Assalaam aleikum, Sheikh nimeota mimi na dada yangu tunaua tandu wengi sana wakubwa kwa kuwachoma moto,na wadudu wengine wengi. Tafadhali Sheikh nisaidie tafsiri. Wabillahi tawdiiq
Assalam allaikum ustadh..kuota mbuzi mweupe pamoja kondoo mweupe wamefungwa nje ya nyumba..wote ni wa jinsia ya kiume tena wakubwa na wamekomaa..kisha huyu kondoo anaonekana kukabwa na ile kamba,, analia kwa sauti,, anatapatapa..muotaji akamfahamisha mtu mzima aliye karibu juu ya hilo lakini mtu mzima huyo akaonyesha kuliipuuza hilo...kondoo yule akatapatapa hadi akaanguka na kufariki...baada ya kufariki kondoo yule akanywea na kuwa mdogo kabisa kama panya mweupe...katika matokeo yote hayo yule mbuzi dume mweupe katulia tu..mwotaji ni mschana...naomba maana kuhusu hili ustadh
Assalaam aleikum,
Sheikh nimeota mimi na dada yangu tunaua tandu wengi sana wakubwa kwa kuwachoma moto,na wadudu wengine wengi.
Tafadhali Sheikh nisaidie tafsiri.
Wabillahi tawdiiq
Asante mwenyezi mungu akupe afya njema
Mashallah umeeleweka
Sheikh unaongelelea tuu Ngee na umeandika mada kuwa unaongelelea wadudu wengi
Barikiwa sana
Sheikh me nmeota nge weng na nikaw najarbu kuwaua lkn wengne wamekimbia na sjuh inamaanixh nin na hao nge walikuw kwny gogo lililooza wamejifich Baad ya kupig lile gogo nd wakatok weng
Mke wangu aliota ndoto ameng’atwa na nge
Mashalah
Swadakta
Je ukimwota tandu
Mwalim viip kuhus njozii ya kuota jongoo
Mimi nimeota nimemwona Tu nikashtuka
Asalam alekhum shekh samahani nimeota ninaitwa kwa jina langu
Assalam allaikum ustadh..kuota mbuzi mweupe pamoja kondoo mweupe wamefungwa nje ya nyumba..wote ni wa jinsia ya kiume tena wakubwa na wamekomaa..kisha huyu kondoo anaonekana kukabwa na ile kamba,, analia kwa sauti,, anatapatapa..muotaji akamfahamisha mtu mzima aliye karibu juu ya hilo lakini mtu mzima huyo akaonyesha kuliipuuza hilo...kondoo yule akatapatapa hadi akaanguka na kufariki...baada ya kufariki kondoo yule akanywea na kuwa mdogo kabisa kama panya mweupe...katika matokeo yote hayo yule mbuzi dume mweupe katulia tu..mwotaji ni mschana...naomba maana kuhusu hili ustadh
Mimi nimemuota n'nge Ila akiwa amekufa
A/llaikum shekh mm nimeota ,,,Kuna mtu ni jiran yamgu,,, alikuja ndan mwangu,,, akaniomba nguo ya kswalia,,,, ktk kumtafutiw nguo nikamuona mdudu tandu,,,, lkn mkia .ni nge nikamuua na tyr nikashtuka
Kuota senene inamanisha nn shee
Ukiota wasp umekuuma
Nimeota natoa funza kiganjani. Je nini maana yake??
Ukiota senene maana yake nn
Watafune 😂😂😂😂😂