DR. SULLE | HUWEZI KUINGIA PEPONI KWA SHORTCUT | LAZIMA UFATE UTARATIBU HUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 фев 2021
  • DR. SULLE | HUWEZI KUINGIA PEPONI KWA SHORTCUT | LAZIMA UFATE UTARATIBU HUU
    #Masjid_Mtoro_Online_Tv

Комментарии • 217

  • @abdulsaidi7007
    @abdulsaidi7007 3 года назад +23

    Mash Allah dr sule , ALLAH akujaalie kheri zaidi leo na kesho, nyinyi mnatakiwa kutunzwa kwasababu nyinyi ni watu muhimu sana katika dunia

  • @omyguy3066
    @omyguy3066 3 года назад +28

    Allah akujengee nyumba dkt Sule, jirani ya mtume Muhammad (s.a.w) peponi. Ameen rabbal alameen.

  • @mohdsilima8828
    @mohdsilima8828 Год назад

    Mashallah Allah akulip kila la kher shekh wet Allah akuhifadh inshallah

  • @binkhalifa6956
    @binkhalifa6956 3 года назад +16

    Allah akuhifadh doctor nakupenda sana sheikh wangu

  • @mename6020
    @mename6020 3 года назад +5

    Allah akulipe kheri kipenz cha Nabiina Muhamad....

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n 3 года назад +8

    Asalaam alleykum warahmatulah wabaraqatuu Maasha Allah sheikh @sule shukraan jazzakah Allahu kheir barakallahu fik

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 3 года назад +14

    Na kuelewa mno dokt sulle ❤️👈

  • @alisonso4194
    @alisonso4194 3 года назад +2

    Maashaallh 💕💯 ujumbe umefka huo Allah azidi kukupa nguvu yakuelimisha jamii hvyo hvyo aamin💯💖🙏🙏🙏🙏

  • @samsungj7pro64gb5
    @samsungj7pro64gb5 3 года назад +8

    MashaAllah yaani mpaka apa doct nakupata mno❤😗

  • @saadaabdallah7473
    @saadaabdallah7473 3 года назад +2

    Mashallah doctor sule Allah akubarikie elimu uzidi kutuelimisha na akujaalie kila la kheri duniani na akhera atujaalie pepo tukufu sote Ammeen

  • @fathiyaanwar4535
    @fathiyaanwar4535 2 года назад

    dock sheekh wangu bwana waona mbali sana mtoto mzae mwenyewe kisha akudharau hajui anapo kanyanga sasa wwe ulikanyaga kitambo kabla hujamzaa allahu akbaarr.

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 года назад +5

    Huyo ndo dk sule bhana.. Mashaa Allah 😘😘😘💯💯💯

  • @edwardalfred2844
    @edwardalfred2844 3 года назад +2

    Shukran sana sheikh wangu Allah akulepe mema

  • @azizauledi4108
    @azizauledi4108 3 года назад +4

    Shukrani sheikh sule message delivered yaani 👌👌 mashaa Allah.

  • @omanbarka2053
    @omanbarka2053 3 года назад +3

    Shukran sana nilikuwa cjawahi kusikiya hicho kisa cha nabii ibrahim kwanini tuna mtaja kila swala mashaallah

  • @abdulkareemmchomvu8534
    @abdulkareemmchomvu8534 3 года назад +1

    Mashallaah Dr shulle nimepata faida ya baba yetu adamu kumbe mwenyezi mungu aliangika kabla ya kumuumba yeye kua ampereke peponi kisa afanye kosa achuchwe ndio tumezaliwa sisi nice one mwenyezi mungu akupe Kira la kheri

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 3 года назад +4

    مشاء للهswadakta jazzakum llahu kheri

  • @rehemamdemu459
    @rehemamdemu459 3 года назад +3

    Maa shaa Allah Allah akuzidishie in shaa Allah n

  • @mohamediramadhani6120
    @mohamediramadhani6120 3 года назад +4

    Mashaallah! Mungu akuongoze kiongoz we2 napenda San kukuckia

  • @omanbarka2053
    @omanbarka2053 3 года назад +2

    Shukran sana dc sulle nakupenda kwaajili ya Allah

  • @anitacizaa413
    @anitacizaa413 3 года назад +3

    ManshaAllah shukurani Shekhe DC Sule Allah akulipe kheri nasisi Allah atuongoze 🙏🙏🙏

  • @vivianoforo4760
    @vivianoforo4760 3 года назад +5

    Mzee wa kujilipua a.k.a DK Sulle
    🔥 🔥 🔥

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад +4

    Shukraan Sana sheikh jazakallah kher

  • @shadiahborandi2687
    @shadiahborandi2687 3 года назад +1

    Mashallah Allah akurinde sheikh

  • @bilalzuberi9875
    @bilalzuberi9875 3 года назад +3

    Sheikh nakuelewa sana Ila punguza kujimwambafai.

  • @ziadaomeri6058
    @ziadaomeri6058 3 года назад +4

    Maashaallah🙏🙏

  • @edwardalfred2844
    @edwardalfred2844 3 года назад +1

    Allahu Akbar Allah Akbar Allahu Akbar kweli sheikh wangu

  • @salimumbwali2607
    @salimumbwali2607 Год назад

    Masha allah allah akulinde

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 года назад +5

    Mashaa Allah

  • @abdisiratibrahim8870
    @abdisiratibrahim8870 3 года назад +2

    Sheikh yangu mashaallh

  • @jasminmylovejasmin2879
    @jasminmylovejasmin2879 3 года назад +5

    Mashallaah ❤

  • @zamzamnoor4282
    @zamzamnoor4282 3 года назад +3

    MashaAllah may Allah bless you 😄😄😄😄😄😄😄🕋🕋🕋🕋🕋🕋

  • @jessicamorrison289
    @jessicamorrison289 3 года назад +4

    Ndio muwe Wakristo njia ni moja tu. Yesu Kristo. Na huyo ndio atawahukumu Dunia nzima bila kujali dini ya mtu. Anasema asiyemfuata yeye Yesu tayari ameshahukumiwa. Saa imekwisha rudini kwa Yesu, kabla hamjachelewa.

    • @khalefhamad7243
      @khalefhamad7243 3 года назад +1

      Yesu sio Mungu wala mtoto wa Mungu tuwache upotoshaji

    • @shabbymakapane1910
      @shabbymakapane1910 3 года назад

      Toa Andiko ili tuamini unayo sema.

    • @khalefhamad7243
      @khalefhamad7243 3 года назад +1

      @@shabbymakapane1910 المائدة (72) Al-Maaida
      Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu! Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Kwani anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni Motoni. Na walio dhulumu hawatakuwa na wa kuwanusuru.

    • @khalefhamad7243
      @khalefhamad7243 3 года назад

      @@shabbymakapane1910 المائدة (73) Al-Maaida
      Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru.

    • @hassanbukukwe8345
      @hassanbukukwe8345 3 года назад +1

      Ukristo Siyo Dini, Ukristo Ni Ukafiri

  • @shabaniadam7015
    @shabaniadam7015 3 года назад +1

    Mashallah shekh wetu

  • @hasanimsantu3694
    @hasanimsantu3694 3 года назад +1

    Masha Allah do uno vzr

  • @othumansaid3334
    @othumansaid3334 3 года назад

    Somo nzur sheh nashukur

  • @buteswadiq787
    @buteswadiq787 3 года назад

    Mungu akupe maisha marefu kwa kuendeleza daawah

  • @athumanijumakwedy6182
    @athumanijumakwedy6182 3 года назад +2

    Shekhe allwa akupe umri mrefu

  • @kizamaulidi6004
    @kizamaulidi6004 3 года назад +6

    Mashaallah

  • @aminamustapha1724
    @aminamustapha1724 3 года назад

    Hapo kwa mama anayenyonyesha nimekuelewa vzr sana Dr
    Unakuta mama anaamkia uji anaenda sokoni anapigwa jua weee mpaka maziwa yanaganda na ananyonyesa

  • @nasirshekhi6070
    @nasirshekhi6070 3 года назад

    Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️

  • @saleemmuhammed292
    @saleemmuhammed292 3 года назад +2

    Mashallah..mawaidha mazur

  • @rajabumbinga1816
    @rajabumbinga1816 3 года назад +3

    Congratulation brother

  • @almashaaribububu1214
    @almashaaribububu1214 3 года назад +1

    Mashallah Dr,sule inshaallah Allah tuongeze ktk njia za kheriiiii

  • @neemainabikorwa5570
    @neemainabikorwa5570 3 года назад +4

    Shukran

  • @omarimichel1079
    @omarimichel1079 3 года назад +3

    Mash Allah

  • @samiasadiki2928
    @samiasadiki2928 3 года назад +1

    Shukrani,umetukumbusha kitu,alhamdullillah.

  • @adellsefu2485
    @adellsefu2485 3 года назад +1

    Insha Allah shikh sulle

  • @fadhilikawambwa5159
    @fadhilikawambwa5159 3 года назад +1

    ALLAH AKBAR DR SULE UKO VIZURI.ALLAH AKUPE UMRI MREFU

  • @MohamedAli-mj3mg
    @MohamedAli-mj3mg 3 года назад +3

    Mansha Allha. Doctor

    • @sharifumussaalaadabiy9001
      @sharifumussaalaadabiy9001 3 года назад

      ruclips.net/video/d9SF1-KniIg/видео.html
      Njoo uone miujiza na ukubwa wa malakulmaut

  • @majaliwamaheru5368
    @majaliwamaheru5368 3 года назад +5

    Waislam Neema hz kutoka kwa Allah tuwaombee yalio mama kwa Allah

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 года назад +10

    Allah اکبر

  • @gospelforeverchannel4224
    @gospelforeverchannel4224 3 года назад +2

    Jaman dini hazitupeleki mbingun ni Yesu ndiye njia sahihi

    • @ustadhsalimonlinetv.1807
      @ustadhsalimonlinetv.1807 3 года назад

      Utaelewa tu hatuna muda wa kubishana na wajinga kama wewe,najua somo limekuingia vizuri maamuzi ni yako imma ubaki na yesu wako wa bandia au uingie kwa uislam dini iliyo ya haki mbele ya Allah.

    • @silasmichael602
      @silasmichael602 3 года назад

      punguzeni unafki ,wote mmezaliwa dini mmezikuta Islam,ukristo,nani anaweza kusema dini ya haki ni hii hakuna dini mbinguni..zote ni taasisi za watu binafsi.tafuteni pepo njema kwa kutenda yanayompendeza mwenyezi mungu tu.acheni kukashifu watu na imani zao dini zote ni hapahapa duniani

    • @hamzayesu2017
      @hamzayesu2017 3 года назад

      Kama si hizo dini ulijuaje yesu ndio njia...??

  • @alafasyprintingservices660
    @alafasyprintingservices660 3 года назад +4

    Allahu Akbar

  • @hudhaimaissa3151
    @hudhaimaissa3151 2 года назад

    Maashallah nakupenda kweli 🌹

  • @mohdmatar6076
    @mohdmatar6076 3 года назад +1

    Maashaallah

  • @sarafutv933
    @sarafutv933 3 года назад +2

    Masha'allah

  • @mename6020
    @mename6020 3 года назад +7

    MashaAllah 🤣🤣🤣 doctor....

  • @hclever7731
    @hclever7731 3 года назад +1

    Doctor Sulle for life

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 3 года назад +3

    Allah Akbar

  • @riadrahaman9570
    @riadrahaman9570 Год назад

    Mashalla

  • @maryamanalisi197
    @maryamanalisi197 3 года назад +5

    Maa Shaa Allah 😅😅😅😅😅😅

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 года назад +3

    Jamani Allah anikutanishe siku na huyu shekhe uso kwa uso hhhhhhhhh Allah akuhifadhi jamani yani nakupe sana kwa ajiri ya Allah

  • @mwanahija968
    @mwanahija968 11 месяцев назад

    Mashaallah dr sule

  • @samsungj7pro64gb5
    @samsungj7pro64gb5 3 года назад +1

    Jamni ata km ukiona doge yy zaidii2uuu love u doct❤😀

  • @samwelirobert2576
    @samwelirobert2576 3 года назад +4

    Heshimu Uheshimiwe Elimu yako kuwa kubwa sio kuwadharau wasio na Elimu

  • @saidkarissa3492
    @saidkarissa3492 3 года назад +1

    Masha Allah

  • @maryamtemba1760
    @maryamtemba1760 3 года назад +3

    MashaAllah

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 3 года назад +1

    Allah swali Ibrahim walahil Muhammed.

  • @ramadhaniissa5370
    @ramadhaniissa5370 3 года назад +2

    manshalah

  • @fatialamri2258
    @fatialamri2258 3 года назад +2

    Mashallah 😍

  • @ahlanwasahlan373
    @ahlanwasahlan373 3 года назад +4

    Huo sio mfumo mzuri wa Da'awa

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 3 года назад +3

    Allah wakabar

  • @AbdulRahman-fv9bg
    @AbdulRahman-fv9bg 3 года назад +1

    Mashaallah 🙏🙏

  • @starboy4933
    @starboy4933 3 года назад

    Ishaalla mungu akupe maiaha malefu

  • @nasrauwimana2559
    @nasrauwimana2559 3 года назад +5

    Shukuran

  • @abdulmpakanjia6322
    @abdulmpakanjia6322 3 года назад +1

    Nice

  • @zainabujahshi6587
    @zainabujahshi6587 3 года назад +2

    Jazaakallahu khayraa

  • @milkahndunge4500
    @milkahndunge4500 2 года назад

    MA Sha Allah

  • @asedtembo4742
    @asedtembo4742 3 года назад

    Masha Allah tabarakallah

  • @hhlkll9160
    @hhlkll9160 Год назад

    Masha Allah ❤️

  • @walesjulius5493
    @walesjulius5493 3 года назад +3

    Ukiwa naakili utaelewa ujumbe wa Leo ni matusi ya Musa kwa Adam .
    Maneno mengi uwongo mwingi

  • @twalaakijumbe8462
    @twalaakijumbe8462 2 года назад

    waambie hao shehe

  • @mudimkongo4632
    @mudimkongo4632 3 года назад

    Dr sule napenda sana kukusikiliza

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 3 года назад

    Mashallah Allah

  • @abdulymgobajarrilly8261
    @abdulymgobajarrilly8261 3 года назад +1

    Takibilieeeeeeeeee

  • @kassimmapondela5274
    @kassimmapondela5274 3 года назад

    Yeah

  • @chikunangwanda6105
    @chikunangwanda6105 3 года назад +3

    Hapo kwenye lishe ya mama anayenuonye ni kweli kabisa doctor sure , watoto wanateseka Sana ,mama anashindia mihogo jioni anakula chips na Pepsi maziwa yatakua maziwa kweli?

  • @mename6020
    @mename6020 3 года назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣.... Unatiaha mkubwa... Kuna Mzee mmoja kafa kangwata na mbwa wake mwenyewe umkumbuki Jina... Hatar...

  • @jafarimajidy2365
    @jafarimajidy2365 3 года назад

    Jazakallah kherii Allah akulipe

  • @nchelewejenassoro4081
    @nchelewejenassoro4081 2 года назад

    Maanshaalaa

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu7709 3 года назад

    Mashalah

  • @crisslinembawala2701
    @crisslinembawala2701 3 года назад +1

    Sule nakukubari Sana

  • @jamalraja417
    @jamalraja417 3 года назад +5

    Msingi wa all 🕋 uli anzishwa na nani?

    • @sharifumussaalaadabiy9001
      @sharifumussaalaadabiy9001 3 года назад

      ruclips.net/video/d9SF1-KniIg/видео.html
      Njoo uone miujiza na ukubwa wa malakulmaut

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 года назад

    Swadaqta ustadh nabii Ibrahim hata alitaka kujua mungu anaumba vp.Allah akamuuliza kwani huamini.akasema kwann naamini lkn nataka nione ili moyo wangu uone raha utulie. Qur'an 2:260

  • @beckabakari2984
    @beckabakari2984 3 года назад

    qu'Allah soit avec vous mon cheikh

  • @fatmazena8886
    @fatmazena8886 3 года назад +2

    Ndio maana mwanangu nampa uji mwepes

  • @machotaigonga6198
    @machotaigonga6198 3 года назад

    Mashallah

  • @sultanidrisa5584
    @sultanidrisa5584 3 года назад

    Njoo tena Igunga

  • @muhammadhussein2347
    @muhammadhussein2347 3 года назад +1

    Mashaallah sheikh