@@Onlyfacts0224 mhmm utaachana na wangapi kwa kuchepuka dunia hii mpumbavu ni yule anayesali huku amefumba macho kwa mujibu wa bibilia mbona unayafumba unafikiri ndoa lele mama kuna mengi tokea lini mwanaume atuliye na mke mmoja tena na umbali wa china na tz ajipige ponyeto unafiliri
Mimi siamini jmnn nawapenda saaan hii caple mungu azidi kuwa nanyi jmn,alichokiunganisha mungu mwanadamu asikitenganishe jmn,nawapenda saaana
Kwendeni huko jack, chapa kazi
usidai talaka dada tulia tu kwenye ndoa kuchepuka wanandoa ni kawaida hao waume zetu ila uvumiliye usiwape ushindi maadui zako
Hao ndio wabongo sasa ukichepuka so hata biblia ina halalisha kuachana acheni UPUMBAVU.
@@Onlyfacts0224 mhmm utaachana na wangapi kwa kuchepuka dunia hii mpumbavu ni yule anayesali huku amefumba macho kwa mujibu wa bibilia mbona unayafumba unafikiri ndoa lele mama kuna mengi tokea lini mwanaume atuliye na mke mmoja tena na umbali wa china na tz ajipige ponyeto unafiliri
Nikweli kabisa nikuvumiliana tu maana unaweza kwenda kwa mwingine ukajuta ukamkumbuka wa zamani mapenzi ya Sasa ni Kama kubeti
Kaingia mji wa matajir Hongkog huko unaambiwa kuna wanawake wana pesa zao ogopaa 🔥
Na mabango yote hayo waliyotubandikia mainroad waachane tena😢?
Jack msiachane bwana achana nawambea
Uongo mtupu ni kiki tu za mitandaoni za wasanii
Wewe kulikuwa unataka mwanaume wa kuzaa nae, umeshapata wa 2 bs Lea wanao tu. Wanaume stress tu sk hizi.
😢😢😢eeeeh
Khaaaaa😢