VIDEO: TAMKO la ALIKIBA 'Sina UGOMVI na DIAMOND/ Ampa SIFA hizi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------

Комментарии • 249

  • @ramosfally2318
    @ramosfally2318 4 года назад +1

    mozambique tunakujuwa vile vile king kiba asante sana muito obrigado star usiovuka mipaka una tatu wala kipuli na unajuwa allah yupo mbeleyako na kuna maisha ya badae dunia ni njia tu. 👑 kiba 👑 music

  • @betricecharls7444
    @betricecharls7444 4 года назад +5

    Daah we kaka unahekima sana mungu akuongoze ktk muziki wako

  • @shebyguarantee5271
    @shebyguarantee5271 4 года назад +31

    Dahhh Mie sina Team ila Ali kiba Genious kwa jibu ilo la Pensel Yani duuhh nouma

  • @m2bad
    @m2bad 4 года назад +10

    Kiba handsome men brother 💯 iko very good and thx kwanyimbo yako cuz umetutowa hayaa wewe mndo baba lao akuna hinzi atakufikiya kimziki know the my brother support tunakupa my braza keep up now

  • @mounirakhalfan4590
    @mounirakhalfan4590 4 года назад +29

    Heshima zako king 👑

  • @husseinbally1736
    @husseinbally1736 4 года назад +34

    *_king kiba 4really tuna jibu kifalme yaani_*

  • @jamiloadan7012
    @jamiloadan7012 4 года назад +1

    King kiba 4realy love u big up inshallah 💕💞💓💖😍😍😍

  • @aminasubira6591
    @aminasubira6591 4 года назад +7

    Watu wengne bana kaaaah kamenikeraaa😏😏Najivunia Kukupenda MykingYeebabaaaaa Lets Say It TeamKibaa YEEEBABAAAAAAA✌👌👏👏👏

  • @almamymoha
    @almamymoha 4 года назад +42

    Mature response from Alikiba. I believe the guy was sent to interfere with the press conference. Kiba Ana akili iliyokomaa

    • @zawadisaidy755
      @zawadisaidy755 4 года назад

      Kweli kabisa.

    • @Akhonya_jnr
      @Akhonya_jnr 4 года назад +2

      Nooo....it was planned by Alikiba so that he can explain it very well.

    • @godfreymajagi1867
      @godfreymajagi1867 4 года назад

      Sio kweli kwamba katumwa., ts very trivial., very weak trick., yawezekana ni shabiki tu kaamua., bt amejibiwa kiustaarabu sana., at last Kiba ameongea fact, ameongea ukweli., hawana bifu., ila wana malengo tofauti., na yy anataka asimame afikie lengo lake, sio kupitia mgongo wa mafanikio ya mwenzie., thats normal., its wat he believes and thus he will achieve

    • @faithachieng6453
      @faithachieng6453 4 года назад

      Yer am so proud of him he is problem solver

  • @ساميالبلوشي-ث5ف
    @ساميالبلوشي-ث5ف 4 года назад +89

    Kamaunamkubali mfalme gonga like

  • @zawadisaidy755
    @zawadisaidy755 4 года назад +13

    Inshallah MW/ mungu akuzidishie baraka tele na pia akuzidishie kila hatua unayopitia ishallah king kiba🙏🏻🙏🏻

  • @mathayonyerera3144
    @mathayonyerera3144 4 года назад +1

    Yeeeeeebaba,👏👏 MORE FIREEEEEEE 💥💥💥💥💥

  • @neemanelson3617
    @neemanelson3617 4 года назад +61

    Team kiba kama tuko pamoja comment yeee babaaa

  • @beatriceemmanuel6037
    @beatriceemmanuel6037 4 года назад +4

    ubalikiwe sana king kwakz yako nzr mungu akupe wepes unaweza sana

  • @nimahassen4686
    @nimahassen4686 4 года назад +30

    Well done my king that's why am team kiba forever no matter what.

  • @germainmulondo9453
    @germainmulondo9453 2 года назад

    I support from DR Congo. You're king bro

  • @mathiusthomas3074
    @mathiusthomas3074 4 года назад +39

    Huna heleni wala kipuli wala tatoo lkn ni star

    • @eligiuselias4469
      @eligiuselias4469 4 года назад +1

      Kweli kabisa Mimi si shabiki Wa bongo fleva ila namkubali sana Alikiba kwani anaangalia maadili sana

    • @aishaaisha18
      @aishaaisha18 4 года назад +1

      Wala hasuki nywele

    • @sihabaomark1201
      @sihabaomark1201 4 года назад +1

      Huyu ndo kioo cha jamiii

    • @alvinziddie6309
      @alvinziddie6309 4 года назад

      Ila tabia zake Chafu

  • @ramadhanzmlay1331
    @ramadhanzmlay1331 4 года назад +1

    M nilicho gundua n kwamba clouds hawana shukran , , nakumbuka fiesta ya mwaka juz wakat mond anawapiga chini KIBA aliibeba fiester mwanzo mwisho lkn leo hii hawajotokea hata mmoja , kuja kumsikiliza , , NASEMA IVI KIBA WW NIWETU TUKO PAMOJA NAWE NA TUMESHAGUNDUWA KILICHOFANYIKA , ,, , ALLAH BLESSING U BROH

  • @zainabuswai6681
    @zainabuswai6681 4 года назад +1

    Pamoja brooooo salute 👨‍🎓

  • @kigangamdohimjukuu121
    @kigangamdohimjukuu121 4 года назад +16

    Wewe nikijana uliyelerewa ktk familia iliyojaamaadili🙏🙏🙏

  • @halima23862
    @halima23862 4 года назад +20

    Safi Sana King.

  • @salmachuma2226
    @salmachuma2226 4 года назад +10

    🤣🤣😂😂 jembe nime kuku bali sana Tem mondi. Tujuane woyoooooo simbaaaaaa tuna kupendaaaaa tuonyeshee maajabuuuuuuuuuuu

  • @yassinm69
    @yassinm69 4 года назад +1

    Real talk KING KIBA we nimuelewa saana

  • @salumuasha9207
    @salumuasha9207 4 года назад +11

    Namkubali sanaaa kibaaaa jomon

  • @victarterry9217
    @victarterry9217 4 года назад +8

    nakukubali sana bro

  • @conslatorjossy3951
    @conslatorjossy3951 4 года назад +4

    Hongera kiba ww n mtu.mzima na wajiheshimu..big up.mungu ukuongezee umri wako

  • @maryamyislam31
    @maryamyislam31 4 года назад +8

    that was very wise Ali❤️

  • @irenevm5513
    @irenevm5513 4 года назад +4

    That why I love you king kiba miye na kuunga mkono mwanzo adi mwsisho huyo dogo naye kama ka tumwa vile like wtf ame kosa kazi yaku fanya adi amfate king 👑 kiba eti chukuwa penseli yako like wtf he’s crazy men damn mimi ninge mpa kofi yakila rangi 👊🏾

  • @johariathumani1761
    @johariathumani1761 4 года назад +21

    Dogo kama katumwa aiseeee, vilasta kma utambi wa chemrii,
    Kiba 4 life

  • @rosemarymoses6068
    @rosemarymoses6068 4 года назад

    Mungu akutunze my king ,daah naajivunia kuwa team kuba

  • @suleamber7252
    @suleamber7252 4 года назад +4

    Handsome LA Tz hili jamaaaa

    • @hamadramadhan2381
      @hamadramadhan2381 4 года назад

      sio tz tu hata out sema huyu sio muwekaj mambo yake hadharan kwan ni mtu ambaye ametokea ktk familia yenye maadili na dini pia

  • @naominabwire7729
    @naominabwire7729 4 года назад +10

    Every person has his way of trending ..sasa huyo team diamond alienda kwa alikiba kufanya nn,

    • @ajilimaria9488
      @ajilimaria9488 4 года назад

      Ndo hapo sasa, kwa nn kaenda

    • @khadijakhadija6212
      @khadijakhadija6212 4 года назад

      Maswali meng halafu hatupat majibu kwa nn kapeleka pensel? Km hajatumwa huyu

  • @piusmbaka8150
    @piusmbaka8150 4 года назад +7

    Hata kama ww uko na ujinga ya ukoo umeina king will always be a king

  • @Matfa-Alsaad
    @Matfa-Alsaad 4 года назад

    All way from UAE alikiba for good

  • @jenolove7603
    @jenolove7603 4 года назад

    Waaooooo! Unajielewa sana kiba Mungu akubarki na kazi yako

  • @bigpoverty499
    @bigpoverty499 4 года назад +3

    😂😂😂😂😂😂 daaaah!!! Ati nmeleta penseli wapi +254 likes hii imeweza 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @Matfa-Alsaad
    @Matfa-Alsaad 4 года назад +1

    001.... you're a matured Mashallah

  • @estherblack2770
    @estherblack2770 4 года назад

    Ali amepewa zawadi ya penseli😂😂🤣🤣😂😂 nimecheka Sana Hadi guanguka😂😂😂😂😂

  • @donishayo9534
    @donishayo9534 4 года назад +3

    Get stronger broo and keep it up life still goes on,, unajua xanaaaaa

  • @shacksam760
    @shacksam760 4 года назад +5

    Kwa mtu mzima anaeelewa hii penseli yenyewe imetengenezwa alitaka kuliweka sawa

  • @thenextmvp8568
    @thenextmvp8568 4 года назад +8

    😃😃😃😃😃😃 Bongo nyoso jamaa kamletea penseli 😄😄😄

  • @janeeliah7256
    @janeeliah7256 4 года назад +3

    Km unamkubali mond na uko hapa gonga like ya kujiamin,wcb juuuuuuu!!!!

  • @rseleselemani2818
    @rseleselemani2818 4 года назад

    Safi Sana Kiba Najuwa Hakuna Vita Zaidi Ya Kibiashara Hapo

  • @beroyagospelchoirkahama1979
    @beroyagospelchoirkahama1979 4 года назад +5

    Clouds wako bize na Konde boy, Eatv iko na Alikiba, Wcb iko na Diamond. Wacha tuone nani baba yao

  • @shacksam760
    @shacksam760 4 года назад

    Ali unajua ila upole wako na ukimya mingi ndo unakufanya upowe sana ndomana unashindwa ata kujieleza unang'ata sana ulimi jitaidi maisha yako ba kazi yako ni ya ustaa Kwaiyo usiogope kuishi kistaa utaumbuka sisemi utaumbuka kwa nia mbaya ila namaanisha kuwa pengine itakukosti utashindwa kuwa comfortable na kazi yako ya ustar

  • @michaelenn9979
    @michaelenn9979 4 года назад

    Hapo sawa broooooo

  • @mwanyanje48
    @mwanyanje48 4 года назад +4

    Daaaah watuu wamepingaaa kweliii et anampaa penselii kibaa hahahahahah......ukimuangalia Sana huyo dogo alikumbatiwaa na mondiii nakupewaaa lakii 5

  • @hanankhalifa8309
    @hanankhalifa8309 4 года назад +2

    Love you kiba😘😘😘😘😘

  • @habibaibrahim8151
    @habibaibrahim8151 4 года назад +6

    😂😂 karudish pensel 😅😅😅😂

  • @harrvannyofficiall2557
    @harrvannyofficiall2557 4 года назад +4

    ᵞᴱᴱᴱᴬᴬᴴ ᴮᴬᴮᴬ....💥💥

  • @tanyatzmodel742
    @tanyatzmodel742 4 года назад

    Kama umecheka dogo alivyovutwa kibeg like

  • @msafirisalum8436
    @msafirisalum8436 4 года назад

    Bangi za uchochoroni sio nzuri dogo katoka kupuliza

  • @mwasicostamasuba6884
    @mwasicostamasuba6884 4 года назад

    You are the best bro proud to have you

  • @wlkme6644
    @wlkme6644 4 года назад +2

    Akiyamungu uyushabiki ananivunja mbavu😄😄😄😄😄😄😄

  • @zamdaramadhan3421
    @zamdaramadhan3421 4 года назад +4

    watu wanajitoa mabetry 😂😂😂😂😂

  • @zulpharajab7805
    @zulpharajab7805 4 года назад +11

    mwanaume wa kweli😚😚😚😚😚team kiba damun

  • @zainaramadhan7769
    @zainaramadhan7769 4 года назад

    Wazamini wakutoshaa mzee babaaa

  • @zubedajimmy4336
    @zubedajimmy4336 4 года назад +3

    Kiba❤️👏👏🔥🔥

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 4 года назад +8

    Huyu jamaa kaleleka ana maadili alopewa na wazazi wake

    • @mdugiyahya1840
      @mdugiyahya1840 4 года назад

      Fatma Mhamed
      Hiv unajua mzik n haramu familia ya maadili haiwez kukuruhus kuimba

  • @froncemwinuka4821
    @froncemwinuka4821 4 года назад +14

    Kwnn dimond anaangaika na kiba au baba ake nn ?

    • @khadijakhadija6212
      @khadijakhadija6212 4 года назад +1

      Hapo ndo ujue kwamb d anatumia kiki kupitia Aliy na mashabiki kumchukia Aliy bila sababu lakin Aliy ana akili nahis katumwa huyu kumpim imani ya Aliy kuon km atafukuzwa huy kijan lkn Aliy ana akili zake

    • @ramahaji9342
      @ramahaji9342 4 года назад +1

      Fronce Mwinuka hapo umemckia diamond kmamako ww?

    • @ramahaji9342
      @ramahaji9342 4 года назад +1

      Khadija khadija we pimbi hjaona hapo mabodgard walitaka kmaind ila kajikaza t kpokea penseli

  • @zainabwafula5503
    @zainabwafula5503 4 года назад +5

    Team kiba😇😇

  • @suleamber7252
    @suleamber7252 4 года назад +5

    Huyu jamaa atawapasua vichwa maboya yaani wanahenya kutoa minyimbo jamaaa linaharibu kwa kuongea tuu

  • @onesmosimon2355
    @onesmosimon2355 4 года назад +4

    Mengine ni ushabik tu but hi knows to sperk good yani akuna msanii anae jitambua kama kiba

  • @ladylady8440
    @ladylady8440 4 года назад

    We noma

  • @mamisakibwana5384
    @mamisakibwana5384 4 года назад

    kiba🙌🙌🙌🙌🙌

  • @jumajay8496
    @jumajay8496 4 года назад +2

    Kijana mjinga kama wale wanao itaisha Ali kiba kuhudhuria tamasha zao kwa lazima lazima wote warudishwe darasani kufuzwa kiswahili na maadili kutambua maamuzi ya mtu kwani sio lazima kila mtu atawaliwe na uwezo wako.

  • @worldwide9207
    @worldwide9207 4 года назад +5

    Kwili kila mtu Ana njia yake

  • @geecastag5610
    @geecastag5610 4 года назад

    King Kiba we ndo msanii pekee huna kipuli,huna tattoo huna dreads na bado we ni star.... Mimi binafsi nakukubali sana sana @officialalikiba.

  • @ashirially8301
    @ashirially8301 4 года назад +5

    Uyu dogo katumwa ukiwa na akili timamu ndo unajua alikiba ni mtu gani na daimond ni mtu wa aina gani. Uyu dogo katumwa na alikiba kamnyooshea maelezo kuhusu alikiba na daimond wameshindwa watu wa maana hataeza uyo mtoto mvuta bangi? Kwaiyo daimond mtu wa kiki alafu imefeli maana alikiba kajibu vizuri na pia akumfukuza kama walivyo plani afukuzwe walete maneno kwamba umedai pensel umeletewa umepanic sasa alikiba akuingia mtego wao watafute kiki kwa harmonize

    • @khadijakhadija6212
      @khadijakhadija6212 4 года назад

      Daah Umeonae walitak kuona imani yake wamebug kwakweli

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 4 года назад +6

    Hhhh watu washavurugwa wanajiuliza watatokaje nd ivo???

  • @wardamasoud3227
    @wardamasoud3227 4 года назад +5

    🤣🤣dogo kanivunja mbavu, kuna watu wamepinda jmn

  • @azzamamichalazo1156
    @azzamamichalazo1156 4 года назад

    unajitambua sana brook kaka angu

  • @danmanga4342
    @danmanga4342 4 года назад

    hahahahaaaaaa, kiba ungekuwa na maadili ungemtimua mkeo?

    • @hamadramadhan2381
      @hamadramadhan2381 4 года назад

      ulikuwepo wakati anamtimua watu wengine kama wanawake vile,habar za mitandaoni ndo wajua kwel huyy jamaa sio boya kama alivyohuyo domo wenu na kaa ujue ally kiba hajamfukuza mkewe na usiamini kila habar ww habari nyingine zinawwkwa ili watu watengeneze mtonyo ww kichwa maji kwel yan

  • @thomascountry2353
    @thomascountry2353 4 года назад +1

    King

  • @firstname600
    @firstname600 4 года назад +4

    Wa kwnz

  • @jihadytv145
    @jihadytv145 4 года назад

    Namkubali sana kiba

  • @irenepriscuss3860
    @irenepriscuss3860 4 года назад +7

    Kings forever

  • @jumayusuph8471
    @jumayusuph8471 4 года назад +2

    😂😂😂😂 alafu huyu atakua katumwa huyu😂😂😂😂

  • @aminamakacha6258
    @aminamakacha6258 4 года назад +7

    Bangi mbaya aisee duuh 🤣🤣 Lkn hongera zake kiba

  • @khericarrey6725
    @khericarrey6725 4 года назад +5

    Kiba anajitekenya kisha anacheka mwenyewe....

    • @michaelluhumbika5924
      @michaelluhumbika5924 4 года назад

      Unataka akutenye ww huyo siyo basha k ww

    • @khericarrey6725
      @khericarrey6725 4 года назад

      Acha ungese mjomba...nilikuita ucomment mxiuuu....jike dume uso na mbele wala nyuma

    • @michaelluhumbika5924
      @michaelluhumbika5924 4 года назад

      Ww ndiyo mgese maana unashobo sana k ww

    • @khericarrey6725
      @khericarrey6725 4 года назад

      Niondolee nyege zako za kishenzi hapa...wee mwari rudi tena darasani uwe Kama Bob risky tukuelewe kiwazi si kwa ugumegume huu...mxiiuuuu

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 4 года назад +1

    Kiba💖💖💖💖

  • @godfreymajagi1867
    @godfreymajagi1867 4 года назад +2

    Now umeeleweka., kumbe mashabiki hua tunawagombanisha kwa lazima duh

  • @masoudabdalla2843
    @masoudabdalla2843 4 года назад +1

    Kumbe kiba unaekti hapo sychological huyo jamaa umumuanda

  • @kassuomar
    @kassuomar 4 года назад +1

    Weee sema tu hata icho cha kuimba kinaharibu maadili

  • @arafajabir3194
    @arafajabir3194 4 года назад

    Ali Kiba umenyoosha maneno na umemjibu vizuri huyo.kibaraka aloleta peseli😃😃😃

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 4 года назад +8

    Kwel team Mond ni watoto na oyaoya tu,sasa uyo dogo kaenda kufanya nn

  • @giftkitinde438
    @giftkitinde438 4 года назад

    Simbaaaaaaa baba laoooo

  • @ahmedara9450
    @ahmedara9450 4 года назад +2

    Yooooo ✌🏻

  • @haudhatiadam6206
    @haudhatiadam6206 4 года назад +1

    King kiba❤❤❤❤ tunakupenda sana king kiba oyoooooo

    • @alexpaul6133
      @alexpaul6133 4 года назад

      Hajui kujieleza

    • @haudhatiadam6206
      @haudhatiadam6206 4 года назад

      @@alexpaul6133 huwa hutushindani na watoto wadogo ndomaana tunajibu ki utuuzima

  • @mirajiibrahim51
    @mirajiibrahim51 4 года назад +1

    Jamaa ata kuongea na press hajui anaongea pumba tu

  • @iamsaxy2693
    @iamsaxy2693 4 года назад +2

    Hajui kuongea uyu jamaaa na waandishi wa habari

  • @alibakari280
    @alibakari280 4 года назад +3

    Weweeeeeee! Sasa kiba umeshapewa penseli yako. ugonvi uisheeee!😅😅😅😅

  • @upendodanieli8457
    @upendodanieli8457 4 года назад +1

    Nikweliii jamani Mimi ni TM kibaaaa

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 4 года назад +3

    🔥🔥🔥🔥

  • @jumamkongowe8870
    @jumamkongowe8870 4 года назад +14

    Shkamoo bangi 😂😂😂😂😂

    • @mpandadangote8217
      @mpandadangote8217 4 года назад

      Juma Mkongowe hahahahaha

    • @genioustv4169
      @genioustv4169 4 года назад

      Matumizi ya mihadarati kwa vijana ni hatari, kiba ndo unikome jamani wanaume hatuzungmzii hvyo

  • @bernicewairimu1521
    @bernicewairimu1521 4 года назад

    King kiba forever

  • @emmanuellupenza8350
    @emmanuellupenza8350 4 года назад +2

    dgo katumwa uyo mbona hakuna relation ya pencel na amani

  • @helbertsabai6490
    @helbertsabai6490 4 года назад +18

    Dogo kaagizwa afanye hivyo

    • @azizisalum6190
      @azizisalum6190 4 года назад

      kaazigizwa kweli huyo

    • @Platnumz11
      @Platnumz11 4 года назад +2

      No cikubali hiyo hata mimi mpiya nipo USA nakubali diamond platnumz kwasababu anatupa mziki mzuri sana all the world

    • @aminasubira6591
      @aminasubira6591 4 года назад +1

      @@Platnumz11 Hakuna Alokataa Sasa Kuvamia conference ya watu Inahusuuu😎😎

    • @khadijakhadija6212
      @khadijakhadija6212 4 года назад +2

      @@Platnumz11 hat km una amin huyo dog ametumwa kumpim imani ya Aliy na hapo angekataa kujibu watu wengesem wanaugomvi lkn amin hawa watu hawana ugomv wal nn

    • @Platnumz11
      @Platnumz11 4 года назад +1

      Amina Subira jamani tusemeni ukweli uwongo Zambia diamond fundi wamziki

  • @estawakidunda1200
    @estawakidunda1200 4 года назад +1

    ila 👑 anazarau sana uyu mtu

  • @mathiusthomas3074
    @mathiusthomas3074 4 года назад +3

    Mwanaume wa shoka