dock sheekh wangu bwana waona mbali sana mtoto mzae mwenyewe kisha akudharau hajui anapo kanyanga sasa wwe ulikanyaga kitambo kabla hujamzaa allahu akbaarr.
Mashallaah Dr shulle nimepata faida ya baba yetu adamu kumbe mwenyezi mungu aliangika kabla ya kumuumba yeye kua ampereke peponi kisa afanye kosa achuchwe ndio tumezaliwa sisi nice one mwenyezi mungu akupe Kira la kheri
Ndio muwe Wakristo njia ni moja tu. Yesu Kristo. Na huyo ndio atawahukumu Dunia nzima bila kujali dini ya mtu. Anasema asiyemfuata yeye Yesu tayari ameshahukumiwa. Saa imekwisha rudini kwa Yesu, kabla hamjachelewa.
@@shabbymakapane1910 المائدة (72) Al-Maaida Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu! Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Kwani anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni Motoni. Na walio dhulumu hawatakuwa na wa kuwanusuru.
@@shabbymakapane1910 المائدة (73) Al-Maaida Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru.
Utaelewa tu hatuna muda wa kubishana na wajinga kama wewe,najua somo limekuingia vizuri maamuzi ni yako imma ubaki na yesu wako wa bandia au uingie kwa uislam dini iliyo ya haki mbele ya Allah.
punguzeni unafki ,wote mmezaliwa dini mmezikuta Islam,ukristo,nani anaweza kusema dini ya haki ni hii hakuna dini mbinguni..zote ni taasisi za watu binafsi.tafuteni pepo njema kwa kutenda yanayompendeza mwenyezi mungu tu.acheni kukashifu watu na imani zao dini zote ni hapahapa duniani
Hapo kwenye lishe ya mama anayenuonye ni kweli kabisa doctor sure , watoto wanateseka Sana ,mama anashindia mihogo jioni anakula chips na Pepsi maziwa yatakua maziwa kweli?
Mash Allah dr sule , ALLAH akujaalie kheri zaidi leo na kesho, nyinyi mnatakiwa kutunzwa kwasababu nyinyi ni watu muhimu sana katika dunia
Allah akujengee nyumba dkt Sule, jirani ya mtume Muhammad (s.a.w) peponi. Ameen rabbal alameen.
Ameen Allahuma Ameen
Amin
Amiin
Aamin thuma Aamin
Mashallah Allah akulip kila la kher shekh wet Allah akuhifadh inshallah
Allah akuhifadh doctor nakupenda sana sheikh wangu
Allah akulipe kheri kipenz cha Nabiina Muhamad....
Asalaam alleykum warahmatulah wabaraqatuu Maasha Allah sheikh @sule shukraan jazzakah Allahu kheir barakallahu fik
Na kuelewa mno dokt sulle ❤️👈
ruclips.net/video/d9SF1-KniIg/видео.html
Njoo uone ukubwa namiujiza ya malakul maut
Maashaallh 💕💯 ujumbe umefka huo Allah azidi kukupa nguvu yakuelimisha jamii hvyo hvyo aamin💯💖🙏🙏🙏🙏
MashaAllah yaani mpaka apa doct nakupata mno❤😗
Mashallah doctor sule Allah akubarikie elimu uzidi kutuelimisha na akujaalie kila la kheri duniani na akhera atujaalie pepo tukufu sote Ammeen
dock sheekh wangu bwana waona mbali sana mtoto mzae mwenyewe kisha akudharau hajui anapo kanyanga sasa wwe ulikanyaga kitambo kabla hujamzaa allahu akbaarr.
Huyo ndo dk sule bhana.. Mashaa Allah 😘😘😘💯💯💯
Shukran sana sheikh wangu Allah akulepe mema
Shukrani sheikh sule message delivered yaani 👌👌 mashaa Allah.
Shukran sana nilikuwa cjawahi kusikiya hicho kisa cha nabii ibrahim kwanini tuna mtaja kila swala mashaallah
Mashallaah Dr shulle nimepata faida ya baba yetu adamu kumbe mwenyezi mungu aliangika kabla ya kumuumba yeye kua ampereke peponi kisa afanye kosa achuchwe ndio tumezaliwa sisi nice one mwenyezi mungu akupe Kira la kheri
مشاء للهswadakta jazzakum llahu kheri
Maa shaa Allah Allah akuzidishie in shaa Allah n
Mashaallah! Mungu akuongoze kiongoz we2 napenda San kukuckia
Shukran sana dc sulle nakupenda kwaajili ya Allah
ManshaAllah shukurani Shekhe DC Sule Allah akulipe kheri nasisi Allah atuongoze 🙏🙏🙏
Mashallah
Mzee wa kujilipua a.k.a DK Sulle
🔥 🔥 🔥
Shukraan Sana sheikh jazakallah kher
Mashallah Allah akurinde sheikh
Sheikh nakuelewa sana Ila punguza kujimwambafai.
Maashaallah🙏🙏
Allahu Akbar Allah Akbar Allahu Akbar kweli sheikh wangu
Masha allah allah akulinde
Mashaa Allah
Sheikh yangu mashaallh
Mashallaah ❤
MashaAllah may Allah bless you 😄😄😄😄😄😄😄🕋🕋🕋🕋🕋🕋
Ndio muwe Wakristo njia ni moja tu. Yesu Kristo. Na huyo ndio atawahukumu Dunia nzima bila kujali dini ya mtu. Anasema asiyemfuata yeye Yesu tayari ameshahukumiwa. Saa imekwisha rudini kwa Yesu, kabla hamjachelewa.
Yesu sio Mungu wala mtoto wa Mungu tuwache upotoshaji
Toa Andiko ili tuamini unayo sema.
@@shabbymakapane1910 المائدة (72) Al-Maaida
Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu! Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Kwani anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni Motoni. Na walio dhulumu hawatakuwa na wa kuwanusuru.
@@shabbymakapane1910 المائدة (73) Al-Maaida
Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru.
Ukristo Siyo Dini, Ukristo Ni Ukafiri
Mashallah shekh wetu
Masha Allah do uno vzr
Somo nzur sheh nashukur
Mungu akupe maisha marefu kwa kuendeleza daawah
Shekhe allwa akupe umri mrefu
Mashaallah
Hapo kwa mama anayenyonyesha nimekuelewa vzr sana Dr
Unakuta mama anaamkia uji anaenda sokoni anapigwa jua weee mpaka maziwa yanaganda na ananyonyesa
Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️
Mashallah..mawaidha mazur
Congratulation brother
Mashallah Dr,sule inshaallah Allah tuongeze ktk njia za kheriiiii
Shukran
Mash Allah
Shukrani,umetukumbusha kitu,alhamdullillah.
Insha Allah shikh sulle
ALLAH AKBAR DR SULE UKO VIZURI.ALLAH AKUPE UMRI MREFU
Mansha Allha. Doctor
ruclips.net/video/d9SF1-KniIg/видео.html
Njoo uone miujiza na ukubwa wa malakulmaut
Waislam Neema hz kutoka kwa Allah tuwaombee yalio mama kwa Allah
Allah اکبر
Jaman dini hazitupeleki mbingun ni Yesu ndiye njia sahihi
Utaelewa tu hatuna muda wa kubishana na wajinga kama wewe,najua somo limekuingia vizuri maamuzi ni yako imma ubaki na yesu wako wa bandia au uingie kwa uislam dini iliyo ya haki mbele ya Allah.
punguzeni unafki ,wote mmezaliwa dini mmezikuta Islam,ukristo,nani anaweza kusema dini ya haki ni hii hakuna dini mbinguni..zote ni taasisi za watu binafsi.tafuteni pepo njema kwa kutenda yanayompendeza mwenyezi mungu tu.acheni kukashifu watu na imani zao dini zote ni hapahapa duniani
Kama si hizo dini ulijuaje yesu ndio njia...??
Allahu Akbar
Maashallah nakupenda kweli 🌹
Maashaallah
Masha'allah
MashaAllah 🤣🤣🤣 doctor....
Doctor Sulle for life
Allah Akbar
Mashalla
Maa Shaa Allah 😅😅😅😅😅😅
Maa shaa Allah
Jamani Allah anikutanishe siku na huyu shekhe uso kwa uso hhhhhhhhh Allah akuhifadhi jamani yani nakupe sana kwa ajiri ya Allah
Mashaallah dr sule
Jamni ata km ukiona doge yy zaidii2uuu love u doct❤😀
Heshimu Uheshimiwe Elimu yako kuwa kubwa sio kuwadharau wasio na Elimu
Masha Allah
MashaAllah
Allah swali Ibrahim walahil Muhammed.
manshalah
Mashallah 😍
ruclips.net/video/d9SF1-KniIg/видео.html
Njoo uone miujiza naukubwa wa malakulmaut
Huo sio mfumo mzuri wa Da'awa
Kwanin??
Kwa nn sio mfmo mzur ?????
Njoo na wako ulio sahihi, yy amejitahid na dunia inashuhudia
Allah wakabar
Mashaallah 🙏🙏
Ishaalla mungu akupe maiaha malefu
Shukuran
MashaAllah
Nice
Jazaakallahu khayraa
MA Sha Allah
Masha Allah tabarakallah
Masha Allah ❤️
Ukiwa naakili utaelewa ujumbe wa Leo ni matusi ya Musa kwa Adam .
Maneno mengi uwongo mwingi
waambie hao shehe
Dr sule napenda sana kukusikiliza
Mashallah Allah
Takibilieeeeeeeeee
Yeah
Hapo kwenye lishe ya mama anayenuonye ni kweli kabisa doctor sure , watoto wanateseka Sana ,mama anashindia mihogo jioni anakula chips na Pepsi maziwa yatakua maziwa kweli?
🤣🤣🤣🤣🤣.... Unatiaha mkubwa... Kuna Mzee mmoja kafa kangwata na mbwa wake mwenyewe umkumbuki Jina... Hatar...
Jazakallah kherii Allah akulipe
Maanshaalaa
Mashalah
Sule nakukubari Sana
Msingi wa all 🕋 uli anzishwa na nani?
ruclips.net/video/d9SF1-KniIg/видео.html
Njoo uone miujiza na ukubwa wa malakulmaut
Swadaqta ustadh nabii Ibrahim hata alitaka kujua mungu anaumba vp.Allah akamuuliza kwani huamini.akasema kwann naamini lkn nataka nione ili moyo wangu uone raha utulie. Qur'an 2:260
qu'Allah soit avec vous mon cheikh
Ndio maana mwanangu nampa uji mwepes
Mashallah
Mashalla
Njoo tena Igunga
Mashaallah sheikh