ALI KIBA MIMI SIO MTU WA KUSHOW OFF KAMA DAIMOND

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • ALI KIBA MIMI SIO MTU WA KUSHOW OFF

Комментарии • 171

  • @daniellukasy9136
    @daniellukasy9136 7 лет назад +4

    team kibaaa forever ,love you kibaaa your the king of music in Africa ,yyooooooo!!!! papiliiiii

  • @kulwakulwa2521
    @kulwakulwa2521 7 лет назад +6

    Naikubali sana ngoma yko ya Makimuga inanifunfisha maisha jinsi ya kukumbuka na kesho, katika maisha ya ujana tunayo pitia

  • @amirmotors9735
    @amirmotors9735 7 лет назад +26

    nice point kiba hatuitaji Pesa zako tunahitaji heshima

  • @innocentjoseph5811
    @innocentjoseph5811 7 лет назад +10

    kiba kipenzi cha wa2 uxionyexhe elaa 2najua unazo ngoma ndompango mzm

  • @the_Rock_2409
    @the_Rock_2409 7 лет назад +27

    kama unamuelewa na kumkubali king gonga like twende sawa

  • @ratochetikakaachamanenoban5229
    @ratochetikakaachamanenoban5229 7 лет назад +15

    Kiba mwanaume bana auna mambo ya kishoga shoga big up king

  • @sadickkipusaaakipus9216
    @sadickkipusaaakipus9216 7 лет назад +5

    king kiba wew umejaliwa akili tofaut yako na wavaaa mawigi ndo tunaiyona apa

    • @charlesamir7014
      @charlesamir7014 7 лет назад

      Sadick kipusaaa kipus yy havai wigi ila kule Africa kusini alivaa sketi kwa na yeye mvaa sketi

  • @marianyari583
    @marianyari583 7 лет назад +2

    Very nice ,nakukubali king kiba enjoy your self

  • @husnaramadan4904
    @husnaramadan4904 7 лет назад +9

    Kiba unaakili sana utafikambali na mungu atakubaliki sn ndooinavotakiwa sio km domo anavyopenda sifa

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 7 лет назад +15

    Kibaaaaaaaaaaa!!!

  • @sunshinekamnina6312
    @sunshinekamnina6312 7 лет назад +11

    king unaongea vizuri sana,endelea kuwa Na msimamo huohuo.I wish to have a son like you kiba

  • @worldstartz
    @worldstartz 7 лет назад +12

    ahahahaha fresh sana kiba

  • @sharizesha4204
    @sharizesha4204 7 лет назад +2

    Nakukubali sana king kiba...hapo umenena show off tuliwachia mafala..hehehe.

  • @abdulamin5842
    @abdulamin5842 7 лет назад +3

    Big up kibaaa

  • @kingdavid5361
    @kingdavid5361 7 лет назад +20

    Mzee wa busara ktk kutoa point ya maisha

    • @aishaaly4209
      @aishaaly4209 6 лет назад +1

      Ali kiba mm nakukumbali sana kuwa na heshimu tu usiwe kama wasanii wangin wanajitab

  • @armelmadogo4057
    @armelmadogo4057 7 лет назад +14

    Ume ongea kweli kiba big up bro

  • @solomonitv7808
    @solomonitv7808 7 лет назад +15

    Waooooh...Mawazo mazur sana

  • @mathewshedrack603
    @mathewshedrack603 7 лет назад +3

    kwery so kira kitu unacho kupata mpaka watu wajuwa big up sna king

  • @usuhwakakema6781
    @usuhwakakema6781 7 лет назад +3

    always the intellegent and kindly person his looking forward and afraid to misbehaviour to surrounding societies

  • @idayakey6886
    @idayakey6886 6 лет назад +3

    do mana nakupenda love u King mwashe domo atapetape atamashabiki wa napenda matus

  • @mwitachacha3213
    @mwitachacha3213 7 лет назад +5

    Acha wa2 waone wenyewe,, sio kujgamba,... maneno ynye busara na hekima kwa jamiii

  • @hashimkaiza7250
    @hashimkaiza7250 7 лет назад +8

    yooooooooooooo king kibaaaaaaaaaaaaaaaa

    • @KhadijaKhadija-ed5gj
      @KhadijaKhadija-ed5gj 7 лет назад

      +Kambi Shabani kuzalisha ndio sababu hem jielew na ww kazalishe na ww

    • @jamilacheyo8910
      @jamilacheyo8910 7 лет назад

      +Kambi Shabani , co kila anayeoa ana hekima mtu anaoa stil anachepuka sasa kuna tofaut gan ukitaka na ww kazalishe kwan umefungwa kufuli

    • @gisellamallya2025
      @gisellamallya2025 7 лет назад

      jembeee usipend kujionyesha uko sahihi na mngu akuzidishie

  • @michanomichano4931
    @michanomichano4931 7 лет назад +3

    The KING is KING

  • @josephkariuki3530
    @josephkariuki3530 7 лет назад +10

    Ukweli king kiba,freshii

  • @leekhamis3003
    @leekhamis3003 7 лет назад +9

    King me nakukubali mpaka mwisho huna majivuno hata kidogo

  • @flomrembowakenya5524
    @flomrembowakenya5524 6 лет назад +1

    The reason I love alikiba no show off,uko na taabia kaa ya wakenya celebrity their don't show off,even their marriage

  • @joycemwanaloga8007
    @joycemwanaloga8007 7 лет назад +2

    Safi sana king kiba,nice point.

  • @KhadijaKhadija-ed5gj
    @KhadijaKhadija-ed5gj 7 лет назад +41

    Wasiokukubali wenye chuki wakajinyonge yebaah

  • @lukasmnyethi5903
    @lukasmnyethi5903 7 лет назад +4

    love king kiba

  • @monicacarab3834
    @monicacarab3834 6 лет назад +1

    love you more kiba the king
    yani wewe una ubumtu

  • @hidrvenlulu7327
    @hidrvenlulu7327 7 лет назад +12

    bigup broo

  • @naagarjun8661
    @naagarjun8661 7 лет назад +4

    kibaaaaaaa

  • @mwengajonathan7593
    @mwengajonathan7593 7 лет назад +3

    Umeni inspire sana kaka,heshima pekee inatosha kwani mungu ndiye anajua nini chako big up broother.....

  • @alfredkilonzo2393
    @alfredkilonzo2393 7 лет назад +4

    respect is everthing.....team +254 big up kiba fir real

  • @johnstonejunior600
    @johnstonejunior600 6 лет назад +1

    Tunapenda muziki mzuri wala sio pesa ban a chaoooooooooo

  • @smartnyanda7896
    @smartnyanda7896 6 лет назад +1

    kiba big up sana

  • @nurloy510
    @nurloy510 7 лет назад +11

    Love you more kaka

  • @kayambavitalis8700
    @kayambavitalis8700 7 лет назад +4

    Good points

  • @bone102
    @bone102 7 лет назад +9

    Napenda baadhi ya style za kiba but kwenye kumotivate kwangu mondi kuna vitu mondi anaonyesha kwa vijana wa chini kuwa ukifight utafanikiwa usiangalie mabaya ya mtu utaishia kumchukia na ukakosa kuona upande wake wa pili ambao utakusaidia

  • @princekijay5450
    @princekijay5450 7 лет назад +8

    🔥

  • @fatimhalfatimh1147
    @fatimhalfatimh1147 7 лет назад +7

    Kiba umeongea poa sana mambo yako ya ndani ni siri yako Sisi mashabiki wako tunataka heshima tuu ,coz kuna watu ni matajiri sana na. wametulia so fanya mambo yako kiutu uzima ,acha hao wa gara money more than u gara cars,gara house sijui hii gara ni kizungu ganii😆

  • @khadijambuta4360
    @khadijambuta4360 7 лет назад +9

    kweli bhaan dunia mapito kila kitu ni mali ya Allah tunatakiwa kuwa na upole kwani dunia mapito 😂😂😂

  • @guttamanlob566
    @guttamanlob566 7 лет назад +4

    kweli king kiba we ninoma

  • @aimanali8612
    @aimanali8612 7 лет назад +9

    mwenye akili na busara hufaham kwa ishara ,silazima uambiwe kila kitu mengine ushamba fahar haisaidii hata km ww nistaaa unaonyesha ili iweje na mtaji wa maskin ni nguvu zake mwenyewe acheni sifa za kijinga ,kiba big up

  • @CLASSICTVONLINE1969
    @CLASSICTVONLINE1969 7 лет назад +2

    uko vzr

  • @yassinmohamed8241
    @yassinmohamed8241 7 лет назад +4

    kiba shikamoo kaka

  • @bone102
    @bone102 7 лет назад +7

    Kila mtu ana style yake ya kuishi MTU anapoamua kupost maendeleo yake hujui kapitia magumu gan so maisha ya mtu yasiingiliwe

  • @demulemzaliwa4033
    @demulemzaliwa4033 6 лет назад +2

    King kiba mnyama nakukumbali kinoma yaani Kaka WW mkali

  • @giftkyando602
    @giftkyando602 7 лет назад +2

    Respect king👑👑👑

  • @happinessmataluma1948
    @happinessmataluma1948 6 лет назад +1

    mi mwenyewe ibaniuz kwel kutuonesha mihela wegine wanalala njaaa

  • @hamadsuleiman1713
    @hamadsuleiman1713 7 лет назад +3

    Asante. Sana kiba rispect kwanza pesa nn bwanaaa

  • @stellangumbi3234
    @stellangumbi3234 7 лет назад

    great brother ,to smart ,you're one in thousands,salute to you Ally

  • @phelixmaddox
    @phelixmaddox 6 лет назад

    alikiba you will forever be great in mind and music . knowledge is power i love you bro

  • @godwinalexis758
    @godwinalexis758 7 лет назад +4

    Wabie waache kujisifu

  • @princerogers956
    @princerogers956 7 лет назад +2

    Kiba sio Rimbukeni was maisha
    Unajua kwenda na wakat
    Sio walee zilipendwa ikiingia hata 200/ kwenye account zao bass ulimwengu mzima ujue

  • @lazarophilipo925
    @lazarophilipo925 6 лет назад +1

    Kweli kabisa king kiba hayo yapo tu nayatapita kikubwa heshima baba penda sana

  • @khalidiabdallah1362
    @khalidiabdallah1362 5 лет назад

    Alikiba ndo maana nakupenda kakuelewa

  • @michaelfrancis7754
    @michaelfrancis7754 7 лет назад

    Namuaminia sana brother kiba pia anajua nn afanye kulinda heshima yake kuweka wazi kila kitu hadharani ni ulimbukeni wa maisha

  • @lydiarugemalira9182
    @lydiarugemalira9182 5 лет назад

    More love my king

  • @byagtv3277
    @byagtv3277 7 лет назад

    Ndomana namkubali sana king kiba

  • @brendaluyange270
    @brendaluyange270 6 лет назад

    Nakubaliana na wewe #teamkiba #254

  • @abdallamasoud7384
    @abdallamasoud7384 7 лет назад

    we ndo muungwan usie penda majisif powaaa sanaaaaaaaaa

  • @makalanimau4649
    @makalanimau4649 6 лет назад

    kiba unajibu vizuri sana sema shilawadu ndo wanazingua

  • @ja60livin46
    @ja60livin46 7 лет назад

    nice king heshima ni kila kitu brol

  • @gracenceamassawe8435
    @gracenceamassawe8435 7 лет назад

    Kibaya chajiuza kizuri chajitembeza ...much respect brother

  • @ramadimwe1379
    @ramadimwe1379 7 лет назад +2

    Kiba hakunaga km ww sautikipaji unawaumiza ukipigasaluti na ile Iyooo nishida

  • @enriquedoc4726
    @enriquedoc4726 7 лет назад

    that's my man Ali we owe you much love

  • @nemesmassawe7326
    @nemesmassawe7326 6 лет назад

    nice sana king

  • @mahmoudkhamis6316
    @mahmoudkhamis6316 7 лет назад

    king.napenda sana unaheshima yako kwawatu unanifanya niishi maisha kama yako

  • @Bonnere
    @Bonnere 6 лет назад

    King ur the best artist ever in TZ and other Africa county diamond hela za freemason but u will pay it later bro 😂😂😂king just be quite bro ur respectful man I never seen

  • @jackypottrick1pottrick641
    @jackypottrick1pottrick641 6 лет назад

    Alikiba usimkose Amina wetu bure utapata balaa kutoka kenya

  • @stellangumbi3234
    @stellangumbi3234 7 лет назад

    you're answer are wise and great like it ,stay still on how you're.

  • @kingelijah9096
    @kingelijah9096 6 лет назад

    Alikiba his more mature and he knows what's doing

  • @NellyWaKidato
    @NellyWaKidato 6 лет назад +1

    nakubali kusaini mkataba kwa alikiba

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 7 лет назад

    Thank you king Kiba, kwa maneno kuntu

  • @millabwenda3131
    @millabwenda3131 6 лет назад

    big up ma bro 100%

  • @moseslaurentlaurent9365
    @moseslaurentlaurent9365 7 лет назад

    yeeeeeeeraaaaaaa brother Akili unayo boy majivuno dharau haunaga kabisa

  • @binthamisi2562
    @binthamisi2562 7 лет назад

    Kiba we endelea na maisha yako ujionyeshebili iweje we ni msanii mkubwa hats usipoonesha tunajua vipo.

  • @mirajiabdalla8132
    @mirajiabdalla8132 5 лет назад

    Nakukubari sana king

  • @BennyChristian
    @BennyChristian 7 лет назад

    huyu jamaa anabusara sana, cant hate this man

  • @aimanali8612
    @aimanali8612 7 лет назад +4

    kujionyesha ni ujinga t na fahar ni mama wa ujinga

  • @abdulplatnumzali3892
    @abdulplatnumzali3892 7 лет назад

    Diamond platnumz 👑 of east Africa so huezi kucompare na sinderela

  • @shifaa3327
    @shifaa3327 7 лет назад +1

    Ally ww unajielewa sn Allh atakujaslia utaacha mziki kabisaa umuelekee Allh hs na atakuonyesha njia

  • @sadickd_knuckle5456
    @sadickd_knuckle5456 7 лет назад

    Ana swags Za kishamba Afu ana madharau

  • @kasimkilonga3814
    @kasimkilonga3814 7 лет назад

    nakukubali sana kiba maana wewe ni mtakatifu huna majigambo

  • @shifaa3327
    @shifaa3327 7 лет назад

    Hivo ndivo binaadamu anavyo takiwa afanye ela ajuwe kuna umauti na mila na desturi

  • @mkwambaahmad7451
    @mkwambaahmad7451 7 лет назад

    kiba uko vzr xana

  • @emanuellyamuya6635
    @emanuellyamuya6635 7 лет назад

    Nikikuona King ... kama namuona Samata...hutaki makuu wala si mshamba ... eti show off ni Ku motivate vijana huo ni ushamba ....

  • @nafisamohamad3182
    @nafisamohamad3182 7 лет назад

    😀😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kiba anajifanya hataki kabisa story za joketi dah sjui kamfanyaje lkni sio kwa kulikataa hilo swali ni kwa nn wameachana na joketi

  • @othmanmathew9141
    @othmanmathew9141 6 лет назад

    acheni ujinga kila mtyu anastaili ake tatizo lenu wivu zimewazidi hahaha

  • @ayoubjuma8700
    @ayoubjuma8700 7 лет назад

    king kiba nakukubal sana asilimia 100%

  • @frankkahimba1248
    @frankkahimba1248 7 лет назад

    Upo sahihi sana Kiba

  • @barakamichael4621
    @barakamichael4621 7 лет назад

    Nicely

  • @babaguy5747
    @babaguy5747 7 лет назад +2

    huna kitu utaonyesha nini

  • @siamariwa7181
    @siamariwa7181 7 лет назад

    respect..just RESPECT

  • @khalidiabdallah1362
    @khalidiabdallah1362 5 лет назад

    Nakuelewa baba king kiba

  • @sadamosses9763
    @sadamosses9763 7 лет назад

    kiba nampenda sana anajitambua mambo yake kimya kimya analea wtt wake vizuri mungu akubariki sana ,kiukweli umelelewa tabia nzuri sana huna masifa ya kijinga

  • @petermgonya826
    @petermgonya826 7 лет назад

    yan ntaman ata npate no yko king kiba cz nmeanza kukupenda tangu nkiwa na miaka.10=xo bg up bro

  • @laurentchimbirani5990
    @laurentchimbirani5990 5 лет назад

    #KINGkiba

  • @naswirumjack8813
    @naswirumjack8813 7 лет назад

    Kama sikosei alieanza kuonyesha mijengo ni Ney wa mitego
    Hii iliamsha hisia na wasanii wengi walokuwa wanaishi mahotelini na nyumba za kupanga wakaanza kujenga. Kuonyesha mali ni kuhamasisha wengne wakompete kwenye maendeleo.
    Simpigi kwasababu ni maoni yake hayo