NDOTO HII NI HATARI | KAMA UPO NDOANI AU UNAMCHUMBA | UKAOTA NDOTO HII | JIWAHI MAPEMA | SHEIKH SAID

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 окт 2022

Комментарии • 73

  • @stylistofficial1405
    @stylistofficial1405 Год назад +3

    Shekh uwe unaenda kwenye point manake unaenda sana nje ya point

  • @user-cx3tp1lw7g
    @user-cx3tp1lw7g Месяц назад

    Sheikh jitaidi unatafsiri vizuri usiwi unatoka indeed ya maada kabisa

  • @MohamedMohamed-fc7vh
    @MohamedMohamed-fc7vh Год назад +1

    Ahsante Ila jitahidi Sana kwenye ufafanuzi Sheykh

  • @ablatuny5406
    @ablatuny5406 Год назад +1

    Mashallah tabaaraka rahman shukran sana nimepata faida Alhamdulillah

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 Год назад

    Shukran sheykh

  • @user-cx3tp1lw7g
    @user-cx3tp1lw7g Месяц назад

    Sheikh kwa kweli unapo adisi jitaidi tafsiri zako ufiki kwenye madam kabisa

  • @harountaslima2949
    @harountaslima2949 Год назад

    Kheir inshaa Allah

  • @zainabjuma7821
    @zainabjuma7821 Год назад

    Mimi Huota Wanaume wawili waliofanana na mume wangu na mume wangu ila hupigana na mmoja wao Vita vikali. Na Mara nyingine huota mume wangu namshabikia kumpeleka kufunga ndoa na mwanamke nsifikia kumjua.

  • @mzee3280
    @mzee3280 Год назад +2

    Maelezo nimengi Bala ya kwenda kwenye mada ndiemana watu wengi watizami tafsiri zk badilika

  • @mohamedayosi1279
    @mohamedayosi1279 Год назад +1

    Assalaamu alaykum ,,,,,,,,,mimi mala nyingi huwanaota ndoto zinazohusu nazi yaani naokota au namenya au mnazi umedondoka na mfanowake,,,,,,,,

  • @muznehaji4704
    @muznehaji4704 9 месяцев назад

    Mme wngu alisafiri, huko alipokuwa aliota mimi mke wake mdogo nimejifungua mtoto wa kiume amefanana na mtoto niliekuwa nae saiv... Hapa nilipo nanyosha pia ni mtoto wa kiume

  • @khadijaathumanikhadijaathu9031

    Shukuran sana

  • @fatmamussa6134
    @fatmamussa6134 Год назад +1

    Me Naomba nisaidie kujua iyo ndoto ya nusu yaani nusu usingizi nusu kama hujalala maana huwa inanitokea Mara nyingi Sana. Au nikutafute kwenye simu?

  • @ashaamini8384
    @ashaamini8384 Год назад +8

    Mm nilikuwa nikisafil namuota mmewangu anamwammke mwengine Tena nawakuta kwangu sinikaja kuwafuma siku Moja live mazingira ya nyumbn kwangu nilimuachia Allah tu.

    • @tunajaribu
      @tunajaribu Год назад +1

      Mwe mwe

    • @kayitesinanas4417
      @kayitesinanas4417 Год назад +1

      Pore sana Ndugu yangu

    • @najmaawadh1359
      @najmaawadh1359 Год назад +1

      😅😅😅😅😅yani pole c kma nachka kwa ubya lkni yko imefanana n yangu

    • @hawasaidi5259
      @hawasaidi5259 Год назад

      jamani nimeogopa mm namuota mume wangu na msichana wangu kama mala mbili nawaota au kweli

    • @zaitunibendera7988
      @zaitunibendera7988 8 месяцев назад

      Mm niliota napigana na mchepuko wake nilimuachia mm sitaki shobo

  • @qayllahkusaga1207
    @qayllahkusaga1207 Год назад

    Asalaam aleikum shekhe...mimi nina mandoto magum nipataje msaada wakutafsir

  • @user-ln8ug9xg9o
    @user-ln8ug9xg9o 4 месяца назад

    Mh jamani huu ukeweza nahs ndio umeshika Hatamu hasa kufanyiana ubaya mugu tustir wajawako.

  • @salminomary8722
    @salminomary8722 Год назад +1

    Assalam alaykum warahmatullah wabarakatu. Kuota unakabiliana na wachawi na uku ww ukiwa unapapatua kusoma ayatul qursiy lkn unahisi mdomo unakua mzito lkn mdomo unapokua mwepes tu unakua unashinda

  • @SadaMahamudu
    @SadaMahamudu 3 месяца назад

    Mm nimeona nimefiwa na mume mwangu nimelia sana usingizin nin maana yake, yaan nahis maumivu makal hata nijipo amka

  • @LwabosheEliakeem-ej9es
    @LwabosheEliakeem-ej9es 10 месяцев назад

    Kaka Sheikh Assalam aleykumu Mimi uwago naota mambo ya kitendo can ndowa nanikiamka najikuta nimetokwa namaji yakiume maranyingi Sheikh ntasaidi aje?

  • @KundeBoy-ps9cl
    @KundeBoy-ps9cl Год назад

    sheehe mm nimeota naishi na mwana mke jana

  • @user-zx3tu8cb7l
    @user-zx3tu8cb7l 2 месяца назад

    Mbona huendi kwny madam yenyew

  • @user-jl9sl2gb9w
    @user-jl9sl2gb9w Год назад +1

    هذا ليس تعبير للرأيا إنا هو مجرد نقل من الكتب، و فيه فرق شاسع بين هذا و هذا.

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Год назад +2

    muna zungumzia Uchawi tu iman ya Allah imekutokeni ktk nyoyo zetu Hatar kubwa, Allah apendi watu km hawa moton daima

    • @salamaabdullah2007
      @salamaabdullah2007 Год назад +1

      Ndio alivokwambia kua motoni daima acha kubashiria wt moto au pepo haifai .allahu aalam

    • @fatumakissoky2504
      @fatumakissoky2504 10 месяцев назад +1

      ALLAH atunusuru sote tusiombeane mabaya inshaallah

  • @tiffahjuma1970
    @tiffahjuma1970 Год назад +1

    Shekhe mimi cnaga kawaida ya kuota kabisa itokee sans lkn kawaida yngu ndoto kwangu ni km mtu anayetafuta pesa kwa jasho jing sana yaani namaanisha ciotag cjui kwann

    • @ramearfe9509
      @ramearfe9509 Год назад +1

      Bc upo n matatixo cox akuna m2 asoota

    • @abdulzackawami7780
      @abdulzackawami7780 Год назад

      Itakuwa wamekufunga kiushirikina.

    • @tiffahjuma1970
      @tiffahjuma1970 Год назад

      Yaani nimesema hvyo sbb gn cna kawaida ya kuota mara kwa mara itokee sana ndo naota ila hta km wamenifunga wanajichosha tu km mambo yngu yanaenda Alhamdulillah cna kuumwa umwa hvyo namshukuru Allah mengine ya kawaida tu hyanisumbui ila km ntaona utofauti bac ntatafuta msaada zaid lkn kwa sass cjaona athar yoyote na niko hvyo toka nakuwa mpk hv

    • @abdulzackawami7780
      @abdulzackawami7780 Год назад

      @@tiffahjuma1970 🙏

  • @rivinerogersrovine1391
    @rivinerogersrovine1391 Год назад

    Me nahota nafukuzwa na maadui balaa nakuwaacha wanabaki wanaumia afu nafanya mtihani lakn nashinda afu nashindwa maana yake nini

  • @mamysarah7071
    @mamysarah7071 Год назад

    Aswwsheh.miminapenda.kuota.ninimtoto.lakini.sinamtoto.kwenye.ndowayangu

  • @saumuzuberi734
    @saumuzuberi734 Год назад +1

    Kama ulishawahi kuota ndoto nzuri zenye tafsir hizo na ukahadithia na huoti tena ufanyeje ili zirudi

  • @arafathswaleh
    @arafathswaleh Год назад

    Hakuna utabiri wa hali zinazo jitokeza katika ndoto siku hizi

  • @asyaali2466
    @asyaali2466 Год назад

    asalam alaikum warahmat allah wabarakatu mim shekhe hupenda kuota mvuwa lakin muwa hiyo hainyesh ila mbingu imekasirika upesa marad lakin mim nimeshikwa na oga nimelal huku naliya nimejifunika shuka na kusema subuhana llah sijuw inaashiriya nin

  • @twainego6059
    @twainego6059 Год назад +1

    Mimi naota panya kisha gafla nikiwa kazini naiona kisha gafla siyoni tena.

  • @ramadhanmohammd6057
    @ramadhanmohammd6057 Год назад

    Et mkewangu kaota yamekuja maji mengi yakawachukua watu ote yalipokauka akaamka

  • @kuruthumulikomboleka1735
    @kuruthumulikomboleka1735 11 месяцев назад +1

    Unaongea sana hauelewek...

  • @khadujshajjarah6907
    @khadujshajjarah6907 Год назад

    Assalam aleikum warahmathulah wabarakat kaka naomba number yko tafadhali

  • @sabirnaramadanramadanomar
    @sabirnaramadanramadanomar Год назад

    Mimi tondo Zangu naotaga Sana maji nini maana yake

  • @aysha6284
    @aysha6284 Год назад

    Mm shee nilnunua shamba lkn mpka Sasa cjaktiwa shamba yn eka zng hawanidai ht shiling moja nililpa kila kitu mpka karatsi y shamba nko nayo je nifnyj mm

    • @farhaadkassim4168
      @farhaadkassim4168 Год назад

      Asalaam aleykum sista hali yako duh pole sana shamba uliuuziwa wapi . Labda upate ushauri . Ila allah atakujaalia mwombe allah . Karatasi zote si zipo

  • @KundeBoy-ps9cl
    @KundeBoy-ps9cl Год назад

    😢😢😢😢😢😢😢😂

  • @allymloti7738
    @allymloti7738 Год назад +1

    Nimeota nipo hotelini watu wamejaa mpaka nimekosa huduma

  • @cutesuu7255
    @cutesuu7255 Год назад

    Na je ukiota wapanda mlima wa mabonde ina ishara gani

    • @fatamb2187
      @fatamb2187 Год назад

      Hiyo nilisikia shekhe moja akiitafsiria kwamba utakuja kumiliki mali baadae.

  • @lesusi7872
    @lesusi7872 Год назад

    Mi naota ndoto kila cku tofauti tashika lipi

  • @aishasuley8668
    @aishasuley8668 Год назад

    Mm shekh nikipata mchumba akisema uwatka kuniowa usiku naota taar tunafunga ndoa badae hakuna muelekeo wote

  • @msonjomaulid6068
    @msonjomaulid6068 Год назад

    Naota nafanya mapenziii na napaa juu nini manake

  • @arabifarsi5978
    @arabifarsi5978 Год назад +1

    Sheikh eti mie nimeota rafikiangu alie fariki amechaguliwa kawa rais wanchi namm nikawa makamu warais hii ndoto inamaana gani

    • @ndayambajefikirini7252
      @ndayambajefikirini7252 Год назад

      Umekwenda

    • @khamisjihadi9833
      @khamisjihadi9833 Год назад

      Inamaanisha utapata cheo ktk kazi au uongozi wa jambo fulan

    • @munaali7718
      @munaali7718 Год назад

      M.a sheikh mm nimeotaa nimeolewaa na tenaa nikajaa kuotaa nimejifungua kikweli mm bado hetaa sijaolewa niko 17

    • @jabaruti001
      @jabaruti001 Год назад

      Ww ni makamu wake karibuni unakufaa

    • @bernitoferej2200
      @bernitoferej2200 Год назад

      @@munaali7718 una jini mahaba na teari ushafunga nae ndoa