Kwa upande wangu,naamua kumsamehe huyu kamanda.Sifanyi hivyo kwa kuongozwa na huruma.Nimeongozwa na historia yake maisha yake binafsi na rekodi yake ya utendaji kazi kwa ujumla.Naichukulia kauli yake kama. ajali ya mdomo,au limi kuteleza.Nawaalika na kuwasihi kwa upendo na moyo kusameheana wamsamhe bure.Sote juu ya jua tuwakosaji au wakosaji watarajiwa.Mungu na atuponye pale tulipoumizwa na kauli ya Kamanda na maisha yetu yaendelee .Asanteni
Hata hivyo wengi wanaongea ila hawajasikiliza alichoongea hajafanya kosa lolote sema kuna siasa ndani yake muandiahi wa habari ndo alimuuliza mbona kama huyo dada inasemekana kama alikua anajiuza afande akajibu hata kama angekua anajiuza hakuna Sheria inaruhu mtu kufanyiwa ukatili sasa aliosena anajiuza niafande au nimuandishi ??? Wameamua Tu kumpa kashfa tafta video uisikiliza vizuri sio vile vichwa vya habari vya waandishi
Hapana aachwe hapo alipo wekwa pata mfanya kuwa jasili wa kujua vitu anavyo vifanya mwingine nakuvi weka wazi pasipo kumngunya motomo hivyo tuna tamani kuona vyombo vya ulinzi viki simamia haki za watu na kuzingatia sheria na kanuni na kuepuka na rushwa ili kuipa taifa mapato mazuri na kutetea haki za wananchi kwa hekima ilio bora
Ukiwa kiongozi jitahidi sana kutotumia kila taarifa unazopewa na wasaidizi wako kwa pupa bila kuzichakata kwa busara zaidi kabla ya kufanya maamuzi.Sababu,wapo watakaokuletea taarifa za uongo ili ukurupuke kuamua kisha watimize lengo lao la kukuondoa kwenye msimamo wako mzuri wa kutetea na kuisaidia jamii unayoitumikia kwa sababu ya wivu.
Kamanda asamehe. Alisema " hata kama anajiuza asingestahili kufanyiwa vitendo hivyo" Yaani alikuwa anajubu tuhuma dhidi ya miathirika kutoka kwa baadhi ya jamii.
Pole sana binti yetu uliyefanyiwanvitendo viovu utapona na haki yako itapatika waliokufanyia ule unyama serikalibitawashughulikia tunaiamini. Mungu akutie nguvu. Amen
Ni kweli na wala SI ulimi ulitereza. Huenda ni kweli binti alikuwa anajiuza ajabu ni nn. Wakujiuza kufanyiwa matukio kama haya huwezi shangaa. RPC hana baya. Acha akapumzike mama wa watu. Mitoto imekengeuka na malezi huko ndiyo iwe taabu!
Una umri Gani? Elimu Yako? Uelewa wako wa haki kiimani??? Huenda sio ajabu mtu anayejiuza kufanyiwa hivyo, lkn swali kubwa ni JE NI HALALI KUBAKWA HATA KAMA ANAJIUZA?@@petro8010
Kuma la mamako unaonekana unajiuza kafirwe na wanaume watano kahaba kama jina lako mariamu wote wauza kuma na mikundu ukiona jina mariamu ujue ni biashara!!!!!!
@@edwinamos9734Kaka umekosea sana kumtukana huyo dada,nafikiri bila ya shaka haujamuelewa.. yeye kasema hivi hata kama huyo msichana alikuwa ni mtu wa kujiuza lakini sio haki kufanyiwa unyama kama huo,anamaanisha kwamba sio vizuri kwa jinsi nilivyomuelewa mim,,yeye yupo kumtetea huyo msichana aliyebakwa,hebu soma vizuri hiyo msg yake na hivyo ndivyo nilivyomuelewa.
Wewe mama wewe kumbuka na wewe unawatoto uzima na kiburi cha madarakw kisikuponze angekuwa mwanao nadhani mpaka leo watuhumiwa wamekufa Mungu akulaani hasahasa
Inawezekana kweli binti ailkuwa anajiuza...... Kwani ajabu nini. Hawa sometimes wana viburi sana. Huenda wakayakoroga huko ndiyo maana wakafanyiwa hayo
Kweli wadau kumbukeni wema wake kwanini nikumponda tuu yeye ni mwanadamu akuna mwanadamu anaekosa mathaifu ,,atanyie sio wakamilifu mangapi yakwako unayafanya sirini pengine nikinyume Cha Sheria au unamkosea mungu ,hivyo tuwe namioyo ya msamaha ,, asikudanganye mtu Tanzania imefika hapa kwasababu watanzania wengi niwachamungu sio akili zetu nchi kuwa naamani japo kwakiwango hichi.
Kwa ujumla Dodoma kuna shida. Watu wengi sana hutishiwa kufanyiwa maovu na watu wenye hivyo vinafasi. Taarifa zinatolewa polisi lakini hazifanyiwi kazi kwa watuhumiwa kukamatwa na kuwajibishwa. Mwisho wa siku hao waovu wanatekeleza maovu yao kama walivyokusudia. Ndio hayo matokeo yanaonekana sasa.
Ninachojua kuhusu kamanda Malya kwanza ni binadamu kama wengine tulivyo.. pia ni kiongozi aliejitoa kwa watu wote bila upendeleo, mwenye juhudi na weledi kwenye kazi zake..Atabaki kuwa kiongozi wa mfano bora kwa jeshi la polisi. Mungu aendelee kukutunza.
Nyie mnaosema asamehewe je zile kaulizake zingepitishwa huyu bint ingesomeka nikweli alikua anajiuza kwanza anaonekana nimtu mzima hana busara afukuzwe kabisa hafai
Kweli shetani alimuhubiria kamanda mpaka akatetea waofu.. wabakaji na walawiti kwa binti mdogo.. nasema! (Piga mtoto umjue mama yake) ( piga mtoto umjue baba yake) binti aliyefanyiwa ukatili..kina baba na kina mama wamejitokeza .. tunataka tuone haki imesisimama..
Yaweza kuwa huyu kamanda labda hiyo siku aliingiliwa na shetwani Ndipo hayo maneno yakamtoka kinywani mwake😭🤔Duh inaumiza Makosa tumeumbiwa Sisi wanadamu😭Naimani hata yeye haamini kilicho mtokea.Kwakweli😭
😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mungu atalipa hapa hapa raisi wewe ni mama lakini huyu kamanda hafai kuitwa mama fukuza kabisa hafai kuwa kiongozi hiyo azabu haifai fukuza mama.
Mdomo uliponza kichwa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂halooooooooooo👌nicheke mie nipanue mbavu zangu kweli nimeamin adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake shangaz ww huna utu ht kidg kwako uliona lile tukio ni la kawaida hv huyu kazaaa kweli? Nahis hajui kichwa cha mtoto kinapitaje uken kam angejua uchungu bas asingeongea ile kauli
Kama mwanamke huna hata uchunqu? Chukulia kama mama kwa mwanao,Unawezaje kuonqea maneno kama hayo kamanda wa police??? Kama anajiuza ni halali afanyiwe hivyo????? Shem upone you madame
Hata binadamu kwa mungu, hukumu zake aijalishi ulikuwaje nyuma, kikubwa kuwa na mwisho mwema. Ndo salama Yako. Unaweza UKAWA mwema simu zote siku ya mwisho umeharibu na umauti umekufika wewe ni motoni., na unaweza UKAWA muovu siku zote siku za mwisho ukarudi kwa mungu na umauti ukakukuta wewe ni Peponi . Kwahiyo huyo askali mwisho wake ndo malipo anayostahili.
Huyo msichana afanyiwe vipimo yakinifu kubaini maradhi ambayo yanaweza kumletea magonjwa ya hatari sana. Kila mwanamke ana vimelea vya kawaida (Normal Flora of a female LACTOBACILLUS SPECIES) Asilimia 96% ya kawaida ya kwa wanawake ukihamisha vimelea toka njia ya haja kubwa kwenda njia ya ukeni au ya ukeni kwenda njia ya haja kubwa kwa tendo la ndoa unasababisha madhara makubwa mbali ya magonjwa mengine kama HIV INFECTION. Inasikitisha sana😢
Kweli ametetereka Ila Kwa adhabu anazo pitia na mitusi anayo mwagiwa Kwa siku kadhaa sasa nadhani anastahili kusamehewa kama mwanadamu japokuwa alikosea na sina Shaka moyoni anajutia, aachiwe Mungu kwenye kiumbe wake ahukumu Kwa haki.
Na ww acha ujinga, hakuna kitu kibaya ktk uaskari kama kukosea ndio maana askari anapaswa kuwa makini muda wote..kosa Moja linaweza kugharimu maisha ya wengi na hata nchi kwa ujumla..ndio maana sifa ya kwanza kwa askari ni kuwa mwadilifu..mtii ..na nidhamu..na utulivu wa akili hv vyote vinakufanya uwe askari uliyekamilika na sio nusu askari..na pia hupaswi kuishi kwa mazoea..so huyu mama bila shaka alikuwa mtu wa kuzoea kazi sasa hii ni mbaya sana ktk mazingira ya kazi yoyote usiishi kwa mazoea
Kujiuza maana yake ni nini hasa ina maana inayejiuza hana haki? kwani hapo hao waliotumwa hawajatenda haki mtoto wa kike hadi anaomba maji ya kunywa ni hatari hapo haki itendeke tu yaani sheria ifuate mkondo wake
Watu waajabu sana kamanda kutolewa hapo wanafurahi na wengine wanaandika koment za hovyo utadhani wao niwema sanaaaa tuache roho za chuki hakuna mwanadam asiye jikwaa.
Kauli yake moja mbovu sana imefuta yote hayo anataka kuwatetea wabakaji amefuta wemawake wote
Ukabila umemponza
Amefanana Na dume
😅😅😅@@salmaramadhan2725
😂😂😂nikajuwa dume@@salmaramadhan2725
Wanalizika sana hawa wakiwa kazini wahajui kama kodi zetu ndo zimewaweka apo
😂
Tusipo lipa Kodi lazima wafe na njaa
So
Mbona nao wanakatwa Kodi so zao anakula nani
@@edwinmtuka736 huyo anaongea makamasi hajui Kila mtanzania analipa kod
Kwa upande wangu,naamua kumsamehe huyu kamanda.Sifanyi hivyo kwa kuongozwa na huruma.Nimeongozwa na historia yake maisha yake binafsi na rekodi yake ya utendaji kazi kwa ujumla.Naichukulia kauli yake kama. ajali ya mdomo,au limi kuteleza.Nawaalika na kuwasihi kwa upendo na moyo kusameheana wamsamhe bure.Sote juu ya jua tuwakosaji au wakosaji watarajiwa.Mungu na atuponye pale tulipoumizwa na kauli ya Kamanda na maisha yetu yaendelee .Asanteni
Hata hivyo wengi wanaongea ila hawajasikiliza alichoongea hajafanya kosa lolote sema kuna siasa ndani yake muandiahi wa habari ndo alimuuliza mbona kama huyo dada inasemekana kama alikua anajiuza afande akajibu hata kama angekua anajiuza hakuna Sheria inaruhu mtu kufanyiwa ukatili sasa aliosena anajiuza niafande au nimuandishi ??? Wameamua Tu kumpa kashfa tafta video uisikiliza vizuri sio vile vichwa vya habari vya waandishi
Maskini kumbe alisema hivyo huyu ni wenzake ndo wamemuharibia@@Montana12-v2c
Point sana, asamehewe aachwe kwenye nafasi yake mchapa kazi kukosea sote tunakosea ingawa inauma lkn...
Hapana aachwe hapo alipo wekwa pata mfanya kuwa jasili wa kujua vitu anavyo vifanya mwingine nakuvi weka wazi pasipo kumngunya motomo hivyo tuna tamani kuona vyombo vya ulinzi viki simamia haki za watu na kuzingatia sheria na kanuni na kuepuka na rushwa ili kuipa taifa mapato mazuri na kutetea haki za wananchi kwa hekima ilio bora
Njiti ya kiberiti ni ndogo sana lkn inaweza unguza msitu wa miti mikubwa mwenye mamilioni ya miti na viumbe vingine, 🙆🙆🙆 🔥🔥🔥🌲🌳🌾🌴
Bora mngemtoa kazi kabisa , angekuwa mtoto wake au nfugu yake abgesema maneno hayo
Utasubiri sana, labda aongezewe cheo.
Kama kazi alimpa babaako basi atamwachisha, la sivyo endeles kujikaza aisee.
@@MagrethMallya-we8uiHee muko humu ..
@@MagrethMallya-we8uikuongezwa cheo atasubili sana ungebakwa wew ndugu yake angeongea usenge wake uwoo acha chuma mimlambe
@@mariamfaicalhassan2890ah ah ah nimecheka sana
Unaweza kufanya mema na ukasifiwa mengi ila kosa moja tu thamani yote inapotea
Mambo mengine kabla ya kuhamua kuongea omba hekima ya Mungu
Pole kamanda umeponzwa na kuonea aibu waovu ukajaribu kumpendeza bosi wako...kakuponza...
Bora mwenge mtowa kazi moja kwa moja maana ni mjinga cn huyo afande watu kama hawo watufai serikali ndio wanaoharubu nchi yetu
Allah humpandisha amtakaye na humshusha amtakaye kwahiy hayo ni manne ya allah
Nikweli usemacho
Ukiwa kiongozi jitahidi sana kutotumia kila taarifa unazopewa na wasaidizi wako kwa pupa bila kuzichakata kwa busara zaidi kabla ya kufanya maamuzi.Sababu,wapo watakaokuletea taarifa za uongo ili ukurupuke kuamua kisha watimize lengo lao la kukuondoa kwenye msimamo wako mzuri wa kutetea na kuisaidia jamii unayoitumikia kwa sababu ya wivu.
Hpn ni ajali tu kapata.mallya ni kamanda mzuri sana
Mdomo uliponza kichwa🤔😌
Ajal gan hiyo angekua binti Yake angekubal ama KWAKUA chiz anachekesha akiwa kwa jiran yako tyu
Hakuna uzuri wowote, labda kwa wahalifu mtaona uzuri wake
Msenge tuu huyo Theopista Mallya
Pole Af wangu kosa moja hufuta mema yote.Mungu akupe Amani ya moyo uishi kwa amani.
Au ndio uyo alewatuma ao mchunguzeni uyo RPC
Ndo huyoooo huyooo msenge
Una akili sana ww yaani hapa wanatupiga chenga 😂
@@anraneamisse9243weee kumbe ndiyo huyu, kwanini asitolewe kabisa akauze mihogo huko mama hana hata huruma
Kamanda asamehe. Alisema " hata kama anajiuza asingestahili kufanyiwa vitendo hivyo"
Yaani alikuwa anajubu tuhuma dhidi ya miathirika kutoka kwa baadhi ya jamii.
Wajifunze mwengine
Huyu afukuzwe, kazi kabisa
Angefukuzwa tu kazi
Mungu amrehemu na wanaharakati msameheni
Pole sana binti yetu uliyefanyiwanvitendo viovu utapona na haki yako itapatika waliokufanyia ule unyama serikalibitawashughulikia tunaiamini. Mungu akutie nguvu. Amen
Inaumiza mnooo ki ukwel siku nimeona ile video wala sikumaliza nilifuta na nililia binadam wa leo hawana utu
Jamani,,kwa picha zake za matukio anaonekana ni mtu wa watu,,yaani nimwenye upendo,,utu wema hana makuu na mtu,, basitu ulimi ulitereza,,
Kabisa.
Ni kweli na wala SI ulimi ulitereza. Huenda ni kweli binti alikuwa anajiuza ajabu ni nn. Wakujiuza kufanyiwa matukio kama haya huwezi shangaa. RPC hana baya. Acha akapumzike mama wa watu. Mitoto imekengeuka na malezi huko ndiyo iwe taabu!
@@petro8010kama umezaa usiseme ivo
Una umri Gani?
Elimu Yako?
Uelewa wako wa haki kiimani???
Huenda sio ajabu mtu anayejiuza kufanyiwa hivyo, lkn swali kubwa ni JE NI HALALI KUBAKWA HATA KAMA ANAJIUZA?@@petro8010
Ni kweli kabisa ni mtu mwenye upendo wa Hali ya juu . Bahati mbaya tu imemkuta.
Yani hyo mama mm ningefukuza kazi kabisa maana ameonyesha hana huruma hata kidogo kwa mwanamke mwenzio
Umeponzwa mini dada
Polisi wote tuu niwanyasaji
Si mchagga huyu?
Ndio wate wanaubilisi sana, ukimuona leo malaika kesho Anajigeuz anakuwa shetani sijui ni vip, hiii kazi sijui inalaana,
@@yayananajota5838inalaana hio kazi
Hata kama alikuwa anajiuza lakini si haki
Kuma la mamako unaonekana unajiuza kafirwe na wanaume watano kahaba kama jina lako mariamu wote wauza kuma na mikundu ukiona jina mariamu ujue ni biashara!!!!!!
@@edwinamos9734😮😮😮
Sasa wewe watukana nn mbona sielewi😂😂😂😂@@edwinamos9734
@@edwinamos9734Kaka umekosea sana kumtukana huyo dada,nafikiri bila ya shaka haujamuelewa.. yeye kasema hivi hata kama huyo msichana alikuwa ni mtu wa kujiuza lakini sio haki kufanyiwa unyama kama huo,anamaanisha kwamba sio vizuri kwa jinsi nilivyomuelewa mim,,yeye yupo kumtetea huyo msichana aliyebakwa,hebu soma vizuri hiyo msg yake na hivyo ndivyo nilivyomuelewa.
Hii ndo safi kuingilia vitu haviwahusu
Mungu ampe anachostahili
Huyu Afande aliteleza Msameheni unajua mdomo hauna mfupa na Mungu akutetee usihukumiwe zaid ya hapo
Sio kweli wachagga ni viropo sana
Tena wangemleta tu mtaani aone kama kuzuri
Na pia hakuongea hivyo mwandishi mdo aliongea yy akawa anamjibu mwandishi nenda kaskize video vizuri sema nini huyu amehqribiwa tu na wenzake
Bahati mbaya tu. Imemkuta jinsi ya kuripoti like tukio inaonyesha ni alikuw mtu mzuri sana.
Kuteleza sio kuanguka amejieleza ubinadamu kwanza mema mengi amefanya tujitafakari na sisi
Ila angekuwa mwanae asingeteleza
Mungu kamuumbua uyo jmn haki ifanyike
HAPA NAAMINI KUNASINTO FAHAMU TU JUU YA MCHAPA KAZI HUYU NI JEMBE JEMBE SURURU, ZAIDI YA
Si kawaida maana hajawahi kuharibu. Roho ya mizimu ndiyo inasumbua
😂😂😂😂😂
Kabisa nimeumia sana
Huyu anatakiwa afukuzwe kazi kabisa hafai kabisa
Mdomo uliponza kichwa et inaonekana anajiuza ndo afanyiwe hayo?avuliwe kabisaa
Kamanda Mallya asamehewe aliteleza kauli tu jamani ila ni Kamanda anayefanya kazi zake vizuri tangu Rukwa,Songwe hadi Dodoma
Angefutwa kazi
Hamna shida atafaa mahali pengine lakini ndio iwe fundisho ukiinua pembe MUNGU anazikata
@@user-hq8wn9tz2lNa kufungwa kabisa...
INGEKUWA KWA KIM JONG HU , ANGEPIGWA RISASI RU
Afukuzwe kazi
Vizur sana mama samia
yeye ana kifungu gani cha sheria kufanya ukahaba kuwa ni sawa
Wewe mama wewe kumbuka na wewe unawatoto uzima na kiburi cha madarakw kisikuponze angekuwa mwanao nadhani mpaka leo watuhumiwa wamekufa Mungu akulaani hasahasa
pole kwake ajifunze kuongea vzr
Wamsamehee katelexa ila hao walawiti wanyongw kabisa
Uyo igp anapenda sana kuwapachika vyeo ma wp wasio kua na elimu ya kunali jinsia za wanawake wenzie
alikua anajiuza tu😂😂😂😂😂
Hili mama baya kama akili zake
😂😂😂
Ndiye aliye watuma vijana
Inawezekana kweli binti ailkuwa anajiuza...... Kwani ajabu nini. Hawa sometimes wana viburi sana. Huenda wakayakoroga huko ndiyo maana wakafanyiwa hayo
Kwa hyo anayejiuza Ana haki ya kubakwa au kulawitiwa
Emagine uwe na ndgu yako wa kike afanyiwe hivi
Peleka ijinga wako huko angebakwa mama Yako au mtoto wako ungesema hivyo mshamba wamapenzi wewe
@@JuliethNgowi-n8f Kuna watu ni wajinga kweli,labda angebakwa mama yake angefurahia
Kweli wadau kumbukeni wema wake kwanini nikumponda tuu yeye ni mwanadamu akuna mwanadamu anaekosa mathaifu ,,atanyie sio wakamilifu mangapi yakwako unayafanya sirini pengine nikinyume Cha Sheria au unamkosea mungu ,hivyo tuwe namioyo ya msamaha ,, asikudanganye mtu Tanzania imefika hapa kwasababu watanzania wengi niwachamungu sio akili zetu nchi kuwa naamani japo kwakiwango hichi.
Kwa ujumla Dodoma kuna shida. Watu wengi sana hutishiwa kufanyiwa maovu na watu wenye hivyo vinafasi. Taarifa zinatolewa polisi lakini hazifanyiwi kazi kwa watuhumiwa kukamatwa na kuwajibishwa. Mwisho wa siku hao waovu wanatekeleza maovu yao kama walivyokusudia. Ndio hayo matokeo yanaonekana sasa.
Jamani inamaana yeye niwakwanza kukosea wapo wanaofanya makosa makubwa wanasamehewa iweje huyu asisamehewe huyu mama nimtoa semina mzuri saana msimvue cheo
Ninachojua kuhusu kamanda Malya kwanza ni binadamu kama wengine tulivyo.. pia ni kiongozi aliejitoa kwa watu wote bila upendeleo, mwenye juhudi na weledi kwenye kazi zake..Atabaki kuwa kiongozi wa mfano bora kwa jeshi la polisi. Mungu aendelee kukutunza.
Hapo unanikumbusha aliyekuwa waziri wa habari,Nape alivyoteleza yeye alitupwa kabisa
Afutwe kazi tu huyo hana utu
Wanafanya kaz na kujiskia awajui ya leo na kesho angekua mtoto wake mbona anatetea vitendo vimbaya angepumuzishwa mwaka kabisa jifunze kuongea vinzur
Mbona mtoa habsri nae anamtetea..
Bora angefukuzwa kazi kabisa kama yeye hajui uchungu hiyo sio azabu ni afukuzwe kazi kabisa
Nyie mnaosema asamehewe je zile kaulizake zingepitishwa huyu bint ingesomeka nikweli alikua anajiuza kwanza anaonekana nimtu mzima hana busara afukuzwe kabisa hafai
Maaskali wanapenda kutetea maaskali wenzao tunateswa sana na maaskali
Tufanye kazi ila yetumacho kuona masikio kusikia
Sheria iende na mkondo wake
Kweli shetani alimuhubiria kamanda mpaka akatetea waofu.. wabakaji na walawiti kwa binti mdogo.. nasema! (Piga mtoto umjue mama yake) ( piga mtoto umjue baba yake) binti aliyefanyiwa ukatili..kina baba na kina mama wamejitokeza .. tunataka tuone haki imesisimama..
Ange tolewa kabisa awe raia kwani ataendelea kutetea ujinga
Maskini alikuwa mtu mzuri ila baya moja limefuta mazuri yote chezea machungu ya mume wewe hadi utu unatoweka Dah! mapenzi shikamoo
🎉🎉🎉🎉 yako mama samiy kwani uyo mama ni m,binafsi sana angukuwa ni mtt wake angesema uwo upumbav
Yaweza kuwa huyu kamanda labda hiyo siku aliingiliwa na shetwani Ndipo hayo maneno yakamtoka kinywani mwake😭🤔Duh inaumiza Makosa tumeumbiwa Sisi wanadamu😭Naimani hata yeye haamini kilicho mtokea.Kwakweli😭
Isijekuwa huyu ndio afande mwenyewe
😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mungu atalipa hapa hapa raisi wewe ni mama lakini huyu kamanda hafai kuitwa mama fukuza kabisa hafai kuwa kiongozi hiyo azabu haifai fukuza mama.
Huyo aondolewe kabisa aende kwao huko akageme ULANZI
Kuteleza kupo kimaongezi..... Kazi njema kwenye majukumu mapya
Malaya tu uyo
Kama jin lak
Wanawake hatumtaki kabisaaaaaa
Ni mtu wa haki, ila kwenye hili amejichanganya mahali.
Kama huwajui wanadamu ndugu huwenda alikuwa anatenda haki Kwa kuwa kesi zilikuwa hazimgusi hii huenda anahusika huwezi kuhalalisha uhalifu hadharani
Afukuzwe kz kabisa msenge uyoo afai uwongoz
Kilichomponza ni kukosa hekima TU Kwa kuwa ni suala la jeshi na jesh ni nidham
"Anaonekana kama alikua anjiuza"hiyo ni kauli ahirisho wange muelewa kuliko kumhukumu Kwa kumtumia mihemko ya watu wa mitandaoni
Haitoshi hiyo. Kauli aliyoitoa ni kauli ya jeshi la polisi mkoa. Wasiseme kwamba kauli ikikosewa. Nayeye anatakiwa kuchungwa sana.
Mdomo uliponza kichwa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂halooooooooooo👌nicheke mie nipanue mbavu zangu kweli nimeamin adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake shangaz ww huna utu ht kidg kwako uliona lile tukio ni la kawaida hv huyu kazaaa kweli? Nahis hajui kichwa cha mtoto kinapitaje uken kam angejua uchungu bas asingeongea ile kauli
Kusema kahaba yuko sawa kwani kuna sheria ya zinaaa ktk dini zote kuwa zinaa ruhusa?
Kwa kweli namkubali ni kumuonea aibu huyo bosi kumemponza..
Ata kama anajiuza ndiyo abakwe?. Ndiyo njia aliyo amua kutafutia riziki yake. Asifanyiwe mabaya.
Aya yote yamesababishwa na uyo mama aliye waumba vijana
Mim nilijua ameachishwa kazi kwa kulichafua jeshi letu la police
Kama mwanamke huna hata uchunqu? Chukulia kama mama kwa mwanao,Unawezaje kuonqea maneno kama hayo kamanda wa police??? Kama anajiuza ni halali afanyiwe hivyo????? Shem upone you madame
Hiyo azabu haimfai,alitakiwa afukuzwe KAZI kabisa
Utafikiri janaume
Hata binadamu kwa mungu, hukumu zake aijalishi ulikuwaje nyuma, kikubwa kuwa na mwisho mwema. Ndo salama Yako. Unaweza UKAWA mwema simu zote siku ya mwisho umeharibu na umauti umekufika wewe ni motoni., na unaweza UKAWA muovu siku zote siku za mwisho ukarudi kwa mungu na umauti ukakukuta wewe ni Peponi .
Kwahiyo huyo askali mwisho wake ndo malipo anayostahili.
Huyo msichana afanyiwe vipimo yakinifu kubaini maradhi ambayo yanaweza kumletea magonjwa ya hatari sana. Kila mwanamke ana vimelea vya kawaida (Normal Flora of a female LACTOBACILLUS SPECIES) Asilimia 96% ya kawaida ya kwa wanawake ukihamisha vimelea toka njia ya haja kubwa kwenda njia ya ukeni au ya ukeni kwenda njia ya haja kubwa kwa tendo la ndoa unasababisha madhara makubwa mbali ya magonjwa mengine kama HIV INFECTION. Inasikitisha sana😢
Mbona waziri Nape aliteleza kidogo,kilichomkuta mnakijua
Kweli ametetereka Ila Kwa adhabu anazo pitia na mitusi anayo mwagiwa Kwa siku kadhaa sasa nadhani anastahili kusamehewa kama mwanadamu japokuwa alikosea na sina Shaka moyoni anajutia, aachiwe Mungu kwenye kiumbe wake ahukumu Kwa haki.
HIYO, AFANDE HANA AKILI ACHUNGUNZWE TU, JE,SIO AMISHWE AFUKUZWE TU
Arudishwe tu tena ingefaa afukuzwe kazi kabisa siyo mzazi huyo mbaya wa roho
Angekuwa mama yako ungesema afukuzwe?
@@yugemasanza1008ndio,,ndo maaanake,,we huyo alobakwa angekuwa mtoto wako ungesema aridishwe!!
@@fredyjeremia7074 katika maisha yako wewe ulishakosea Mara ngapi katika kutamka?
@@yugemasanza1008Sasa hayo matapishi aliyoyatoa ayale nani, fukuza hiyo Kitu inazidi kutuchefua...
Na ww acha ujinga, hakuna kitu kibaya ktk uaskari kama kukosea ndio maana askari anapaswa kuwa makini muda wote..kosa Moja linaweza kugharimu maisha ya wengi na hata nchi kwa ujumla..ndio maana sifa ya kwanza kwa askari ni kuwa mwadilifu..mtii ..na nidhamu..na utulivu wa akili hv vyote vinakufanya uwe askari uliyekamilika na sio nusu askari..na pia hupaswi kuishi kwa mazoea..so huyu mama bila shaka alikuwa mtu wa kuzoea kazi sasa hii ni mbaya sana ktk mazingira ya kazi yoyote usiishi kwa mazoea
Mungu ulipa mabaya nahisi kama mungu ametaka kumuonesha aliewatuma wale vijana kwa kauli Ile nahisi ni yeye
Huyu hafai kuhamishiwa makao makuu na kupangiwa nafasi nyingine. Huyu anatakiwa kufukuzwa kazi, hafai kabisa kuwa polisi
Bora wagemtoa kabisa .Huwa wanajisahau kuwa Kodi nzetu kuwa ndio nzinawapa kibuli
Nae ni binadamu,hajakamilika,aliteleza siku hiyo tu,nyuma anaonekana alikuwa muungwana
Hapo Bado alikuwa afukuzwe hasa kazi
Hana watoto ndo Maana aliongea hivyo,Kwani Kuwa Malaya kunaruhusu kubakwa?😳🤔
Huyu kamanda ni mwema sana,sema basi tu
Kujiuza maana yake ni nini hasa ina maana inayejiuza hana haki? kwani hapo hao waliotumwa hawajatenda haki mtoto wa kike hadi anaomba maji ya kunywa ni hatari hapo haki itendeke tu yaani sheria ifuate mkondo wake
Bado yupo kazini sisi tunataka tumuone akiwa ana kazi kwanini abaki kazini akuna wengine😢
hekima ilifeli kwenye hili nchi nzima imemchukia sana
Watu waajabu sana kamanda kutolewa hapo wanafurahi na wengine wanaandika koment za hovyo utadhani wao niwema sanaaaa tuache roho za chuki hakuna mwanadam asiye jikwaa.