EXCLUSIVE: MANDOJO Aweka wazi ALI KIBA hajaiba/DIAMOND ameanzisha kitu /Sijawahi kujuta

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • #Alikiba #MandojonaDomoKaya #Diamond--
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
    #Dar24 #Dar24Media

Комментарии • 111

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 4 года назад +47

    Mashabiki wa yeee baba kiba mkowapi njooen huku mumsikilize mandoj kisha shusha lik hap

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 4 года назад +24

    Inafurahisha sana kusikia mazungumzo ya msanii alokua Na busara Na ustaarabu wa hadi ya juu namna hii.
    Huyu ndo anahitaji support ya watu!

  • @youngmoney4498
    @youngmoney4498 4 года назад +12

    Big up mandojo umeongea poa. King 4 life🔥🔥🔥

  • @edommwakibete3031
    @edommwakibete3031 4 года назад +12

    Kama umesikia sauti ya mtangazaji Kama millado ayo nipe like plz

  • @josephemanuel6910
    @josephemanuel6910 4 года назад +8

    Nakubali sana mandojo safi sana kama na ww umemkubali sema yee baba

  • @arafajabir3194
    @arafajabir3194 4 года назад +6

    MANDOJO amesafisha au amenyoosha kaweka sawa maneno hakuweka bifu hongera kaka

  • @abdallahally194
    @abdallahally194 4 года назад +5

    Bomba sana mandojo

  • @mwinjanavil
    @mwinjanavil 4 года назад +32

    kuna tofaut kubwa ya eehbaba na yeehbaba..
    nani kagundua kuwa kiba hasema eehbaba anasema yeehbaba

  • @julietjotham8812
    @julietjotham8812 4 года назад +9

    Kaka umeongea poa👍👍💕

  • @nindwakulwa8279
    @nindwakulwa8279 4 года назад +5

    Broo mungu akupe maisha marefu🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @azizymachadeson3577
    @azizymachadeson3577 4 года назад +4

    Kama umeskia sauti ya Man dojo kwa mbali ni kama ya Shafii Dauda kwa mbali akiwa anachambua soka , nipe like

  • @abdulichikuti2669
    @abdulichikuti2669 4 года назад +7

    Safi sana mzee unabusala sana uko sawa mzee

  • @rahmashaban8967
    @rahmashaban8967 4 года назад +5

    Nakukubari uko good

  • @mikombeomary5476
    @mikombeomary5476 4 года назад +5

    Safi man dojo

  • @paulebby1552
    @paulebby1552 4 года назад +6

    Well said mandojo 🙏🙏🙏

  • @nelsonnmwaipaja6980
    @nelsonnmwaipaja6980 4 года назад +4

    yoooooooooooooooo####

  • @salmaathumani8562
    @salmaathumani8562 4 года назад +4

    Safiii yebabaaa

  • @ooredooooredoo7426
    @ooredooooredoo7426 4 года назад +1

    Big up mandojo

  • @SamuelCharles-111
    @SamuelCharles-111 4 года назад +4

    Yeeeeh baba eeeeh baba, tueni nyimbo na king kiba

  • @2mara_og186
    @2mara_og186 4 года назад +4

    Mandogo nimekuelewa sana mkuu

    • @2mara_og186
      @2mara_og186 4 года назад

      @Amina Said kwli nilikosea2

  • @sospeterkaponoke3789
    @sospeterkaponoke3789 4 года назад

    Nimekubali kaka mkubwa umejibu kiukubwa kama mtu mzma bless you 🙏🙏🙏

  • @kezbjanja4521
    @kezbjanja4521 4 года назад +9

    Najiskia furaha sana kuskia intervew kama kizi

  • @gabrieldenicc4502
    @gabrieldenicc4502 4 года назад +7

    Poooooooooooooooooiiiiiiiinnnnnnnt mannnnnnnnnnnndoooooojooooooh unamiakiriiiiii kinomanoma

  • @zaudatmakula3454
    @zaudatmakula3454 4 года назад +5

    Kaka anasauti nzuri anafaa kuwa mtangazaji

  • @muddiballo3421
    @muddiballo3421 4 года назад +1

    Yeyeyeebabaaaa king anaakili nyingi sanaaa DOJO SARUT

  • @freddiemwela4131
    @freddiemwela4131 4 года назад +5

    Una busara sana

  • @seifsuleiman1078
    @seifsuleiman1078 4 года назад +5

    Unabusara sana

  • @daudikipusa7327
    @daudikipusa7327 4 года назад +3

    tenaaaa yebabaaaaaaaaaa

  • @zainabubakari3630
    @zainabubakari3630 4 года назад +6

    Tupo mashabiki wa yebabaaaaa

  • @jamalali3875
    @jamalali3875 4 года назад

    Wanafiki Ayo Sio Mapenzi kwa Mondi ila Akiwakaziya Kuto wa honga hela Mta mkariri.Nyiye Mnao Jifapendekeza kwa mondi Wanafiki.gonga like kama ww aupo kwenye kamati ya roho chafu

  • @casmirysylidion721
    @casmirysylidion721 4 года назад

    Uko sawa mkuu good

  • @husseinmejja1710
    @husseinmejja1710 4 года назад +13

    Ye baba una busara man dojo

  • @barakastanley4143
    @barakastanley4143 4 года назад +1

    Nkubli Sana kakaaaaa umeongeaa point sanaaa bro mandojo

  • @shaadenshaduni7755
    @shaadenshaduni7755 4 года назад +3

    🤝🤝🤝uko vizuri

  • @jmm1840
    @jmm1840 4 года назад +6

    Hii mitandao ya kijamii inagombanisha sana wasanii. Msipokuwa makini ninyi wasanii mtagombana kwa kuchonganishwa

  • @ismailally2549
    @ismailally2549 4 года назад +4

    kwel mandojo hata mim nilikua sikufaham isingelikua kiba

  • @axiommirgab882
    @axiommirgab882 4 года назад +1

    minapenda sana wasanii kuongeleana vizuri ingekuwa mwingine hapo angeshasema kiba hajui mara kaiba nn ila watu na busara zake kaongea kibusara

  • @raphaelntambi6404
    @raphaelntambi6404 4 года назад +1

    💥💥💥like it

  • @abditari7998
    @abditari7998 4 месяца назад

    mashaallah

  • @kingkabeje9273
    @kingkabeje9273 4 года назад +9

    Nakubar utu uzma dawa

  • @kennedymmbando
    @kennedymmbando 4 года назад +2

    Tufanye Nikupe Vern 2 tufanye na video au Vepe Mandojo ? 💪

  • @raphaelntambi6404
    @raphaelntambi6404 4 года назад

    Well said

  • @frankchibago833
    @frankchibago833 4 года назад +4

    Kwamala ya Kwanza kukuelewa man dojo

  • @barakabakari5987
    @barakabakari5987 4 года назад +2

    Good brother

  • @hamispeter9043
    @hamispeter9043 4 года назад +5

    mkubwa ni mkubwa tyu...said well broo

  • @mussajeremiah715
    @mussajeremiah715 4 года назад +13

    Ali kiba hasemi eeehh baba" yeye kingkiba Anasema YEEEHH BABA !!! HEBU MUWAGE MNAJUA KUTOFAUTISHA ??

    • @mohamedpesambili9460
      @mohamedpesambili9460 4 года назад

      Ngozi nyeuxi xi unazjua lakini kwa uvivu wa kusoma😂😂.Ngozi nyeuxi hua inadandia gari kwa mbele kikubwa tu amechangia maada

    • @kagoggoalfred2730
      @kagoggoalfred2730 4 года назад +1

      Copy cat kiba

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 4 года назад

      Kwani utofauti uko wapi? Si kakopi tu?? Yeye kaongezea tu hiyo *Y* tuu basi

    • @mussajeremiah715
      @mussajeremiah715 4 года назад

      @@officialmrtop1018 kwahiyo wewe unasemaje?

    • @mussajeremiah715
      @mussajeremiah715 4 года назад

      @@mohamedpesambili9460 Uko sawa mzee wanakurupuka tu ili nao waonekane wamechsngia mada. .😂😂

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 4 года назад +1

    Hongera kaka unajua kuongea big up

  • @lainoshababi7500
    @lainoshababi7500 4 года назад +2

    Nimependa sana ulivyo ongea

  • @saidmsuya9420
    @saidmsuya9420 4 года назад +2

    Mwanangu kitambo toka tukiwa A town kambini

  • @maulidrehani
    @maulidrehani 4 года назад +1

    man dojo unaakil sana bro bifu hazijengi

  • @josphinedarani6203
    @josphinedarani6203 4 года назад +5

    Omba colabo taratibu

  • @eliaslameckdotto8376
    @eliaslameckdotto8376 4 года назад +2

    mandojo sarut bro

  • @rosedavis4828
    @rosedavis4828 4 года назад

    Ndugu mtangazaji nakubali sana saut yako na unaitendea haki sana

  • @halimasulaimani9085
    @halimasulaimani9085 4 года назад +3

    Ama nikupe moyo wangu uchukue ,ama nikupe kidan cha dhahabu uu ❤❤enzi za primary hata mapenz yenyew hatuyajui😆😆

    • @sampatrick9519
      @sampatrick9519 4 года назад

      Tuungane sasa tutengeneze penzi

    • @halimasulaimani9085
      @halimasulaimani9085 4 года назад

      @@sampatrick9519 😆😆😆🏃‍♀️

    • @selemanmsuya8921
      @selemanmsuya8921 4 года назад

      Ukiimbiwa hivyo tuuh unalegea kabisa mzee mamaaah😋😋😋😋😋😋

  • @jebace
    @jebace 4 года назад +2

    uyu jamaa anaakili sana

  • @simonmtuka8473
    @simonmtuka8473 4 года назад

    Nice talk dojo

  • @rahmakhassani4148
    @rahmakhassani4148 4 года назад +5

    Kama namuona skandarsing mweus vilee

  • @michaelanthony7470
    @michaelanthony7470 4 года назад +1

    man dojo nimekuelewa mzee..
    words.

  • @joss.nkilio.3537
    @joss.nkilio.3537 4 года назад +3

    Upo sahihi Mandojo watu wanavimba wananyea kambi sababu wamejenga nyumba zao,Cloudz media 4life.

  • @officialmrtop1018
    @officialmrtop1018 4 года назад

    Clouds wamewaleeni vipi isipokuwa kuwanyonya tu?? Watu weusi bwana

  • @bestfightscene5978
    @bestfightscene5978 4 года назад +1

    Huyu Pia mwanamziki Dohh

  • @amanianodi8439
    @amanianodi8439 4 года назад

    Watu awaishiwi maneno mie nilipenda king kiba angesema eemama wanafki wangepoa

  • @katunation8803
    @katunation8803 4 года назад

    Mzee wa kubet official video--ruclips.net/video/6-isfQfz2zg/видео.html

  • @frenkfrancis4151
    @frenkfrancis4151 4 года назад

    Kama mwepesi imbasasa

  • @djgmp8140
    @djgmp8140 4 года назад

    Wewe Jama acha usnich wew

  • @JBWETEJBWETE
    @JBWETEJBWETE 4 года назад

    wewe ndo hujui kuiba mana mpaka leo huna ulilo nano huna lolote upoupotu

    • @kakaaignas3675
      @kakaaignas3675 4 года назад +3

      Hana lolote wap wewe unafikir watu wanegmea kuimba et hana lolote mkismama kmaisha umkuti hata kibanda huna wewe unamdis mtu acha ujinga wewe

    • @mwendwamjukuu9468
      @mwendwamjukuu9468 4 года назад +1

      J.b skiza interview mwanzo ndio ucoment

    • @henrysobrill386
      @henrysobrill386 4 года назад

      J b km vp rudi shule mbona elim bure mana huelewi kabisa kinachoongelewa

    • @zainabubakari3630
      @zainabubakari3630 4 года назад +1

      @@kakaaignas3675 safi sn kk nimekuelewa

    • @kakaaignas3675
      @kakaaignas3675 4 года назад

      @@zainabubakari3630 0656879637ntafte kwanza kumbe unaelewa ee

  • @augusteselemani5453
    @augusteselemani5453 4 года назад

    Si walikuwa wamesha kufa wamefufuka 😀😀😀😀😀😀kuna wajinga kweli ao awafai ata kuojiwa

    • @mussashabani169
      @mussashabani169 4 года назад +3

      Auguste Selemani unajua maana ya kufa achautoto

    • @michaeljoseph5175
      @michaeljoseph5175 4 года назад

      Auguste Selemani kwer

    • @ROSEROBERTROBART
      @ROSEROBERTROBART 4 года назад +1

      Kahojiwe wewe useless

    • @allykasalala6919
      @allykasalala6919 4 года назад

      Mtangazaji tumia kipaji chako mwenyewe sio lazima utumie saund ya miladi ayo. Unafeli

    • @nurdinimndeme2912
      @nurdinimndeme2912 4 года назад

      @@allykasalala6919 ndo umeona leo sauti kufanana ..mbona unashangaza

  • @simonmtuka8473
    @simonmtuka8473 4 года назад

    Nice talk dojo