Mshuhudie Paul Makonda Uone Kitakachotokea Hapa!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo amepiga marufuku watendaji wa serikali wa mkoa huo kutoka nje ya mkoa bila kutoa taarifa kwake. Makonda amepiga marufuku hiyo wakati wa kongamano la tathimini ya hali ya miundombinu ya barabara za mkoa huo katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Posta jijini Dar.
    Kauli hiyo ya Makonda imekuja baada kukosekana kwa watendaji ambao walitakiwa kuhudhuria kongamano hilo kwa madai kuwa wako nje ya mkoa kikazi huku waliobakia wakishindwa kueleza kuwa wapo kwa ajili ya kazi gani.
    ” Kuanzia sasa hakuna mtumishi wa mkoa huu kutoka nje bila kutoa taarifa hata kama ni kazi ya wizara gani lazima mtoe taarifa, kumekuwa na tabia ya watu kujitengenezea tu safari ambazo hazijulikani wakati hata rais wetu alishazikataza,” alisema Makonda.

Комментарии • 501

  • @eugenmgaya6623
    @eugenmgaya6623 7 лет назад +5

    hongera sana makonda....!!!! chapa kazi. nataman wakuu wote wa mikoa wangekuwa wachapakaz wa aina yako.......!!!!!

  • @barikiarastus8770
    @barikiarastus8770 7 лет назад +4

    Asante Sana makonda

  • @stellahfulgence8803
    @stellahfulgence8803 7 лет назад +3

    makonda nakukubali sn unachofnya hua wa5anzania wengi hawan huo ujri play ure part makondà

  • @mwandumazaoidrossa1702
    @mwandumazaoidrossa1702 7 лет назад +31

    tuache kufcha hili limakonda liko vizuri lina travailler bien vraiment

  • @dharesfadhil2236
    @dharesfadhil2236 6 лет назад +1

    Wallah m natokea KENYA but nafatilia sana habari zako muheshimiwa makonda.kazi yako safi. Mungu akulinde

  • @benadethamartin1168
    @benadethamartin1168 7 лет назад +5

    unataka barabara nzuri au unataka vyeti?wwe unataka vyeti utatembea juu ya vyeti?🙌piga kazi makonda wangu👏

  • @aziza9093
    @aziza9093 7 месяцев назад

    Mungu akubaraki makoda

  • @catylolo1365
    @catylolo1365 7 лет назад +4

    very nice makonda, ha ha ha ha aaa arongwi mtu piga kazi kaka wenye chuki wapotezee tu.

    • @helsongressimo3166
      @helsongressimo3166 7 лет назад

      Sasa ww makonda, hapo Mheshimiwa Ruge anakujaje!? Na kama katumwa we umechukua hatua gani!? Taja na hao wengine bac,,, mbona umemtaja tu Mheshimiwa Ruge,,?
      We upo tu kisiasa na Kiki za social media tumekuchoka huna jipya

  • @modestersalmon7764
    @modestersalmon7764 2 года назад +1

    Ulikuwa vizur baba k tunakukumbuka ati wengine ufe ndo wakusifie jaman mungu akuongeze baraka na family yako

  • @ericksanga9175
    @ericksanga9175 7 лет назад +15

    Kati ya watu wa muhimu katka Taifa la Tz ni huyu mkuu wa mkoa, blessed mkuu

  • @magangamajariwamaganga4321
    @magangamajariwamaganga4321 6 лет назад

    nampenda sana makonda piga kazi baba tuko nyuma yako hiyo kauli ni nzuri sana wanaotaka kujipasua vichwa wajipasuetu we songa mbele

  • @SimonKiondo-q3v
    @SimonKiondo-q3v 7 месяцев назад

    Kaka Mungu akutangulie upo vzr sana

  • @husseinshabani3306
    @husseinshabani3306 2 года назад

    Safi sana makonda mama akurudishe tena uwe wazirii mkuu 2025. Ila ungemsikiliza huyo muheshimiwa ndyo umuhukumu hata kama alijaribu kukurubuni mpe nafasi ajieleze. Ila upo vzri next prime minister.👏👏🙏🙏

  • @omarikessy2339
    @omarikessy2339 7 лет назад +1

    Asante kaka makonda piga Kazi waache watu wabaki na majungu yao

  • @rahmamavura406
    @rahmamavura406 7 лет назад +4

    namkubali sana my brother nikiongozi hasa wakuigwa

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 года назад

      Na sifa zote hizo ulizompa leo ameshitakiwa mahakama inamsubiri
      Kazi iendelee hahahahaha hii ndo Tanzania yetu

  • @JJ-bw5jw
    @JJ-bw5jw 7 лет назад +3

    Dah, piga kazi mkuu wa mkoa wangu mimi nakukubali sana kutokana na upigaji kazi wako, hill zoezi liwe endelevu lisiishie hapo tuu.

  • @beshamsemo6897
    @beshamsemo6897 7 лет назад +2

    Hongera sana mh makonda

  • @abdallahathuman9493
    @abdallahathuman9493 3 месяца назад

    Makonda 2024

  • @masanjadani8356
    @masanjadani8356 7 лет назад +2

    Vizur sana makonda.ukweli una mweka mtu kuwa huru.

  • @ashafikira4860
    @ashafikira4860 7 лет назад

    Mungu akulinde sana mkuu katika kazi zako.Tenda haki tu.

  • @YunusuKantangayo
    @YunusuKantangayo 10 месяцев назад

    Huyu ndie kiongozi aliyeteuliwa kupitia mikono ya Mungu PMakonda karibu tunakupenda sana si kwa sura ni kwa Utendaji kazi wako na kuwasaidia Wanyonge Mungu atakulinda chapa kazi

  • @safinabakari9140
    @safinabakari9140 7 лет назад

    Namuoana Diwani wangu Mzee Haroub wa makumbusho....kazi nzuri sana kiongozi wetu,,,pigana tujengewe barabara nzuri., ila sijakusikia katika issue ya Team Lipumba Vs Team Maalim.

    • @lilianbunjulu1281
      @lilianbunjulu1281 7 лет назад +1

      Kwan waliofukuzwa kwa ajili ya v yeti w alikuwa hawafanyi kazi pumbavu sana uonevu tu

  • @mabulamalimi5270
    @mabulamalimi5270 7 лет назад +2

    Makonda Fanya kazi yako

  • @baltasartemu2153
    @baltasartemu2153 7 лет назад +2

    Kazi ipo...

  • @kashindmohamedi7701
    @kashindmohamedi7701 2 года назад

    Hapo ulikuwa sawa kabisa

  • @georgegonda8891
    @georgegonda8891 6 лет назад +1

    Hongera makonda ilitakiwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani ili uwatumikie watanzania wote hongera kwa misimamo isiyo yumba

  • @elizabethlujabiko8166
    @elizabethlujabiko8166 7 лет назад

    Piga Kazi MWANANGU MAKONDA achana na wababaishaji .Wasikutishe kwa maneno Mungu ndiyo jibu kwa kila jambo.

  • @fabianmwile2960
    @fabianmwile2960 4 года назад

    Safi sana mukuu wee ni jembe hapa kazi tu hao wakandalasi inatakiwa waende kwa viboko

  • @emmanuelimaxxaka754
    @emmanuelimaxxaka754 5 лет назад

    hongera sana mkuu wa mkoa piga kazi hakuna kuangalia sura.

  • @kilimanjaro.n.v.sober-hous1416
    @kilimanjaro.n.v.sober-hous1416 6 лет назад

    Nashukuru sana

  • @nyandapastory9420
    @nyandapastory9420 2 года назад

    Mpambanaji Mungu atakulinda

  • @shaabanmminge2606
    @shaabanmminge2606 6 лет назад

    Pastor chria

  • @leaheddy3533
    @leaheddy3533 7 лет назад +13

    piga Kazi kaka mkubwa ufi Wale ulogwi. Mungu yu upande wako

  • @allysharifu4810
    @allysharifu4810 5 лет назад +1

    nimekukubali Baba Uko Vizuri Sana

  • @geofreymgeni2668
    @geofreymgeni2668 7 лет назад +17

    Wasomi wanapigwa maswali na mtu asiye soma na msomi hanamajibu
    Hiv hapo nani kilaza sasa

  • @mtahogarashid8488
    @mtahogarashid8488 7 месяцев назад

    Kamanda Makonda

  • @allymliloh1760
    @allymliloh1760 7 лет назад +5

    wanaomponda Mkuu wa mkoa mh Paul Makonda ni Lofa tena ni Mpumbavu tunapambana na kuboresha miundombinu harafu mijinga isiyokuwa na haya inazungumzia Vyeti Naichukia sana mipuuzi haya

  • @kataninyido401
    @kataninyido401 2 года назад

    Kazi yako nzur Sana jaman

  • @calvinmorgan66
    @calvinmorgan66 7 лет назад +17

    Mi ni ukawa lakin utendaji wa mamb kama haya kwa mh makonda namsapot bila kujali mapunguf mengine cz asiposemwa kwa mabaya mtu atasemwa kwa mema

  • @emiliamulaki3600
    @emiliamulaki3600 7 лет назад +5

    Makonda Ni mtendaji. Kazi nzuri sana.

  • @husseinshabanhusseinshaban1705
    @husseinshabanhusseinshaban1705 6 лет назад

    Sana mweshimiwa makonda piga kaziiiiiiiiiiii

  • @MauwaSalehe-cq3if
    @MauwaSalehe-cq3if 10 месяцев назад

    makonda bola mungu alivokuteua ww maana Wana zinguwa

  • @rajabjuma2608
    @rajabjuma2608 2 года назад

    Uko vizuri sana kaka

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 11 месяцев назад

    Woote

  • @richardtungaraza7509
    @richardtungaraza7509 2 года назад

    Dah maisha bhana

  • @leonardkukudi7783
    @leonardkukudi7783 7 лет назад +2

    Twanga KAZI Mh.Makonda

  • @magdalenamombe7226
    @magdalenamombe7226 2 года назад

    Mis you daddy

  • @devothayun1586
    @devothayun1586 7 лет назад

    Sijajutia mb zangu nimepata kitu nzuri endeleen kutupa vitu nzuri nzuri kama hii

  • @graceenno4859
    @graceenno4859 5 лет назад +1

    Nimekupenda bure makonda simamia kazi vzr watu wanaotesha vitambi hawawajibiki

  • @kaizambagwa5128
    @kaizambagwa5128 7 лет назад +2

    Piga kazi mkuuu

  • @masnondofundi5637
    @masnondofundi5637 7 лет назад +6

    Pambania hali zetu tuna pata shida sn wakazi Wa airpot Barbara zate mashimo mashimo had kero usiombe mvua inyeshe

  • @mtahogarashid8488
    @mtahogarashid8488 7 месяцев назад

    Wewe ni Rais ajae Ndugu yangu aisee kwa sasa naweka bando baada ya Mzee wangu Magu aisee Kwa sasa wewe ni Mwenezi na Kazi unaupiga mwingi sana

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 11 месяцев назад

    Huyu ndiye makonda tunayemhitaji kuwateteawwanyonge tumbuwatumbuwa iendelee🇹🇿

  • @hajiissa9200
    @hajiissa9200 5 лет назад

    mh kuu wa mkoa .nakupongez sana tupo pamoja kama kijana wako

  • @saidimeshack6315
    @saidimeshack6315 7 лет назад +1

    nashukuru kwa kunitusi ndugu yangu mimi nimelelewa vyema na famili yangu wewe tu ndio umelelewa kishetani umezea mitusi kwa wakubwa hiyo ni moja ya laaana kwako

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 7 лет назад +23

    Makonda ni jembe sana,watu tu waTanzania hawana shuklani ya kile wanachokitaka.huyu ndugu ni mtenda kazi mzuri sana,anatenda vyema

  • @saidimeshack6315
    @saidimeshack6315 7 лет назад +18

    nyinyi mnae dai vyeti mmelaaniwa na washilikina kwani ofisini kwake hamajui wehu nyinyi

  • @ashatadei5639
    @ashatadei5639 7 лет назад +4

    piga kazi mimi nakuelewa sana mkuu wa mkoa makonda mchana watasema usiku watalala walio soma wenyewe badala yakutusaidia wanataka mpaka tuwape rushwa kwanza ndio wafanye kazi inauma sana yani

  • @salimkichokala5246
    @salimkichokala5246 7 лет назад +1

    Makonda kazi kazi

  • @kavulatikivurunzi
    @kavulatikivurunzi 11 месяцев назад

  • @Ev.Daniel_Ikoja
    @Ev.Daniel_Ikoja 6 лет назад

    Mungu wajalie Hekima nabusara viongozi wote Tanzania,

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 2 года назад

    Jeuri yako Mungu amwalipia, sasa imekula kwako.

    • @mandalorian_4.11
      @mandalorian_4.11 11 месяцев назад +1

      Boss, Njoo unijibu: jamaa karudi kwasababu ya"SALA YA TOBA" au sisitimu ndo mpaka mwamba katoboa?

    • @CharlesMassunga
      @CharlesMassunga 7 месяцев назад

      sasa sijui bado yuko hai arudi ajibu tena kija.karudi.mzigoni❤😂

  • @hamzaseleman5604
    @hamzaseleman5604 3 года назад

    Nataman awamu hii ya pili ya Jpili Magufuri apate nafasi tena maana mchapakazi sana kma upo sawa na mm gonga like twende sawa

  • @jeffkitory314
    @jeffkitory314 6 лет назад

    Aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeeee watanzania ukiwafanyia kazi nzuri utaambiwa anamasifa ila ukiwafanyia kazi bibaya watasema hajuilolote/hana akili
    N:B kaa na akili kaa na maskini

  • @consolatamahenge2198
    @consolatamahenge2198 6 лет назад

    Matokeo mbeya

  • @magangamajaliwa5056
    @magangamajaliwa5056 6 лет назад

    asante sana mkuu

  • @nsodyaphilimon9153
    @nsodyaphilimon9153 7 лет назад

    good Sana tukiwa na viongozi Kama Hawa Tz itakuwa Bora.

  • @karimuhassan2716
    @karimuhassan2716 2 года назад

    Huyo ni rc makonda,

  • @sadimasudi709
    @sadimasudi709 6 лет назад

    mh p hufi hurogwi pigania haki mungu yupo nawe mungu akubaliki sana mh P

  • @mselimsuya6952
    @mselimsuya6952 6 лет назад +3

    Hakuna kitu muhimu kama performances kwenye kazi. Elimu bila performance ni bure, lakini performance bila elimu ni nzuri zaidi. Lakini vyote viwili ni muhimu, na Mh Makonda anavyo. Big up!

  • @burtonsatshop2061
    @burtonsatshop2061 7 лет назад +5

    Piga kazi!! Makonda.Majungu waachie wanawake

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 2 года назад

    Ni vita tu ya madawa ya kulevya lakini kijana kapiga kazi sana.

  • @rizzyramadhan1156
    @rizzyramadhan1156 7 лет назад +3

    piga kazi mh...... hao wanao dai vyet ivo vyeti ndo vingekuja kufanya yote ayooo......... tetea haki baba

  • @georgefaustini5679
    @georgefaustini5679 7 лет назад +2

    hao wanaosema huna vyet ndio waliotufikisha huku na vyet vyao.mafisad wakubwa hao piga Kaz makonda

  • @danielgasaya6720
    @danielgasaya6720 7 лет назад +1

    Nimependa maamuzi yako makonda mungu akupe afya njema

  • @johnmatiku1567
    @johnmatiku1567 7 лет назад +2

    good

  • @issarashid3994
    @issarashid3994 6 лет назад

    Nakukubali mkuu chapa kazi salute

  • @jaysonsanga8389
    @jaysonsanga8389 5 лет назад

    Kaz kaz makond

  • @dastansimpanzye5558
    @dastansimpanzye5558 4 года назад +3

    kazi yako ni njema mkuu wa mkoa

  • @mwakasegeshukuru3720
    @mwakasegeshukuru3720 7 лет назад +7

    Piga kazi Makonda tunakukubali

  • @oscarmushi3212
    @oscarmushi3212 7 лет назад +1

    piga kazi muheshimiwa Makonda

  • @amirinyakunga5839
    @amirinyakunga5839 5 лет назад

    Makonda kaz yako njema mungu akubariki, mungu akupe hekima na maarifa, endelea kumtumainia yeye

  • @antoniompinge6593
    @antoniompinge6593 7 лет назад +2

    duhhh chet tu ndo kitakukwamisha usiwe rais

  • @stewartmillanzi7198
    @stewartmillanzi7198 6 лет назад +3

    That's very good my DC. I love you for this.

  • @georgefaustini5679
    @georgefaustini5679 7 лет назад +6

    ng'a ng'ania vyet tuu.makonda piga Kaz nataman uje Kilimanjaro MUNGU akutunze

  • @MeckyMwandambo
    @MeckyMwandambo 11 месяцев назад

    Tumepata kiongozi sasa

  • @deomagele8393
    @deomagele8393 7 лет назад

    Makonda mi namkubali Sana anajua jinsi ya kuongoza respectful mister wabongo mnataka mafanikio kilaisilaisi ndomaana tunaibiwa hata na madini kwakupenda slope

  • @venancebasil4656
    @venancebasil4656 7 лет назад +7

    Daaaaah, what a personality!!

    • @fabianpius7423
      @fabianpius7423 7 лет назад

      Makonda Piga Kazi Achana Na Wanafiki

    • @saidymtima4701
      @saidymtima4701 7 лет назад

      duuh nishidah san han ata lestning skill and jugmnt anlysis koz anaingilia spech ndyo maana kam wanazozona vle hiii ni 0 brain

    • @allymabiso6600
      @allymabiso6600 7 лет назад +1

      Watu awaitaji mapenzi ,watu tunaitaji mtoto,chapa kazi makonda wangu Allah atakulinda kwa jicho la 3

    • @devothayun1586
      @devothayun1586 7 лет назад +1

      Piga kazi babangu piga kazi ww ni jembe la nguvu Nataman sana had mikoani watumbuliwe maana madiwani mikoani wazembe sana Chapa kazi babaaa nakupenda sana

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 2 года назад

    WATANZANIA ELIMU NDOGO SANA WAPO NYUMA KIMAENDELEO WIZI NA DHULMA NO 1

  • @godfreymuhalule6948
    @godfreymuhalule6948 4 года назад

    makonda piga kazi uko vizuri

  • @eliudymhapu1750
    @eliudymhapu1750 5 лет назад

    Safi kabisaaa

  • @adnanramadhanjunuzage1629
    @adnanramadhanjunuzage1629 7 лет назад +2

    mwenye elim yake,,,anafukuzwa na kilaza kaz ,,,,hii ndo tanzania

  • @peterkisiri4938
    @peterkisiri4938 6 лет назад

    Mkuu pga kazi uko sawa

  • @papafikiri
    @papafikiri 7 лет назад +4

    Unataka vyeti badala ya barabara nzuri DSM,barabara utatumia,je vyeti vyake utatumiaje

  • @romanisarwatt555
    @romanisarwatt555 2 года назад

    Mama tuko pamoja sana

  • @geofreymgeni2668
    @geofreymgeni2668 7 лет назад +8

    Mwaka huu vitambi vitapungua sana hasa wapiga dili

  • @tatunaally1510
    @tatunaally1510 6 лет назад

    sio siri nampenda sana makonda sana kwa utendaji wake wa kz ila sisi watanzania atuna shukurani

  • @cutebabyyslimdaddy4110
    @cutebabyyslimdaddy4110 7 лет назад +2

    Kwenye hili la barabara hapo nakusifu ..barabara inajengwa miezi miwili tuh ,mashimo mashimo imeshachimbika yoooote ..kwa kweli wamezidi jamani

  • @thadeo10hag_
    @thadeo10hag_ 5 лет назад

    kazi kazi

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 6 лет назад

    Shikamoo Makonda