Asallaamu aleykumu shehe nashukuru kwa kutupa elimu kubwa sana ya ndoto miongoni mwetu elimu ya ndoto huwa atuna kwaiyo kwa niaba ya ndugu zangu ktk Imani nasema shukrani Sana Allah aakulipe ktk hili kwa upande wangu huwa naota Bibi yangu amekufa na ikiwa Bibi yangu uyoo yupo bado hai naomba msaada wako shehe WABILAAH TAUFIQ
Shukran. Ila, ungepunguza maelezo ukapata muda wa kuelezea style nyingi kwenye ndoto moja ambazo huenda zikagusa miongoni mwetu na kufanya tufikie lengo la kufungua channel yako.
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh naam sheikh nawukuza mimi huwa napenda kuwa namuota ndugu yangu kisha kufa kwa muda mrefu ila nindugu kanileya kwenye mambo yakunifunza kazi kwa hiyo napenda kumuota kwa hayo mambo tuliyo yaishi emo ya kushirikiyana kwenye maisha tuliyo yapita emo. Nisaidiye sheikh kwa msada huyo
Asalam aleykum shee miye nimeota tunaenda kuzika ghafla yule mait akafufuka na kuanza kutufukuza kila amt akakimbia na njia yake kule tulikokimbilia kulikuwa na msitu mkubwa sana baada ya kutembea tukakutana na wenyej na kutupa hifadh
Asalam aleikhum warahmatullah waabarakat. Nimeota mchumba ang amefariki huku nikiwa mjamzito pia katika ndoto nikiwa sikubaliani na kifo chake yan siamini kama amekufa.
Asallam allekhum pole kwa kazi umetafsir Sana Ila sijasikia ya mtu wa familia kumuota mwezie katika familia ambae yuko Ila yuko mbali nje ya mkoa Kama kafa Ila ndani ya choo kilichojaa.
Asalm alykum warahm tullah shekhe mimi nilifiwa na mama yangu lakin kila nikilala namuota yupo hai ndoto ambayo sijui inamaan gan ila nikiw siot wala simuwaz sn yale maumiv yashapoa ya kifo chake mwezi wa nne hu toka afe nilikuw naomba maan
Shukran sana s Shukran sana kwa kutupatia elimu jazakallahu kheir,Mimi naomba unipe maana ya ndoto hii,Nimeota nina swali baada ya kumaliza tu ,pembeni yangu yupo shemeji yangu ambaye amekufa zamani akachukua ule msala ,wangu anasema naye anaenda kusali, naomba tafsiri ,Ahsante
Asalam alykum sherk mimi niliota mtoto wa mjombangu aliekufa tuko maali kunamiti mingi alafu kunamaji yanatiririka masafi gafla yule kakangu akanipokonya chuma y maji akanywa nn maana yake
Ahsante Sana Shaikh wetu, mie niliota dadangu aliyefariki anachukua saa yangu naye ananipa mpya ya rangi siwahi kuona yaani nikm kubadilishana saa, maana yake nini?
Asalam aleikum warhamtullahi wabarakatu sheikh naomba kujuwa nimeota nime kufa lakini kwenye ndoto hiyo nikaomba tu nirudishiwe roho yangu nimuone mtoto wangu kwa maraya mwisho nimkumbatiye basi kweli nikarudiahiwa nikaenda kumuona mtoto wangu kwa maraya mwisho nikamkubatiya kidogo mke wangu akaniamsha nika shtuka maana yake ni nn sheikh
Asalam aleykum mie nimeota nimelelala sakafuni Kisha akaletwa maiti akiwa kwenye sanda inatakiwa nitoke Ili alazwe nilipo ila nguvu Zikaniishia nikajivuta kutoka nikashindwa maiti akalazwa pembeni yangu naomba jibu shekhe
Asalam alaykum sheikh mm nimeota Kuna msiba mtu kafariki kisha wanamkafini na kumvika sana na kumsawalia na kumzika na mm huyo mtu simfahamu nn tafsiri
Asalam aleykhum sheikh, naitwa SAIDI ATHUMANI, usiku wa kuamkia Leo nimeota nipo na Dada yangu ambae Ni mgonjwa nikawa namtambulisha kwa jamaa zangu wanaungali mguu wake ambao unauma, Mara akatokea mama yetu ambae Ni marehemu na alikufa angali kalemaa lakini Kwenye ndoto anatembea nikamuuliza kumbe umepona unatemea? akajibu ndio hata huyu Yani Dada atapona huku mama akiimba kwa furaha
Assalam aleikum sheikh,sheikh mkewangu kaota mdogo wangu wakiume amekufa kisha akalia sana watu ikabidi wamsihi ili anyaanze ila haikuwezekana ,ila huobwana mdogo nimzima bukheri basi akatoka ndotoni katika mazingira hayo
Kuna mtu ameota yeye amekufa lakini ktk hiohio ndoto akajikuta yupo hai na baadae akaanza kusikia matangazo ya kifo cha baba yake mzazi kwenye redio kinatangazwa.
Msamaani Kama nitakuwa nakosea hili Kweli Chanel yako huwa napenda kuifatilia Sana lkn Sasa hiyo luga sijuwi Kama ndo Nini hua yananipa uvivu Sana kweli niwe mkweli kwa Hilo jitahidi kupunguza hiyo Hali 🙏🙏🙏🙌🙌
Shekhe bana mm nimeota kama natolewa uhai lakin nipo katka gari tulikua tunakwenda kucheza mpira lakini mm sio mchezaji bali nimmoja katka viongozi wahiyo team lakini kabla ya kufika njiani ndio yakanitokea nimeota kama roho inatolewa lakin sijaanguka chini yani kama nilikua napambana mwamba nisidondoke yanikwamba nikubali hapana nikakaza vilevile ghafra nikashtuka nikajikuta nipo sawa lakin nimeogopa sana mfasiri wa ndoto tafadhali naomba nipe darasa kupitia ndoto hii kiukweli imeniogopesha sana sana sana
Salamualeku Babu mm nmeota nmebeba maiti kichwan lkn ile maiti sijaiona nmeibeba kichwan maiti ikiwa kwenye jeneza naipeleka kijijini kwa ndg zake wakazike nikiwa pekeangu inamana gani
Mimi nimeota nakamuliwa halafu inatoka damu mpaka nikafa pia niliota nimekuwa kichaa nimeenda msikitini nikavua nguo nikawa naonga msikitini na watu wakiniona nn maana ya ndoto hizi
Mm nimeota naaga maiti tunaaga kwa staily ya kumshika miguu baadaye yy akatupa mikono na kutukumbatia alivyo fika kwang akanambia bibi na ww upo nikamjib nipo kanambia haya kwaheri nikamjib haya sijui maana yake nisaidie
Mi nimeota tunamsaidia mtu yupo ndani ya maji mengi tunamvuta na kamba tunaangaika kumsaidia tukamtoa kwenye yale maji ghafla tukawa tunaludi tunahuzuni huku tunasema mwenzetu amekufa na maji sasa tupo nje kama harakati ya huzuni ila baadae wakaja watu wanawake wanasema marehemu kaongea kwamba alikaa kwenye maji siku tatu yani kiufupi haielewweki mzima au laa
Me wife ameniotea kuwa nimekufa na nimekafiniwa na sanda nyekundu nikapelekwa hadi kaburin wife akaingia yy 2 kwenye kaburi ila alikuwa akinigeuza nikae vzr nikawa nakataa nakaa vlvle nilivyokaa mwisho nikakaa kitako kabisa Maana yake nn hyo ndoto
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh my worker dreamed that I have died and a woman came and gave me medicine the I was alive again sheik what's the meaning of this dream
Asalam aleikum she Mimi niliota nakimbizwa na kudumbukia kabulini ada kwenye Mwanandan ila nilitoka na kukimbia ila nilikua nalushiwa mijabali nkanusulika pia nikaota pia mfu kaja kuniomba maji nikagom kumpa akataka kunipiga wakati atukuwai at kupigana Wala kufinyana na kweli Kwa Sasa nahali ngumu Kila idala nifanyaje
Asww nimeonta niko na marehemu mumewangu anataka tufanye mapenzi nikamwambiya ngoja nikafunge murango nikaenda nakafunga murango i dirisha rikabaki wazi nikafika naamuka ira hatukufanya kitu
Asalaam Aleykum walhmatullah tahla wabalakatullah mm nimeota tulikua watu wa tatu wa kike wawil wa kiume mmoja tulikua tunaenda nyumba ya starehe lakin tukaambiwa pamejaa tukaenda sehemu nyingine tukatokea balabalan lakin atujavuka bala bala tukamkuta mkaka tukawa tunaulizia sehemu ambayo tutapata nyumba ya wa wageni akasema subili niwaitie mtu wa boda boda niwaitie mala akaanza kudai pesa kabla yule mtu wa boda ajafika tulivyokataa akampiga yule kaka tuliekuja nae hadi kafa hapo hapo na tukashuhudiwa kavalishwa limfuko yan kavingilishwa Kama maiti ya kislam lakin ajaoshwa wala kuswaliwa mm na mwezangu tukaondoka tulivyofika mbele tukakutana na mdada tunaemjua akawa anatuambia habali izo izo za msiba yani naomba tafsili ya ndoto
Mm sio mtaalamu wa ndoto lkn maana apo ni kwamba starehe au kufanya vitu vya kumchukiza mungu basi mwisho wake ni mbaya kwaiyo mche mungu achana na mambo yakidunia sana inshallah
Nimeota kaja kijana mwanaume halafu nikawa nimepaa angani kufika mbele nikamkuta marehemu baba kama ndani ya sanduku ila lipo wazi kakaa kitako halaf kama kuna kitu kibaya kinataka kunitokea nikasoma dua nikaamka ghafla
Waleiqom salam je ukiota unatembea na ndugu yako alifariki kisha mukapita makaburi ucku WA manani akuambie muzike kisiri kisha umwambie kuna mlizi mara kajitokeza huyo mlinzi akawaona maana?
Shehe wetu kama umemuota maiti ana mzigo wa kuni kichwani maana yake ninibaadaye ukajikuta kwenye shimo kubwa kisha akatokeya mtu humfahamu akakushushia kamba akasema ataka kukusaidiya hata ukikaribia juuu akakuachia jee maana yake nini
Nimeota Baada Ya Kulala Tu Kwa Masaa Mawili . Saa Tano Mchana , Kuwa Nipo Mskitini Nimemaliza Kuswali ..... Wakati Huo Nataka Kutoka Mlangoni, Nikapishana Na Watu Wanaingiza Jeneza Ndani. Na Wakati Tunamswalia Tulisujudia Maiti !
Asallaamu aleykumu shehe nashukuru kwa kutupa elimu kubwa sana ya ndoto miongoni mwetu elimu ya ndoto huwa atuna kwaiyo kwa niaba ya ndugu zangu ktk Imani nasema shukrani Sana Allah aakulipe ktk hili kwa upande wangu huwa naota Bibi yangu amekufa na ikiwa Bibi yangu uyoo yupo bado hai naomba msaada wako shehe
WABILAAH TAUFIQ
Yaani hata mimi usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto kama ya kwako
Shukran. Ila, ungepunguza maelezo ukapata muda wa kuelezea style nyingi kwenye ndoto moja ambazo huenda zikagusa miongoni mwetu na kufanya tufikie lengo la kufungua channel yako.
Allah atulinde na kila shar amiin
Subhannallah Allah atuepushie na mandoto hayo inshaAllah
MIM NIMEOTA MUKEWANGU NA MENANGU WAMEKUFA NAOMBA UNISAIDIE SHEHE🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Shukran. Je ukiota unaenda kumuona baba yako nau khar amekwisha fark
Mungu akubrk
Shukrani kwadrasa
Assalam alaikum WA rahmatullahi WA barakkatuhu , natumahi mko Salama bi idhni llah. Tafadhali nipe Tafsir ya kuota mayyiti yenye kunuka . Shukran.
Mwanangu kaota mimi nimefariki 😢 naomba tafsiri ya ndoto hii shekhe
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh naam sheikh nawukuza mimi huwa napenda kuwa namuota ndugu yangu kisha kufa kwa muda mrefu ila nindugu kanileya kwenye mambo yakunifunza kazi kwa hiyo napenda kumuota kwa hayo mambo tuliyo yaishi emo ya kushirikiyana kwenye maisha tuliyo yapita emo. Nisaidiye sheikh kwa msada huyo
Asalam aleykum shee miye nimeota tunaenda kuzika ghafla yule mait akafufuka na kuanza kutufukuza kila amt akakimbia na njia yake kule tulikokimbilia kulikuwa na msitu mkubwa sana baada ya kutembea tukakutana na wenyej na kutupa hifadh
Asalamu alaykum ,shekh Mimi Niko na wiki Moja nimeota nimemuota nimekuona marehem bibi angu anachungulia getin aliniona akanikimbilia Nami nikawa namkimbilia Kisha tukakumbatiana ,shekh naomba tafsiri ya ndoto hii asalamu alaykum
Naomba majibu SHEIKH tafadhal
Shukran sana
Habari shekhe,nimeota tumebeba maiti mwenzangu akaidondosha nikaiokota
Shukran kwa tafsiri sheikh na vipi ukiota umezikwa wwe na mtoto wako kipenz mkiwa hai tena mmezikwa njiani
asalamu alaykum shekhe nimeota nachimbiwa kabur nikajihis nalia sana anasema nachimbiwa nyumba yng naomba uniambie maana yke
Shukran USTADH.Nimeota kuwa Mamdogo amekufa na pia ameoshwa lakini Hakufika kuzikwa nimeshtuka Kumbe Ako hai
Ata Mimi mama mdogo yupo hai
Namba ya simu sijaiona maana napenda zaid nikuulize juu ya ndoto yangu kwa mdomo na unipe majibu kwa mdomo wako🙏🙏
Mm huwa nnamawzo ya kuwa nomekufa au. Najihic km nimekufa ustadh nisaidiee
Asalam aleikhum warahmatullah waabarakat. Nimeota mchumba ang amefariki huku nikiwa mjamzito pia katika ndoto nikiwa sikubaliani na kifo chake yan siamini kama amekufa.
Naomba unisaidie mimi nimeota shemeji amefariki
Asallam allekhum pole kwa kazi umetafsir Sana Ila sijasikia ya mtu wa familia kumuota mwezie katika familia ambae yuko Ila yuko mbali nje ya mkoa Kama kafa Ila ndani ya choo kilichojaa.
Kama wwe
Mimi nimeota dada yangu Amefariki niambie Nafsiri yake
Samahan sheikh mim nimeota Asubuh hii mtoto wang kafarik na maiti yake nimeishika mim naomba kujua maan yake niko mbali na mtot wang naogop sana
Shukuraan, kwan ukianza na salamu ukamtqkia rehma allah (s.w) kisha ukamswalia mtume ... then ukaenda kwenye point shida nn?
Mm nimejita nimefariki nimevichwa sanda na kushituka
namuota sana marehem mama yangu
Anataka dua huyo ww muombee dua
Assalamu alaykum sheikh naomba mawasiliano yako nina jambo
Asalm alykum warahm tullah shekhe mimi nilifiwa na mama yangu lakin kila nikilala namuota yupo hai ndoto ambayo sijui inamaan gan ila nikiw siot wala simuwaz sn yale maumiv yashapoa ya kifo chake mwezi wa nne hu toka afe nilikuw naomba maan
Shukran sana s
Shukran sana kwa kutupatia elimu jazakallahu kheir,Mimi naomba unipe maana ya ndoto hii,Nimeota nina swali baada ya kumaliza tu ,pembeni yangu yupo shemeji yangu ambaye amekufa zamani akachukua ule msala ,wangu anasema naye anaenda kusali, naomba tafsiri ,Ahsante
Asante Sana na je ukiota mtu Alie hai amekufa nadotoni nni kitatokea?
Aslm alkm
Asalam alykum sherk mimi niliota mtoto wa mjombangu aliekufa tuko maali kunamiti mingi alafu kunamaji yanatiririka masafi gafla yule kakangu akanipokonya chuma y maji akanywa nn maana yake
Shukran
Mm nimeota nimekufa lakini napimwa urefu wangu kwa tepu inamaana gani
Ahsante Sana Shaikh wetu, mie niliota dadangu aliyefariki anachukua saa yangu naye ananipa mpya ya rangi siwahi kuona yaani nikm kubadilishana saa, maana yake nini?
shukran shekhel ila ungeeka number mtu ywaeza kuitaji na hakapinga direct
Assallamu aleikum warahmtlh wabarkth... ukiota mtu anafufua maiti ???
Asalam aleikhum warahmatullah waabarakat. Samahani naomba tafsiri ya kumuota mchumba ang amefariki huku akiniacha nikiwa Nina mimba.
A, Alaykum. Ukiota Mwanamke au binti. Ana jinsia. Mbili. Ina maana. Gani?
Nimeota namzika baba angu peke yangu bila msaada wa yeyote
Asalam aleikum warhamtullahi wabarakatu sheikh naomba kujuwa nimeota nime kufa lakini kwenye ndoto hiyo nikaomba tu nirudishiwe roho yangu nimuone mtoto wangu kwa maraya mwisho nimkumbatiye basi kweli nikarudiahiwa nikaenda kumuona mtoto wangu kwa maraya mwisho nikamkubatiya kidogo mke wangu akaniamsha nika shtuka maana yake ni nn sheikh
Asalam aleykum mie nimeota nimelelala sakafuni Kisha akaletwa maiti akiwa kwenye sanda inatakiwa nitoke Ili alazwe nilipo ila nguvu Zikaniishia nikajivuta kutoka nikashindwa maiti akalazwa pembeni yangu naomba jibu shekhe
Asalm alykum shekh sasa mm nimeota ndoto kuna mtu amekufa haliakuwa yupo hai naitaj msaada wako
Asalamu alaykum mm nime ndoto rafiki yagu kafa
Asalam alaykm shehe mm nimeota nipo msibani kwajirani yangu nn manaake?
Ostadhi mm nimeota nimemsomea maiti akasimama
Asalam alaykum sheikh mm nimeota Kuna msiba mtu kafariki kisha wanamkafini na kumvika sana na kumsawalia na kumzika na mm huyo mtu simfahamu nn tafsiri
Je ukiota umekufa kisha ukaingiza(ukajizika) mwili wako katika kaburi la kale hii ina maana gani?
Salam alakum mimi nimeota nimepewa mtoto maiti amefunikwa shuka nyeupe,uyo mtoto ni kamkata jee ndoto hii inamanisha nini
Asalam alaykm warahmatullah wabarakatuh mm huwa naota msiba nyumban kwetu au mtu alotangulia kufa ananishika mkono inaamaanisha nn
Asalam aleykhum sheikh, naitwa SAIDI ATHUMANI, usiku wa kuamkia Leo nimeota nipo na Dada yangu ambae Ni mgonjwa nikawa namtambulisha kwa jamaa zangu wanaungali mguu wake ambao unauma, Mara akatokea mama yetu ambae Ni marehemu na alikufa angali kalemaa lakini Kwenye ndoto anatembea nikamuuliza kumbe umepona unatemea? akajibu ndio hata huyu Yani Dada atapona huku mama akiimba kwa furaha
Assalam aleikum sheikh,sheikh mkewangu kaota mdogo wangu wakiume amekufa kisha akalia sana watu ikabidi wamsihi ili anyaanze ila haikuwezekana ,ila huobwana mdogo nimzima bukheri basi akatoka ndotoni katika mazingira hayo
Mm nimeota nimemliza shule ya msingi lakini naangalia majibu yalobandikwa ukutani mm nimefeli sijui hiyo ndoto Ina maana gani
Kuna mtu ameota yeye amekufa lakini ktk hiohio ndoto akajikuta yupo hai na baadae akaanza kusikia matangazo ya kifo cha baba yake mzazi kwenye redio kinatangazwa.
Asalam aleykum warhatullah wabarakatuh Sheikh ninapetakuota papu yangu namuona wala namskia iko anaongea wala namuona wakati alisha kufa
Msamaani Kama nitakuwa nakosea hili
Kweli Chanel yako huwa napenda kuifatilia Sana lkn Sasa hiyo luga sijuwi Kama ndo Nini hua yananipa uvivu Sana kweli niwe mkweli kwa Hilo jitahidi kupunguza hiyo Hali 🙏🙏🙏🙌🙌
Shekhe naomba unipe maana ya kuota ndoto ukidumbukia kwenye kabur
Shekhe mim nimeota nimekufa nikapelekwa mpaka makabulini wanataka kunizika nikawaomba wasinizike kwasababu sijaswali yaani sijafanya ibado ivyo wakaniachia sikuzikwa apoapo nikaamuka usingizini maana ya ihii ndoto nini?
Asalam aikum shee
Mimi nimeota tumeenda kuzika lakini tumekuta bahazi ya makabuli yamechimbika navua mbaka baazi yavitu unaweza kuviona baada yakuludi nikamwambia mwezangu mmoja ilibidi niendenae nikamwonyeshe ilvwokuwa tukaenda na akaona
Shekhe bana mm nimeota kama natolewa uhai lakin nipo katka gari tulikua tunakwenda kucheza mpira lakini mm sio mchezaji bali nimmoja katka viongozi wahiyo team lakini kabla ya kufika njiani ndio yakanitokea nimeota kama roho inatolewa lakin sijaanguka chini yani kama nilikua napambana mwamba nisidondoke yanikwamba nikubali hapana nikakaza vilevile ghafra nikashtuka nikajikuta nipo sawa lakin nimeogopa sana mfasiri wa ndoto tafadhali naomba nipe darasa kupitia ndoto hii kiukweli imeniogopesha sana sana sana
Nimeota naokota korosho nilipata korosho nyingi sana Kisha nikaenda kumpelekea babu yangu zile korosho ..na babu yangu Alisha fariki
Nina swali naomb kujibiwa niliot mtoto wangu amekuf inamaan gan
Je Kwa Hili Ina Maana Gani Au Kipi Nafaa Kufanya .....?
Salamualeku Babu mm nmeota nmebeba maiti kichwan lkn ile maiti sijaiona nmeibeba kichwan maiti ikiwa kwenye jeneza naipeleka kijijini kwa ndg zake wakazike nikiwa pekeangu inamana gani
Ustadhi mimi nimeota Nina mume,ghafla akatokea mwanaume mwingine akataka kunioa,mume wangu akaniambia olewa nae nikaolewa nae nilivyoolewa sikukaa mda mrefu yule mume wa pili akafariki nikawa mjane, alikuja mume wa mwanzo ananifariji,nikashtuka,naomba unisaidie nini maana yake?
Me nimeota mama amekufa Ina maan ghan
Mimi nimeota nakamuliwa halafu inatoka damu mpaka nikafa pia niliota nimekuwa kichaa nimeenda msikitini nikavua nguo nikawa naonga msikitini na watu wakiniona nn maana ya ndoto hizi
Mm nimeota naaga maiti tunaaga kwa staily ya kumshika miguu baadaye yy akatupa mikono na kutukumbatia alivyo fika kwang akanambia bibi na ww upo nikamjib nipo kanambia haya kwaheri nikamjib haya sijui maana yake nisaidie
Mi nimeota tunamsaidia mtu yupo ndani ya maji mengi tunamvuta na kamba tunaangaika kumsaidia tukamtoa kwenye yale maji ghafla tukawa tunaludi tunahuzuni huku tunasema mwenzetu amekufa na maji sasa tupo nje kama harakati ya huzuni ila baadae wakaja watu wanawake wanasema marehemu kaongea kwamba alikaa kwenye maji siku tatu yani kiufupi haielewweki mzima au laa
Mim niliota nipo monchwili
Asalam'alaykum warahmatullah nimeota kua KIONGOZI wa dini wa mkoa kafarik na yuko hayi nini maana yake
Me wife ameniotea kuwa nimekufa na nimekafiniwa na sanda nyekundu nikapelekwa hadi kaburin wife akaingia yy 2 kwenye kaburi ila alikuwa akinigeuza nikae vzr nikawa nakataa nakaa vlvle nilivyokaa mwisho nikakaa kitako kabisa
Maana yake nn hyo ndoto
Je UKIMUOTA RAISI AMEFARIKI NA UMEHUDHURIA YALE MAZISHI ?? Tafadhali naomba Tafsiri hii
Shehe mimi nimeota maiti kafufuka naalizikwa hatawiki haijaisha
SHUKRANI LKN MIMI NOMEOTA MAMA YANGU ALIYE FARIKI NIMEOTA KAFARKI TENA NA MPAKA NIKAAMKA NALIA SANA MACHOZI MACHONI MWANGU
TAFADHALI INA MAAMA GANI?
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh my worker dreamed that I have died and a woman came and gave me medicine the I was alive again sheik what's the meaning of this dream
Asalam aleikum she Mimi niliota nakimbizwa na kudumbukia kabulini ada kwenye Mwanandan ila nilitoka na kukimbia ila nilikua nalushiwa mijabali nkanusulika pia nikaota pia mfu kaja kuniomba maji nikagom kumpa akataka kunipiga wakati atukuwai at kupigana Wala kufinyana na kweli Kwa Sasa nahali ngumu Kila idala nifanyaje
Asww nimeonta niko na marehemu mumewangu anataka tufanye mapenzi nikamwambiya ngoja nikafunge murango nikaenda nakafunga murango i dirisha rikabaki wazi nikafika naamuka ira hatukufanya kitu
Asalaam Aleykum walhmatullah tahla wabalakatullah mm nimeota tulikua watu wa tatu wa kike wawil wa kiume mmoja tulikua tunaenda nyumba ya starehe lakin tukaambiwa pamejaa tukaenda sehemu nyingine tukatokea balabalan lakin atujavuka bala bala tukamkuta mkaka tukawa tunaulizia sehemu ambayo tutapata nyumba ya wa wageni akasema subili niwaitie mtu wa boda boda niwaitie mala akaanza kudai pesa kabla yule mtu wa boda ajafika tulivyokataa akampiga yule kaka tuliekuja nae hadi kafa hapo hapo na tukashuhudiwa kavalishwa limfuko yan kavingilishwa Kama maiti ya kislam lakin ajaoshwa wala kuswaliwa mm na mwezangu tukaondoka tulivyofika mbele tukakutana na mdada tunaemjua akawa anatuambia habali izo izo za msiba yani naomba tafsili ya ndoto
Mm sio mtaalamu wa ndoto lkn maana apo ni kwamba starehe au kufanya vitu vya kumchukiza mungu basi mwisho wake ni mbaya kwaiyo mche mungu achana na mambo yakidunia sana inshallah
Mm niliot mam yng amekuf mar mbil kwa mwak
Nimeota kaja kijana mwanaume halafu nikawa nimepaa angani kufika mbele nikamkuta marehemu baba kama ndani ya sanduku ila lipo wazi kakaa kitako halaf kama kuna kitu kibaya kinataka kunitokea nikasoma dua nikaamka ghafla
Nimeota nimekufa najiona kwenye jeneza lkn niliona sijafa kihalali nimelogwa nikaanza kuomba hatimaye nikafufuka,, shehe naomba tafsiri na mwongozo
Habali nimeota baba anafaliki mana yakenini
Mm niliot MTU amekuf lakin nilipoamka nilimkut yup hai inamaan gan
Nimepata nipo msibani lakin sijui aliyekufa na nimeota kimekucha asubuhi nikama nipo nyumbn
Ayo maamkizi tu mmeshakula mb zangu muwe mnafupisha
😂😂😂😂😂😂😂😂 Pole jamaniiiiiiii 😂😂😂
Unachonikera unapoteza muda mwingi kuhubiri baada ya kuelekeza
Asww
Mm niliota sheitan kanikata kichwa katika purukushani za kumkimbiza huyo sheitan hiko kichwa nilikishika baada ya kukatika je hio ndoto ina maana gani
Shekhe ukiota umeenda kwenye mazishi alokufa mtu ana mwili mnene na wakati huo unaendelea na dawa za kisuna Sasa unakujia ndoto hiyo Ina maana gani
Leo hii nimeota nakimbizwa na maiti nikiwa nimebeba mtoto mahali najificha zinanipata inamaana gani
Waleiqom salam je ukiota unatembea na ndugu yako alifariki kisha mukapita makaburi ucku WA manani akuambie muzike kisiri kisha umwambie kuna mlizi mara kajitokeza huyo mlinzi akawaona maana?
Nimeota nimekifa alafu nimegufuka nimerud mtaan naendelea mishe
Nimeota mume wangu amekufa akaniambia njoo tufe wote kwanini uniache niende pekeyangu nami nikaenda nikafa lakini tunaongea na kunawatu wanaongea sihem sijui wakati tunaenda kuzikwa tukiwa ndani ya gari tunaongea nikashtuka
Naomba tafsiri nimempiga mtu adi akafa ndotoni iyo
Shehe wetu kama umemuota maiti ana mzigo wa kuni kichwani maana yake ninibaadaye ukajikuta kwenye shimo kubwa kisha akatokeya mtu humfahamu akakushushia kamba akasema ataka kukusaidiya hata ukikaribia juuu akakuachia jee maana yake nini
Mimi. Nikikaa. Nawaza. Kufa. Kufa. Na. Ila. Sioti. Na. Nakosa usingizii
👏👏👏
Nimeota Baada Ya Kulala Tu Kwa Masaa Mawili . Saa Tano Mchana , Kuwa Nipo Mskitini Nimemaliza Kuswali ..... Wakati Huo Nataka Kutoka Mlangoni, Nikapishana Na Watu Wanaingiza Jeneza Ndani. Na Wakati Tunamswalia Tulisujudia Maiti !
Nimeota nimekaa pembeni mtu anaremba maiti gafla maiti akaungua