TAFSIR NA MAANA YA NDOTO ZA WANYAMA NA WADUDU WAKALI // SHEIKH ABUU JADAWI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 21

  • @ابنعثمن
    @ابنعثمن 5 месяцев назад

    Assalaam aleikum,
    Sheikh nimeota mimi na dada yangu tunaua tandu wengi sana wakubwa kwa kuwachoma moto,na wadudu wengine wengi.
    Tafadhali Sheikh nisaidie tafsiri.
    Wabillahi tawdiiq

  • @anithaherman7260
    @anithaherman7260 2 года назад +1

    Asante mwenyezi mungu akupe afya njema

  • @mwanaherimo9462
    @mwanaherimo9462 2 года назад +1

    Mashallah umeeleweka

  • @khadijadidah6610
    @khadijadidah6610 Год назад +2

    Sheikh unaongelelea tuu Ngee na umeandika mada kuwa unaongelelea wadudu wengi

  • @bosslady6477
    @bosslady6477 2 года назад +1

    Barikiwa sana

  • @EsterMchiwa
    @EsterMchiwa 3 месяца назад

    Sheikh me nmeota nge weng na nikaw najarbu kuwaua lkn wengne wamekimbia na sjuh inamaanixh nin na hao nge walikuw kwny gogo lililooza wamejifich Baad ya kupig lile gogo nd wakatok weng

  • @zuberiabeid388
    @zuberiabeid388 2 года назад +2

    Mke wangu aliota ndoto ameng’atwa na nge

  • @nasrasway7143
    @nasrasway7143 2 года назад +1

    Mashalah

  • @rabiafahmy3117
    @rabiafahmy3117 2 года назад +1

    Swadakta

  • @neemamichael8518
    @neemamichael8518 2 года назад

    Je ukimwota tandu

  • @rahimomary7663
    @rahimomary7663 2 года назад

    Mwalim viip kuhus njozii ya kuota jongoo

  • @osmansabu5561
    @osmansabu5561 Год назад

    Mimi nimeota nimemwona Tu nikashtuka

  • @hdmmaster9033
    @hdmmaster9033 Год назад

    Asalam alekhum shekh samahani nimeota ninaitwa kwa jina langu

  • @ashamohamedmwachilolwa1476
    @ashamohamedmwachilolwa1476 Год назад

    Assalam allaikum ustadh..kuota mbuzi mweupe pamoja kondoo mweupe wamefungwa nje ya nyumba..wote ni wa jinsia ya kiume tena wakubwa na wamekomaa..kisha huyu kondoo anaonekana kukabwa na ile kamba,, analia kwa sauti,, anatapatapa..muotaji akamfahamisha mtu mzima aliye karibu juu ya hilo lakini mtu mzima huyo akaonyesha kuliipuuza hilo...kondoo yule akatapatapa hadi akaanguka na kufariki...baada ya kufariki kondoo yule akanywea na kuwa mdogo kabisa kama panya mweupe...katika matokeo yote hayo yule mbuzi dume mweupe katulia tu..mwotaji ni mschana...naomba maana kuhusu hili ustadh

  • @fatmahrashidi1533
    @fatmahrashidi1533 2 года назад

    Mimi nimemuota n'nge Ila akiwa amekufa

    • @mwanaashambogo351
      @mwanaashambogo351 2 года назад

      A/llaikum shekh mm nimeota ,,,Kuna mtu ni jiran yamgu,,, alikuja ndan mwangu,,, akaniomba nguo ya kswalia,,,, ktk kumtafutiw nguo nikamuona mdudu tandu,,,, lkn mkia .ni nge nikamuua na tyr nikashtuka

  • @ezekielzachalia
    @ezekielzachalia Год назад

    Kuota senene inamanisha nn shee

  • @maryauma1596
    @maryauma1596 2 года назад

    Ukiota wasp umekuuma

  • @VenerandaNzyoky-xj2mz
    @VenerandaNzyoky-xj2mz 11 месяцев назад

    Nimeota natoa funza kiganjani. Je nini maana yake??

  • @adelinamartine3557
    @adelinamartine3557 2 года назад

    Ukiota senene maana yake nn