dalili za mtu anaye karibia kufa muda mfupi ujao

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 157

  • @JamilaMiraj
    @JamilaMiraj 16 дней назад +2

    Allah nakuomba unijaalie mwisho mwema mm na ndug zangu na ww utakae soma commet hii🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @namicktz_official
    @namicktz_official Год назад +23

    Mungu Tujalie mwisho mwema

  • @awaahassan936
    @awaahassan936 Год назад +42

    sio urongo huu ni kweli mtu akikaribia kifo uwa rizki inafungwa pili kauli pia inafungwa tatu uwa yuko na aya sana kila ukimtazama hakuangalii vizury yeye anaangalia ukuta tu

    • @husseinnuru7544
      @husseinnuru7544 10 месяцев назад +5

      Nikweli ant mm naumwa nasina masiliano nadunia kabisa kiukweli

    • @nurumohammed1310
      @nurumohammed1310 6 месяцев назад +2

      Umeongea ukweli nimeshuhudia mimi

    • @bekakasambala7108
      @bekakasambala7108 4 месяца назад +1

      Yes ukiona anaangalia ukutani maana yake anaona mengi sana ambayo ww huyaoni au waliomzunguka hawaoni lakn migonjwa mwenyew ndo anaona...malaika wa umauti anakuwa Yuko pale ilaww huwez kumwona.😢😢

    • @azizakipunde
      @azizakipunde 4 месяца назад +4

      Innalillah wainaillah raj'uun nimeliona hili pia😢

    • @agnessbahamu3931
      @agnessbahamu3931 4 месяца назад

      Hizo dalili zipo niliona shosh wakati akiugua

  • @KenasiEsube-g6l
    @KenasiEsube-g6l Год назад +7

    Shida heee mungu tusamee kwa kila kitu tunacho kitenda

  • @aash4145
    @aash4145 2 года назад +4

    Pole sana laamboya kwakitokwa na mama mzaz,,,, mungu amjaalie makaz mema ya pepo inshaalah

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад +8

    Kuna kaka yangu mhonjwa lakin leo amekataa kabisa kula tangu asubuhi kaomba soda tu

  • @zainahasanizainahasanihash5781
    @zainahasanizainahasanihash5781 2 года назад +7

    Emwenyezi mungu tupe mwisho mwema

  • @AbdullFaidha
    @AbdullFaidha 3 месяца назад +13

    Mm xipo kitandani ila mapigo yangu ya moyo hyana muelekeo pumzi ndo km ulivoxema na kuxameh watu ndo kabx 😢😢😢

    • @TesileaiaNestoly
      @TesileaiaNestoly Месяц назад

      Utokufa Bali utaishi ili ushuhudie matendo ya MUNGU

    • @HadiaAme-x5f
      @HadiaAme-x5f 25 дней назад

      Staghafiru sana kwa Allah ili akusamehe

  • @JanethJames-ri5zq
    @JanethJames-ri5zq 2 месяца назад +6

    Dah mungu warehem marehem ote wape kauli dhabiti 😢

  • @deogratiuslwamboya4032
    @deogratiuslwamboya4032 2 года назад +30

    dalili 8 zote zimetokea Kwa marehemu mama yangu kabla ya kufa tarehe 17.04.2022. Asante kwa ufafanuzi huu

  • @eunicelango608
    @eunicelango608 3 года назад +29

    Neno la mungu linasema hakuna ajuae siku Wala saa

    • @vicentsalum4884
      @vicentsalum4884 Год назад +2

      Siku wala saa ya kuja Mwana wa Adam

    • @MariamuJuma-t8z
      @MariamuJuma-t8z 2 месяца назад

      ​@@vicentsalum4884hawa wamekosa kaziyakufanya kifo nifumbo

  • @AnliaomarbacarAnliomar
    @AnliaomarbacarAnliomar 20 дней назад

    kueli kabisa brother uko sahihi mungu akubarik

  • @WinnixKamau-fz1vw
    @WinnixKamau-fz1vw Год назад +3

    Niukweli kabisa,dalili zote dadangu alikuwa Nazi hizo

  • @SwahiliSister-o5v
    @SwahiliSister-o5v 2 месяца назад +3

    Yarabb atujaalie husnal hatma 🤲🤲🤲

  • @beatricemdoe2850
    @beatricemdoe2850 Год назад +2

    Naungana nawe kaka
    Ni kweli kabisa

  • @fatmabhai2812
    @fatmabhai2812 2 года назад +13

    Kati ya dalili hizi ni kweli nimeziona kwa mgojnwa niliyewahi kumuuguza .. MAREHEMU BIBI YNG... MUNGU AMSAMEH NA AMPE MALAZI YENYE FURAHA. AMYN.

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 Год назад +3

    Babu yang kabla ya kufa alitaka sana kuonana mami kwa bahat mbaya nlikua mbal nl umia kusikia ali nihitaj sana kabla ya kifo chake

  • @tifashadrack7135
    @tifashadrack7135 26 дней назад

    Allahu main a's aluka husnal alhatmah🙏🙏🙏

  • @KemmyPrince-r4l
    @KemmyPrince-r4l 5 месяцев назад +4

    Mm kakaangu alinipigia sm akaniita niende nikasema ntakuja kesho akang'ang'ania sana niende nikasema kesho itapita masaa napigiw sm kafa

  • @PINGUDAMAS
    @PINGUDAMAS 2 месяца назад +2

    Mungu nijarilie mwisho mwema amen

  • @Aishazayana-m8n
    @Aishazayana-m8n 8 дней назад

    Allah tujalie mwish mwema

  • @SheilaKitilit
    @SheilaKitilit 10 дней назад

    😭😭😭😭woi mum rest in peace sikuwa najua iko hivi i wish ningeambia nakupenda😭😭😭naumia jamani😢

  • @zionshedaffa6446
    @zionshedaffa6446 Год назад +7

    True kitu kingine uona watu waliokufa hapo zaman R.I.P Mama n 24\07\2023🙏🏼 dalilizote hizo tuliziona kumbeeeee😭😭😭😭💞

  • @JauZaty
    @JauZaty 2 месяца назад +1

    Allah atujalie mwisho mwema 🤲🤲🤲

  • @AgnesSildion
    @AgnesSildion 5 месяцев назад +2

    Oooh Allah naomba utujalie mwisho mwema.. amiin 🙏😢😟

  • @mwanaidimajid8382
    @mwanaidimajid8382 2 года назад +3

    MWENYEZI MUNGU anijalie mwisho mwema

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 2 месяца назад +1

    Mungu tunaomba utujalie mwisho mwema

  • @SubiraEgnuss
    @SubiraEgnuss 2 месяца назад +1

    Nikweli kabisa niliziona hizi dalili kipindi tunamuuguza marehem baba 😭😭😭😭😭

  • @AishaThabit-yr4mn
    @AishaThabit-yr4mn 8 месяцев назад +6

    Usitudanganye wew ushawa kufa ukarud hiyo tumuachie mungu mwenyew

    • @Nyotajada
      @Nyotajada 6 месяцев назад

      😂😂😂😂

    • @MussaKhatib-x1j
      @MussaKhatib-x1j 2 месяца назад

      Sio muongo hata wanazuoni wanaeleza na mashehe

    • @asteriashios1852
      @asteriashios1852 2 месяца назад

      Siyo uongo ni kweli anayoyasema niliuguza dada yangu kanituma hapo nje mlangoni tuu kurudi hayupo kabisa

    • @HadiaAme-x5f
      @HadiaAme-x5f 25 дней назад

      Ni kweli mm mama yangu akiwa kitandani hosp niliondoka kidogo kupisha usafishaji wa ile sehemu aliyopo msafishaji kamop tu kuondoka pale narudi nakuta tayari ameshakufa

    • @SelemaniMndai-ox8dy
      @SelemaniMndai-ox8dy 14 дней назад

      Nikweri na hata yeye mwenyewe anajijua ira hasemi mpaka mungu amfungulie kutamka

  • @MamuMamu-u4c
    @MamuMamu-u4c 7 месяцев назад +15

    Allh atupe mwisho mwema ila kifo anajua allh pekee

  • @Salhamaneti
    @Salhamaneti Месяц назад +1

    Dah! Laiti ningejua haya mapema Ile siku mdogo wangu anaondoka duniani ningekaa nae karibu muda wote, ningemkumbatia na kumbusu nakumbembeleza nakumuombea Dua nakumkumbusha ajiandae na safari yake salama...bahati mbaya sikua najua 😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔 mwezi wa 10 tarehe 8 2024 sitakaa nisahau Ile siku pumzika Kwa amani mdogo wangu nisamehe nilipo kuumiza nisamehe nilipo kua sikuelewi.... nakupenda nakukumiss sana

  • @NasraKambimtoni
    @NasraKambimtoni 2 месяца назад

    Nikweli kabisa mume wang alikuw anaumw siku ambayo anatka kufa akatak maziw nikatoka kununua maziw nalud mung wang3 namkuta mume amefariki anamalizikia dah.nimelia sana dah tuombe mwisho mwema

  • @user-Ndashuka001
    @user-Ndashuka001 3 месяца назад +5

    AHSANTE Mungu maana sitakufa nitaishi ili nipate kuyathimulia matendo makuu yako MUNGU. AMEN

    • @AbdullFaidha
      @AbdullFaidha 3 месяца назад

      😂😂😂😂

    • @MariamuJuma-t8z
      @MariamuJuma-t8z 2 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂 mmh makubwaaya kwamba hutokufa usituchekeshe jmn

    • @MariamuJuma-t8z
      @MariamuJuma-t8z 2 месяца назад

      Kwamba umewekwa msimulizi miaka buku wengine tufe aucyo

    • @EsinasWangasa
      @EsinasWangasa Месяц назад

      🤣🤣🤣Muombeeee mwenyezi mungu mwisho mwema tu maana kila nafsi Lazima itaonjaa umauti 😭😭

  • @noushaddammam8805
    @noushaddammam8805 2 месяца назад

    kweli kabisa kaka akika nimejifunza mambo mengi kutoka kwako

  • @adellaakupenguvumtumishika9217
    @adellaakupenguvumtumishika9217 12 дней назад

    Eeh mungu tupe mwisho mwema

  • @AmisiOmary-p3o
    @AmisiOmary-p3o 25 дней назад

    Asante kwa ufafa nuz huu

  • @JauZaty
    @JauZaty 2 месяца назад +1

    Haya naona kama yana ukwel 😢

  • @exinavicter-y7p
    @exinavicter-y7p Месяц назад +1

    Ngai 😢 nimestuka naogopa kulala

  • @alleyjuniourtz
    @alleyjuniourtz 2 месяца назад +3

    Dalili zote hizi niliziona kwa Marehemu Mama yangu kabla hajafariki alinitaka nirudi Nyumbani nimsimamie Biashara zake hapo nilikwenda Chuo kufanya Sup na sikupanga kurudi hiyo siku nimeondoka saa 9 jioni usiku mzima alikuwa ananiulizia...nilimkuta anapumulia Mashine kitendo. Cha kumshika mkono huku nikilia haikupita nusu saa naye alifariki 😭😭...R.I.P MY MOM 🤱♥️

  • @ruqia6079
    @ruqia6079 2 года назад +11

    Hakuna ajuwae zaidi ya mungu

  • @cholocaptain1623
    @cholocaptain1623 2 года назад +4

    Inaniumiza sana iz story

    • @HadiaAme-x5f
      @HadiaAme-x5f 25 дней назад

      Ila ni nzuri kwa ajili ya ukumbusho

  • @mwanashasjambia8572
    @mwanashasjambia8572 Месяц назад

    Mungu pekee ndie anajua Siri ya mja wake lini atakufa ,lkn hakuna binadamu hajuaye.

  • @KelliaSibomana
    @KelliaSibomana 2 месяца назад

    Amen G bless u

  • @SalumuZomba-xb5bz
    @SalumuZomba-xb5bz Год назад

    Kaka angu mungu ndio anayejua

  • @RoyceFrancis-ik8uv
    @RoyceFrancis-ik8uv 2 месяца назад

    Naumia sana mama yangu alitaka sana kuonana na mimi lakini haikuwezekana😢 😢 MUNGU ailaze roho ya mama yangu mahali pema peponi

  • @JasiminJasimin-i5l
    @JasiminJasimin-i5l Месяц назад

    Mungu tupe mwisho mwema 😭😭😭😭💔😭

  • @IssaTayari
    @IssaTayari Месяц назад

    Aisee mungu atujakie

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p Месяц назад

    Nimtihanii napmba maisha kwema

  • @MaterlingMtui-oz8fp
    @MaterlingMtui-oz8fp 7 месяцев назад

    Uwoii,,, nawanaoo kufa na ajali, tumuaxhie Mungu bhna

  • @HadiaAme-x5f
    @HadiaAme-x5f 25 дней назад

    Hili halitaki mabishano liko wazi kua ni kweli ila binadamu nao ni wagumu mno maana wengine hubisha kwa kusema hi siku ya malipo wewe umeiona au wewe ndo mlipaji sasa kuna watu kila kitu ni ubishi tu na waamini wanaoamini wasioamini na wasubiri yawakute ndo watakumbuka km pia hawatobisha

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад

    Ndio wanasemaga anakuwa ja aibu au anakutuma kitu ndo anakufa

  • @MamuMamu-u4c
    @MamuMamu-u4c 7 месяцев назад +3

    Watu sikuhizi wanakufa wala hawaumwii

  • @SharifaSherry-er1xz
    @SharifaSherry-er1xz 8 месяцев назад +2

    Allah Akbar🙏🙏🙏

  • @Amissi_abasi1
    @Amissi_abasi1 8 месяцев назад

    Kwl kbs mwanzo mwisho

  • @agripinagasper-ts1yx
    @agripinagasper-ts1yx Год назад +3

    Moyo hautoki roho ndio inatoka kakaake

  • @elizakaroli3254
    @elizakaroli3254 2 месяца назад

    Ni kwel kbsa na mm yalinikuta mgonjwa aliniagiza kitu kurud kashafarik so sad 😢😢😢😢😢😢

  • @hamiduahmadi3854
    @hamiduahmadi3854 Год назад +1

    Kumbe dalili zenyewe zimebezi kwa wagonjwa tu?

  • @Kalthoom-ru3mq
    @Kalthoom-ru3mq 2 месяца назад

    Mama yang alitaman kuniona ila haikuwa rikiz 😢

  • @marrymangaro3613
    @marrymangaro3613 2 года назад +7

    Wacha kudandanya watu, hakuna ajuwaye ni mungu pekee ndiye anayejuwa siku na masaa!

    • @maalimseifk-gumuadui123
      @maalimseifk-gumuadui123 Год назад +1

      Akili yako bado ni changa ndo maana umeandika hivyo….vyote ni kwel!
      Kwan kwenye hayo maelezo kuna mtu alisema yeye ndo anajua siku na masaa ya mtu kufa?acha ujuaji mwingi

    • @husseinnuru7544
      @husseinnuru7544 10 месяцев назад

      Nikweli msikatae mm naumwa najiona kabisa saw amini

    • @KemmyPrince-r4l
      @KemmyPrince-r4l 5 месяцев назад

      Binadamu yoyote anajuw akiwa anakalibia kufaaa Kama anakufaa

  • @HawaMideko-i3e
    @HawaMideko-i3e 10 месяцев назад +1

    Mama Angu Alikuwa Anawaona Waliotangulia mbele za Haki Rip mama😭😭

  • @mybenzii7608
    @mybenzii7608 5 месяцев назад +1

    Kweli kabisa nliziona Dalili hizo zote kwa marehemu babayangu😢😢😢. ee wasamehe makosa Yao wazaziwangu n uwagazie nuru y milele n milele 10:21 10:21

  • @ShamilaSeleman
    @ShamilaSeleman Месяц назад

    Duh kwl kbs

  • @mariagrayson5414
    @mariagrayson5414 5 месяцев назад

    RipMama kabla hajafaa alinipigia simu nikamuone dah nilikuwa nimefungwa na giza zitosikuweza kwenda kumuona baada ya siku mbili napigiwa simu mama yangu amekufa 😢😢😢😢😢

  • @MgeniHaji
    @MgeniHaji 13 дней назад

    Xaxa mgonjwa ndo ako na hizo dalili nawale wanao kufa bila kuumwa nao hawana dalili?

  • @GraceNato-u8r
    @GraceNato-u8r 2 месяца назад +1

    Hizo zote Ni dalili, Na Ni kweli kabisaa nyie mnao Seema Ni urongo, hamjawai uguza wagonjwa Na kabisa hamuelewi.tuulize Sisi ambao tumeuguza wapendwa wetu Na kuziona hizi dalili zote. Ndugu hongera Sana Kwa utafiti huo.na wanaokupinga, acha tuwasamehe Ni Kwa sababu hatuwaombei wakutane nayo, Ila wakija kutana nayo, watakubaliana nawe ama Na Sisi ama watatoroka coz Ni ukweli mtupu!!!!

  • @mercyMukiri-gn2ex
    @mercyMukiri-gn2ex Месяц назад

    Niukweli kabisa

  • @ashrakswaleh2116
    @ashrakswaleh2116 Месяц назад

    Hakuna mtu anaejua siri ya kifo zaid ya muumba pkeee acha kupotosha umma

  • @Ayshermbotn
    @Ayshermbotn 3 месяца назад +4

    Allahuma jialnii husnul khatma yaa rabbi tusamehe kwa yote tuliokosea na utujaalie qauli thabit inshaallah...
    Allahuma ajrnii mina nnar 😢😢 Allahuma inni audhubika min Adhabil kabri

  • @BernardSadani
    @BernardSadani Месяц назад

    Na anaepat ajar akafa dalili yake nini.

  • @SalahJuma-j5j
    @SalahJuma-j5j 2 месяца назад

    Bibi yangu anaumwa hataki kula

  • @ZainabuAlly-z3s
    @ZainabuAlly-z3s Месяц назад

    Hapo dalilihizo zimemzingatia mtu ambae ni mgonjwa may be anaugulia nyumban au hocpitalin...
    Vip kuhus wale ambao wanafariki ghafla wanatambulika vip kua wanakaribia Umaut before,,?

  • @OmariMkomwa-vl3nl
    @OmariMkomwa-vl3nl Месяц назад

    Cold extremities

  • @sophiamwita434
    @sophiamwita434 Месяц назад

    True

  • @mrandroidtechnique6513
    @mrandroidtechnique6513 Месяц назад

    KIFO NI FUMBO... VIPI WALE WALIOKUFA K/KOO

  • @maalimseifk-gumuadui123
    @maalimseifk-gumuadui123 Год назад +8

    Kuna baadhi ya binadamu akili zao sijui zipoje yan….Et” Hakuna ajuae zaidi Mungu “kwahiyo mnasema hivyo ili muonekane wacha Mungu sana au🤷🏼‍♂️
    Hakuna anayejua siri ya kifo na hakuna aliyebisha kuhusu hilo,lakin likichozungumziwa hapa ni dalili!Hii elimu imekua adimu sana kwa hiki kizazi za sasa.

    • @ajla-v9b
      @ajla-v9b 3 месяца назад

      Kukubali ni uongo km ingekuwa mtu anakaribia kufa sasa wale wanaokufa katik matendo sio wangefk pale achrni izo😢

    • @IreneMerchades
      @IreneMerchades 2 месяца назад

      😅😅😅

  • @aminamgema8917
    @aminamgema8917 2 года назад +3

    Mmh!!

  • @emmanuelshilagi3302
    @emmanuelshilagi3302 4 месяца назад

    nikuongezee tu kuwa kunakuwa na kiu ya kifo mtu anaanza kuongea kifo mara kwa mara anasikia kiu ya kifo moyo wake huanza kutamka kufa au kikata tamaa ndio maana huanza kuita watu

  • @miria659
    @miria659 Год назад +1

    Na wale hupata anjali kwa gafla

    • @MariamuJuma-t8z
      @MariamuJuma-t8z 2 месяца назад

      😂😂ndoapo chacha

    • @HadiaAme-x5f
      @HadiaAme-x5f 25 дней назад

      Hio ni kesi nyingine sasa yeye kwa leo kazungumzia wagonjwa tu

  • @dorahmbaga5719
    @dorahmbaga5719 5 месяцев назад

    Jamani ningejua baba yangu alinipnyesha hizo falili lakini sikujua

  • @michaelmwadete8078
    @michaelmwadete8078 Год назад +2

    Ww ulijuaje hayo,maana kifo ni siri mungu ameiweka hapo,

  • @SaraMkiwa
    @SaraMkiwa 7 месяцев назад +1

    Mm najihisijasho kichwani navidole kufaganzi

  • @Lexvanny
    @Lexvanny 3 месяца назад

    Nielezeeni na mimi

  • @DenisMawala
    @DenisMawala Год назад +1

    😢😢😢😢😢

  • @SilajiHamani
    @SilajiHamani 5 месяцев назад +2

    Mmm.uwondiomwisho.wakuish.kwakweri

  • @GraceNato-u8r
    @GraceNato-u8r 2 месяца назад +1

    Tunafaa kusikiza Mara nyingine Hadi mwisho, ndio tu comment jameni, amesema dalili Wala hajasema saa ya mtu Ni saa ngapi tafadhali

  • @RahmaAlly-r6x
    @RahmaAlly-r6x 2 месяца назад

    Hakuna hajuwae kesho japo zipo 'mungu type mwisho mwema

  • @dakihamaluta4159
    @dakihamaluta4159 Год назад +1

    Alikwambia nan

  • @Jamalatjumaan
    @Jamalatjumaan 4 месяца назад

    Hiyo nisiri ya Mungu peke yake

  • @rossaad8795
    @rossaad8795 2 года назад +1

    Hakuna anae Juan cku yke

  • @KhalfanMakota
    @KhalfanMakota 2 месяца назад

    Dalil ya kutaka kuonana na mtu anaempenda ni kwel marehem mke wang alinifuata hadi kazin hakuna cha maan alichokuja kuniambia isipokuw furaha tu alipofika nyumban tu umaut ukampata sitosahau hii mwaka 2022

  • @jubiercib3074
    @jubiercib3074 2 года назад +4

    Ynwz kutokea yt hyo na mtu asife Allah ndio anajua siri y kifo....

  • @RehemaLipipa
    @RehemaLipipa 2 месяца назад

    Na jee kwa mtu anayekufa ghafla bila kuumwa au kwa ajari yoyote iwe ya gari moto kuangukiwa na kitu ni dalili zipi anazipata au ndg wa karibu ataziona ?

  • @izakabdul
    @izakabdul Год назад +1

    Cuale certeza que você tem?? Esses coisa que você sta falar?

  • @Lexvanny
    @Lexvanny 3 месяца назад +1

    Nn

  • @zulftomy6425
    @zulftomy6425 3 года назад +4

    Bora umuwmbie

    • @Lexvanny
      @Lexvanny 3 месяца назад

      Niambie bac eeee🥴

  • @wamillazotz8248
    @wamillazotz8248 2 года назад +2

    Wew sio mungu bwahna!

  • @dakihamaluta4159
    @dakihamaluta4159 Год назад +1

    Tafutta story book zingne huko unakoenda utakosa watazamaji wakwanza mm

    • @MariamuJuma-t8z
      @MariamuJuma-t8z 2 месяца назад

      😂😂 kwamba unaogopa kufa

    • @happnesskitumbo5713
      @happnesskitumbo5713 16 дней назад

      Usiogope kufa cha msingi tubu na umkubali Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako.

  • @hamiduahmadi3854
    @hamiduahmadi3854 Год назад +1

    Kumbe dalili zenyewe zimebezi kwa wagonjwa tu?