Mimi Huota Wanaume wawili waliofanana na mume wangu na mume wangu ila hupigana na mmoja wao Vita vikali. Na Mara nyingine huota mume wangu namshabikia kumpeleka kufunga ndoa na mwanamke nsifikia kumjua.
Mme wngu alisafiri, huko alipokuwa aliota mimi mke wake mdogo nimejifungua mtoto wa kiume amefanana na mtoto niliekuwa nae saiv... Hapa nilipo nanyosha pia ni mtoto wa kiume
Mm nilikuwa nikisafil namuota mmewangu anamwammke mwengine Tena nawakuta kwangu sinikaja kuwafuma siku Moja live mazingira ya nyumbn kwangu nilimuachia Allah tu.
Shekhe mimi cnaga kawaida ya kuota kabisa itokee sans lkn kawaida yngu ndoto kwangu ni km mtu anayetafuta pesa kwa jasho jing sana yaani namaanisha ciotag cjui kwann
Yaani nimesema hvyo sbb gn cna kawaida ya kuota mara kwa mara itokee sana ndo naota ila hta km wamenifunga wanajichosha tu km mambo yngu yanaenda Alhamdulillah cna kuumwa umwa hvyo namshukuru Allah mengine ya kawaida tu hyanisumbui ila km ntaona utofauti bac ntatafuta msaada zaid lkn kwa sass cjaona athar yoyote na niko hvyo toka nakuwa mpk hv
asalam alaikum warahmat allah wabarakatu mim shekhe hupenda kuota mvuwa lakin muwa hiyo hainyesh ila mbingu imekasirika upesa marad lakin mim nimeshikwa na oga nimelal huku naliya nimejifunika shuka na kusema subuhana llah sijuw inaashiriya nin
Mm shee nilnunua shamba lkn mpka Sasa cjaktiwa shamba yn eka zng hawanidai ht shiling moja nililpa kila kitu mpka karatsi y shamba nko nayo je nifnyj mm
Shekh uwe unaenda kwenye point manake unaenda sana nje ya point
Sheikh jitaidi unatafsiri vizuri usiwi unatoka indeed ya maada kabisa
Ahsante Ila jitahidi Sana kwenye ufafanuzi Sheykh
Mashallah tabaaraka rahman shukran sana nimepata faida Alhamdulillah
Shukran sheykh
Sheikh kwa kweli unapo adisi jitaidi tafsiri zako ufiki kwenye madam kabisa
Kheir inshaa Allah
Mimi Huota Wanaume wawili waliofanana na mume wangu na mume wangu ila hupigana na mmoja wao Vita vikali. Na Mara nyingine huota mume wangu namshabikia kumpeleka kufunga ndoa na mwanamke nsifikia kumjua.
Maelezo nimengi Bala ya kwenda kwenye mada ndiemana watu wengi watizami tafsiri zk badilika
Assalaamu alaykum ,,,,,,,,,mimi mala nyingi huwanaota ndoto zinazohusu nazi yaani naokota au namenya au mnazi umedondoka na mfanowake,,,,,,,,
Mme wngu alisafiri, huko alipokuwa aliota mimi mke wake mdogo nimejifungua mtoto wa kiume amefanana na mtoto niliekuwa nae saiv... Hapa nilipo nanyosha pia ni mtoto wa kiume
Shukuran sana
Me Naomba nisaidie kujua iyo ndoto ya nusu yaani nusu usingizi nusu kama hujalala maana huwa inanitokea Mara nyingi Sana. Au nikutafute kwenye simu?
Mm nilikuwa nikisafil namuota mmewangu anamwammke mwengine Tena nawakuta kwangu sinikaja kuwafuma siku Moja live mazingira ya nyumbn kwangu nilimuachia Allah tu.
Mwe mwe
Pore sana Ndugu yangu
😅😅😅😅😅yani pole c kma nachka kwa ubya lkni yko imefanana n yangu
jamani nimeogopa mm namuota mume wangu na msichana wangu kama mala mbili nawaota au kweli
Mm niliota napigana na mchepuko wake nilimuachia mm sitaki shobo
Asalaam aleikum shekhe...mimi nina mandoto magum nipataje msaada wakutafsir
Mh jamani huu ukeweza nahs ndio umeshika Hatamu hasa kufanyiana ubaya mugu tustir wajawako.
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatu. Kuota unakabiliana na wachawi na uku ww ukiwa unapapatua kusoma ayatul qursiy lkn unahisi mdomo unakua mzito lkn mdomo unapokua mwepes tu unakua unashinda
Da!! Hyo imenikuta saana
Mm nimeona nimefiwa na mume mwangu nimelia sana usingizin nin maana yake, yaan nahis maumivu makal hata nijipo amka
Kaka Sheikh Assalam aleykumu Mimi uwago naota mambo ya kitendo can ndowa nanikiamka najikuta nimetokwa namaji yakiume maranyingi Sheikh ntasaidi aje?
sheehe mm nimeota naishi na mwana mke jana
Mbona huendi kwny madam yenyew
هذا ليس تعبير للرأيا إنا هو مجرد نقل من الكتب، و فيه فرق شاسع بين هذا و هذا.
muna zungumzia Uchawi tu iman ya Allah imekutokeni ktk nyoyo zetu Hatar kubwa, Allah apendi watu km hawa moton daima
Ndio alivokwambia kua motoni daima acha kubashiria wt moto au pepo haifai .allahu aalam
ALLAH atunusuru sote tusiombeane mabaya inshaallah
Shekhe mimi cnaga kawaida ya kuota kabisa itokee sans lkn kawaida yngu ndoto kwangu ni km mtu anayetafuta pesa kwa jasho jing sana yaani namaanisha ciotag cjui kwann
Bc upo n matatixo cox akuna m2 asoota
Itakuwa wamekufunga kiushirikina.
Yaani nimesema hvyo sbb gn cna kawaida ya kuota mara kwa mara itokee sana ndo naota ila hta km wamenifunga wanajichosha tu km mambo yngu yanaenda Alhamdulillah cna kuumwa umwa hvyo namshukuru Allah mengine ya kawaida tu hyanisumbui ila km ntaona utofauti bac ntatafuta msaada zaid lkn kwa sass cjaona athar yoyote na niko hvyo toka nakuwa mpk hv
@@tiffahjuma1970 🙏
Me nahota nafukuzwa na maadui balaa nakuwaacha wanabaki wanaumia afu nafanya mtihani lakn nashinda afu nashindwa maana yake nini
Aswwsheh.miminapenda.kuota.ninimtoto.lakini.sinamtoto.kwenye.ndowayangu
Majibu please
Kama ulishawahi kuota ndoto nzuri zenye tafsir hizo na ukahadithia na huoti tena ufanyeje ili zirudi
Hakuna utabiri wa hali zinazo jitokeza katika ndoto siku hizi
Umesoma lkn au unakosoa tu
asalam alaikum warahmat allah wabarakatu mim shekhe hupenda kuota mvuwa lakin muwa hiyo hainyesh ila mbingu imekasirika upesa marad lakin mim nimeshikwa na oga nimelal huku naliya nimejifunika shuka na kusema subuhana llah sijuw inaashiriya nin
hio ndoto inakujulisha kiama kipo karibu
@@hassanmohammed2798😂😂😂😂
Mimi naota panya kisha gafla nikiwa kazini naiona kisha gafla siyoni tena.
Panya ktk ndoto ni mwanamke
Et mkewangu kaota yamekuja maji mengi yakawachukua watu ote yalipokauka akaamka
Unaongea sana hauelewek...
Assalam aleikum warahmathulah wabarakat kaka naomba number yko tafadhali
Mimi tondo Zangu naotaga Sana maji nini maana yake
Mm shee nilnunua shamba lkn mpka Sasa cjaktiwa shamba yn eka zng hawanidai ht shiling moja nililpa kila kitu mpka karatsi y shamba nko nayo je nifnyj mm
Asalaam aleykum sista hali yako duh pole sana shamba uliuuziwa wapi . Labda upate ushauri . Ila allah atakujaalia mwombe allah . Karatasi zote si zipo
😢😢😢😢😢😢😢😂
Nimeota nipo hotelini watu wamejaa mpaka nimekosa huduma
😄😄
😂😂😂hatr kijana kaaa
Na je ukiota wapanda mlima wa mabonde ina ishara gani
Hiyo nilisikia shekhe moja akiitafsiria kwamba utakuja kumiliki mali baadae.
Mi naota ndoto kila cku tofauti tashika lipi
hahahaha
Mm shekh nikipata mchumba akisema uwatka kuniowa usiku naota taar tunafunga ndoa badae hakuna muelekeo wote
Pole sana
Naota nafanya mapenziii na napaa juu nini manake
Wee tafadhal nenda ukaombewe...ixo n dalili x kuwa upo n shetani
😂
😂😂😂😂😂😂
Sheikh eti mie nimeota rafikiangu alie fariki amechaguliwa kawa rais wanchi namm nikawa makamu warais hii ndoto inamaana gani
Umekwenda
Inamaanisha utapata cheo ktk kazi au uongozi wa jambo fulan
M.a sheikh mm nimeotaa nimeolewaa na tenaa nikajaa kuotaa nimejifungua kikweli mm bado hetaa sijaolewa niko 17
Ww ni makamu wake karibuni unakufaa
@@munaali7718 una jini mahaba na teari ushafunga nae ndoa