KADRI UNAVYOKAA MUDA MREFU BILA KUFANYA TEND0 LA ND0A NDIVYO UNAVYOZIDI KUWA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 68

  • @barakasimon2075
    @barakasimon2075 Месяц назад +17

    Kuna faida kubwa zaidi ya kutokufnya ngono kuliko kufnya

  • @VivianWilly-g2u
    @VivianWilly-g2u Месяц назад +2

    Mmmh! Hapanaaaa, hapo umetupga kitu kizto, tabia hutofautiana, nakaa muda mrefu na Niko sawa.

  • @leahjohn4734
    @leahjohn4734 Месяц назад +5

    Operation chochea uzinzi 😂😂 Asante Kwa ushaur mway

  • @norahtsakiris4355
    @norahtsakiris4355 Месяц назад +1

    Si kweli hii tupo sawa na pia najiaminu 100/ sina wac wac. Nashukuru nalala vizuri sana

  • @davidkadomola4220
    @davidkadomola4220 Месяц назад +18

    Uongo mtupu mi niliwahi kaa miaka 3 bila kufanya na hakuna chochote kilichonipata .Acheni kupotosha jamii

  • @pabloLOOKMAN-m4j
    @pabloLOOKMAN-m4j 22 дня назад +1

    zinaa ni dhambi kubwa mipango ya magharib ili tuzidi kutenda dhambi miaka ya nyuma kijana alikua anafikisha miaka 18 hajakutana na mtoto wakike pia walikua na tibia njema now mtoto wa kike analiwa akiwa na miaka kumi

  • @SesiliaMwengwa
    @SesiliaMwengwa 2 месяца назад +4

    Asante 🎉🎉🎉🎉

  • @JenilozaElisha
    @JenilozaElisha Месяц назад +2

    Mengineee kujiendekezaaa t

  • @esthermwita3234
    @esthermwita3234 Месяц назад +2

    Asante sana nitajaribu

  • @saidimagambo
    @saidimagambo Месяц назад +1

    mi naisi kwawale wapenda ngono ndo inawatokea hi ilawale wasiopenda saana ngono iwatokei

  • @GilbertSambaya
    @GilbertSambaya 2 месяца назад +3

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤❤

  • @JoslayMwenyekiti
    @JoslayMwenyekiti 2 месяца назад +3

    Asante❤

  • @highskills5883
    @highskills5883 Месяц назад

    Ni kweliiii anayosema nendeni mkagugo na kufanya research acheni porojo za waswahili

  • @chikuclever
    @chikuclever 28 дней назад

    mmmmm sijui n kwelii? 8:38 111

  • @muharamimuharami-b3l
    @muharamimuharami-b3l 2 месяца назад +2

    🎉

  • @HappySawala
    @HappySawala Месяц назад +1

    Hapo tupo kudanganyana duh kuchochea uzinz

  • @ElishaSaidi-nu5xt
    @ElishaSaidi-nu5xt 2 месяца назад +1

    ❤❤

  • @VeronicaBayyo
    @VeronicaBayyo Месяц назад +2

    Hapo inategemea na aina ya mtu

  • @ndugaijacob359
    @ndugaijacob359 Месяц назад +2

    Ndugu wa Fafanua Tv ukifanya tendo LA ndoa Kwa kutumia kondomu inakuaje?

  • @JoyceKambona
    @JoyceKambona Месяц назад +1

    Mnamaliza TU MB za watu,hii ni dhambi

    • @AniphaMajige
      @AniphaMajige Месяц назад +1

      🤣🤣kabsaa kuwafanya watu wawe wazinzi zaid

  • @EvaMwalusamba
    @EvaMwalusamba Месяц назад

    Napita tu

  • @ApolinaryBiyengo
    @ApolinaryBiyengo Месяц назад +2

    Hapo anazungumzia waliokuwa nanafanya wakaacha kufanya,,

  • @JoyceKambona
    @JoyceKambona Месяц назад

    Kama mwanafalsafa aliefundisha kwamba mwanadamu anajifunza kwa uzoeshi ,kwa hiyo hata mapadre hawafanyi ni uzowefu TU nakujinyima unaweza usiwe kama Bata.

  • @BernadethaRobert
    @BernadethaRobert Месяц назад

    On my way, napitia coments

  • @vitrahbongz9420
    @vitrahbongz9420 Месяц назад +1

    Vp kuhus sis tunaojichkulia sheria ya mkonon (*yet*)?

  • @harry5395
    @harry5395 Месяц назад +1

    Sikweli, Wanaume wengi Japan ni virginity na wengine kukaa muda mrefu bila tendo la ndoa sababu ya ubize, lakini wapo vizuri kitechnology na maendeleo kuliko Afrika tunaoweka tamaa zakimwili mbele kuliko maendeleo.

  • @JacklineGogo
    @JacklineGogo Месяц назад +1

    Huo ni uongo

  • @siscoministry8400
    @siscoministry8400 Месяц назад

    Very true 💯
    Biologically researched (reproduction & coordination esp endocrinology)
    Also...
    Related to God's creation
    "Akamfanyia msaidizi" sio wa kumfulia nguo

  • @NecholuosBenjamin
    @NecholuosBenjamin Месяц назад

    Mimiap

  • @HassaniYusufu-x2o
    @HassaniYusufu-x2o 2 месяца назад +7

    Jaman nashukuru mi na miaka 2 sijashiriki tendo nahis mwil mchov pia sipat usingizi napata tabu mwil haupo sawa haya yotee yametokea coz mwanaume alinitelekeza na manyanyaso makali naogopaa

    • @pascofp145
      @pascofp145 2 месяца назад +5

      Hassani yusufu wewe nimwenamke

    • @merymahu4500
      @merymahu4500 2 месяца назад +1

      Pole sana mwaya

    • @Liyale_Kid_Gold
      @Liyale_Kid_Gold Месяц назад +1

      Hao wanaumgiwa account hao

    • @rhinokingofficial5491
      @rhinokingofficial5491 Месяц назад +2

      ​@@pascofp145 nimeshangaa kama ww daaah 😂😂😂

    • @vicentbunzal7342
      @vicentbunzal7342 Месяц назад

      Acha kutudanganya wewe,sisi siyo watoto wadogo.mpaka uje tukukague ili tujilizishe.hayupo mwanamke anaeweza kukaa miaka miwili bila kuliwa,wadanganye wengine.

  • @HadijaSuleimani-w8k
    @HadijaSuleimani-w8k Месяц назад

    Jmn hiv n kwl

  • @maryfides591
    @maryfides591 Месяц назад +1

    Nyie ni waongo mtu hakifiwa na mme hanaweza kukaa hata miaka 4 mpaka 4 mbona hawahadhiliki?

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 2 месяца назад +5

    Vipi kuhusu mapadre ambao hawaoi?

    • @ZahraAlly-wq4ku
      @ZahraAlly-wq4ku Месяц назад +1

      😂😂😂😂

    • @HighTemper-x9e
      @HighTemper-x9e Месяц назад +1

      Hakuna binadamu anaeishi bila kufanya mapenzi .........

    • @annethsongwe6063
      @annethsongwe6063 Месяц назад +3

      Wanakuwa hawajawahi kufanya coz wanaanza mafunzo wakiwa bado hawajabalehe hivyo haina shida kwa ambaye hajawahi shirik tendo

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 Месяц назад +1

      Wanafira watt wa kiume

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 Месяц назад

    Mbona machangudoa wengi wako low.Binafsi kwa leo sijakuelewa

  • @boniphacefrances
    @boniphacefrances Месяц назад

    Wanafunzi O na A kazi ipo

  • @JoyceKambona
    @JoyceKambona Месяц назад

    Uwongo mtupu mbona mtu anakaa hata miaka thelathin na uyko mtuvu TU mnafundusha uhuni na tamaduni za wapi hizi?

    • @monicamonica1511
      @monicamonica1511 19 дней назад

      Ni kweli yote yanayosemwa ni ubatili mtupu.Acheni kuhamasisha ngono hapa.

  • @dennislihepa2247
    @dennislihepa2247 Месяц назад +2

    Kwa hiyo mapadre hawana ufanisi damu haizunguki vizuri acha uongo weweee

    • @makukamakuka1390
      @makukamakuka1390 Месяц назад +1

      Unayajua ya sirini mwao?
      Subiri tu utajua muda si mrefu.

    • @Aloyce-j6n
      @Aloyce-j6n Месяц назад

      Mwambie achunguze​@@makukamakuka1390

  • @marcolullanga6639
    @marcolullanga6639 Месяц назад

    Nani kakuambia mapadre hawafanyi tendo la ndoa?

  • @florencekanze
    @florencekanze Месяц назад +5

    Kamakunamtu anakubaliana nahaya basi tuko pamoja yote yaliyo tajwa mm yananitesa sana😢😢 mwenza njoo uniponye basi😮😮

  • @EliasLucasjr
    @EliasLucasjr Месяц назад

    kama huna hisia je?

  • @merymahu4500
    @merymahu4500 2 месяца назад +1

    Asante sana