FAIDA ZA MAJANI YA MKUNAZI | ASALI NA HABBATSAUDA | SHEIKH SHARIFU MAJINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 57

  • @imaninasoro7527
    @imaninasoro7527 4 года назад +5

    maaashaallah. somo zuri sana.je naweza kutumia mkunazi kwa maralia sugu .

  • @yeahsalummasewela580
    @yeahsalummasewela580 3 года назад +4

    Allah akuzidishie elimu na umri mrefu.

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 4 года назад +6

    Masha Allah, Sheikh mungu akuzidishie ilmu yenye manufaaa

  • @samirasaid9176
    @samirasaid9176 Год назад +1

    Allahumma Ameen,,,,,,Mungu akupe uhai mrefu na afya tele

  • @nakshaofficial2817
    @nakshaofficial2817 Год назад +1

    E mungu akujalie maisha marefu vidonda vinanitesa sna mpka nashindwa kutembea vinashuka Hadi sehemu ya haja ndogo nakwenda tumia sasa

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 5 месяцев назад

    ❤Alhamdulillaah uyasemayoo yotee mashaAllaah sahib barrakkaah Allaahu fiek sheikh sheriff majini

  • @jackjoshua3723
    @jackjoshua3723 2 года назад +1

    Namshukuru mungu kwaajili yako mungu akubariki sana n🙏🙏

  • @alllyrics4835
    @alllyrics4835 3 года назад +2

    Shukrani sheikh , Allah akuzidishiye ilmu akupe afya nzuri 🤲🤲

  • @habibtysalim2304
    @habibtysalim2304 4 года назад +2

    Mashaallah allah akubarik

  • @asmamohamed1422
    @asmamohamed1422 4 года назад +2

    Jazaka llahu khaira

  • @ahmedmubareq3228
    @ahmedmubareq3228 4 года назад +5

    MashaAllah nauliza sheikh naweza kutumia mkunazi uliokaushwa na kusagwa au mpaka uwe mpya

  • @rumaukombo6415
    @rumaukombo6415 4 года назад +2

    Allah Akubariki shekhe

  • @salamamohamed9519
    @salamamohamed9519 8 месяцев назад

    Alhamdulillah
    Jazakallahu khauran ALLAH akujalie umli mlefu na afya na hiki unachokitoa iwe ndo sababu ya kukuweka peponi unasaidia wengi sn ALLAH atakulipa

  • @zenahussein9603
    @zenahussein9603 3 года назад +2

    Mashaallah

  • @MsanzuSaid-do9lv
    @MsanzuSaid-do9lv Год назад

    Shukran maalim

  • @abedkarume9088
    @abedkarume9088 3 года назад +2

    Alhamdulillah

  • @afric01
    @afric01 2 года назад +1

    Aslm alkm ww.... jazakallah kheir 🙏

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 Год назад

    Barakalahu fiku ya shekh

  • @rashidmpumu7006
    @rashidmpumu7006 2 года назад

    Asante sana shekhe Allah akujaalie kheri zake

  • @allironjo2698
    @allironjo2698 5 месяцев назад

    Ni maoni yangu tu mashekhe wetu nyinyi mnakosea kwanza hiyo salam tu 5 nabadala ya kwenda kwenye kusudio kwanza maelezo mengi sana na kingine kikubwa zaidi mnajisahau kwenye tiba zenu mnazofundisha kuwa mnao wafundisha hawakuso mbatwambia tusomee surat bakra 100 surat jinni 77 ayatulkurusiyu 1000 umswalie mtume mara 3000 sasa wengi hatujaso hatuzijui hizo na muende kwenye pwenty musitoe mawaidha

  • @abasimavano5311
    @abasimavano5311 Год назад +1

    Asalamu.aleykumu.nimekufatiliya.gisiunatufahamisha.sijuwitakupata.aje

  • @ayushiabubakar1930
    @ayushiabubakar1930 4 года назад +2

    MashaAlla mungu akupe umri mrefu

  • @nasraabdi1529
    @nasraabdi1529 3 года назад +1

    Jazakalahu kheri 🙏

  • @MaynatKhalef
    @MaynatKhalef 2 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 5 месяцев назад

    Aaaameeeen

  • @patrickchance5807
    @patrickchance5807 Год назад

    😇😇😇😇Love 🤔🤔

  • @buyingocatherine2792
    @buyingocatherine2792 3 года назад +1

    Allihamdulilahi

  • @tinahoracio4449
    @tinahoracio4449 4 года назад +1

    Masha Allah

  • @jumaahmad4117
    @jumaahmad4117 4 года назад +1

    W/ssalaam warhmatullah

  • @farhatseif3041
    @farhatseif3041 4 года назад +6

    Asalam alaykum
    Sheikh utatumia vipi majani ya mkunazi kubatilisha sihri ama hasad tu ambayo umetumiwa miwili?

    • @hafsahajiabeid5768
      @hafsahajiabeid5768 2 года назад

      chukuwa majari 21 yasio tundu yaponde tia kwenye ndoo ya maji somea ayat kursi falaqi nnasi sutat kaafirun ×7 au 11 au 21 kwa ufupi wtri kila zikiwa nyingi vizuri fanya.ndi maji yako ya kunya na kujimwagia lakini jimwahie sehemu tohara utakojowa sana usiogope

  • @farhatseif3041
    @farhatseif3041 4 года назад +3

    Hapa umetupa maeneo maalum labda vidonda vya tumbo au ngozi ila mimi naomba kujua kubatilisha uchawi mwili mzima kwa majani ya mkunazi

    • @al-islammuongozo5635
      @al-islammuongozo5635 2 года назад +3

      Tafuta majani ya mkunaz 7 ukipata mabichi ni bora zaidi kisha yaponde kwa jiwe( chukua mawe mawili jani liwe kati ndo uliponde ni bora sana hii) kisha tia kwnye maji tikisa vizuri yatakua na povu tayari kwa kutumia bila kusahau na visomo vya kubatilisha uchaw ndan yake ni muhimu ili kuwa na nguvu zaidi ukikosa mabichi na ukapata ya unga bac chemsha na unywe Biidhnillah Utapona

  • @hafsahajiabeid5768
    @hafsahajiabeid5768 2 года назад

    ALHAMDULILLAH

  • @saqrymo379
    @saqrymo379 2 года назад

    Shukran Sheikh. Jazakallahu kheir. Nakuuliza kwa nini ukajita sheikhe majini? Shukran.

  • @marymwikali325
    @marymwikali325 Год назад

    Nataka sawa ya timbo na kuala

  • @mkalacaroline4089
    @mkalacaroline4089 3 года назад

    Hongera.nashukuru.mimi.simuislamu.je.sijui.kusoma.sjui.rukia

  • @faiqaanwar7268
    @faiqaanwar7268 11 месяцев назад

    Na kama haujui kusoma ruqya utafanyaje?

  • @peterurasa2492
    @peterurasa2492 4 года назад +3

    Je kama ni majani yaliyosagwa inakuwaje??

  • @doreenrobet2391
    @doreenrobet2391 3 года назад +1

    Kwann upokei cm za wateja

  • @javajava3461
    @javajava3461 3 года назад

    Asante sanaa kaka

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane2364 4 года назад +5

    ASANTE hapa ninapo ishi kuna mìti miwil ya mkunazi vile ndio kuto kua na elimu jins ya kutumia ASANTE sana

  • @sudimwatela1116
    @sudimwatela1116 4 года назад +1

    Hii ni matatizo yapo mengi sana kwa kweli.

  • @zahoroahmadi1102
    @zahoroahmadi1102 3 года назад

    Al

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 3 года назад +1

    Kenya tangu zama hizo mpka waleo maiti lazma tuoshe na majani ya mkunazi

  • @pekeetv
    @pekeetv 3 года назад

    FAIDA nyengine za MTI MKUNAZI HIZI HAPA.
    ruclips.net/video/YcBYzPwQVZI/видео.html

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 года назад +1

    Alhamdulillah