Ivi m23 nini ilianzaje na kwa madhumuni gani kwani migogoro ya wenyewekwanyewe vilianzaje nikwanini ilitokea hivyo angalieni sana watawala mambo haya yanayotokea leo hapa inawezekana hata wenzetu walikua naamani naupendo lakini ikatokea ujinga fulani nchi zao zikakosa amani
Huna msimamo, sijui imekuwaje nyie viongozi wetu wa dini mnakuwa waoga kusema ukweli, ma hii inawafanya mkose hata karama kwa Mungu. swala lipo wazi basi ongeeni ukweli tuone kumbe viongozi wetu wa Dini mmeshtushwa na hali hii. Mmekalia kupigia kelele waumini swala la sadaka tu.
Hueleweki, hujulikani ulivyo, maoni yako ya hovyo kama ulivyo...... Kama, kama kama kama huwezi kuitumia kukanusha. Kweli wewe ni chawa kabisa unakiri kisha inakanusha pimbi.
Ni kweli kabisa hata Mchungaji mwingira ana kampuni ya ulinzi
Ulikuwepo kuona havihusiki jiangalie nyambafu
Hogela bishop wangu ikongo
Serikali zote zilizopita na hii ya sasa ikiwepo zote ni zaa CCM kwahio huwezi kuzitenganisha awamu hizo.
Hiyo miwani vipi?!!! Inakuwasha!!!
Mbona mnamchambua kama karanga wandugu
Kwasasa ni idara ya uhamiaji na sio jeshi
Wewe ni chawa hata kama utaongea.
Kweli sasa nchi hii tumekwisha huyu ndiyo Bishop kaamua kujizima (DATA ) Yesu mhurumie
😂😂😂😂
How asimia 8 unaipataje. Ni Askofu wa NN.
Ivi m23 nini ilianzaje na kwa madhumuni gani kwani migogoro ya wenyewekwanyewe vilianzaje nikwanini ilitokea hivyo angalieni sana watawala mambo haya yanayotokea leo hapa inawezekana hata wenzetu walikua naamani naupendo lakini ikatokea ujinga fulani nchi zao zikakosa amani
Mmmmmm haya ni maoni yako sio m aya
Huna msimamo, sijui imekuwaje nyie viongozi wetu wa dini mnakuwa waoga kusema ukweli, ma hii inawafanya mkose hata karama kwa Mungu. swala lipo wazi basi ongeeni ukweli tuone kumbe viongozi wetu wa Dini mmeshtushwa na hali hii. Mmekalia kupigia kelele waumini swala la sadaka tu.
Wewe si chawa bali ni kunguni.
Toka zako, mpuuzi.
HAKIKA HAYA NI MANENO MAZITO YENYE PUMZI KWA WATU WENYE AKILI ZA MBALI...
wewe hueliwi hakuna kitu hakuna Ukweli
Toa jibu hizo asilimia umezipataje
Tena ni big chawa
We ni chawa tena wa kihindi mkubwaaaaa,acha upumbavu
Huna lolote wew ni Chawa ndio
Ujui chochote ww chawa tu
Wewe ni mpumbafu unaongea usiololijua
Hivi askari wetu wameshindwa kuwafahamu na kuwakamata hao unaowafahamu wewe?
Hueleweki, hujulikani ulivyo, maoni yako ya hovyo kama ulivyo...... Kama, kama kama kama huwezi kuitumia kukanusha. Kweli wewe ni chawa kabisa unakiri kisha inakanusha pimbi.
Hueleweki kama popo.Wewe ni ndege au mnyama?Kama hujuwi nyamaza si lazima uongee.