THE CLASSIC BAMBO EP 2 :SABABU YA LAFUDHI YA KINGONI/BIBI NA UCHAWI/NILIWAFUNDISHA WAIGIZAJI WENGI
HTML-код
- Опубликовано: 10 май 2024
- Sehemu ya pili ya maongezi na Muigizaji/mchekeshaji Bambo ambapo hapa anaeleza namna alivyopambana katika kujijengea heshima yake,maisha magumu ya kijijini na changamoto zake,kuingia kwenye muziki na kadhalka
Najua Huwezi kuniangusha. Ila Naomba Umlete Stara Thomas. Yule Mama ni Noma
Ongea ya Bambo kama ya Juma nature
Bambo akafanye dude kwa chizen brain asichelewe
Ulialite😂..u-reality… mpaka mtangazaji kapotea
Huyu mtoto mpododu sanuu
Dahh marehem max kitambo sana halafu huyu bambo nimeanza kumuona kwnye matangazo ya sabun ya OMO walizunguka tz nzima kbl hata ya itv
Mwanadamu ni kitabu
Big up bamboo
Bambo shemeji yangu unatisha
Bambo we ni mwamba
Namkubar sana bambo
😂😂 eti we bambo yan mzee anajisahau jina lake mda mwngn
Nimecheka sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Mtango chukui heli zako
Bro Kuvichaka I see Damme mkubwa
🔥 🔥 🔥
Mimi jina langu Mali ya Shetani nahitaji uwezo wako KABLA hujazeeka
😅😅😅
😂😂😂
😂😂😂😂
Bambo we ni mwamba