Alhamdulillah Jazakallahu khauran ALLAH akujalie umli mlefu na afya na hiki unachokitoa iwe ndo sababu ya kukuweka peponi unasaidia wengi sn ALLAH atakulipa
Ni maoni yangu tu mashekhe wetu nyinyi mnakosea kwanza hiyo salam tu 5 nabadala ya kwenda kwenye kusudio kwanza maelezo mengi sana na kingine kikubwa zaidi mnajisahau kwenye tiba zenu mnazofundisha kuwa mnao wafundisha hawakuso mbatwambia tusomee surat bakra 100 surat jinni 77 ayatulkurusiyu 1000 umswalie mtume mara 3000 sasa wengi hatujaso hatuzijui hizo na muende kwenye pwenty musitoe mawaidha
chukuwa majari 21 yasio tundu yaponde tia kwenye ndoo ya maji somea ayat kursi falaqi nnasi sutat kaafirun ×7 au 11 au 21 kwa ufupi wtri kila zikiwa nyingi vizuri fanya.ndi maji yako ya kunya na kujimwagia lakini jimwahie sehemu tohara utakojowa sana usiogope
Tafuta majani ya mkunaz 7 ukipata mabichi ni bora zaidi kisha yaponde kwa jiwe( chukua mawe mawili jani liwe kati ndo uliponde ni bora sana hii) kisha tia kwnye maji tikisa vizuri yatakua na povu tayari kwa kutumia bila kusahau na visomo vya kubatilisha uchaw ndan yake ni muhimu ili kuwa na nguvu zaidi ukikosa mabichi na ukapata ya unga bac chemsha na unywe Biidhnillah Utapona
maaashaallah. somo zuri sana.je naweza kutumia mkunazi kwa maralia sugu .
Allah akuzidishie elimu na umri mrefu.
Masha Allah, Sheikh mungu akuzidishie ilmu yenye manufaaa
Allahumma Ameen,,,,,,Mungu akupe uhai mrefu na afya tele
E mungu akujalie maisha marefu vidonda vinanitesa sna mpka nashindwa kutembea vinashuka Hadi sehemu ya haja ndogo nakwenda tumia sasa
❤Alhamdulillaah uyasemayoo yotee mashaAllaah sahib barrakkaah Allaahu fiek sheikh sheriff majini
Namshukuru mungu kwaajili yako mungu akubariki sana n🙏🙏
Shukrani sheikh , Allah akuzidishiye ilmu akupe afya nzuri 🤲🤲
@a
Mashaallah allah akubarik
Jazaka llahu khaira
MashaAllah nauliza sheikh naweza kutumia mkunazi uliokaushwa na kusagwa au mpaka uwe mpya
Kma umekaushwa na kusagwa ni bora kuchemsha
Allah Akubariki shekhe
Alhamdulillah
Jazakallahu khauran ALLAH akujalie umli mlefu na afya na hiki unachokitoa iwe ndo sababu ya kukuweka peponi unasaidia wengi sn ALLAH atakulipa
Mashaallah
Shukran maalim
Alhamdulillah
Aslm alkm ww.... jazakallah kheir 🙏
Barakalahu fiku ya shekh
Asante sana shekhe Allah akujaalie kheri zake
Ni maoni yangu tu mashekhe wetu nyinyi mnakosea kwanza hiyo salam tu 5 nabadala ya kwenda kwenye kusudio kwanza maelezo mengi sana na kingine kikubwa zaidi mnajisahau kwenye tiba zenu mnazofundisha kuwa mnao wafundisha hawakuso mbatwambia tusomee surat bakra 100 surat jinni 77 ayatulkurusiyu 1000 umswalie mtume mara 3000 sasa wengi hatujaso hatuzijui hizo na muende kwenye pwenty musitoe mawaidha
Acha wivuuu
Asalamu.aleykumu.nimekufatiliya.gisiunatufahamisha.sijuwitakupata.aje
MashaAlla mungu akupe umri mrefu
MashALLAH ALLAH barik
Jazakalahu kheri 🙏
❤❤❤❤
Aaaameeeen
😇😇😇😇Love 🤔🤔
Allihamdulilahi
Masha Allah
W/ssalaam warhmatullah
Asalam alaykum
Sheikh utatumia vipi majani ya mkunazi kubatilisha sihri ama hasad tu ambayo umetumiwa miwili?
chukuwa majari 21 yasio tundu yaponde tia kwenye ndoo ya maji somea ayat kursi falaqi nnasi sutat kaafirun ×7 au 11 au 21 kwa ufupi wtri kila zikiwa nyingi vizuri fanya.ndi maji yako ya kunya na kujimwagia lakini jimwahie sehemu tohara utakojowa sana usiogope
Hapa umetupa maeneo maalum labda vidonda vya tumbo au ngozi ila mimi naomba kujua kubatilisha uchawi mwili mzima kwa majani ya mkunazi
Tafuta majani ya mkunaz 7 ukipata mabichi ni bora zaidi kisha yaponde kwa jiwe( chukua mawe mawili jani liwe kati ndo uliponde ni bora sana hii) kisha tia kwnye maji tikisa vizuri yatakua na povu tayari kwa kutumia bila kusahau na visomo vya kubatilisha uchaw ndan yake ni muhimu ili kuwa na nguvu zaidi ukikosa mabichi na ukapata ya unga bac chemsha na unywe Biidhnillah Utapona
ALHAMDULILLAH
Shukran Sheikh. Jazakallahu kheir. Nakuuliza kwa nini ukajita sheikhe majini? Shukran.
Nataka sawa ya timbo na kuala
Hongera.nashukuru.mimi.simuislamu.je.sijui.kusoma.sjui.rukia
Nitafute nikusaidie
Na kama haujui kusoma ruqya utafanyaje?
Je kama ni majani yaliyosagwa inakuwaje??
Chemsha
Kwann upokei cm za wateja
Asante sanaa kaka
ASANTE hapa ninapo ishi kuna mìti miwil ya mkunazi vile ndio kuto kua na elimu jins ya kutumia ASANTE sana
Unafananaje huo mtu ndugu
Hii ni matatizo yapo mengi sana kwa kweli.
Al
Kenya tangu zama hizo mpka waleo maiti lazma tuoshe na majani ya mkunazi
Mashanllah
Safi hiyo mtume s.a.w kaihusia hiyo
FAIDA nyengine za MTI MKUNAZI HIZI HAPA.
ruclips.net/video/YcBYzPwQVZI/видео.html
Alhamdulillah