TUMIA MAJINA 99 YA ALLAH KUFUNGUA MAMBO YAKO ~ KUPITIA VITANGA VYAKO VYA MIKONO VIWILI ~ SH: RAJAB S

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 ноя 2022

Комментарии • 109

  • @SekieteAllyhemed-bv9kl
    @SekieteAllyhemed-bv9kl Час назад

    Shukrani shekhe Allah akujalie kher

  • @Isihaka-mi9oi
    @Isihaka-mi9oi 2 месяца назад

    Jazaka Allah khaira

  • @ndayambajefikirini7252
    @ndayambajefikirini7252 Год назад +11

    Allah akulipe kila lakheri niliwahi fatilia muongozo wako ulio tufundisha wa surat iklas kwakweli nimujarab

  • @user-kf3im1bn4c
    @user-kf3im1bn4c 3 дня назад

    Ameen mola akujaze

  • @sukynerally3509
    @sukynerally3509 Год назад +5

    Jazakarau kher

  • @Isihaka-mi9oi
    @Isihaka-mi9oi 2 месяца назад

    Jaza ka Allah khair

  • @mwangazapangras7882
    @mwangazapangras7882 7 месяцев назад +1

    Mashallah Allah akufanukie zaidi

  • @lujain1567
    @lujain1567 Год назад +15

    Kidole gumba : alfatah (489)
    Kidole cha shahada : alwahab (14 )
    Chini ya alfatahu : arrazak( 308)
    Chini ya ya kidole cha shahad ,kidole kidogo : alghaniu (1060 )
    Kuandika : anza na al
    Kusoma : sema ya …..

    • @rajabsalimalqushairiyyu7023
      @rajabsalimalqushairiyyu7023 Год назад +1

      Mashaaaaallwahh

    • @shuaibkassim5650
      @shuaibkassim5650 Год назад +3

      Ass alaykum sheikh sijaelewa naomba noeleweshwe hapo kwenyo kutamka mbona namba zinapishana na umesema tutamke kwa pamoja mf alfatah 489...alwahab 14 nikisoma kwa pamoja si itakuwa nimetamka sawa kwa majina yote ? Au nikifika kumi na nne ya alwahab nisiitamke tena niendelee na hayo mengine? Yaani nitakua napunguza kwa idadi ya kila jina kulingana na namba yake ..samahani km nimekusumbua ...nahitaji sana ..natanguliza shukrani zangu ..na Allah s.a akulipe zaidi na zaidi inshaAllah

    • @arafabinego
      @arafabinego Год назад +1

      @@shuaibkassim5650 Masha Allah

    • @halimababz5749
      @halimababz5749 Год назад +1

      ❤❤❤❤❤❤

    • @rajabsalimalqushairiyyu7023
      @rajabsalimalqushairiyyu7023 Год назад

      Naaaaam

  • @AdamYussuf-bd6sh
    @AdamYussuf-bd6sh 2 дня назад

    Allaah akuongoze kutimiza niya yako kuwa muislamu kwani ni dini iliyo ridhiwa na allaah na allaah akupe nuru ya elimu ufahamu ibada inavyo swaliwa.

  • @binthatv2794
    @binthatv2794 Год назад +4

    Mansh'Allah shukran

  • @issanduwayo8090
    @issanduwayo8090 Год назад +2

    Alhamdulillah

  • @user-pd1bj6go7l
    @user-pd1bj6go7l 3 месяца назад

    ❤❤❤❤👏👏👏👏🤲🤲🤲

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Год назад +4

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Jazzaka Allahu Khairan

  • @rhma6073
    @rhma6073 Год назад +3

    Allah akuzidishie

  • @khadijaathumanikhadijaathu9031
    @khadijaathumanikhadijaathu9031 Год назад +3

    Amiin

  • @asiyajuma3135
    @asiyajuma3135 Год назад +2

    Allahu akbar🤲🤲

  • @inehaji9661
    @inehaji9661 Год назад +3

    Amin Amin mungu akupe umr mref wenyemanufaa

  • @malimbikaelectricaltv9321
    @malimbikaelectricaltv9321 Год назад +3

    Allah awalipe heli wote

  • @nasserabdallah5750
    @nasserabdallah5750 Год назад +1

    Jazzakka Allah khyern 🤲❤🤲

  • @user-pd1bj6go7l
    @user-pd1bj6go7l 3 месяца назад

    Napend.musrim.san😢😢😢nataka.kuw.musrim.unisoh.korohan

  • @majomasliman7856
    @majomasliman7856 Год назад +3

    Asante sana sheikh Allah akulipe pepo

  • @aminajuma9655
    @aminajuma9655 Год назад +3

    Mashaa llah ALLAH akujaalie Mwisho mwema shekh.
    🌹🌹🌹🥀🥀🥀🌷🌷

  • @khadijaathumanikhadijaathu9031
    @khadijaathumanikhadijaathu9031 Год назад +4

    Mashaallah shurani sana shehe wetu

  • @yusufally2311
    @yusufally2311 Год назад +1

    Shukran zajakalahukheiryy

  • @zulficarbacarsuale6877
    @zulficarbacarsuale6877 Год назад +2

    Mashallaah

  • @ahmedsharuka1227
    @ahmedsharuka1227 Год назад +1

    JazakaAllah

  • @salimashambi7047
    @salimashambi7047 Год назад +3

    Shekh mashaa llah ALLAH umenifumbua kichwa

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 Год назад +1

    Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh. Allah akujaze kheri innshaallah kwa darasa la kipekee kwa hakika sijawai sikia ila kwako Sheikh. Allah akupe wepesi katika harakati hizi za kheri innshaallah.

  • @halimababz5749
    @halimababz5749 Год назад +1

    Wow lovely ❤❤❤

  • @salamasongoro520
    @salamasongoro520 Год назад +1

    Asnt shekh Allah akulip kheri

  • @shadyabdallah7247
    @shadyabdallah7247 Год назад +3

    Mashallah tunandika kwa kiarabu au hata kwa kiswahili

  • @mulhatfamau6811
    @mulhatfamau6811 Год назад +1

    Masha Allah

  • @dullaseif8742
    @dullaseif8742 Год назад +1

    Aslm alykm warhmatullah ustadh,, shukran Kwa Muongozo wa hii mada ya Majina ya Allah,,ila swali umesema ukishatawadha Alf unaandika hyo majina manne katka kiganja Cha mkono wa kulia je Kuna umuhimu wa kuandika hvyo katka kiganja maana mm kuandika na mkono wa shoto cwez ustadh

  • @amina2044amin-zv2gh
    @amina2044amin-zv2gh 10 месяцев назад

    ❤❤🤲🤲🤲

  • @zuberimasoud5728
    @zuberimasoud5728 Год назад +3

    Shukran Sheykh, Allah akubaarik kwa kutupa pasword. Kazi kwetu tu

  • @asanakanda7744
    @asanakanda7744 Год назад +4

    Asalam alaykum warahmatulah wabarakatuh mbona kila jina lina hidadi yake sasa tukisoma kwa pamoja inakuwaje?

  • @user-eq9sh1nf5s
    @user-eq9sh1nf5s 7 месяцев назад

    Ahsante sheikh

  • @wonderpersonhb3551
    @wonderpersonhb3551 Год назад +3

    Mashallah tunafaidik weng
    Nimefuatilia vzur darsa za nyuma na nilipga yaseen kazn kwangu asbuh nkakuta amekufa paka mkuubwa😥

  • @zainabissa7851
    @zainabissa7851 Год назад +2

    Asalam alaykum naomba namba ya shekh

  • @noorynmohammedy6063
    @noorynmohammedy6063 Год назад +1

    Mbona mm mikono yote nina harama ya M

  • @zainabumavura4270
    @zainabumavura4270 Год назад +1

    asalam alaykum shekh umesema ifsfi ya kilajina je nikitaja.kwa mpangilio huo nitapata idadi ya kila moja kama ulivyotaja alfattah489alwahab14 alrazzak 308 na alghsniyyu 1060? au hapo inakuaje

  • @firstlady9848
    @firstlady9848 Год назад +1

    Naandika kitunguu ama kiarabu

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa7229 Год назад +1

    Man Sha Allah Tabaraka Allah🙏.Ila sheik nimejiangalia mm kwa kweli sina hizo namba na je naruhusika kuomba kwa njia hio?

    • @madarakamarumbo6102
      @madarakamarumbo6102 Год назад

      Lakini vidole si unavyo? Unasoma. Lengo ni hiyo alkar. Soma hayo majina kwa kifuatisha. Kuna mtu hata mkono hana atafanyaje? Lengo ni kusoma kufuatisha utaratibu

    • @muhinanjowa7229
      @muhinanjowa7229 Год назад

      @@madarakamarumbo6102 sio kwamba simuombi Mwenyezi Mungu la,njia ni nyingi na dua ni nyingi ila kwa mfumo wa huyo sheik ametumia nambari 81 koshoto na 18 kulia ili upate majiba ya Allah.Ila Shukran 🙏

  • @sfiaalanazi5479
    @sfiaalanazi5479 Год назад +1

    Asalam alykum ustadh samahani kuandika haya majina kwa viganja tuna tumia wino wa zafran ama wino wa Kalamu??? Tafadhali ustadh.

  • @claudiabakisa8052
    @claudiabakisa8052 Год назад +4

    Hayo majina unaandika kwa kiswahili au kiarabu?

  • @firstlady9848
    @firstlady9848 Год назад +1

    Kwa maandishi ya kiarabu ama kizungu

  • @rajabsalimalqushairiyyu7023
    @rajabsalimalqushairiyyu7023 Год назад +4

    السلام عليكم ورحمة الله وبركاته
    الحمد لله رب العالمين والصلاة والسلام على رسول الله محمد ابن عبد الله القاءم بحقوق الله ماضاقت الا وفرجها الله اما بعد:
    Nianze kwa kutoa ufafanuzi wa maswali
    Kuhusu ambae hana zile alaaama kwenye mikono
    Jibu:wote hizo alama tunazo,
    -alieuliza he naweza kuandika kwa lugha gani!
    Jibu: lugha ni kiarabu kama ilivyoshuka QURAAN kwa kiarabu
    - idadi ya kusoma 1871
    -majina yenyewe
    الفتاح( MWENYE kufungua)
    الوهاب ( mpaji, mwenye kutoa)
    الرزاق ( Mwenye kutoa rizk na sababu zake)
    الغني(MWENYE kuweza ,Tajiri)

  • @user-pd1bj6go7l
    @user-pd1bj6go7l 3 месяца назад

    Chehe.nataka.kuw.musrim.cheh

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 Год назад +1

    Huu Uislaam Sasa Umevamiwa
    na Vijana wa Kisufi Mwaka huu tutaona mengi

    • @omarymwinyi9684
      @omarymwinyi9684 Год назад

      Sheetwan ww

    • @ramadhanimtetu7246
      @ramadhanimtetu7246 Год назад +1

      @@omarymwinyi9684
      Allah akuongoze katika kuufahamu
      uislam

    • @zainabumavura4270
      @zainabumavura4270 Год назад

      hujajielew

    • @aminashabangonzi4020
      @aminashabangonzi4020 Год назад

      @@ramadhanimtetu7246 msiufany Uislam kuwa mgumu sasa unadaut had ktk kumtegemea Allah unahitj ategemew Nan sasa

    • @ramadhanimtetu7246
      @ramadhanimtetu7246 Год назад

      @@aminashabangonzi4020
      hapana sio hivyo nikiwa kama Muislam Niliekulia ktk Kuisoma dini yangu hii
      sipendi wapiga dili wautumie uislam kufikia Malengo yao
      fahamu dini hii Utaratibu Wote wa ibada
      Una maelekezo maalum kutoka kwa Mtume saw au Maimamu wetu wa Mwanzo kama kina Imamu Shafi na nk
      Ikumbukwe dua ni ibada -;
      Sasa haya mambo ya kuandika
      majina matukufu kiganjani yanatokea wapi kama sio (mambo ya Mchongo)
      alafu Mwanachuoni yupi wa kale
      alifundisha uombaji wa Yaa Raazaq
      Ya ya wahaabi .
      Lazima useme Yaa Razaaq Uruzuqni
      (Ewe mwenye kutoa Riziqi Niruzuqu )
      Sio yaa Razaaq Yaa Qayum yaa ...
      Sio kweli
      Kikubwa hawa Vijana ni Waganga na
      Sisi Wazaramo tunalonga hivi-;
      Kwa Mganga hakuishi nyimbo
      Na Mimi si Mjinga ni Msomi wa ngazi fulani ya Elimu Ya Kiislam nimehitimu
      Nchini ALGERIA
      Allah atuhurumie .

  • @florencenuru4687
    @florencenuru4687 Год назад

    Waeza n8ombea dua ata kama mmi sio Muslim

  • @rajabsalimalqushairiyyu7023
    @rajabsalimalqushairiyyu7023 Год назад +1

    Mfano wa michoro katika mkono wa kulia( ١٨)
    Mkono wa kushoto (٨١)
    Ukizijumlisha ٩٩= ١٨+٨١