Napenda baadhi ya style za kiba but kwenye kumotivate kwangu mondi kuna vitu mondi anaonyesha kwa vijana wa chini kuwa ukifight utafanikiwa usiangalie mabaya ya mtu utaishia kumchukia na ukakosa kuona upande wake wa pili ambao utakusaidia
Kiba umeongea poa sana mambo yako ya ndani ni siri yako Sisi mashabiki wako tunataka heshima tuu ,coz kuna watu ni matajiri sana na. wametulia so fanya mambo yako kiutu uzima ,acha hao wa gara money more than u gara cars,gara house sijui hii gara ni kizungu ganii😆
mwenye akili na busara hufaham kwa ishara ,silazima uambiwe kila kitu mengine ushamba fahar haisaidii hata km ww nistaaa unaonyesha ili iweje na mtaji wa maskin ni nguvu zake mwenyewe acheni sifa za kijinga ,kiba big up
King ur the best artist ever in TZ and other Africa county diamond hela za freemason but u will pay it later bro 😂😂😂king just be quite bro ur respectful man I never seen
kiba nampenda sana anajitambua mambo yake kimya kimya analea wtt wake vizuri mungu akubariki sana ,kiukweli umelelewa tabia nzuri sana huna masifa ya kijinga
Kama sikosei alieanza kuonyesha mijengo ni Ney wa mitego Hii iliamsha hisia na wasanii wengi walokuwa wanaishi mahotelini na nyumba za kupanga wakaanza kujenga. Kuonyesha mali ni kuhamasisha wengne wakompete kwenye maendeleo. Simpigi kwasababu ni maoni yake hayo
team kibaaa forever ,love you kibaaa your the king of music in Africa ,yyooooooo!!!! papiliiiii
Naikubali sana ngoma yko ya Makimuga inanifunfisha maisha jinsi ya kukumbuka na kesho, katika maisha ya ujana tunayo pitia
nice point kiba hatuitaji Pesa zako tunahitaji heshima
kiba kipenzi cha wa2 uxionyexhe elaa 2najua unazo ngoma ndompango mzm
kama unamuelewa na kumkubali king gonga like twende sawa
Kiba mwanaume bana auna mambo ya kishoga shoga big up king
king kiba wew umejaliwa akili tofaut yako na wavaaa mawigi ndo tunaiyona apa
Sadick kipusaaa kipus yy havai wigi ila kule Africa kusini alivaa sketi kwa na yeye mvaa sketi
Very nice ,nakukubali king kiba enjoy your self
Kiba unaakili sana utafikambali na mungu atakubaliki sn ndooinavotakiwa sio km domo anavyopenda sifa
Love you moreee @Kaka kiba
Kibaaaaaaaaaaa!!!
king unaongea vizuri sana,endelea kuwa Na msimamo huohuo.I wish to have a son like you kiba
ahahahaha fresh sana kiba
Nakukubali sana king kiba...hapo umenena show off tuliwachia mafala..hehehe.
Big up kibaaa
Mzee wa busara ktk kutoa point ya maisha
Ali kiba mm nakukumbali sana kuwa na heshimu tu usiwe kama wasanii wangin wanajitab
Ume ongea kweli kiba big up bro
Waooooh...Mawazo mazur sana
kwery so kira kitu unacho kupata mpaka watu wajuwa big up sna king
always the intellegent and kindly person his looking forward and afraid to misbehaviour to surrounding societies
do mana nakupenda love u King mwashe domo atapetape atamashabiki wa napenda matus
Acha wa2 waone wenyewe,, sio kujgamba,... maneno ynye busara na hekima kwa jamiii
yooooooooooooo king kibaaaaaaaaaaaaaaaa
+Kambi Shabani kuzalisha ndio sababu hem jielew na ww kazalishe na ww
+Kambi Shabani , co kila anayeoa ana hekima mtu anaoa stil anachepuka sasa kuna tofaut gan ukitaka na ww kazalishe kwan umefungwa kufuli
jembeee usipend kujionyesha uko sahihi na mngu akuzidishie
The KING is KING
Ukweli king kiba,freshii
Booty sex
King me nakukubali mpaka mwisho huna majivuno hata kidogo
The reason I love alikiba no show off,uko na taabia kaa ya wakenya celebrity their don't show off,even their marriage
Safi sana king kiba,nice point.
Wasiokukubali wenye chuki wakajinyonge yebaah
umeona nampenda sana huyu mwamba
Ahsante dada kiba anajielewa hatar sna
+Sir Joel hatari Sana alikiba
Khadija Khadija jinyonge mwenyewe
love king kiba
love you more kiba the king
yani wewe una ubumtu
bigup broo
kibaaaaaaa
Umeni inspire sana kaka,heshima pekee inatosha kwani mungu ndiye anajua nini chako big up broother.....
respect is everthing.....team +254 big up kiba fir real
Tunapenda muziki mzuri wala sio pesa ban a chaoooooooooo
kiba big up sana
Love you more kaka
Good points
Napenda baadhi ya style za kiba but kwenye kumotivate kwangu mondi kuna vitu mondi anaonyesha kwa vijana wa chini kuwa ukifight utafanikiwa usiangalie mabaya ya mtu utaishia kumchukia na ukakosa kuona upande wake wa pili ambao utakusaidia
🔥
Kiba umeongea poa sana mambo yako ya ndani ni siri yako Sisi mashabiki wako tunataka heshima tuu ,coz kuna watu ni matajiri sana na. wametulia so fanya mambo yako kiutu uzima ,acha hao wa gara money more than u gara cars,gara house sijui hii gara ni kizungu ganii😆
kweli bhaan dunia mapito kila kitu ni mali ya Allah tunatakiwa kuwa na upole kwani dunia mapito 😂😂😂
kweli king kiba we ninoma
mwenye akili na busara hufaham kwa ishara ,silazima uambiwe kila kitu mengine ushamba fahar haisaidii hata km ww nistaaa unaonyesha ili iweje na mtaji wa maskin ni nguvu zake mwenyewe acheni sifa za kijinga ,kiba big up
uko vzr
kiba shikamoo kaka
Kila mtu ana style yake ya kuishi MTU anapoamua kupost maendeleo yake hujui kapitia magumu gan so maisha ya mtu yasiingiliwe
King kiba mnyama nakukumbali kinoma yaani Kaka WW mkali
Respect king👑👑👑
mi mwenyewe ibaniuz kwel kutuonesha mihela wegine wanalala njaaa
Asante. Sana kiba rispect kwanza pesa nn bwanaaa
great brother ,to smart ,you're one in thousands,salute to you Ally
alikiba you will forever be great in mind and music . knowledge is power i love you bro
Wabie waache kujisifu
Kiba sio Rimbukeni was maisha
Unajua kwenda na wakat
Sio walee zilipendwa ikiingia hata 200/ kwenye account zao bass ulimwengu mzima ujue
Kweli kabisa king kiba hayo yapo tu nayatapita kikubwa heshima baba penda sana
Alikiba ndo maana nakupenda kakuelewa
Namuaminia sana brother kiba pia anajua nn afanye kulinda heshima yake kuweka wazi kila kitu hadharani ni ulimbukeni wa maisha
More love my king
Ndomana namkubali sana king kiba
Nakubaliana na wewe #teamkiba #254
we ndo muungwan usie penda majisif powaaa sanaaaaaaaaa
kiba unajibu vizuri sana sema shilawadu ndo wanazingua
nice king heshima ni kila kitu brol
Kibaya chajiuza kizuri chajitembeza ...much respect brother
Kiba hakunaga km ww sautikipaji unawaumiza ukipigasaluti na ile Iyooo nishida
that's my man Ali we owe you much love
nice sana king
king.napenda sana unaheshima yako kwawatu unanifanya niishi maisha kama yako
King ur the best artist ever in TZ and other Africa county diamond hela za freemason but u will pay it later bro 😂😂😂king just be quite bro ur respectful man I never seen
Alikiba usimkose Amina wetu bure utapata balaa kutoka kenya
you're answer are wise and great like it ,stay still on how you're.
Alikiba his more mature and he knows what's doing
nakubali kusaini mkataba kwa alikiba
Thank you king Kiba, kwa maneno kuntu
big up ma bro 100%
yeeeeeeeraaaaaaa brother Akili unayo boy majivuno dharau haunaga kabisa
Kiba we endelea na maisha yako ujionyeshebili iweje we ni msanii mkubwa hats usipoonesha tunajua vipo.
Nakukubari sana king
huyu jamaa anabusara sana, cant hate this man
kujionyesha ni ujinga t na fahar ni mama wa ujinga
Diamond platnumz 👑 of east Africa so huezi kucompare na sinderela
Ally ww unajielewa sn Allh atakujaslia utaacha mziki kabisaa umuelekee Allh hs na atakuonyesha njia
Shifaa 33
Amiin mm pia humuombea aache mziki Arudi kwa Allah
Ana swags Za kishamba Afu ana madharau
nakukubali sana kiba maana wewe ni mtakatifu huna majigambo
Hivo ndivo binaadamu anavyo takiwa afanye ela ajuwe kuna umauti na mila na desturi
kiba uko vzr xana
Nikikuona King ... kama namuona Samata...hutaki makuu wala si mshamba ... eti show off ni Ku motivate vijana huo ni ushamba ....
😀😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kiba anajifanya hataki kabisa story za joketi dah sjui kamfanyaje lkni sio kwa kulikataa hilo swali ni kwa nn wameachana na joketi
acheni ujinga kila mtyu anastaili ake tatizo lenu wivu zimewazidi hahaha
king kiba nakukubal sana asilimia 100%
Upo sahihi sana Kiba
Nicely
huna kitu utaonyesha nini
respect..just RESPECT
Nakuelewa baba king kiba
kiba nampenda sana anajitambua mambo yake kimya kimya analea wtt wake vizuri mungu akubariki sana ,kiukweli umelelewa tabia nzuri sana huna masifa ya kijinga
yan ntaman ata npate no yko king kiba cz nmeanza kukupenda tangu nkiwa na miaka.10=xo bg up bro
#KINGkiba
Kama sikosei alieanza kuonyesha mijengo ni Ney wa mitego
Hii iliamsha hisia na wasanii wengi walokuwa wanaishi mahotelini na nyumba za kupanga wakaanza kujenga. Kuonyesha mali ni kuhamasisha wengne wakompete kwenye maendeleo.
Simpigi kwasababu ni maoni yake hayo