DUDU BAYA ACHUKIZWA NA SWALI LA HARMONIZE NA KAJALA KURUDIANA UMALAYA MALAYA SITAKI MIMI SIYO CHAWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 49

  • @johnfelixnatala6777
    @johnfelixnatala6777 2 дня назад +7

    Dudu Baya! Bado Nakupenda Tuu!!! Hazina iliyosalia🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 2 дня назад +8

    Niliona sura ya dudubaya wskati mtangazaji akiuliza kuhusu harmonize 😂😂😁

  • @zachariamakoba8368
    @zachariamakoba8368 3 дня назад +7

    Uko sawa kabisa my brother dudu yaani God bless you dudu

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 19 часов назад +1

    Brother DUDU BAYA lnaonyesha umebadilika my brother mungu akusaidie sana

  • @LilianAchieng-bo9xo
    @LilianAchieng-bo9xo 20 часов назад +2

    Good speech my brother 👏👏👏

  • @richardJanson-h7c
    @richardJanson-h7c 2 дня назад +4

    Dudu baya huna baya brother upo vizuri

  • @AmanaHussein
    @AmanaHussein 2 дня назад +3

    Dudu baya nakupenda 🇰🇪🤣🔥

  • @KenedyGodwin
    @KenedyGodwin 6 часов назад

    Big up bro DDBY hawajielewi wandishi hao

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 15 часов назад +2

    Harmonize anazingua😂😂

  • @Younomane
    @Younomane День назад +2

    Kabisa Iro ndiro dudubaya ninarorijuwa mimi makofi kwadudubaya hataki umaraya

  • @manenomakuburi8011
    @manenomakuburi8011 18 часов назад +2

    Jamaa anakili nyingi sn

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 6 часов назад

    Professor Jay Alishakwambia...Wangapi wana magari lakini yote ni ya mkopo,benki ikiwadai Wanarudi kwenye Msoto😂

  • @paulrichard2076
    @paulrichard2076 2 дня назад +3

    Dudu baya ni mkweli kinoma

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 13 часов назад

    ABSOLUTELY! Bongo 😊

  • @MubaMajubwa
    @MubaMajubwa 15 часов назад

    Nimekukubal Sanaa kaka mamba

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 2 дня назад +2

    😂😂😂😂dudu baya NAKUPENDA bure

  • @LiliSalum
    @LiliSalum 16 часов назад

    😂😂😂 safi sana

  • @adamswafi5149
    @adamswafi5149 3 дня назад +4

    Ushasema mamba

  • @BinSultan-t5g
    @BinSultan-t5g 2 дня назад +4

    Ndo kashajibu kiutu uzima ...akili kubwa sana

  • @YohanaMwakaje
    @YohanaMwakaje 19 часов назад

    Dudu kama dudu ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️

  • @westmanmoses541
    @westmanmoses541 2 дня назад +1

    Leo Kawa mkali kweli kweli

  • @frankyaa8712
    @frankyaa8712 18 часов назад +1

    Only a fool doesn't change his mind😂

  • @KidalosMafumbula
    @KidalosMafumbula 16 часов назад

    Dudu baya anafanyaka kazi gani mujini mwambie aka chunge nguruwe kwa mr manguruwe kama alivio sema mr pimbi 😂😂😂😂

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 9 часов назад

    Kajala huna aibu harmonize Kalala na wewe pia na Paulo ni Lana

  • @VenanceKotta-c5h
    @VenanceKotta-c5h 3 дня назад +1

    Sema huyu ni babu sasa ameshaanza kubweka

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 22 часа назад

    👍👍

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du 2 дня назад +2

    Uyo kajara akiludi akiludi kwa konde. Mmmh njaa mbaya

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 2 дня назад +1

      Wewe una umri gani ndugu mbona unaandika kama mtoto. Kajara ni nani. Kuludi ni kufanya nini? Nakushauri ujitahidi. Kiswahili si mali yako ya kuvuruga utakyo. Nenda shule, tumia kamusi uliza watu wakusaidie.

    • @OmanOman-bx5du
      @OmanOman-bx5du 2 дня назад

      @@Brunn-mh2bq komenti kivyako

  • @tonykonki1437
    @tonykonki1437 14 часов назад +1

    Wewe acha ujinga kaa umezeeka husirundie kutoa maneno kaa ayo niya kifumbavu ,hii ndo kizazi cha 2000

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku 2 дня назад +1

    Hahahaha nzuri sana huyu jamii ikae hivo nakupenda mkuuuuuu upo good
    Mwandishi kachoka kabisa anaona aibu hatorudia u comedian Kwa huyu mwanza

  • @FATUMABACARCADANGE
    @FATUMABACARCADANGE 2 дня назад +2

    kajalahuyo njaa halafu hajitambui

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 День назад

    Dudu mpiga kwenye mshono

  • @EmmanuelRutyaza-iy5rr
    @EmmanuelRutyaza-iy5rr 2 дня назад +1

    Mwandishi kayakanyaga

  • @KhalfanSalim-v1x
    @KhalfanSalim-v1x 3 дня назад +5

    kasema point kabisa uyo dogo ajielewi kazi zake uhuni tu ivi kweli anakwenda kuwaona wazazi wake kweli maana mdawake wote kwa wanawake akisha pigwa matukio ndo anawaza wazazi wake yule dogo anatoa nyimbo zake hata promotion afanyi video zake lo bajet zitafika wap au zitafika gym angekua bado WCB angekua Zaid ya hapo alipo mboso mwenyewe kaisha mshimda kwenye kazi zako unamuingiza mwanamke

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 2 дня назад +1

    Bongo imekufa pia

  • @benotayari5970
    @benotayari5970 2 дня назад

    Kama taifa ni lazma tufike mahali tukemee haya yanayotokea mwisho wake ndiyo maana watoto wetu wanapotoka kimaadili. Huyo kajala ni Malaya tu tena ana akili hata kidogo sijui ni mwanamke alielelewa ktk maadili gani kwenye hii dunia. Mwanamke unafanywa kama tishu ya chooni! Viongozi wa serikali wakemeeni awa wasanii wanatuletea tabia mbaya kabisa kwenye jamii yetu halafu wanaitwa kioo cha jamii pumbuva.

  • @emmyaketch8598
    @emmyaketch8598 3 дня назад

    Dudu baya,umegonga ndipo, hao wote nii malaya

  • @ThabisoMbhele-oj7zd
    @ThabisoMbhele-oj7zd День назад

    Harmoniz and kajala wote ni maraya

  • @zachariamakoba8368
    @zachariamakoba8368 3 дня назад

    Dudu ni hazina bana yaani huyu dudu mtunzeni xn

  • @ananoel9530
    @ananoel9530 9 часов назад

    Hahahaha

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 2 дня назад

    Ongeleeni ata mmbo ya msingi....c ata kuna uchaguzi wa serikali za mtaa uko? Mbn wana habri hamjielewi

  • @SeverinoLuis-j1h
    @SeverinoLuis-j1h 2 дня назад

    Kwani anakujwa gongo sauti inakwaluza

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 19 часов назад

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @RAKIIMRAKIIM
    @RAKIIMRAKIIM 3 дня назад

    Hazina Iliyobaki ....