Mkurugenzi Mtendaji wa ANSAF, Honest Mseri, akieleza lengo la ushiriki waokatika Majadiliano

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji wa ANSAF, Bwana Honest Mseri, akieleza lengo la ushiriki wao, Asasi za kirai na vikundi wa wakulima katika mazungumzo yaliofanyika tarehe 3 mei 2023 na Kamati za kudumu za Bunge kuhusu changamoto za pembejeo, upatikanaji wa huduma za ugani, masoko na kodi kwa wakulima, kati ya Kamati za Bunge za kudumu na kuhusu changamoto za wakulima kuhusu pembejeo, huduma za ugani, masoko, na kodi. Jiunge na ANSAF ili kusaidia wakulima kuendelea kupaza sauti zao.

Комментарии •