@@AlexcpetroCpetro Tukatae utumwa huu na huu tayari tunaingia kuongozwa kidkteta kigaidi! Amkeni tuikatae ccm na vibaraka wake wote! Watanganyika ni muda wa kuchagua Rais Mtanganyika na kura zilindwe! Ila naona hawa wamejoandaa kupora uchaguzi kwa nguvu zote! na hata kukamata watu na kuua watu!!!
Machawa mnachambua magazeti kichawachawa! Hovyoooo kabisa! Mnaongelea polisi kuua watu kwa risasi na kuweka vionjo vya kichawachawa! Kwa nini msiweke vionjo vya kuonyesha kwamba maandamano ni haki ya wananchi kikatiba na yanastahiri kufanyika kwa Amani huku polisi wakilinda Amani ya wananchi??? Mko bize kuchombeza kwa uchawa kwa habari za kutisha wananchi!
Hii nchi Ina watu wa hovyo Sana, watu wasio na uthubutu wa kusema kweli na kukemea maovu bila kujali yamefanywa na nani! Nchi hii inahitaji Kina Mbowe na Kina Lisu wengi zaidi ili kusafisha na kuondoa uchafu wa kiutawala na matumizi mabaya ya vyombo vya Dola! Kuna wakati ninakubaliana na Ukweli kwamba "Amani haiji ila kwa ncha ya Upanga" Bila kuheshimu uhuru na haki za watu kuna siku nchi hii watawala wataiingiza katika machafuko makubwa!
Hakuna serikali hata moja duniani inayowe kuridhia kuchezewa na kikundi cha baadhi ya watu, ulisema chadema inatetea wananchi ni uongo. Kuna acr, ccm, cuf n.k. hatutaki upumbavu wao.
Kama wasojulikana hawajulikani sasa haya mazungumzo ni mapatano baina ya nani na nani cz issue kubwa ni utekaji umekithiri asa kidogo nawaza kwamba hayo mazungumzo yatamalizaje utekaji? Na kama mazungumzo ndio njia yakumaliza utekaji asa chadema wanazumgumza na nani cz anaetakiwa kuwepo mezani na chadema kutokomeza hili swala upande mwingine uo ambao ndo hao hawajulikani! hapa ndo utajua wasojulikana kwanini hawajulikani. Nafikiri njia bora iwe kukaa na kupanga njia bora ya kulikabili hili swala na japo lina viashiria vyakisiasa ila tuweke siasa pembeni viongozi wetu wakae pamoja viongozi wa nyanja zote zakiusalama na zingine ikiwemo io yakisiasa tushirikiane kwa njia yoyote bora iliishe maana mambo yamekua mengii sana.😢
Kenya bado sana😂, walipewa hiyo haki ya maandamano ila kinyume chake walichokifanya ni kinyume sana, watu waliharibu kila😂 kitu hapa utasema wanatushinda ?
@@khaalidcheo5383 kwa sasa utacheka kwa kuwa hatuna ukobozi wa kifkra,siku tukipata ukombozi wa kifikra hauta Cheka Bali utafurahi.Nivyema tukabadilika na si kujikinai katika mbawa za kuitwa wanyonge wakati tunateseka.
Bila mapambano serekali ya umoja wa kitaifa Zanzibar isingepatikana,.
Tanzania hajawahi kuwa na amani. Amani bila haki ni uongo
Mpaka hapo watangazaji nanyie mmekubali kuwa polisi ni wauwaji tarehe 23 wanaweza kuuwa zaidi tena hazarani?
CCM watatumaliza wahunii kabisa
@@AlexcpetroCpetro Tukatae utumwa huu na huu tayari tunaingia kuongozwa kidkteta kigaidi! Amkeni tuikatae ccm na vibaraka wake wote! Watanganyika ni muda wa kuchagua Rais Mtanganyika na kura zilindwe!
Ila naona hawa wamejoandaa kupora uchaguzi kwa nguvu zote! na hata kukamata watu na kuua watu!!!
Kwa hiyo ninyi watangazaji mnaunga mkono upuizi wa unaofanywa na Hii Selikari,endeleeni sasa,yakiwafika mtajua.
Machawa mnachambua magazeti kichawachawa! Hovyoooo kabisa!
Mnaongelea polisi kuua watu kwa risasi na kuweka vionjo vya kichawachawa! Kwa nini msiweke vionjo vya kuonyesha kwamba maandamano ni haki ya wananchi kikatiba na yanastahiri kufanyika kwa Amani huku polisi wakilinda Amani ya wananchi???
Mko bize kuchombeza kwa uchawa kwa habari za kutisha wananchi!
Inaumiza saana😢kama wanawapa sifa mapolisi badala ya kukemea uchawa tu
Hii nchi Ina watu wa hovyo Sana, watu wasio na uthubutu wa kusema kweli na kukemea maovu bila kujali yamefanywa na nani! Nchi hii inahitaji Kina Mbowe na Kina Lisu wengi zaidi ili kusafisha na kuondoa uchafu wa kiutawala na matumizi mabaya ya vyombo vya Dola! Kuna wakati ninakubaliana na Ukweli kwamba "Amani haiji ila kwa ncha ya Upanga" Bila kuheshimu uhuru na haki za watu kuna siku nchi hii watawala wataiingiza katika machafuko makubwa!
Kaka uko sawa kabisaaa.
Tunahitaji watu wanaojua matumizi sahihi ya akili zao kama wewe.
Nakupigia CUF tulifia Zanzibar yetu
Hata ukiwa kimya bado utakufa tuu,hata mzee ali kibao hakuna aliyemjua tulikuja kumjua alipo kufa wazo la Lipumba siliungi mkono.
My brother umenena point,hatujui Kesho ni wewe au mimi tutafuata
Point broo
Lipumba ashaua chama hana jipya
Watu wanapaswa kufahamu "Watu wafikiri zaidi"
Bila kupigiwa kelele nchi na uongozi uliopo hawatabadirika Tania zao za udikteta
Haki ndiyo inazaa amani
Wananchi wanapigania nchi na haki sio chama! Wale wa CUF walikuwa wanapigania nchi sio chama
Heriiiiiiii
Sio wamekufa semeni waliouliwa
Machafuko hayawezekani hap tanzania labda kenya
WAPUUZI WATATU
Wapeleke mahakamani hao wapuuuzi watatu,ili wewe ambaye si mpuuzi usije ukaambukizwa upuuzi wao.
𝔫𝔞𝔲𝔠𝔥𝔲𝔨𝔦𝔞 𝔪𝔲𝔲𝔫𝔤𝔞𝔫𝔬😢😢
Ndiyo waambieni wakina mage kimavi😮😊
For every action there is equal but opposite reaction.
Hando huyu uchawa ni too much!
Hakuna serikali hata moja duniani inayowe kuridhia kuchezewa na kikundi cha baadhi ya watu, ulisema chadema inatetea wananchi ni uongo. Kuna acr, ccm, cuf n.k. hatutaki upumbavu wao.
Kama wasojulikana hawajulikani sasa haya mazungumzo ni mapatano baina ya nani na nani cz issue kubwa ni utekaji umekithiri asa kidogo nawaza kwamba hayo mazungumzo yatamalizaje utekaji?
Na kama mazungumzo ndio njia yakumaliza utekaji asa chadema wanazumgumza na nani cz anaetakiwa kuwepo mezani na chadema kutokomeza hili swala upande mwingine uo ambao ndo hao hawajulikani! hapa ndo utajua wasojulikana kwanini hawajulikani.
Nafikiri njia bora iwe kukaa na kupanga njia bora ya kulikabili hili swala na japo lina viashiria vyakisiasa ila tuweke siasa pembeni viongozi wetu wakae pamoja viongozi wa nyanja zote zakiusalama na zingine ikiwemo io yakisiasa tushirikiane kwa njia yoyote bora iliishe maana mambo yamekua mengii sana.😢
HAKUNA SHIDA BILA KUFA HAKUNA HAKI
We hando nikibararaka wa ccm usitishe watu ccm wamezoea kuuwa watu na kuwateka
Sio Ando pekeake ata zembela pia
Hakuna mtu anae fia chama watu tunafia haki hatakama chadema itapotea lakini haki yawatu kuishi ipatikane
Maandamano ni haki ya kikatiba kabisa ila inavyochukuliwa sindoilivyo hata kenya wanatushinda kwa democracy
Kenya bado sana😂, walipewa hiyo haki ya maandamano ila kinyume chake walichokifanya ni kinyume sana, watu waliharibu kila😂 kitu hapa utasema wanatushinda ?
Maulid Ww Hauna Upande Kwel
Mimi Chadema kindakindaki.ushauri wangu tusiandamane.wametuzamilia.tutaonana ktk masanduku ya kura tu.
Kwa nini mnakimbilia kwenye maandamano???? Waachie vijana wetu . nyie hamfai kabisa hata kwa dawa.
Hawajafia chama wamefia nchi yao
LABDA WAANDAMANE KWENYE MITANDAO 😢😢😢😢😢SACCOOS WAMECHEMSHA DAKIKA 90 HAWAZIWEZI
Wewe kama unaona ni upuuzi,tuache tuliotayari tuandamane tumechoka kutekwa,kuuwawa,ghalama za maisha kupanda unyanyaswaji.Siku yakikufika utaelewa.
@@NuruLutembeja-h1rtunakusubilia paleeee.ila usisaau kubeba nafamilia yako kwenye ayo maandamano yenu.
😂😂😂
@@NuruLutembeja-h1r MAANDAMANO HAYASAIDII UNGEENDA KWA MCHUNGAJI AU PALOKO ANGEKUFANYIA MIUJIZA 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@@khaalidcheo5383 kwa sasa utacheka kwa kuwa hatuna ukobozi wa kifkra,siku tukipata ukombozi wa kifikra hauta Cheka Bali utafurahi.Nivyema tukabadilika na si kujikinai katika mbawa za kuitwa wanyonge wakati tunateseka.
Yani wewe Hando huoni shida zilizopo nchi hii?
Ando mshamba sana