FULL VIDEO: Makonda akiwataja wanaotuhumiwa kwa dawa za kulevya DSM
HTML-код
- Опубликовано: 1 фев 2017
- Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda leo February 2 2017 amewaita Waandishi wa habari na kuwaambia kuhusu uchunguzi aliofanya kwa wanaotumia na kufanya biashara ya dawa za kulevya kwenye jii la Dar es salaam.
kazi njema our RC..... wiki ijayo fyatua mashoga ukianza na Kaoge... wanachafua mji... please i beg for this....
kazi nzuri mheshimiwa Makonda. kwenye vita hii nakuunga mkono kwa asilimia Mia moja.. Big Up sana
Mungu akusimamie sana mkuu #PAULMAKONDA ahsante sana #MILARD kwa habar moto moto
Hapo sawa kabisa ziwieni haswaaaa maana wazazi wengi watoto wao wanaume wakiume wanaharibika sn kwaju yahizo dawa zakulevya! Asant san #Ayo tv Mungu azidi kubariki office yenu nabaraka tele and baraka kwa #Makonda anapeleka vzr
mkubwa zambi huna
I appreciate you mkuu Paul makonda pambana tutafika na mungu atakulinda god be with you
Mungu akulinde ni kazi Ngumu sana kwa maana umo wapo wabunge madiwani mawazili viongozi wa kijeshi yahani ni kazi ya Mungu hii kwa kweli Mungu wetu akuepushe na mabaya yote But dah hii vita Ngumu sana
viongozi kama nyinyi ndio tunaowataka, hao watu wakubwa wanawaumiza hawa wanyonge ni bora sheria ichukue mkondo wake. kazi njema mkuu.
Mungu akusimamiee mheshimiwaa makee kazi hyooo sioo rahis mpaka uweee namoyoo , mheshimiwaa nashidaa sana naombaa unisaidiee hataaa helaa yamtaji nipooo chuoni ninamaishaa mangumu Sanaa
safi kabisa Hizi ndo kazi na tusihurumiane katika hili yaani waaadhibiwe vikali
Tatizo hili litaisha kama mtafuata au mtamuiga Rais Duterte wa Philippines.
nice, kazi nzuri mungu akupe nguvu usichoke uzidi kupambana iwe mfano mzuri kwa mikoa mingine
Una kazi ngumu na ya hatari , lakini Mungu atakusimamia...
Kazi hiyo makonda zuri tena sna -utakomboa wengi lakin-----------
Allah atakusimamia japokua vita uloingia ndani yake baba uwiii😷😷mkondo wake ni mrefu sana,
InShaAllah Mungu atakusimamia ktk hili taifa linateketea
Mheshimiwa Paul Makonda la kwanza nakupongeza sana kwa kazi nzuri na hatari unayofanya la pili kuwa makini sana unapowataja hasa polisi wazembe wanaoshirikiana na hawa wafanya biashara za dawa za kulevya kwani akiwa bado mamlakani na umemtaja kwa mkutano na wandishi wa habari huoni wanaweza kuharibu uchunguzi ambayo bado hujakamilisha?
Nampa big up sana huyu mkali (Mheshimiwa P Makonda).
Natamani aje kuwa rais wa nchi hii tena ni baada tu mheshimiwa Magufuli kumaliza muda wake.
Kwa Hili Nakupa 100% Bt Bado ya Mashoga
innocent christian kwel mashoga alisemaga lkn wap bado wanajitangaza ila awafatilii
Hongera sana mkuu wetu!! kwan madawa yametuharibia kizazi chetu Mungu akusimamie kwahili kwan ni vita kali mnooo!!!
Hongera Sana Kwa kazi nzuri,Mungu Akutangulie na akufanyie wepesi.
mungu akusimamie kwa kazi nzur
Kila la kheri Paul Makonda kiongozi kijana mchapakazi. Tupo pamoja katika kupambana na dawa za kulevya. Wito wangu kwako kuwa, hiyo ni vita kubwa jipange kwa umakini na kusanya ushahidi na vielelezo vya kutosha kutokomeza tatizo hilo.
safi sana Mh. Makonda mungu akulinde
254 huwezi kuwataja watuhumiwa kabla hujawapata na ushahidi kazi nzuri ila umeivujisha mapema rahisi kwao kupata mbinu yakujitetea..
sjawahi kukupa pongezi kwa hiliiiiii mungu akusimamieee mkuuu makondaaaa
Tatizo maadui ni wengi sana ila wanaopambana nao ni wachache tu. Simetime hata wengine wenye dhamana ya kupambana na maadui nao wamegeuka kuwa wasaliti tena, but jeshi la Mungu ni zaidi ya majeshi yaliyopo dunia na wala halina mshindani, go ahead Bwana mkubwa hakika sifa zako zitajulikana Mbinguni na wala si dunia pekee. Usichoke kutenda mema nasi tutazidi kukuombea dua ili Mungu azidi kuwa upande wako na kukulinda na mabaya yote.
Mungu kufanyie wepesi katika majukumu yako mh Makonda
Mungu akutangulie katika kutimiza wajibu wako
shukran.miladiayoo
mwenyezi mungu akupiganie ktk kazi yako
Mh. paul makonda haupo peke yako ila Mungu aliyejuu yupo pamoja na ww kwani ulichofanya ni jambo la busara la kuokoa vijana wetu. unahitaji to be motivated. what you do today it will bring change tomorrow.
MUNGU akutie nguvu katika kazi uzofanya
saf sanaaa mweshimiwa Muumba akuongezee nguvu akupe ujasiri Paul Makonda
Huyu hana lolote anawadhalilisha wasanii nakuwachafulia majina yao kujitafutia umaarufu. Kama mnaushahidi Polisi na upelelezi wameshindwaje kwenda kuwahoji bila camera na TV ? Wasanii wetu leo wanawika Afrika nzima badala ya kuwalinda na kuwasappoti ndo kwanza tunawachafulia majina.
kama kweli utafanyaivyo basi mungu akupenguvu maana nchi imealibika ususani dar rekebisa nikweli usiwe msemaji 2 tuone Na vitendo ukifanya tupo tunaekuweka ktk swala zetu tunakuombeya kwa mungu makonde Fanya kz usitizame MTU mualibifu ukamu acha 2 mungu awenawe. akulinde
Hii vita so ya mtu mmoja.. Maana hizi business huwa zina network.. So kama unatupamba tu Paul Makonda halaf hufatilii hili swala kwanza yatakutokea puani and then DSM itabak bandar na shamba la madawa hayo.... Na vijana wataangamia
Good job kamata wote...
kazi ngumu hii, Mungu amsimamie kwakweli
mungu amlinde makonda na ulinzi aongezewe
na hawa walio unlike wafanyiwe uchunguziii,mpk kielewekee.
adili eliakimu 😂😂😂😂😂😂 itabidi tena kwa haraka saana
adili eliakimu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
kaz njema Mh.kila la kher Munch akutunze akuepushie na kukusimamia
shukrani sana millard Ayo
safi sana mkuu mungu akulinde
Nahic 2tafika 2 mungu amlinde 2 mh poul makonda
kaka unajituma sana kufanya kazi mungu atakusaidia damu ya yesu inenayo mema ikufunike Kila unapo kwenda amen
safi sana makonda wetu
mungu akusimamie katika utendajiwako wakanzi akuwekee ulinzi wa kutosha
that's good,
vijana wanaharibika kwa ajili ya drug,
uchunguzi makini ufanyike ili wahusika halisi biashara hiyo wapatikane na wachukuliwe hatua
nikikusikiliza unanipa matumaini mheshimiwa adi
wema sepetu na petiman 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭wanatumia ivovitu
I love you broo...uko vizuriiii
Mungu akulinde na akuongezee
Hakuna mtu atasema mtu hivyo tu..lazima amefanya uchunguzi kamili..Tanzanian people must be proud of him..huku kwetu kenya ukisema mtu hivyo kesho unauliwa..noma
mungu akupiganie katika hili
wanyongwe hao jamani!
ndio dawa yao pekee.
mfano wa kuigwa inatakiwa kiongozi kuwa jasiri namna hiyo hongera Mh RC
watu wajinga kweli yaan mtu anasema hamna kitu na huku mtu anapambana na wauza unga hii siyo kazi ndgo.....acheni ujinga
kazi nzuri ila unatakiwa uwe makini naamini hat Mungu atakufanyia wepesi. .
mungu husimama na watu wenye ujasiri na ushujaavkam ulio nao makonda
barikiwa bro Millard asante sn
mungu atakusaidia na kukulinda fanya kaz mkuu
mungu akuongoze Paul makonda
Brother uko juu salut sana broo
anyone watching this in March 2017?
nice work
yesu akufunike sana.watakao kusagia meno wasifanikiwe kwa jina la yesu
#Makonda Juu #ZABURI 45 ndio msaada wako
Ndo walewale hao unaunlike jambo kama hil
wajina ukimaliza hilo deal na mashoga
mungu akutangulie big bro
pambana kijana mh makonda maana kazi iliyoko mbele yako ni kubwa sana lkn naamn Mungu atakusimamia ipasavyo.
pambana kamanda, Mungu yu pamoja nawe
Kazi nzuri
mungu akusaidie
safi sana uko sawa
mhm! Kazi kweli kweli.
hahaha na sepenga ww mkaka sio bure una bifu na miss tz
M ungu akulinde sana
mungu akutangulie
Ni balaaaaahhhh!!!!!
safi sana mh p makonda
#**big up mkuu nikweri unakazi nzili*
mungu akusimamie bro
dah hatareee sanaaaa...swala la NGADA NI HATAREEE ....KILA LA KHERI BUT ALLAH ATAKUPIGANIA NA KUKULINDA....WANAFANYA KUFURU ZA PESA KUMBE BEHIND THE SCENE WANAUZA NGADA
kiukwel kaz IPO apo mbk policy !! Ila mm naomba kila stag tuzione zisi yeyuke yeyuke kam za skopion
Dah mola akuongoze Mheshimiwa wetu mpendwa hakika tuko pamoja nawe
great Job
Dianaah Darling بةAyako yh
good job.
Safii sana!
Komaa nao.
mwaka huu tuta eshimiana
Ulikuwa unafanya kazi kwa sifa na kujipendekeza kwa maguful"akini magufuli alikuwa hakupendi.
Tumepata kiongozi mwenye ujasiri sana mpaka nafurahi
Shisha iliishia wapi ? Zipo kibao kama zimeruhusiwa tu.
huyu kila siku maneno tuu nampa 109%
vitendo 0%
Von Kale na ww ni muuzaji nini kipi zero asichokifanya
Von Kale 😂😂😂😂😉😉😂😂😉
Von Kale mbona anajitahid jamani
mara م namaneno sindio watanzania wanahitaji
kelven kombo maneno ki2 simple eti
safi nakupa 100%
Mungu akusimamie mkuu
Kazi kweli kweli
Leo ni Tarehe 17/04/2022 na nacheka sana hahahahaha
mungu awe na wewe mkuu
ndungu yangu nakupa pogezi kwa kazi yako wewe kweli.mchapa kazi hawakukosea kukupa hicho kiti ni kijana mchapa kazi kweli hogera na wapa hogera wa tz kupata vijana kama hwa kuchapa kazi vizur mimi niko oman maskat nafatilia habar zote
nita kulindaje? mheshimiwa wangu
Tangu usingizie watu maarufu kwa sababu tu za siasa tuambie niwangapi mpaka sasa wamethibitika na mahakama na wamehukumiwa
Mzee ukimu ona sepenga tu😂😂😇😇
good
nikazi pouwa but why usinge washika kwanza na kuthibitisha nikweli no wahusika ndio use me jwa pablic je ukikuta hawausiki utawasafishiaje jina napita tu
kuna waTanzania kibao wako nchi za nje wamefungwa kifungo kikubwa kwa madawa Haya ya kulevya. wengi wao hawamiliki hata £ 50 kumaanisha kwamba walikuwa wametumwa na hao wakubwa zao. Makonda fatilia kuwauliza bila Shaka utawapata wahalifu wengi
yap
big up
Watanzania wenzangu wooote,mnaopenda na kupigania haki.Tafadhali ombeni Dua nyingi kwa muumba ziwa kings na baraka kwa mh.RC Makonda. Ni kazi ya hatari sana.