EXCLUSIVE: MANDOJO Aweka wazi ALI KIBA hajaiba/DIAMOND ameanzisha kitu /Sijawahi kujuta
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- #Alikiba #MandojonaDomoKaya #Diamond--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media
Mashabiki wa yeee baba kiba mkowapi njooen huku mumsikilize mandoj kisha shusha lik hap
😅😅😅😅Ebaba huy sio yebaba
😅😅😅😅 tumekuja eeeeh baba
@@frankakuno.9511 y ni eeee
sisi yeah babaaaaa
Ali katumia ye baba nyie mlitamka eeh baba
Inafurahisha sana kusikia mazungumzo ya msanii alokua Na busara Na ustaarabu wa hadi ya juu namna hii.
Huyu ndo anahitaji support ya watu!
Big up mandojo umeongea poa. King 4 life🔥🔥🔥
Kama umesikia sauti ya mtangazaji Kama millado ayo nipe like plz
Huyu jamaa anamuinga et namfatilia sana
Nakubali sana mandojo safi sana kama na ww umemkubali sema yee baba
MANDOJO amesafisha au amenyoosha kaweka sawa maneno hakuweka bifu hongera kaka
Bomba sana mandojo
kuna tofaut kubwa ya eehbaba na yeehbaba..
nani kagundua kuwa kiba hasema eehbaba anasema yeehbaba
Kweli ni tofaut kabisa
Eeeh baba, yeee baba🤣 watu waduanzi
Kaka umeongea poa👍👍💕
Broo mungu akupe maisha marefu🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Kama umeskia sauti ya Man dojo kwa mbali ni kama ya Shafii Dauda kwa mbali akiwa anachambua soka , nipe like
Safi sana mzee unabusala sana uko sawa mzee
Nakukubari uko good
Safi man dojo
Well said mandojo 🙏🙏🙏
yoooooooooooooooo####
Safiii yebabaaa
Big up mandojo
Yeeeeh baba eeeeh baba, tueni nyimbo na king kiba
Mandogo nimekuelewa sana mkuu
@Amina Said kwli nilikosea2
Nimekubali kaka mkubwa umejibu kiukubwa kama mtu mzma bless you 🙏🙏🙏
Najiskia furaha sana kuskia intervew kama kizi
Poooooooooooooooooiiiiiiiinnnnnnnt mannnnnnnnnnnndoooooojooooooh unamiakiriiiiii kinomanoma
Kaka anasauti nzuri anafaa kuwa mtangazaji
Yeyeyeebabaaaa king anaakili nyingi sanaaa DOJO SARUT
Una busara sana
Unabusara sana
tenaaaa yebabaaaaaaaaaa
Tupo mashabiki wa yebabaaaaa
Wanafiki Ayo Sio Mapenzi kwa Mondi ila Akiwakaziya Kuto wa honga hela Mta mkariri.Nyiye Mnao Jifapendekeza kwa mondi Wanafiki.gonga like kama ww aupo kwenye kamati ya roho chafu
Uko sawa mkuu good
Ye baba una busara man dojo
This guy is very wise
Nkubli Sana kakaaaaa umeongeaa point sanaaa bro mandojo
🤝🤝🤝uko vizuri
Hii mitandao ya kijamii inagombanisha sana wasanii. Msipokuwa makini ninyi wasanii mtagombana kwa kuchonganishwa
kwel mandojo hata mim nilikua sikufaham isingelikua kiba
minapenda sana wasanii kuongeleana vizuri ingekuwa mwingine hapo angeshasema kiba hajui mara kaiba nn ila watu na busara zake kaongea kibusara
💥💥💥like it
Yeeeeebaba
mashaallah
Nakubar utu uzma dawa
Tufanye Nikupe Vern 2 tufanye na video au Vepe Mandojo ? 💪
Well said
Kwamala ya Kwanza kukuelewa man dojo
Good brother
mkubwa ni mkubwa tyu...said well broo
Ali kiba hasemi eeehh baba" yeye kingkiba Anasema YEEEHH BABA !!! HEBU MUWAGE MNAJUA KUTOFAUTISHA ??
Ngozi nyeuxi xi unazjua lakini kwa uvivu wa kusoma😂😂.Ngozi nyeuxi hua inadandia gari kwa mbele kikubwa tu amechangia maada
Copy cat kiba
Kwani utofauti uko wapi? Si kakopi tu?? Yeye kaongezea tu hiyo *Y* tuu basi
@@officialmrtop1018 kwahiyo wewe unasemaje?
@@mohamedpesambili9460 Uko sawa mzee wanakurupuka tu ili nao waonekane wamechsngia mada. .😂😂
Hongera kaka unajua kuongea big up
Nimependa sana ulivyo ongea
Mwanangu kitambo toka tukiwa A town kambini
man dojo unaakil sana bro bifu hazijengi
Omba colabo taratibu
mandojo sarut bro
Ndugu mtangazaji nakubali sana saut yako na unaitendea haki sana
Ama nikupe moyo wangu uchukue ,ama nikupe kidan cha dhahabu uu ❤❤enzi za primary hata mapenz yenyew hatuyajui😆😆
Tuungane sasa tutengeneze penzi
@@sampatrick9519 😆😆😆🏃♀️
Ukiimbiwa hivyo tuuh unalegea kabisa mzee mamaaah😋😋😋😋😋😋
uyu jamaa anaakili sana
Nice talk dojo
Kama namuona skandarsing mweus vilee
Rahma your looking good...
man dojo nimekuelewa mzee..
words.
Upo sahihi Mandojo watu wanavimba wananyea kambi sababu wamejenga nyumba zao,Cloudz media 4life.
Ujinga clowns media🚮
Clouds ni baba la media zotee
Clouds wamewaleeni vipi isipokuwa kuwanyonya tu?? Watu weusi bwana
Huyu Pia mwanamziki Dohh
Watu awaishiwi maneno mie nilipenda king kiba angesema eemama wanafki wangepoa
Mzee wa kubet official video--ruclips.net/video/6-isfQfz2zg/видео.html
Kama mwepesi imbasasa
Wewe Jama acha usnich wew
wewe ndo hujui kuiba mana mpaka leo huna ulilo nano huna lolote upoupotu
Hana lolote wap wewe unafikir watu wanegmea kuimba et hana lolote mkismama kmaisha umkuti hata kibanda huna wewe unamdis mtu acha ujinga wewe
J.b skiza interview mwanzo ndio ucoment
J b km vp rudi shule mbona elim bure mana huelewi kabisa kinachoongelewa
@@kakaaignas3675 safi sn kk nimekuelewa
@@zainabubakari3630 0656879637ntafte kwanza kumbe unaelewa ee
Si walikuwa wamesha kufa wamefufuka 😀😀😀😀😀😀kuna wajinga kweli ao awafai ata kuojiwa
Auguste Selemani unajua maana ya kufa achautoto
Auguste Selemani kwer
Kahojiwe wewe useless
Mtangazaji tumia kipaji chako mwenyewe sio lazima utumie saund ya miladi ayo. Unafeli
@@allykasalala6919 ndo umeona leo sauti kufanana ..mbona unashangaza
Nice talk dojo