NDOA YA JACKLINE WOLPER CHALI/ADAI TALAKA KWA RICH MITINDO KWA ALICHOFANYIWA/JUMA LOKOLE AANIKA YOTE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • ИгрыИгры

Комментарии • 13

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад +1

    Mimi siamini jmnn nawapenda saaan hii caple mungu azidi kuwa nanyi jmn,alichokiunganisha mungu mwanadamu asikitenganishe jmn,nawapenda saaana

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 Год назад

    Kwendeni huko jack, chapa kazi

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад +6

    usidai talaka dada tulia tu kwenye ndoa kuchepuka wanandoa ni kawaida hao waume zetu ila uvumiliye usiwape ushindi maadui zako

    • @Onlyfacts0224
      @Onlyfacts0224 Год назад

      Hao ndio wabongo sasa ukichepuka so hata biblia ina halalisha kuachana acheni UPUMBAVU.

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад

      @@Onlyfacts0224 mhmm utaachana na wangapi kwa kuchepuka dunia hii mpumbavu ni yule anayesali huku amefumba macho kwa mujibu wa bibilia mbona unayafumba unafikiri ndoa lele mama kuna mengi tokea lini mwanaume atuliye na mke mmoja tena na umbali wa china na tz ajipige ponyeto unafiliri

    • @elizabethchabluma-zw5qz
      @elizabethchabluma-zw5qz Год назад

      Nikweli kabisa nikuvumiliana tu maana unaweza kwenda kwa mwingine ukajuta ukamkumbuka wa zamani mapenzi ya Sasa ni Kama kubeti

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Год назад

    Kaingia mji wa matajir Hongkog huko unaambiwa kuna wanawake wana pesa zao ogopaa 🔥

  • @christinajisena2634
    @christinajisena2634 Год назад

    Na mabango yote hayo waliyotubandikia mainroad waachane tena😢?

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Год назад

    Jack msiachane bwana achana nawambea

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад +1

    Uongo mtupu ni kiki tu za mitandaoni za wasanii

  • @maryamtan682
    @maryamtan682 Год назад

    Wewe kulikuwa unataka mwanaume wa kuzaa nae, umeshapata wa 2 bs Lea wanao tu. Wanaume stress tu sk hizi.

  • @lightnessabdallah2340
    @lightnessabdallah2340 Год назад +1

    😢😢😢eeeeh