokhale8788
      @markakhereokhale8788 7 лет назад +3

      kaka unajituma sana kufanya kazi mungu atakusaidia damu ya yesu inenayo mema ikufunike Kila unapo kwenda amen

  • @planetmediatv7590
    @planetmediatv7590 7 лет назад +2

    safi sana makonda wetu

  • @esterelisante3294
    @esterelisante3294 7 лет назад

    mungu akusimamie katika utendajiwako wakanzi akuwekee ulinzi wa kutosha

  • @emanuelmnkai7605
    @emanuelmnkai7605 7 лет назад +1

    that's good,
    vijana wanaharibika kwa ajili ya drug,
    uchunguzi makini ufanyike ili wahusika halisi biashara hiyo wapatikane na wachukuliwe hatua

  • @ramlak_dramafans8807
    @ramlak_dramafans8807 7 лет назад +1

    nikikusikiliza unanipa matumaini mheshimiwa adi
    wema sepetu na petiman 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭wanatumia ivovitu

  • @ankotemba7369
    @ankotemba7369 7 лет назад

    I love you broo...uko vizuriiii

  • @raphaelluhemeja6836
    @raphaelluhemeja6836 7 лет назад

    Mungu akulinde na akuongezee

  • @janemwesh2140
    @janemwesh2140 7 лет назад

    Hakuna mtu atasema mtu hivyo tu..lazima amefanya uchunguzi kamili..Tanzanian people must be proud of him..huku kwetu kenya ukisema mtu hivyo kesho unauliwa..noma

  • @mbwanamkenda8560
    @mbwanamkenda8560 7 лет назад +2

    mungu akupiganie katika hili

  • @manstego2983
    @manstego2983 7 лет назад +1

    wanyongwe hao jamani!
    ndio dawa yao pekee.

  • @andrewasagwile7162
    @andrewasagwile7162 7 лет назад +1

    mfano wa kuigwa inatakiwa kiongozi kuwa jasiri namna hiyo hongera Mh RC

    • @charlesmagere9020
      @charlesmagere9020 7 лет назад

      watu wajinga kweli yaan mtu anasema hamna kitu na huku mtu anapambana na wauza unga hii siyo kazi ndgo.....acheni ujinga

  • @mariammarco1554
    @mariammarco1554 7 лет назад +4

    kazi nzuri ila unatakiwa uwe makini naamini hat Mungu atakufanyia wepesi. .

    • @wilbertseme5455
      @wilbertseme5455 7 лет назад +1

      mungu husimama na watu wenye ujasiri na ushujaavkam ulio nao makonda

  • @sphrb1063
    @sphrb1063 7 лет назад

    barikiwa bro Millard asante sn

  • @mamarama6360
    @mamarama6360 7 лет назад

    mungu atakusaidia na kukulinda fanya kaz mkuu

  • @frankanjelo1825
    @frankanjelo1825 7 лет назад

    mungu akuongoze Paul makonda

  • @shd12m55
    @shd12m55 7 лет назад

    Brother uko juu salut sana broo

  • @merryjosephat713
    @merryjosephat713 7 лет назад

    anyone watching this in March 2017?

  • @saddammiheso6270
    @saddammiheso6270 7 лет назад +2

    nice work

  • @gloryhulwe5210
    @gloryhulwe5210 7 лет назад

    yesu akufunike sana.watakao kusagia meno wasifanikiwe kwa jina la yesu

  • @otarueventsplanner1353
    @otarueventsplanner1353 7 лет назад +2

    #Makonda Juu #ZABURI 45 ndio msaada wako

  • @khalidally9012
    @khalidally9012 7 лет назад +2

    Ndo walewale hao unaunlike jambo kama hil

  • @gulwetv8801
    @gulwetv8801 7 лет назад +2

    wajina ukimaliza hilo deal na mashoga

  • @perfectbarschapter7051
    @perfectbarschapter7051 7 лет назад

    mungu akutangulie big bro

  • @agnesrobert4883
    @agnesrobert4883 7 лет назад

    pambana kijana mh makonda maana kazi iliyoko mbele yako ni kubwa sana lkn naamn Mungu atakusimamia ipasavyo.

  • @johnsamo9028
    @johnsamo9028 7 лет назад +2

    pambana kamanda, Mungu yu pamoja nawe

  • @godsonchacha9445
    @godsonchacha9445 7 лет назад

    Kazi nzuri

  • @neemahassan8786
    @neemahassan8786 7 лет назад

    mungu akusaidie

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 7 лет назад

    safi sana uko sawa

  • @sylvestermsafiri4372
    @sylvestermsafiri4372 7 лет назад

    mhm! Kazi kweli kweli.

  • @marimalasmi1805
    @marimalasmi1805 7 лет назад +5

    hahaha na sepenga ww mkaka sio bure una bifu na miss tz

  • @musitemusite4316
    @musitemusite4316 3 года назад

    M ungu akulinde sana

  • @lizaali3963
    @lizaali3963 7 лет назад

    mungu akutangulie

  • @richardmzena4697
    @richardmzena4697 7 лет назад +1

    Ni balaaaaahhhh!!!!!

  • @adamkanyamala9358
    @adamkanyamala9358 7 лет назад

    safi sana mh p makonda

  • @richardtagara7623
    @richardtagara7623 7 лет назад

    #**big up mkuu nikweri unakazi nzili*

  • @andreagrado9590
    @andreagrado9590 7 лет назад

    mungu akusimamie bro

  • @issamohamedissa8894
    @issamohamedissa8894 7 лет назад

    dah hatareee sanaaaa...swala la NGADA NI HATAREEE ....KILA LA KHERI BUT ALLAH ATAKUPIGANIA NA KUKULINDA....WANAFANYA KUFURU ZA PESA KUMBE BEHIND THE SCENE WANAUZA NGADA

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin5866 7 лет назад

    kiukwel kaz IPO apo mbk policy !! Ila mm naomba kila stag tuzione zisi yeyuke yeyuke kam za skopion

  • @shaabanmasoud4827
    @shaabanmasoud4827 7 лет назад

    Dah mola akuongoze Mheshimiwa wetu mpendwa hakika tuko pamoja nawe

  • @dianaahdarlingkenya7616
    @dianaahdarlingkenya7616 7 лет назад +1

    great Job

  • @elymollel
    @elymollel 7 лет назад

    good job.

  • @mtalikodymediamix3572
    @mtalikodymediamix3572 7 лет назад

    Safii sana!
    Komaa nao.

  • @monicamabula7420
    @monicamabula7420 7 лет назад +4

    mwaka huu tuta eshimiana

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 2 года назад

    Ulikuwa unafanya kazi kwa sifa na kujipendekeza kwa maguful"akini magufuli alikuwa hakupendi.

  • @damydee5278
    @damydee5278 7 лет назад

    Tumepata kiongozi mwenye ujasiri sana mpaka nafurahi

  • @mayleo1440
    @mayleo1440 7 лет назад +1

    Shisha iliishia wapi ? Zipo kibao kama zimeruhusiwa tu.

  • @vonkale8565
    @vonkale8565 7 лет назад +10

    huyu kila siku maneno tuu nampa 109%
    vitendo 0%

    • @dibya20
      @dibya20 7 лет назад +4

      Von Kale na ww ni muuzaji nini kipi zero asichokifanya

    • @rukiahussein9737
      @rukiahussein9737 7 лет назад +1

      Von Kale 😂😂😂😂😉😉😂😂😉

    • @mara-cb3gx
      @mara-cb3gx 7 лет назад

      Von Kale mbona anajitahid jamani

    • @kfastak
      @kfastak 7 лет назад +2

      mara م namaneno sindio watanzania wanahitaji

    • @mara-cb3gx
      @mara-cb3gx 7 лет назад +1

      kelven kombo maneno ki2 simple eti

  • @johngambos
    @johngambos 7 лет назад

    safi nakupa 100%

  • @halimanyauba6004
    @halimanyauba6004 7 лет назад +2

    Mungu akusimamie mkuu

  • @josephcharles6703
    @josephcharles6703 7 лет назад

    Kazi kweli kweli

  • @mokhimji
    @mokhimji 2 года назад

    Leo ni Tarehe 17/04/2022 na nacheka sana hahahahaha

  • @ombenithomas2180
    @ombenithomas2180 7 лет назад

    mungu awe na wewe mkuu

  • @fatmaalrashdi1577
    @fatmaalrashdi1577 7 лет назад

    ndungu yangu nakupa pogezi kwa kazi yako wewe kweli.mchapa kazi hawakukosea kukupa hicho kiti ni kijana mchapa kazi kweli hogera na wapa hogera wa tz kupata vijana kama hwa kuchapa kazi vizur mimi niko oman maskat nafatilia habar zote

  • @ramlak_dramafans8807
    @ramlak_dramafans8807 7 лет назад +1

    nita kulindaje? mheshimiwa wangu

  • @kisangageorgethomasi2830
    @kisangageorgethomasi2830 Год назад

    Tangu usingizie watu maarufu kwa sababu tu za siasa tuambie niwangapi mpaka sasa wamethibitika na mahakama na wamehukumiwa

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin5866 7 лет назад

    Mzee ukimu ona sepenga tu😂😂😇😇

  • @Eng2460
    @Eng2460 7 лет назад +1

    good

    • @stanslauslekule9870
      @stanslauslekule9870 7 лет назад +2

      nikazi pouwa but why usinge washika kwanza na kuthibitisha nikweli no wahusika ndio use me jwa pablic je ukikuta hawausiki utawasafishiaje jina napita tu

  • @saifalrajhi5001
    @saifalrajhi5001 7 лет назад

    kuna waTanzania kibao wako nchi za nje wamefungwa kifungo kikubwa kwa madawa Haya ya kulevya. wengi wao hawamiliki hata £ 50 kumaanisha kwamba walikuwa wametumwa na hao wakubwa zao. Makonda fatilia kuwauliza bila Shaka utawapata wahalifu wengi

  • @maidaphdmaidaclassicphd8690
    @maidaphdmaidaclassicphd8690 7 лет назад

    yap

  • @rashidt.sindano3351
    @rashidt.sindano3351 7 лет назад +1

    big up

    • @mohamedkatunka6943
      @mohamedkatunka6943 7 лет назад

      Watanzania wenzangu wooote,mnaopenda na kupigania haki.Tafadhali ombeni Dua nyingi kwa muumba ziwa kings na baraka kwa mh.RC Makonda. Ni kazi ya hatari sana.