❤❤❤❤❤❤❤❤ assalam aleyikum warahmatullaah wabarakatuh shekhe mimi huwa napenda kuota nalia ni kiamka ule mda wa kuswali kiamulele na jikuta usoni mwangu kumeja majonzi mengi
Nmeota nakimbia na baba nkamshinda kukimbia lakin kile KITENDO kikanipa huzun nkaanza kulia baba akaniulza unalia nn kamwambia nataman kama ungekua unakimbia kama zaman Akananjib kwamba (sio Mzee sana)akanishika mkono akanipa moyo nkanyamaza tukaondoka Naomba kujua maana yake
❤❤❤❤❤❤❤❤ assalam aleyikum warahmatullaah wabarakatuh shekhe mimi huwa napenda kuota nalia ni kiamka ule mda wa kuswali kiamulele na jikuta usoni mwangu kumeja majonzi mengi
Assalamualaikum warahama tullah wabarakatuh je mume amuote mkewe analia na huku anampa pole mumewe
Assalam asylum Mimi nimeota nalia afu nasikiliza kur,aan uku nikikumbuka shida nazopitia uku tukikimbia makabulini
Asalam alaikum sheikh,,,mm nimeota nalia kwa uchungu sana kwa ajili ya mdogo wangu ameingia kisimani na kufa😢😢😢😢😢
Assalam alaikum usstadh ni dua gani ya kuondoa dafiil bai
Sheikh ahasante mm nimeota jana nalia umenifafanulie
Na ni dua gani mtu atafanya ili afikie ndoto nzuri
Na je unapo Ota una sob 😭 😢 like vile mtoto anabembelezwq after kulia Ile sauti ya mwisho but hapohapo unabembelezwq na mtu unyamaze
Shekhe mimi niliota babangu mgonjwa na nikashikwa na huzuni ninamanisha nin
Mimi nimeota nimeenda nyumbani kwa marehemuu ma mkubwa nkamkuta kaaa aliponiona me ndo nkaanza kulia lkn yy aliendelea kula ugali wakati naanza kula ugali wakatokea dada zangu wawili mmoja mwanae yy marehemuu mwingine dada angu mimi ndo nkaliaa zaidiii
Mimi niliota npo kanisani naombewa
Nmeota nakimbia na baba nkamshinda kukimbia lakin kile KITENDO kikanipa huzun nkaanza kulia baba akaniulza unalia nn kamwambia nataman kama ungekua unakimbia kama zaman
Akananjib kwamba (sio Mzee sana)akanishika mkono akanipa moyo nkanyamaza tukaondoka
Naomba kujua maana yake
Na ni dua gani mtu atafanya ili afikie ndoto nzuri
Na ni dua gani mtu atafanya ili afikie ndoto nzuri