Mshuhudie Paul Makonda Uone Kitakachotokea Hapa!
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo amepiga marufuku watendaji wa serikali wa mkoa huo kutoka nje ya mkoa bila kutoa taarifa kwake. Makonda amepiga marufuku hiyo wakati wa kongamano la tathimini ya hali ya miundombinu ya barabara za mkoa huo katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Posta jijini Dar.
Kauli hiyo ya Makonda imekuja baada kukosekana kwa watendaji ambao walitakiwa kuhudhuria kongamano hilo kwa madai kuwa wako nje ya mkoa kikazi huku waliobakia wakishindwa kueleza kuwa wapo kwa ajili ya kazi gani.
” Kuanzia sasa hakuna mtumishi wa mkoa huu kutoka nje bila kutoa taarifa hata kama ni kazi ya wizara gani lazima mtoe taarifa, kumekuwa na tabia ya watu kujitengenezea tu safari ambazo hazijulikani wakati hata rais wetu alishazikataza,” alisema Makonda.
hongera sana makonda....!!!! chapa kazi. nataman wakuu wote wa mikoa wangekuwa wachapakaz wa aina yako.......!!!!!
Haya yako wapi
Asante Sana makonda
makonda nakukubali sn unachofnya hua wa5anzania wengi hawan huo ujri play ure part makondà
tuache kufcha hili limakonda liko vizuri lina travailler bien vraiment
Wallah m natokea KENYA but nafatilia sana habari zako muheshimiwa makonda.kazi yako safi. Mungu akulinde
unataka barabara nzuri au unataka vyeti?wwe unataka vyeti utatembea juu ya vyeti?🙌piga kazi makonda wangu👏
Mungu akubaraki makoda
very nice makonda, ha ha ha ha aaa arongwi mtu piga kazi kaka wenye chuki wapotezee tu.
Sasa ww makonda, hapo Mheshimiwa Ruge anakujaje!? Na kama katumwa we umechukua hatua gani!? Taja na hao wengine bac,,, mbona umemtaja tu Mheshimiwa Ruge,,?
We upo tu kisiasa na Kiki za social media tumekuchoka huna jipya
Ulikuwa vizur baba k tunakukumbuka ati wengine ufe ndo wakusifie jaman mungu akuongeze baraka na family yako
Kati ya watu wa muhimu katka Taifa la Tz ni huyu mkuu wa mkoa, blessed mkuu
nampenda sana makonda piga kazi baba tuko nyuma yako hiyo kauli ni nzuri sana wanaotaka kujipasua vichwa wajipasuetu we songa mbele
Kaka Mungu akutangulie upo vzr sana
Safi sana makonda mama akurudishe tena uwe wazirii mkuu 2025. Ila ungemsikiliza huyo muheshimiwa ndyo umuhukumu hata kama alijaribu kukurubuni mpe nafasi ajieleze. Ila upo vzri next prime minister.👏👏🙏🙏
Asante kaka makonda piga Kazi waache watu wabaki na majungu yao
namkubali sana my brother nikiongozi hasa wakuigwa
Na sifa zote hizo ulizompa leo ameshitakiwa mahakama inamsubiri
Kazi iendelee hahahahaha hii ndo Tanzania yetu
Dah, piga kazi mkuu wa mkoa wangu mimi nakukubali sana kutokana na upigaji kazi wako, hill zoezi liwe endelevu lisiishie hapo tuu.
Hongera sana mh makonda
Makonda 2024
Vizur sana makonda.ukweli una mweka mtu kuwa huru.
Mungu akulinde sana mkuu katika kazi zako.Tenda haki tu.
anaetaka cheti. aje achukue hapa kliniki vimejaa sana
Huyu ndie kiongozi aliyeteuliwa kupitia mikono ya Mungu PMakonda karibu tunakupenda sana si kwa sura ni kwa Utendaji kazi wako na kuwasaidia Wanyonge Mungu atakulinda chapa kazi
Namuoana Diwani wangu Mzee Haroub wa makumbusho....kazi nzuri sana kiongozi wetu,,,pigana tujengewe barabara nzuri., ila sijakusikia katika issue ya Team Lipumba Vs Team Maalim.
Kwan waliofukuzwa kwa ajili ya v yeti w alikuwa hawafanyi kazi pumbavu sana uonevu tu
Makonda Fanya kazi yako
Kazi ipo...
Hapo ulikuwa sawa kabisa
Hongera makonda ilitakiwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani ili uwatumikie watanzania wote hongera kwa misimamo isiyo yumba
Piga Kazi MWANANGU MAKONDA achana na wababaishaji .Wasikutishe kwa maneno Mungu ndiyo jibu kwa kila jambo.
Safi sana mukuu wee ni jembe hapa kazi tu hao wakandalasi inatakiwa waende kwa viboko
hongera sana mkuu wa mkoa piga kazi hakuna kuangalia sura.
Nashukuru sana
Mpambanaji Mungu atakulinda
Pastor chria
piga Kazi kaka mkubwa ufi Wale ulogwi. Mungu yu upande wako
Munizi
Pao
Leah Eddy kaka Fanya kaz
nimekukubali Baba Uko Vizuri Sana
Wasomi wanapigwa maswali na mtu asiye soma na msomi hanamajibu
Hiv hapo nani kilaza sasa
Kamanda Makonda
wanaomponda Mkuu wa mkoa mh Paul Makonda ni Lofa tena ni Mpumbavu tunapambana na kuboresha miundombinu harafu mijinga isiyokuwa na haya inazungumzia Vyeti Naichukia sana mipuuzi haya
Kazi yako nzur Sana jaman
Mi ni ukawa lakin utendaji wa mamb kama haya kwa mh makonda namsapot bila kujali mapunguf mengine cz asiposemwa kwa mabaya mtu atasemwa kwa mema
god Simba mwenzangu
Calvin Morgan Safi kakaangu maendeleo hayana Chama.
Big up sn kiongozi
Makonda Ni mtendaji. Kazi nzuri sana.
Magufuli wa Pili. Gombea Urais. Kura yangu unayo.
Uko vizuri muheshimiwa wangu nakukubali sanaa
Sana mweshimiwa makonda piga kaziiiiiiiiiiii
makonda bola mungu alivokuteua ww maana Wana zinguwa
Uko vizuri sana kaka
Woote
Dah maisha bhana
Twanga KAZI Mh.Makonda
Mis you daddy
Sijajutia mb zangu nimepata kitu nzuri endeleen kutupa vitu nzuri nzuri kama hii
Nimekupenda bure makonda simamia kazi vzr watu wanaotesha vitambi hawawajibiki
Piga kazi mkuuu
Pambania hali zetu tuna pata shida sn wakazi Wa airpot Barbara zate mashimo mashimo had kero usiombe mvua inyeshe
pemba
Wewe ni Rais ajae Ndugu yangu aisee kwa sasa naweka bando baada ya Mzee wangu Magu aisee Kwa sasa wewe ni Mwenezi na Kazi unaupiga mwingi sana
Huyu ndiye makonda tunayemhitaji kuwateteawwanyonge tumbuwatumbuwa iendelee🇹🇿
mh kuu wa mkoa .nakupongez sana tupo pamoja kama kijana wako
nashukuru kwa kunitusi ndugu yangu mimi nimelelewa vyema na famili yangu wewe tu ndio umelelewa kishetani umezea mitusi kwa wakubwa hiyo ni moja ya laaana kwako
Makonda ni jembe sana,watu tu waTanzania hawana shuklani ya kile wanachokitaka.huyu ndugu ni mtenda kazi mzuri sana,anatenda vyema
Inaonekana hivyo.
Japo swala LA vyeti limebaki gizani,pia nimeskia kwenye daladala eti unajituma ili awamu ijayo uteuliwe uwaziri mkuu,nasema Kazi njema.
wakalishe kt moto
Co kama co mchapa kaz wachapa kaz wako weng zaid yake na wametolewa
wanafunzi wachaf
nyinyi mnae dai vyeti mmelaaniwa na washilikina kwani ofisini kwake hamajui wehu nyinyi
Saidi Meshack Fuck you
Charles Ased ,hii nimeifuta isiingie kwenye hansard ya social media
Fuck u too and toooooo
bila shaka huna hata cha kipaimara
Saidi Meshack ok pow
piga kazi mimi nakuelewa sana mkuu wa mkoa makonda mchana watasema usiku watalala walio soma wenyewe badala yakutusaidia wanataka mpaka tuwape rushwa kwanza ndio wafanye kazi inauma sana yani
Makonda kazi kazi
❤
Mungu wajalie Hekima nabusara viongozi wote Tanzania,
Jeuri yako Mungu amwalipia, sasa imekula kwako.
Boss, Njoo unijibu: jamaa karudi kwasababu ya"SALA YA TOBA" au sisitimu ndo mpaka mwamba katoboa?
sasa sijui bado yuko hai arudi ajibu tena kija.karudi.mzigoni❤😂
Nataman awamu hii ya pili ya Jpili Magufuri apate nafasi tena maana mchapakazi sana kma upo sawa na mm gonga like twende sawa
Aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeeee watanzania ukiwafanyia kazi nzuri utaambiwa anamasifa ila ukiwafanyia kazi bibaya watasema hajuilolote/hana akili
N:B kaa na akili kaa na maskini
Matokeo mbeya
Naomba kuona wakorey weus
asante sana mkuu
good Sana tukiwa na viongozi Kama Hawa Tz itakuwa Bora.
Huyo ni rc makonda,
mh p hufi hurogwi pigania haki mungu yupo nawe mungu akubaliki sana mh P
Hakuna kitu muhimu kama performances kwenye kazi. Elimu bila performance ni bure, lakini performance bila elimu ni nzuri zaidi. Lakini vyote viwili ni muhimu, na Mh Makonda anavyo. Big up!
Piga kazi!! Makonda.Majungu waachie wanawake
Ni vita tu ya madawa ya kulevya lakini kijana kapiga kazi sana.
piga kazi mh...... hao wanao dai vyet ivo vyeti ndo vingekuja kufanya yote ayooo......... tetea haki baba
Piga kazi baba
Rizzy Ramadhan piga kaka kaka
hao wanaosema huna vyet ndio waliotufikisha huku na vyet vyao.mafisad wakubwa hao piga Kaz makonda
Nimependa maamuzi yako makonda mungu akupe afya njema
Hongera makonda kwamamuzi yako
good
Nakukubali mkuu chapa kazi salute
Kaz kaz makond
kazi yako ni njema mkuu wa mkoa
Piga kazi Makonda tunakukubali
piga kazi muheshimiwa Makonda
Makonda kaz yako njema mungu akubariki, mungu akupe hekima na maarifa, endelea kumtumainia yeye
duhhh chet tu ndo kitakukwamisha usiwe rais
Noo good makonda
That's very good my DC. I love you for this.
ng'a ng'ania vyet tuu.makonda piga Kaz nataman uje Kilimanjaro MUNGU akutunze
Tumepata kiongozi sasa
Makonda mi namkubali Sana anajua jinsi ya kuongoza respectful mister wabongo mnataka mafanikio kilaisilaisi ndomaana tunaibiwa hata na madini kwakupenda slope
Daaaaah, what a personality!!
Makonda Piga Kazi Achana Na Wanafiki
duuh nishidah san han ata lestning skill and jugmnt anlysis koz anaingilia spech ndyo maana kam wanazozona vle hiii ni 0 brain
Watu awaitaji mapenzi ,watu tunaitaji mtoto,chapa kazi makonda wangu Allah atakulinda kwa jicho la 3
Piga kazi babangu piga kazi ww ni jembe la nguvu Nataman sana had mikoani watumbuliwe maana madiwani mikoani wazembe sana Chapa kazi babaaa nakupenda sana
WATANZANIA ELIMU NDOGO SANA WAPO NYUMA KIMAENDELEO WIZI NA DHULMA NO 1
makonda piga kazi uko vizuri
Safi kabisaaa
mwenye elim yake,,,anafukuzwa na kilaza kaz ,,,,hii ndo tanzania
Mkuu pga kazi uko sawa
Unataka vyeti badala ya barabara nzuri DSM,barabara utatumia,je vyeti vyake utatumiaje
Mama tuko pamoja sana
Mwaka huu vitambi vitapungua sana hasa wapiga dili
chapa kazi baba acha manyumbu wapige mayowe
Piga kazi
sio siri nampenda sana makonda sana kwa utendaji wake wa kz ila sisi watanzania atuna shukurani
Kwenye hili la barabara hapo nakusifu ..barabara inajengwa miezi miwili tuh ,mashimo mashimo imeshachimbika yoooote ..kwa kweli wamezidi jamani
kazi kazi
Shikamoo Makonda