KAMANDA MALLYA/KUTOKA TRAFIKI MAKAO MAKUU HADI KUVULIWA U-RPC DODOMA, KURUDISHWA MAKAO MAKUU...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • #tanzaniayetufahariyawatanzania

Комментарии • 289

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 26 дней назад +24

    Kauli yake moja mbovu sana imefuta yote hayo anataka kuwatetea wabakaji amefuta wemawake wote

  • @user-hq8wn9tz2l
    @user-hq8wn9tz2l 26 дней назад +21

    Wanalizika sana hawa wakiwa kazini wahajui kama kodi zetu ndo zimewaweka apo

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 25 дней назад +11

    Kwa upande wangu,naamua kumsamehe huyu kamanda.Sifanyi hivyo kwa kuongozwa na huruma.Nimeongozwa na historia yake maisha yake binafsi na rekodi yake ya utendaji kazi kwa ujumla.Naichukulia kauli yake kama. ajali ya mdomo,au limi kuteleza.Nawaalika na kuwasihi kwa upendo na moyo kusameheana wamsamhe bure.Sote juu ya jua tuwakosaji au wakosaji watarajiwa.Mungu na atuponye pale tulipoumizwa na kauli ya Kamanda na maisha yetu yaendelee .Asanteni

    • @Montana12-v2c
      @Montana12-v2c 25 дней назад

      Hata hivyo wengi wanaongea ila hawajasikiliza alichoongea hajafanya kosa lolote sema kuna siasa ndani yake muandiahi wa habari ndo alimuuliza mbona kama huyo dada inasemekana kama alikua anajiuza afande akajibu hata kama angekua anajiuza hakuna Sheria inaruhu mtu kufanyiwa ukatili sasa aliosena anajiuza niafande au nimuandishi ??? Wameamua Tu kumpa kashfa tafta video uisikiliza vizuri sio vile vichwa vya habari vya waandishi

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 24 дня назад

      Maskini kumbe alisema hivyo huyu ni wenzake ndo wamemuharibia​@@Montana12-v2c

    • @herimwinge-et9ei
      @herimwinge-et9ei 23 дня назад

      Point sana, asamehewe aachwe kwenye nafasi yake mchapa kazi kukosea sote tunakosea ingawa inauma lkn...

    • @NehemiaZakeo
      @NehemiaZakeo 15 дней назад

      Hapana aachwe hapo alipo wekwa pata mfanya kuwa jasili wa kujua vitu anavyo vifanya mwingine nakuvi weka wazi pasipo kumngunya motomo hivyo tuna tamani kuona vyombo vya ulinzi viki simamia haki za watu na kuzingatia sheria na kanuni na kuepuka na rushwa ili kuipa taifa mapato mazuri na kutetea haki za wananchi kwa hekima ilio bora

  • @herimwinge-et9ei
    @herimwinge-et9ei 23 дня назад +2

    Njiti ya kiberiti ni ndogo sana lkn inaweza unguza msitu wa miti mikubwa mwenye mamilioni ya miti na viumbe vingine, 🙆🙆🙆 🔥🔥🔥🌲🌳🌾🌴

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 26 дней назад +19

    Bora mngemtoa kazi kabisa , angekuwa mtoto wake au nfugu yake abgesema maneno hayo

    • @MagrethMallya-we8ui
      @MagrethMallya-we8ui 26 дней назад

      Utasubiri sana, labda aongezewe cheo.

    • @MagrethMallya-we8ui
      @MagrethMallya-we8ui 26 дней назад

      Kama kazi alimpa babaako basi atamwachisha, la sivyo endeles kujikaza aisee.

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 26 дней назад

      ​@@MagrethMallya-we8uiHee muko humu ..

    • @HopeChriss
      @HopeChriss 26 дней назад +4

      ​@@MagrethMallya-we8uikuongezwa cheo atasubili sana ungebakwa wew ndugu yake angeongea usenge wake uwoo acha chuma mimlambe

    • @victorianchimbi8640
      @victorianchimbi8640 25 дней назад

      ​@@mariamfaicalhassan2890ah ah ah nimecheka sana

  • @gervaslukaya
    @gervaslukaya 25 дней назад +5

    Unaweza kufanya mema na ukasifiwa mengi ila kosa moja tu thamani yote inapotea

  • @AnethMushi-c3e
    @AnethMushi-c3e 21 день назад +2

    Mambo mengine kabla ya kuhamua kuongea omba hekima ya Mungu

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 24 дня назад +2

    Pole kamanda umeponzwa na kuonea aibu waovu ukajaribu kumpendeza bosi wako...kakuponza...

  • @AliAli-b4j4n
    @AliAli-b4j4n 26 дней назад +10

    Bora mwenge mtowa kazi moja kwa moja maana ni mjinga cn huyo afande watu kama hawo watufai serikali ndio wanaoharubu nchi yetu

  • @AliHamad-xl2mm
    @AliHamad-xl2mm 25 дней назад +3

    Allah humpandisha amtakaye na humshusha amtakaye kwahiy hayo ni manne ya allah

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 7 часов назад

    Ukiwa kiongozi jitahidi sana kutotumia kila taarifa unazopewa na wasaidizi wako kwa pupa bila kuzichakata kwa busara zaidi kabla ya kufanya maamuzi.Sababu,wapo watakaokuletea taarifa za uongo ili ukurupuke kuamua kisha watimize lengo lao la kukuondoa kwenye msimamo wako mzuri wa kutetea na kuisaidia jamii unayoitumikia kwa sababu ya wivu.

  • @oskamsafiri2814
    @oskamsafiri2814 26 дней назад +13

    Hpn ni ajali tu kapata.mallya ni kamanda mzuri sana

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 26 дней назад +1

      Mdomo uliponza kichwa🤔😌

    • @leilayathumani2295
      @leilayathumani2295 26 дней назад

      Ajal gan hiyo angekua binti Yake angekubal ama KWAKUA chiz anachekesha akiwa kwa jiran yako tyu

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 26 дней назад

      Hakuna uzuri wowote, labda kwa wahalifu mtaona uzuri wake

    • @godsonkyense4742
      @godsonkyense4742 26 дней назад

      Msenge tuu huyo Theopista Mallya

    • @merygodfrey3709
      @merygodfrey3709 23 дня назад

      Pole Af wangu kosa moja hufuta mema yote.Mungu akupe Amani ya moyo uishi kwa amani.

  • @user-ow3fz2fh2w
    @user-ow3fz2fh2w 26 дней назад +17

    Au ndio uyo alewatuma ao mchunguzeni uyo RPC

    • @anraneamisse9243
      @anraneamisse9243 26 дней назад +2

      Ndo huyoooo huyooo msenge

    • @IsmailYusuf-nb9jt
      @IsmailYusuf-nb9jt 25 дней назад +2

      Una akili sana ww yaani hapa wanatupiga chenga 😂

    • @Daniella249
      @Daniella249 25 дней назад

      ​@@anraneamisse9243weee kumbe ndiyo huyu, kwanini asitolewe kabisa akauze mihogo huko mama hana hata huruma

  • @francisedward9632
    @francisedward9632 25 дней назад +3

    Kamanda asamehe. Alisema " hata kama anajiuza asingestahili kufanyiwa vitendo hivyo"
    Yaani alikuwa anajubu tuhuma dhidi ya miathirika kutoka kwa baadhi ya jamii.

  • @ZekaniS
    @ZekaniS 26 дней назад +11

    Wajifunze mwengine

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 25 дней назад +1

    Huyu afukuzwe, kazi kabisa

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 25 дней назад +1

    Angefukuzwa tu kazi

  • @aminielyusufu4351
    @aminielyusufu4351 26 дней назад +2

    Mungu amrehemu na wanaharakati msameheni

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 26 дней назад

    Pole sana binti yetu uliyefanyiwanvitendo viovu utapona na haki yako itapatika waliokufanyia ule unyama serikalibitawashughulikia tunaiamini. Mungu akutie nguvu. Amen

    • @user-lq6kr2gl7n
      @user-lq6kr2gl7n 25 дней назад

      Inaumiza mnooo ki ukwel siku nimeona ile video wala sikumaliza nilifuta na nililia binadam wa leo hawana utu

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba 26 дней назад +10

    Jamani,,kwa picha zake za matukio anaonekana ni mtu wa watu,,yaani nimwenye upendo,,utu wema hana makuu na mtu,, basitu ulimi ulitereza,,

    • @Petro.John.
      @Petro.John. 26 дней назад +1

      Kabisa.

    • @petro8010
      @petro8010 26 дней назад +1

      Ni kweli na wala SI ulimi ulitereza. Huenda ni kweli binti alikuwa anajiuza ajabu ni nn. Wakujiuza kufanyiwa matukio kama haya huwezi shangaa. RPC hana baya. Acha akapumzike mama wa watu. Mitoto imekengeuka na malezi huko ndiyo iwe taabu!

    • @paskaziasholla7471
      @paskaziasholla7471 25 дней назад

      ​@@petro8010kama umezaa usiseme ivo

    • @katemachanda7035
      @katemachanda7035 25 дней назад

      Una umri Gani?
      Elimu Yako?
      Uelewa wako wa haki kiimani???
      Huenda sio ajabu mtu anayejiuza kufanyiwa hivyo, lkn swali kubwa ni JE NI HALALI KUBAKWA HATA KAMA ANAJIUZA?​@@petro8010

    • @JemaMhagama-oz6me
      @JemaMhagama-oz6me 25 дней назад

      Ni kweli kabisa ni mtu mwenye upendo wa Hali ya juu . Bahati mbaya tu imemkuta.

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 17 дней назад

    Yani hyo mama mm ningefukuza kazi kabisa maana ameonyesha hana huruma hata kidogo kwa mwanamke mwenzio

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 25 дней назад +1

    Umeponzwa mini dada

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 26 дней назад +6

    Polisi wote tuu niwanyasaji

    • @minaelnathanael1846
      @minaelnathanael1846 26 дней назад

      Si mchagga huyu?

    • @yayananajota5838
      @yayananajota5838 25 дней назад

      Ndio wate wanaubilisi sana, ukimuona leo malaika kesho Anajigeuz anakuwa shetani sijui ni vip, hiii kazi sijui inalaana,

    • @handenitakuru6696
      @handenitakuru6696 25 дней назад

      ​@@yayananajota5838inalaana hio kazi

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 26 дней назад +7

    Hata kama alikuwa anajiuza lakini si haki

    • @edwinamos9734
      @edwinamos9734 25 дней назад

      Kuma la mamako unaonekana unajiuza kafirwe na wanaume watano kahaba kama jina lako mariamu wote wauza kuma na mikundu ukiona jina mariamu ujue ni biashara!!!!!!

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 25 дней назад

      ​@@edwinamos9734😮😮😮

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 24 дня назад

      Sasa wewe watukana nn mbona sielewi😂😂😂😂​@@edwinamos9734

    • @ادريسالبلوشي-ل9ي
      @ادريسالبلوشي-ل9ي 23 дня назад

      ​@@edwinamos9734Kaka umekosea sana kumtukana huyo dada,nafikiri bila ya shaka haujamuelewa.. yeye kasema hivi hata kama huyo msichana alikuwa ni mtu wa kujiuza lakini sio haki kufanyiwa unyama kama huo,anamaanisha kwamba sio vizuri kwa jinsi nilivyomuelewa mim,,yeye yupo kumtetea huyo msichana aliyebakwa,hebu soma vizuri hiyo msg yake na hivyo ndivyo nilivyomuelewa.

  • @jacquelinelukumay9535
    @jacquelinelukumay9535 17 дней назад

    Hii ndo safi kuingilia vitu haviwahusu

  • @user-en4fj9eo8s
    @user-en4fj9eo8s 25 дней назад +1

    Mungu ampe anachostahili

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 26 дней назад +8

    Huyu Afande aliteleza Msameheni unajua mdomo hauna mfupa na Mungu akutetee usihukumiwe zaid ya hapo

    • @minaelnathanael1846
      @minaelnathanael1846 26 дней назад

      Sio kweli wachagga ni viropo sana

    • @user-gy3dv3tq8d
      @user-gy3dv3tq8d 25 дней назад

      Tena wangemleta tu mtaani aone kama kuzuri

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 24 дня назад

      Na pia hakuongea hivyo mwandishi mdo aliongea yy akawa anamjibu mwandishi nenda kaskize video vizuri sema nini huyu amehqribiwa tu na wenzake

  • @JemaMhagama-oz6me
    @JemaMhagama-oz6me 25 дней назад

    Bahati mbaya tu. Imemkuta jinsi ya kuripoti like tukio inaonyesha ni alikuw mtu mzuri sana.

  • @StevenMsagusa-mk8qd
    @StevenMsagusa-mk8qd 26 дней назад +5

    Kuteleza sio kuanguka amejieleza ubinadamu kwanza mema mengi amefanya tujitafakari na sisi

    • @janethiPiala
      @janethiPiala 24 дня назад

      Ila angekuwa mwanae asingeteleza

  • @AishaRamadhansaid
    @AishaRamadhansaid 18 дней назад

    Mungu kamuumbua uyo jmn haki ifanyike

  • @allymohamed2724
    @allymohamed2724 25 дней назад +1

    HAPA NAAMINI KUNASINTO FAHAMU TU JUU YA MCHAPA KAZI HUYU NI JEMBE JEMBE SURURU, ZAIDI YA

  • @aminielyusufu4351
    @aminielyusufu4351 26 дней назад +3

    Si kawaida maana hajawahi kuharibu. Roho ya mizimu ndiyo inasumbua

  • @emanuelkidali9733
    @emanuelkidali9733 16 дней назад

    Huyu anatakiwa afukuzwe kazi kabisa hafai kabisa

  • @monicamassawe3435
    @monicamassawe3435 26 дней назад +2

    Mdomo uliponza kichwa et inaonekana anajiuza ndo afanyiwe hayo?avuliwe kabisaa

  • @johnshauri3130
    @johnshauri3130 26 дней назад +4

    Kamanda Mallya asamehewe aliteleza kauli tu jamani ila ni Kamanda anayefanya kazi zake vizuri tangu Rukwa,Songwe hadi Dodoma

    • @user-hq8wn9tz2l
      @user-hq8wn9tz2l 26 дней назад

      Angefutwa kazi

    • @daltonpaul5838
      @daltonpaul5838 26 дней назад

      Hamna shida atafaa mahali pengine lakini ndio iwe fundisho ukiinua pembe MUNGU anazikata

    • @raymondnlelwa427
      @raymondnlelwa427 26 дней назад

      ​@@user-hq8wn9tz2lNa kufungwa kabisa...

  • @mwafrikabarz4507
    @mwafrikabarz4507 20 дней назад

    INGEKUWA KWA KIM JONG HU , ANGEPIGWA RISASI RU

  • @temuramadhani5134
    @temuramadhani5134 18 дней назад

    Afukuzwe kazi

  • @othmanMoroko-zh8ct
    @othmanMoroko-zh8ct 24 дня назад

    Vizur sana mama samia

  • @jerome3143
    @jerome3143 17 дней назад

    yeye ana kifungu gani cha sheria kufanya ukahaba kuwa ni sawa

  • @janethiPiala
    @janethiPiala 24 дня назад

    Wewe mama wewe kumbuka na wewe unawatoto uzima na kiburi cha madarakw kisikuponze angekuwa mwanao nadhani mpaka leo watuhumiwa wamekufa Mungu akulaani hasahasa

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 24 дня назад

    pole kwake ajifunze kuongea vzr

  • @Cultureupdates-w5r
    @Cultureupdates-w5r 24 дня назад

    Wamsamehee katelexa ila hao walawiti wanyongw kabisa

  • @matronchiku929
    @matronchiku929 25 дней назад

    Uyo igp anapenda sana kuwapachika vyeo ma wp wasio kua na elimu ya kunali jinsia za wanawake wenzie

  • @user-yl2br2ts3i
    @user-yl2br2ts3i 18 дней назад

    alikua anajiuza tu😂😂😂😂😂

  • @HancyNjaa
    @HancyNjaa 26 дней назад +2

    Hili mama baya kama akili zake

  • @franksiame8441
    @franksiame8441 26 дней назад +2

    Ndiye aliye watuma vijana

  • @petro8010
    @petro8010 26 дней назад +1

    Inawezekana kweli binti ailkuwa anajiuza...... Kwani ajabu nini. Hawa sometimes wana viburi sana. Huenda wakayakoroga huko ndiyo maana wakafanyiwa hayo

    • @linyamakasim191
      @linyamakasim191 25 дней назад

      Kwa hyo anayejiuza Ana haki ya kubakwa au kulawitiwa
      Emagine uwe na ndgu yako wa kike afanyiwe hivi

    • @JuliethNgowi-n8f
      @JuliethNgowi-n8f 25 дней назад

      Peleka ijinga wako huko angebakwa mama Yako au mtoto wako ungesema hivyo mshamba wamapenzi wewe

    • @linyamakasim191
      @linyamakasim191 25 дней назад

      @@JuliethNgowi-n8f Kuna watu ni wajinga kweli,labda angebakwa mama yake angefurahia

  • @VictorNdeoya
    @VictorNdeoya 24 дня назад

    Kweli wadau kumbukeni wema wake kwanini nikumponda tuu yeye ni mwanadamu akuna mwanadamu anaekosa mathaifu ,,atanyie sio wakamilifu mangapi yakwako unayafanya sirini pengine nikinyume Cha Sheria au unamkosea mungu ,hivyo tuwe namioyo ya msamaha ,, asikudanganye mtu Tanzania imefika hapa kwasababu watanzania wengi niwachamungu sio akili zetu nchi kuwa naamani japo kwakiwango hichi.

  • @soomoche
    @soomoche 25 дней назад

    Kwa ujumla Dodoma kuna shida. Watu wengi sana hutishiwa kufanyiwa maovu na watu wenye hivyo vinafasi. Taarifa zinatolewa polisi lakini hazifanyiwi kazi kwa watuhumiwa kukamatwa na kuwajibishwa. Mwisho wa siku hao waovu wanatekeleza maovu yao kama walivyokusudia. Ndio hayo matokeo yanaonekana sasa.

  • @beckhammlowe4029
    @beckhammlowe4029 22 дня назад

    Jamani inamaana yeye niwakwanza kukosea wapo wanaofanya makosa makubwa wanasamehewa iweje huyu asisamehewe huyu mama nimtoa semina mzuri saana msimvue cheo

  • @annettelyimo5239
    @annettelyimo5239 23 дня назад

    Ninachojua kuhusu kamanda Malya kwanza ni binadamu kama wengine tulivyo.. pia ni kiongozi aliejitoa kwa watu wote bila upendeleo, mwenye juhudi na weledi kwenye kazi zake..Atabaki kuwa kiongozi wa mfano bora kwa jeshi la polisi. Mungu aendelee kukutunza.

    • @TeddyDickson-w5p
      @TeddyDickson-w5p 22 дня назад

      Hapo unanikumbusha aliyekuwa waziri wa habari,Nape alivyoteleza yeye alitupwa kabisa

  • @davidsamson8292
    @davidsamson8292 23 дня назад

    Afutwe kazi tu huyo hana utu

  • @HappynessJose
    @HappynessJose 25 дней назад

    Wanafanya kaz na kujiskia awajui ya leo na kesho angekua mtoto wake mbona anatetea vitendo vimbaya angepumuzishwa mwaka kabisa jifunze kuongea vinzur

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n 26 дней назад +2

    Mbona mtoa habsri nae anamtetea..

  • @ashajuma-mp6os
    @ashajuma-mp6os 23 дня назад

    Bora angefukuzwa kazi kabisa kama yeye hajui uchungu hiyo sio azabu ni afukuzwe kazi kabisa

  • @JuliethNgowi-n8f
    @JuliethNgowi-n8f 25 дней назад

    Nyie mnaosema asamehewe je zile kaulizake zingepitishwa huyu bint ingesomeka nikweli alikua anajiuza kwanza anaonekana nimtu mzima hana busara afukuzwe kabisa hafai

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 24 дня назад

    Maaskali wanapenda kutetea maaskali wenzao tunateswa sana na maaskali

  • @AridiSaid-b9k
    @AridiSaid-b9k 16 дней назад

    Tufanye kazi ila yetumacho kuona masikio kusikia

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 26 дней назад +2

    Sheria iende na mkondo wake

  • @user-vn5mv6gn2b
    @user-vn5mv6gn2b 20 дней назад

    Kweli shetani alimuhubiria kamanda mpaka akatetea waofu.. wabakaji na walawiti kwa binti mdogo.. nasema! (Piga mtoto umjue mama yake) ( piga mtoto umjue baba yake) binti aliyefanyiwa ukatili..kina baba na kina mama wamejitokeza .. tunataka tuone haki imesisimama..

  • @nyagawawilliam8328
    @nyagawawilliam8328 25 дней назад

    Ange tolewa kabisa awe raia kwani ataendelea kutetea ujinga

  • @RAHELIDARABE
    @RAHELIDARABE 25 дней назад

    Maskini alikuwa mtu mzuri ila baya moja limefuta mazuri yote chezea machungu ya mume wewe hadi utu unatoweka Dah! mapenzi shikamoo

  • @MonaEd-o4z
    @MonaEd-o4z 25 дней назад

    🎉🎉🎉🎉 yako mama samiy kwani uyo mama ni m,binafsi sana angukuwa ni mtt wake angesema uwo upumbav

  • @sabrinaandrew4245
    @sabrinaandrew4245 25 дней назад

    Yaweza kuwa huyu kamanda labda hiyo siku aliingiliwa na shetwani Ndipo hayo maneno yakamtoka kinywani mwake😭🤔Duh inaumiza Makosa tumeumbiwa Sisi wanadamu😭Naimani hata yeye haamini kilicho mtokea.Kwakweli😭

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 25 дней назад

    Isijekuwa huyu ndio afande mwenyewe

  • @KaayaKaayamoses
    @KaayaKaayamoses 25 дней назад

    😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mungu atalipa hapa hapa raisi wewe ni mama lakini huyu kamanda hafai kuitwa mama fukuza kabisa hafai kuwa kiongozi hiyo azabu haifai fukuza mama.

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 26 дней назад +1

    Huyo aondolewe kabisa aende kwao huko akageme ULANZI

  • @dennisngonyani1795
    @dennisngonyani1795 25 дней назад

    Kuteleza kupo kimaongezi..... Kazi njema kwenye majukumu mapya

  • @AhmedAli-x8w9e
    @AhmedAli-x8w9e 26 дней назад +1

    Malaya tu uyo

  • @salmaramadhan2725
    @salmaramadhan2725 24 дня назад

    Wanawake hatumtaki kabisaaaaaa

  • @maryjustertarimo9858
    @maryjustertarimo9858 25 дней назад +1

    Ni mtu wa haki, ila kwenye hili amejichanganya mahali.

    • @janethiPiala
      @janethiPiala 24 дня назад

      Kama huwajui wanadamu ndugu huwenda alikuwa anatenda haki Kwa kuwa kesi zilikuwa hazimgusi hii huenda anahusika huwezi kuhalalisha uhalifu hadharani

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 25 дней назад

    Afukuzwe kz kabisa msenge uyoo afai uwongoz

  • @benjaminjackson8567
    @benjaminjackson8567 25 дней назад

    Kilichomponza ni kukosa hekima TU Kwa kuwa ni suala la jeshi na jesh ni nidham

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 25 дней назад

    "Anaonekana kama alikua anjiuza"hiyo ni kauli ahirisho wange muelewa kuliko kumhukumu Kwa kumtumia mihemko ya watu wa mitandaoni

  • @gfngomuo7161
    @gfngomuo7161 25 дней назад

    Haitoshi hiyo. Kauli aliyoitoa ni kauli ya jeshi la polisi mkoa. Wasiseme kwamba kauli ikikosewa. Nayeye anatakiwa kuchungwa sana.

  • @user-lq6kr2gl7n
    @user-lq6kr2gl7n 25 дней назад

    Mdomo uliponza kichwa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂halooooooooooo👌nicheke mie nipanue mbavu zangu kweli nimeamin adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake shangaz ww huna utu ht kidg kwako uliona lile tukio ni la kawaida hv huyu kazaaa kweli? Nahis hajui kichwa cha mtoto kinapitaje uken kam angejua uchungu bas asingeongea ile kauli

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul 25 дней назад

    Kusema kahaba yuko sawa kwani kuna sheria ya zinaaa ktk dini zote kuwa zinaa ruhusa?

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 24 дня назад

    Kwa kweli namkubali ni kumuonea aibu huyo bosi kumemponza..

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 25 дней назад

    Ata kama anajiuza ndiyo abakwe?. Ndiyo njia aliyo amua kutafutia riziki yake. Asifanyiwe mabaya.

  • @rukiamziwanda7458
    @rukiamziwanda7458 26 дней назад +1

    Aya yote yamesababishwa na uyo mama aliye waumba vijana

  • @elisantemoses9309
    @elisantemoses9309 25 дней назад

    Mim nilijua ameachishwa kazi kwa kulichafua jeshi letu la police

  • @righitkileo
    @righitkileo 25 дней назад

    Kama mwanamke huna hata uchunqu? Chukulia kama mama kwa mwanao,Unawezaje kuonqea maneno kama hayo kamanda wa police??? Kama anajiuza ni halali afanyiwe hivyo????? Shem upone you madame

  • @precioussao7065
    @precioussao7065 25 дней назад

    Hiyo azabu haimfai,alitakiwa afukuzwe KAZI kabisa

  • @salmaramadhan2725
    @salmaramadhan2725 24 дня назад

    Utafikiri janaume

  • @AzizMangara
    @AzizMangara 25 дней назад

    Hata binadamu kwa mungu, hukumu zake aijalishi ulikuwaje nyuma, kikubwa kuwa na mwisho mwema. Ndo salama Yako. Unaweza UKAWA mwema simu zote siku ya mwisho umeharibu na umauti umekufika wewe ni motoni., na unaweza UKAWA muovu siku zote siku za mwisho ukarudi kwa mungu na umauti ukakukuta wewe ni Peponi .
    Kwahiyo huyo askali mwisho wake ndo malipo anayostahili.

    • @matildayasini1777
      @matildayasini1777 25 дней назад

      Huyo msichana afanyiwe vipimo yakinifu kubaini maradhi ambayo yanaweza kumletea magonjwa ya hatari sana. Kila mwanamke ana vimelea vya kawaida (Normal Flora of a female LACTOBACILLUS SPECIES) Asilimia 96% ya kawaida ya kwa wanawake ukihamisha vimelea toka njia ya haja kubwa kwenda njia ya ukeni au ya ukeni kwenda njia ya haja kubwa kwa tendo la ndoa unasababisha madhara makubwa mbali ya magonjwa mengine kama HIV INFECTION. Inasikitisha sana😢

  • @TeddyDickson-w5p
    @TeddyDickson-w5p 22 дня назад

    Mbona waziri Nape aliteleza kidogo,kilichomkuta mnakijua

  • @DavidSemu-gu6wp
    @DavidSemu-gu6wp 26 дней назад +2

    Kweli ametetereka Ila Kwa adhabu anazo pitia na mitusi anayo mwagiwa Kwa siku kadhaa sasa nadhani anastahili kusamehewa kama mwanadamu japokuwa alikosea na sina Shaka moyoni anajutia, aachiwe Mungu kwenye kiumbe wake ahukumu Kwa haki.

  • @maharagendondo
    @maharagendondo 25 дней назад

    HIYO, AFANDE HANA AKILI ACHUNGUNZWE TU, JE,SIO AMISHWE AFUKUZWE TU

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 26 дней назад +2

    Arudishwe tu tena ingefaa afukuzwe kazi kabisa siyo mzazi huyo mbaya wa roho

    • @yugemasanza1008
      @yugemasanza1008 26 дней назад +2

      Angekuwa mama yako ungesema afukuzwe?

    • @fredyjeremia7074
      @fredyjeremia7074 26 дней назад +1

      ​@@yugemasanza1008ndio,,ndo maaanake,,we huyo alobakwa angekuwa mtoto wako ungesema aridishwe!!

    • @yugemasanza1008
      @yugemasanza1008 26 дней назад +1

      @@fredyjeremia7074 katika maisha yako wewe ulishakosea Mara ngapi katika kutamka?

    • @raymondnlelwa427
      @raymondnlelwa427 26 дней назад +1

      ​@@yugemasanza1008Sasa hayo matapishi aliyoyatoa ayale nani, fukuza hiyo Kitu inazidi kutuchefua...

    • @user-bf1jd9nl3v
      @user-bf1jd9nl3v 26 дней назад

      Na ww acha ujinga, hakuna kitu kibaya ktk uaskari kama kukosea ndio maana askari anapaswa kuwa makini muda wote..kosa Moja linaweza kugharimu maisha ya wengi na hata nchi kwa ujumla..ndio maana sifa ya kwanza kwa askari ni kuwa mwadilifu..mtii ..na nidhamu..na utulivu wa akili hv vyote vinakufanya uwe askari uliyekamilika na sio nusu askari..na pia hupaswi kuishi kwa mazoea..so huyu mama bila shaka alikuwa mtu wa kuzoea kazi sasa hii ni mbaya sana ktk mazingira ya kazi yoyote usiishi kwa mazoea

  • @sniperboy131
    @sniperboy131 25 дней назад

    Mungu ulipa mabaya nahisi kama mungu ametaka kumuonesha aliewatuma wale vijana kwa kauli Ile nahisi ni yeye

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 25 дней назад

    Huyu hafai kuhamishiwa makao makuu na kupangiwa nafasi nyingine. Huyu anatakiwa kufukuzwa kazi, hafai kabisa kuwa polisi

  • @mahanjisanga3077
    @mahanjisanga3077 25 дней назад

    Bora wagemtoa kabisa .Huwa wanajisahau kuwa Kodi nzetu kuwa ndio nzinawapa kibuli

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj 25 дней назад

    Nae ni binadamu,hajakamilika,aliteleza siku hiyo tu,nyuma anaonekana alikuwa muungwana

  • @AhmedZahor-z8e
    @AhmedZahor-z8e 22 дня назад

    Hapo Bado alikuwa afukuzwe hasa kazi

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 25 дней назад

    Hana watoto ndo Maana aliongea hivyo,Kwani Kuwa Malaya kunaruhusu kubakwa?😳🤔

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 24 дня назад

    Huyu kamanda ni mwema sana,sema basi tu

  • @uwesuabdallah4053
    @uwesuabdallah4053 25 дней назад

    Kujiuza maana yake ni nini hasa ina maana inayejiuza hana haki? kwani hapo hao waliotumwa hawajatenda haki mtoto wa kike hadi anaomba maji ya kunywa ni hatari hapo haki itendeke tu yaani sheria ifuate mkondo wake

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 25 дней назад

    Bado yupo kazini sisi tunataka tumuone akiwa ana kazi kwanini abaki kazini akuna wengine😢

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 25 дней назад

    hekima ilifeli kwenye hili nchi nzima imemchukia sana

  • @CalebThomas-ie4zy
    @CalebThomas-ie4zy 24 дня назад

    Watu waajabu sana kamanda kutolewa hapo wanafurahi na wengine wanaandika koment za hovyo utadhani wao niwema sanaaaa tuache roho za chuki hakuna mwanadam asiye jikwaa.