KAMA UNADAI NA HULIPWI DENI LAKO | UNADAIWA NA HUNA UWEZO WAKULIPA | AYA HII NDIO MKOMBOZI WAKO.
HTML-код
- Опубликовано: 2 авг 2020
- KAMA UNADAI NA HULIPWI DENI LAKO | UNADAIWA NA HUNA UWEZO WAKULIPA | AYA HII NDIO MKOMBOZI WAKO | FUATA UTARATIBU HUU ALLAH ATAKUKAMILISHIA HAJA ZAKO | SHEIKH SHARIF ISLAM.
#MasjidMtoroTv #NasahaZanguTv #SharifuIslam
ماشاءاللہ ماشاءاللہ ماشاءاللہ
الحَمْدُ ِلله
Dua hizi zanisidia saana.mashaallah Allah akupe Heri duniani na ahera kwakutujuza
Shukuran shekhe kwadasa lako Allah akulipe akupe maisha malefu inshallah
Waleykum musalaam yani nilikonda kwa kukosa darasa zako mungu akulipe kila la heri
Asante_Allah_akulipe_nimefurahi_sana_mimi_na_amin_mnoo_QUR_An
JazakaAllahu khairan sheikh
shukran allah azidi kubaarik kazi zenu
Shukran wajazakallah kheir shekh
Shukurani shekhe wetu mungu akuweke zaidi
MashaAllah shukrani
Shukrani ndugu.
JAZAKALLAHU KHAYRAN.
Baraka Allahu fiiQ Yaa Akhiiy.
JazakaLLahu Kheir
Jazakallah khairan
Jazakallah kheir
Laisalaha mindunillah kaashifa.
❤
Jazakalahu heri
Jazakallahu khayr
A aleikum Surtul Najm aya ya 58
Shukran sheikh
Shukran
Masha Allah
Jazakallah sheikh
Muda gani usiku au mchana mie kuna watu nawadai mno
Shukran ALLAH akulipe
Mashallah
جزاك الله خيرا
Shukurani sana
Mimi namdai Mariana Amosi milioni moja na laki tatu ataki kunipa sijawahi kuumia moyo kama uyu dada alivyo nifanyia...
Atakulipa kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu labda hajajaaliwa kupata
Jazakha kheri
Asalam aleykum shehe tuandikie no yako na huduma unafanyia wap nina mengi yanayonifika
Salam alekum mm namdai mtu pesa nying sana,naananizunguza mno nikimtumiy sms hajib nikimpigia hapoki sim,mimi nimkristuo hata sijui nifanye nn naomba nisaidiy shekhe
Nitafute kwa Facebook nikupe mwelekeo
@@wakiomwachofi844 watumiya jina gani
Agnes Wakio with orange profile picture
@@wakiomwachofi844 ok
@@wakiomwachofi844 sikuoni pia nataka unisaidie ulibadilisha profile au vipi?
Iko Aya namba ngapi katika sura gani Sheikh wangu
ni surat najmi aya za mwishoni ivi
Nitakupata aje nikona mtu hamechukuwa pesa yangu na wanaongea vibaya plz nisaidie
Shukran