NI NOMA!! JUMA LOKOLE ATIA NENO KWA KAJALA KURUDIANA NA HARMONIZE/ HURUMA YANAYOMSIBU POSHY QUEEN...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 22

  • @LeilaAbdull-jg6ho
    @LeilaAbdull-jg6ho 13 часов назад

    Uwiiiiiiiiiii namshukulu mungu maombi yangu yametimia

  • @StrongbowArrow2004
    @StrongbowArrow2004 2 дня назад +4

    Wanawake wengi upenda kuchezewa sana 😂😂 apo ndo ukoo wake maskini looh me mwenzenu nikiona uelewiki na deal na ukoo tu we litembeze dude lako utachoka mwenyewe wala sishughuliki nae😃😃

  • @chilovebeb4579
    @chilovebeb4579 День назад +1

    Kwahyo watakua wakiachna na kurudiana hvyo sio🤣🤣😆🙌
    Umuache awe na mwnzio afu arud tena michezo hyo😆🙌

  • @loulumony8519
    @loulumony8519 2 дня назад +1

    Waoooh❤❤🎉

  • @rehemajuma4915
    @rehemajuma4915 2 дня назад +1

    Waongoooooooooooooooooooo

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb 7 часов назад

    Sasa Hamo jipange Kwa kajala ameshaujua uzaifu wako just Sasa pesa itapotea Kwa Kasi kubwa

  • @AishafuzAbdou
    @AishafuzAbdou 19 часов назад

    Kajala jmn!! acha zako kumdanganya Hamonaiz!! umri wako saivi ciyo wakucheza ivooo!! Ushakua namdukuu jmn!!

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 2 дня назад +3

    Khaaaaaaa wote hawo nimatapeli😢😢

  • @MercyNalomba-d4s
    @MercyNalomba-d4s 19 часов назад

    Tripu hii utoke na ndege sio range Tena 🤣🤣🤔

  • @vickykapama8386
    @vickykapama8386 2 дня назад

    Chezea PESA WEEEE😂😂😂😂 LOL pole yk KAJALA😢😢

  • @ZaitunJuma-l5p
    @ZaitunJuma-l5p 2 дня назад +1

    Ila wawe wanapima kwanza

  • @AlouiseNgenDanDumwe
    @AlouiseNgenDanDumwe День назад

    Kajala ni malaya kwa umri wake angetulia

  • @joyceMwaikusa
    @joyceMwaikusa День назад

    Kuma zenu

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en 2 дня назад

    Ila kajala😂😂wanawake msimalize maneno mkiachana hali ngum kajala kurudi kwa harmo ni lazima alikuwa na hali ngum mpaka alikonda😂😂

    • @SeverinoLuis-j1h
      @SeverinoLuis-j1h 2 дня назад

      Umbea alikuja kuomba chuvi

    • @Neemangonyan
      @Neemangonyan День назад

      Msiangalie hali ngumu angalieni na jinsi anavyopewa raha mweee na kuridhishwa sio kila anae rud kafuria

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
    @OnesmoEmmanuel-xr2rf 2 дня назад +1

    𝑺𝒆𝒎𝒂 𝒌𝒊𝒍𝒂 𝒎𝒕𝒖 𝑴𝑼𝑵𝑮𝑼 𝒂𝒍𝒊𝒎𝒑𝒂 𝒂𝒌𝒊𝒍𝒊 𝒛𝒂𝒌𝒆 𝒊𝒍𝒂 𝒌𝒂𝒋𝒂𝒍𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒔𝒂𝒔𝒂 𝒖𝒏𝒈𝒆𝒕𝒖𝒍𝒊𝒂 𝒎𝒑𝒆𝒏𝒅𝒘𝒂