MAANDAMANO CHADEMA GUMZO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 57

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 4 часа назад +5

    Bila mapambano serekali ya umoja wa kitaifa Zanzibar isingepatikana,.

  • @reginas1832
    @reginas1832 4 часа назад +8

    Tanzania hajawahi kuwa na amani. Amani bila haki ni uongo

  • @faridiathumani3114
    @faridiathumani3114 6 часов назад +5

    Mpaka hapo watangazaji nanyie mmekubali kuwa polisi ni wauwaji tarehe 23 wanaweza kuuwa zaidi tena hazarani?

  • @AlexcpetroCpetro
    @AlexcpetroCpetro 7 часов назад +8

    CCM watatumaliza wahunii kabisa

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 41 минуту назад

      @@AlexcpetroCpetro Tukatae utumwa huu na huu tayari tunaingia kuongozwa kidkteta kigaidi! Amkeni tuikatae ccm na vibaraka wake wote! Watanganyika ni muda wa kuchagua Rais Mtanganyika na kura zilindwe!
      Ila naona hawa wamejoandaa kupora uchaguzi kwa nguvu zote! na hata kukamata watu na kuua watu!!!

  • @NuruLutembeja-h1r
    @NuruLutembeja-h1r 6 часов назад +5

    Kwa hiyo ninyi watangazaji mnaunga mkono upuizi wa unaofanywa na Hii Selikari,endeleeni sasa,yakiwafika mtajua.

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 4 часа назад +7

    Machawa mnachambua magazeti kichawachawa! Hovyoooo kabisa!
    Mnaongelea polisi kuua watu kwa risasi na kuweka vionjo vya kichawachawa! Kwa nini msiweke vionjo vya kuonyesha kwamba maandamano ni haki ya wananchi kikatiba na yanastahiri kufanyika kwa Amani huku polisi wakilinda Amani ya wananchi???
    Mko bize kuchombeza kwa uchawa kwa habari za kutisha wananchi!

    • @EstherSamwel-vk4wb
      @EstherSamwel-vk4wb 3 часа назад +1

      Inaumiza saana😢kama wanawapa sifa mapolisi badala ya kukemea uchawa tu

  • @charlesnyamiti3172
    @charlesnyamiti3172 4 часа назад +8

    Hii nchi Ina watu wa hovyo Sana, watu wasio na uthubutu wa kusema kweli na kukemea maovu bila kujali yamefanywa na nani! Nchi hii inahitaji Kina Mbowe na Kina Lisu wengi zaidi ili kusafisha na kuondoa uchafu wa kiutawala na matumizi mabaya ya vyombo vya Dola! Kuna wakati ninakubaliana na Ukweli kwamba "Amani haiji ila kwa ncha ya Upanga" Bila kuheshimu uhuru na haki za watu kuna siku nchi hii watawala wataiingiza katika machafuko makubwa!

    • @NuruLutembeja-h1r
      @NuruLutembeja-h1r 24 минуты назад

      Kaka uko sawa kabisaaa.

    • @NuruLutembeja-h1r
      @NuruLutembeja-h1r 23 минуты назад

      Tunahitaji watu wanaojua matumizi sahihi ya akili zao kama wewe.

  • @saidnassormohammed9589
    @saidnassormohammed9589 2 часа назад +1

    Nakupigia CUF tulifia Zanzibar yetu

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 4 часа назад +5

    Hata ukiwa kimya bado utakufa tuu,hata mzee ali kibao hakuna aliyemjua tulikuja kumjua alipo kufa wazo la Lipumba siliungi mkono.

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 3 часа назад +2

    Lipumba ashaua chama hana jipya

  • @CharlesMlaponi-h6z
    @CharlesMlaponi-h6z 5 часов назад

    Watu wanapaswa kufahamu "Watu wafikiri zaidi"

  • @Steve-q8m
    @Steve-q8m 4 часа назад +1

    Bila kupigiwa kelele nchi na uongozi uliopo hawatabadirika Tania zao za udikteta

  • @FrancisThomas-jc8wq
    @FrancisThomas-jc8wq 6 часов назад +6

    Haki ndiyo inazaa amani

  • @sebastianmmasa5163
    @sebastianmmasa5163 5 часов назад +1

    Wananchi wanapigania nchi na haki sio chama! Wale wa CUF walikuwa wanapigania nchi sio chama

  • @DennisAnthony-j5y
    @DennisAnthony-j5y 6 часов назад +1

    Heriiiiiiii

  • @ahmedsultan8561
    @ahmedsultan8561 2 часа назад +1

    Sio wamekufa semeni waliouliwa

  • @isumailparadiso2074
    @isumailparadiso2074 2 часа назад +1

    Machafuko hayawezekani hap tanzania labda kenya

  • @hazolemwashemele4308
    @hazolemwashemele4308 4 часа назад +4

    WAPUUZI WATATU

    • @NuruLutembeja-h1r
      @NuruLutembeja-h1r 21 минуту назад

      Wapeleke mahakamani hao wapuuuzi watatu,ili wewe ambaye si mpuuzi usije ukaambukizwa upuuzi wao.

  • @EdwardBalloho
    @EdwardBalloho 3 часа назад +1

    𝔫𝔞𝔲𝔠𝔥𝔲𝔨𝔦𝔞 𝔪𝔲𝔲𝔫𝔤𝔞𝔫𝔬😢😢

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 4 часа назад +1

    Ndiyo waambieni wakina mage kimavi😮😊

  • @CharlesMaghembe
    @CharlesMaghembe 4 часа назад

    For every action there is equal but opposite reaction.

  • @derrickmsa8505
    @derrickmsa8505 2 часа назад +1

    Hando huyu uchawa ni too much!

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 4 часа назад

    Hakuna serikali hata moja duniani inayowe kuridhia kuchezewa na kikundi cha baadhi ya watu, ulisema chadema inatetea wananchi ni uongo. Kuna acr, ccm, cuf n.k. hatutaki upumbavu wao.

  • @nyamarungujr7834
    @nyamarungujr7834 50 минут назад

    Kama wasojulikana hawajulikani sasa haya mazungumzo ni mapatano baina ya nani na nani cz issue kubwa ni utekaji umekithiri asa kidogo nawaza kwamba hayo mazungumzo yatamalizaje utekaji?
    Na kama mazungumzo ndio njia yakumaliza utekaji asa chadema wanazumgumza na nani cz anaetakiwa kuwepo mezani na chadema kutokomeza hili swala upande mwingine uo ambao ndo hao hawajulikani! hapa ndo utajua wasojulikana kwanini hawajulikani.
    Nafikiri njia bora iwe kukaa na kupanga njia bora ya kulikabili hili swala na japo lina viashiria vyakisiasa ila tuweke siasa pembeni viongozi wetu wakae pamoja viongozi wa nyanja zote zakiusalama na zingine ikiwemo io yakisiasa tushirikiane kwa njia yoyote bora iliishe maana mambo yamekua mengii sana.😢

  • @kandecharlessanduku1539
    @kandecharlessanduku1539 Час назад

    HAKUNA SHIDA BILA KUFA HAKUNA HAKI

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 6 часов назад +2

    We hando nikibararaka wa ccm usitishe watu ccm wamezoea kuuwa watu na kuwateka

  • @danielndam5997
    @danielndam5997 56 минут назад

    Hakuna mtu anae fia chama watu tunafia haki hatakama chadema itapotea lakini haki yawatu kuishi ipatikane

  • @jongosalehe1036
    @jongosalehe1036 7 часов назад +2

    Maandamano ni haki ya kikatiba kabisa ila inavyochukuliwa sindoilivyo hata kenya wanatushinda kwa democracy

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 5 часов назад

      Kenya bado sana😂, walipewa hiyo haki ya maandamano ila kinyume chake walichokifanya ni kinyume sana, watu waliharibu kila😂 kitu hapa utasema wanatushinda ?

  • @AdamCheze
    @AdamCheze 6 часов назад

    Maulid Ww Hauna Upande Kwel

  • @FatumaSaid-t4r
    @FatumaSaid-t4r 2 часа назад

    Mimi Chadema kindakindaki.ushauri wangu tusiandamane.wametuzamilia.tutaonana ktk masanduku ya kura tu.

  • @reginas1832
    @reginas1832 4 часа назад

    Kwa nini mnakimbilia kwenye maandamano???? Waachie vijana wetu . nyie hamfai kabisa hata kwa dawa.

  • @JansanMokiwa
    @JansanMokiwa 5 часов назад

    Hawajafia chama wamefia nchi yao

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 7 часов назад +1

    LABDA WAANDAMANE KWENYE MITANDAO 😢😢😢😢😢SACCOOS WAMECHEMSHA DAKIKA 90 HAWAZIWEZI

    • @NuruLutembeja-h1r
      @NuruLutembeja-h1r 6 часов назад +1

      Wewe kama unaona ni upuuzi,tuache tuliotayari tuandamane tumechoka kutekwa,kuuwawa,ghalama za maisha kupanda unyanyaswaji.Siku yakikufika utaelewa.

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 6 часов назад +2

      ​@@NuruLutembeja-h1rtunakusubilia paleeee.ila usisaau kubeba nafamilia yako kwenye ayo maandamano yenu.

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 6 часов назад

      😂😂😂

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 6 часов назад

      @@NuruLutembeja-h1r MAANDAMANO HAYASAIDII UNGEENDA KWA MCHUNGAJI AU PALOKO ANGEKUFANYIA MIUJIZA 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

    • @NuruLutembeja-h1r
      @NuruLutembeja-h1r 6 часов назад

      @@khaalidcheo5383 kwa sasa utacheka kwa kuwa hatuna ukobozi wa kifkra,siku tukipata ukombozi wa kifikra hauta Cheka Bali utafurahi.Nivyema tukabadilika na si kujikinai katika mbawa za kuitwa wanyonge wakati tunateseka.

  • @derrickmsa8505
    @derrickmsa8505 2 часа назад

    Yani wewe Hando huoni shida zilizopo nchi hii?