UKIOTA UNALIA JIANDAE NA MABADILIKO YAFUATAYO // SHEIKH ABUU JADAWI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • UKIOTA UNALIA JIANDAE NA MABADILIKO YAFUATAYO // SHEIKH ABUU JADAWI

Комментарии • 14

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 4 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ assalam aleyikum warahmatullaah wabarakatuh shekhe mimi huwa napenda kuota nalia ni kiamka ule mda wa kuswali kiamulele na jikuta usoni mwangu kumeja majonzi mengi

  • @Khadijamlongo-uu7uu
    @Khadijamlongo-uu7uu 28 дней назад

    Assalamualaikum warahama tullah wabarakatuh je mume amuote mkewe analia na huku anampa pole mumewe

  • @JamilaAmanzi-zx2wn
    @JamilaAmanzi-zx2wn 8 месяцев назад +3

    Assalam asylum Mimi nimeota nalia afu nasikiliza kur,aan uku nikikumbuka shida nazopitia uku tukikimbia makabulini

  • @jackykathule8078
    @jackykathule8078 7 месяцев назад

    Asalam alaikum sheikh,,,mm nimeota nalia kwa uchungu sana kwa ajili ya mdogo wangu ameingia kisimani na kufa😢😢😢😢😢

  • @MomadeSea
    @MomadeSea 19 дней назад

    Assalam alaikum usstadh ni dua gani ya kuondoa dafiil bai

  • @Ghanimasuleiman-k3k
    @Ghanimasuleiman-k3k 9 месяцев назад

    Sheikh ahasante mm nimeota jana nalia umenifafanulie

  • @MomadeSea
    @MomadeSea 19 дней назад

    Na ni dua gani mtu atafanya ili afikie ndoto nzuri

  • @magdalenew.mwanyota5901
    @magdalenew.mwanyota5901 8 месяцев назад

    Na je unapo Ota una sob 😭 😢 like vile mtoto anabembelezwq after kulia Ile sauti ya mwisho but hapohapo unabembelezwq na mtu unyamaze

  • @SalmaNdaa-f4o
    @SalmaNdaa-f4o 6 месяцев назад

    Shekhe mimi niliota babangu mgonjwa na nikashikwa na huzuni ninamanisha nin

  • @brownnyau825
    @brownnyau825 4 месяца назад

    Mimi nimeota nimeenda nyumbani kwa marehemuu ma mkubwa nkamkuta kaaa aliponiona me ndo nkaanza kulia lkn yy aliendelea kula ugali wakati naanza kula ugali wakatokea dada zangu wawili mmoja mwanae yy marehemuu mwingine dada angu mimi ndo nkaliaa zaidiii

  • @dorcassmarco3425
    @dorcassmarco3425 2 месяца назад

    Mimi niliota npo kanisani naombewa

  • @elvisgeorge6893
    @elvisgeorge6893 7 месяцев назад

    Nmeota nakimbia na baba nkamshinda kukimbia lakin kile KITENDO kikanipa huzun nkaanza kulia baba akaniulza unalia nn kamwambia nataman kama ungekua unakimbia kama zaman
    Akananjib kwamba (sio Mzee sana)akanishika mkono akanipa moyo nkanyamaza tukaondoka
    Naomba kujua maana yake

  • @MomadeSea
    @MomadeSea 19 дней назад

    Na ni dua gani mtu atafanya ili afikie ndoto nzuri

  • @MomadeSea
    @MomadeSea 19 дней назад

    Na ni dua gani mtu atafanya ili afikie ndoto nzuri