BISHOP IKONGO ATAJA WANAO HUSIKA NA UTEKAJI TANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024

Комментарии • 27

  • @Simions-q2i
    @Simions-q2i Час назад

    Ni kweli kabisa hata Mchungaji mwingira ana kampuni ya ulinzi

  • @SophiaNyangasaSophia-yc2ro
    @SophiaNyangasaSophia-yc2ro 10 минут назад

    Ulikuwepo kuona havihusiki jiangalie nyambafu

  • @jofreysimba1665
    @jofreysimba1665 Час назад

    Hogela bishop wangu ikongo

  • @ommymsangi9182
    @ommymsangi9182 22 минуты назад

    Serikali zote zilizopita na hii ya sasa ikiwepo zote ni zaa CCM kwahio huwezi kuzitenganisha awamu hizo.

  • @IsayaKamomonga
    @IsayaKamomonga 3 часа назад

    Hiyo miwani vipi?!!! Inakuwasha!!!

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 2 часа назад

    Mbona mnamchambua kama karanga wandugu

  • @eliasmwanawima1129
    @eliasmwanawima1129 56 минут назад

    Kwasasa ni idara ya uhamiaji na sio jeshi

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola 2 часа назад

    Wewe ni chawa hata kama utaongea.

  • @hajirashidamani7709
    @hajirashidamani7709 3 часа назад

    Kweli sasa nchi hii tumekwisha huyu ndiyo Bishop kaamua kujizima (DATA ) Yesu mhurumie

  • @SamwelKiure
    @SamwelKiure 2 часа назад

    How asimia 8 unaipataje. Ni Askofu wa NN.

  • @JohnManyilizu-rl5bm
    @JohnManyilizu-rl5bm 59 минут назад

    Ivi m23 nini ilianzaje na kwa madhumuni gani kwani migogoro ya wenyewekwanyewe vilianzaje nikwanini ilitokea hivyo angalieni sana watawala mambo haya yanayotokea leo hapa inawezekana hata wenzetu walikua naamani naupendo lakini ikatokea ujinga fulani nchi zao zikakosa amani

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Час назад

    Mmmmmm haya ni maoni yako sio m aya

  • @FrankMashoto
    @FrankMashoto 2 часа назад

    Huna msimamo, sijui imekuwaje nyie viongozi wetu wa dini mnakuwa waoga kusema ukweli, ma hii inawafanya mkose hata karama kwa Mungu. swala lipo wazi basi ongeeni ukweli tuone kumbe viongozi wetu wa Dini mmeshtushwa na hali hii. Mmekalia kupigia kelele waumini swala la sadaka tu.

  • @gordiansoko9113
    @gordiansoko9113 45 минут назад

    Wewe si chawa bali ni kunguni.

  • @IsayaKamomonga
    @IsayaKamomonga 3 часа назад

    Toka zako, mpuuzi.

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 Час назад

    HAKIKA HAYA NI MANENO MAZITO YENYE PUMZI KWA WATU WENYE AKILI ZA MBALI...

  • @damianm.1833
    @damianm.1833 Час назад

    wewe hueliwi hakuna kitu hakuna Ukweli

  • @alexsakilu2650
    @alexsakilu2650 2 часа назад

    Toa jibu hizo asilimia umezipataje

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola 2 часа назад

    Tena ni big chawa

  • @amanipeace6642
    @amanipeace6642 3 часа назад

    We ni chawa tena wa kihindi mkubwaaaaa,acha upumbavu

  • @alexsakilu2650
    @alexsakilu2650 2 часа назад

    Huna lolote wew ni Chawa ndio

  • @NasraNjunde
    @NasraNjunde 2 часа назад

    Ujui chochote ww chawa tu

  • @godfregiiti8327
    @godfregiiti8327 Час назад

    Wewe ni mpumbafu unaongea usiololijua

  • @festofute58
    @festofute58 Час назад

    Hivi askari wetu wameshindwa kuwafahamu na kuwakamata hao unaowafahamu wewe?

  • @HenryKisusi
    @HenryKisusi 3 часа назад

    Hueleweki, hujulikani ulivyo, maoni yako ya hovyo kama ulivyo...... Kama, kama kama kama huwezi kuitumia kukanusha. Kweli wewe ni chawa kabisa unakiri kisha inakanusha pimbi.

  • @clauschaula2050
    @clauschaula2050 2 часа назад

    Hueleweki kama popo.Wewe ni ndege au mnyama?Kama hujuwi nyamaza si lazima uongee.