Bella - Alpha Omega (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 июн 2017
  • The Official Alpha Omega Hit Single from Bella Kombo Kizito

Комментарии • 182

  • @happyluckykarim7964
    @happyluckykarim7964 24 дня назад +5

    From Kenya 🇰🇪🇰🇪whose back here after wimbo mpya na Evelyn.MUNGU YUKO MOJA TU, BLESSINGS

  • @deniskinyahwe4157
    @deniskinyahwe4157 9 дней назад +1

    Wakenya tuko hapa kwa wingi ingawa WA Tanzania wenzake wanamkemea tu

  • @erickbabu4404
    @erickbabu4404 3 дня назад

    Wakiwa n kondoo wataisikia sauti yake sio mm ndani yangu Bali n yeye mkishusha uwepo namna hii vaeni Kwa heshima si Kwa Kwa kuacha mabega njee Dagoni anaeza angunga ila yezeberi mama WA mapambo na ukahaba anaeza nyanyuka kaka natural jisitiri shush uwepo Baki na mwenyewe uwepo usibaki na watu wanaosifia wimbo Baki na Mungu

  • @priscambilo
    @priscambilo 4 года назад +28

    I love this song. Wapi watu wangu wa Kenya.

  • @chalengosmmbingya-ns7te
    @chalengosmmbingya-ns7te 9 дней назад

    Malaya wajipodiwe hivyo na migongo wazi kwa mivalio na ninyi wakristo mko hivyo.
    Hiyo ni hatari sana.
    Kwani ukivaa nguo inayo kusitiri,hutokuwa mwimbaji maarefu.

  • @jessicamorrison289
    @jessicamorrison289 3 года назад +8

    Nyimbo nzuri sana, ukivaa kama binti wa Yesu itapendeza, yaani usifanane na hao waduniani. Tumia jina la Yesu, ukiimba bila kumuinua bado inakua haijatulia. Maana hata duka langu naweza tu kuliita Alfa na Omega na isiwe na maana yoyote. Muinue Yesu. Usiwe kama hao wanaimba Gospel isiyo na Yesu, na tunajua wako kibiashara zaidi. Ni hayo tu🙏

  • @mckazenmasangi9472
    @mckazenmasangi9472 3 года назад +2

    dada Bella katika ile kweli mim huduma ya uimbaji unayofanya ninaipenda sana sana MAONI YANGU DADA TUTUNZE USHUHUDA HASA KWENYE MAVAZI NA MUONEKANO DADA HILI NINAOMBA HATA KWAKUPIGA MAGOTI DADA MZURI NINAEPENDA HUDUMA YAKO N Ili tuwe na utofauti kati ya sisi wainjili nawale wasio wa injili NAKUPENDA MUIMBAJI MWENZANGU MUNGU AKUTUNZE

  • @jomikomike1682
    @jomikomike1682 5 лет назад +4

    Barikiwa sana , nimeisklza hii nymbo mara ya 19 sasa, umekuwa wimbo wa tofauti sana kwangu, unanipa zaidi kutambua ukuu wa Mungu #alphaomega #hakunakamawewe

  • @augustinaaugustine5559
    @augustinaaugustine5559 5 лет назад +6

    Dada wimbo mzuri but kunyoa kidunia kuvaa mgongo wazi kidunia jaman chukueni mfano kwa martha. Mwaipaja

  • @jshukran3925
    @jshukran3925 6 лет назад +6

    it is a blessing that such a very pretty soul is serving the LORD.......Be blessed!

  • @kenyomarion5605
    @kenyomarion5605 6 лет назад +4

    Wozza wozza the voice , the pitch and everything is actually on point, I love to see beautiful people like you singing gospel, u killed it Bella, keep it up ,we got your back Angel

  • @liliannyakundi6244
    @liliannyakundi6244 3 года назад +2

    God . jesus .heard this song this morning at ctn .wah ! This lady can sing .m just gazing at her.we thank God for yu love .so gifted

  • @egason2591
    @egason2591 4 года назад +1

    ANY ONE 2019 ALIEMMIS BELLA...HIT LIKE PLLLLZZZ TUJUANE....BELLA ANAMPENDA MUNGU NI MTUMISHI WA MUNGU MAANA SIO KWELI KWAMBA HAWEZI KUYATUMIKIA YA DUNIA ROHO YAKE INAMUIMBIA MUNGU ALIE MKUU .....SIIIIIIIIING BELLA TUNAOKUPENDA NIWENGI SEMA HATUNAGA MAKELELE........IMBAAAAAAAAAAAAAA

  • @sarahmutsami7MHA
    @sarahmutsami7MHA 9 месяцев назад

    Mi hii mwaka ni Mimi na mtumishi wa Mungu Bella, it's a wonder I've never seen this song or heard it but for the last 3 days I've been listening to it like 4 times in an hour, I just can't help it. Powerful worship to my God.

  • @bellahamani4387
    @bellahamani4387 3 года назад +2

    Namesake you’re beautiful! Bellas rock. This gospel of the Lord needs to get to all corners of the world so spread the love like fire, use your words to inspire

  • @princeemmamunda4286
    @princeemmamunda4286 6 лет назад +1

    Barikiwa na Mungu wa mbinguni Bella nimeifutlia interview yako uliyoifanya na mirrdayo nimependa kusikia kuwa before ulikuwa unamtumikia shetani na baadae ukajua huko siyo kwako mtumikie Mungu nae atakutumikia atakuinua Mara mia ya vike ulivyokuwa Kwa shetani kupitia wewe kina Bella wengi nawaona wakitoka mikononi Kwa falao wakija kuungana na wewe umeamua wamuzi sahihi sana hautojutia Mungu atakuheshimisha watu watakushangaa soon kwamba huyu ndo Bella!!!

  • @celinethequeen992thequeen7
    @celinethequeen992thequeen7 6 лет назад +4

    Nice song Bella.am feel bless for Abu dhabi UAE,God bless Bella kombo ❤

  • @edithayoram4601
    @edithayoram4601 6 лет назад +10

    dada napenda sana unapoimba unajua hata kushusha wingu la roho mtakatifu .lkn napenda nikushauri ubadili the way of dressing .Mungu akusaidie kwa hilo

    • @theresiagasto7911
      @theresiagasto7911 4 года назад +1

      Si unajua Tena kuiga, Mungu atambadirisha one day

  • @consolatamedard1502
    @consolatamedard1502 3 года назад

    Nakosa cha kuongea ila nampenda sana mtu anaemsifu Mungu na kuabudu nakupenda sana Dada usibadili huu mfumo Mungu anapenda sana kusifiwa na kuabudiwa kuliko kuimba nyimbo za kulalamika Mungu akubarik endelea kumsifu Mungu

  • @officialmartingiroy
    @officialmartingiroy Год назад

    Ubarikiweeeeeeee dada Bella Kombo mungu utabariki Kaz ya mkono wako my sister eeee mungu naomba uyaangalie Kaz ya dada angu mungu utabariki Kaz yake

  • @elesiachristopher4803
    @elesiachristopher4803 Год назад +1

    Wimbo wangu niupendao❤

  • @DrNick-hg6il
    @DrNick-hg6il 3 года назад

    Mungu kamchagua kamfanya awe chombo chake .... Mungu azidi kumuongoza ili sauti yake ifikie kila pembe ya dunia.

  • @lindamutasa5752
    @lindamutasa5752 6 лет назад +1

    kumtumikia Mungu kuna faida sana. keep it up. Barikiwa sana young lady

  • @sheilalucas3158
    @sheilalucas3158 6 лет назад +5

    wow very nice....the voice is on point and very powerful message

  • @leddohmapu3329
    @leddohmapu3329 2 года назад

    Aiseeee zaid ya mwaka nlkuwa nausikia huh wimbo lkn nlkuwa sjui mwimbaj n nan dada bella Nashukuru huu wimbo huwa unanipa nguvu sana nkiusikia

  • @farajaalphonce988
    @farajaalphonce988 3 года назад +1

    Barikiwa sauti nzurii sanaa

  • @jeanmjimmy
    @jeanmjimmy 3 года назад

    Hivyo unafikiri kwamba unamwimbia Jehovah? Shauri yako!!!

  • @niwaelmono8407
    @niwaelmono8407 4 года назад +1

    "Alfa& Omega and Milele "are my favorate songs , be bleased Bella Kombo

  • @ladybilionaire379
    @ladybilionaire379 6 лет назад

    Hongera saana Bella endelea kunyenyekea mbele za Mungu utaenda mbali saaana nakutia moyo kazi yako nzuri saana by Jane Misso

  • @gkkikwembe1653
    @gkkikwembe1653 6 лет назад

    Kumtumikia Mungu ni sadaka. hongera sana dada kwa uamuzi huo Mungu azdi kukupigania

  • @queeneva3709
    @queeneva3709 6 лет назад +1

    Keep it up darling God is using u now indeed. Praise the King my love u have to because he is worth of our praises.

  • @victoroluoch9081
    @victoroluoch9081 4 года назад

    nimebarikiwa na hii ngoma ...neema izidi maishani mwako Bella

  • @esterbarinaba5891
    @esterbarinaba5891 6 лет назад

    Wimbo mzuri sana
    Ujumbe umenibariki Ila
    Nakuomba ubadiri mavazi
    Pia hiyo michoro kifuani na karibia na bega kama inafutika husiiweke kama hafutiki basi no way but unaweza kuimba vizuri nimalekebisho tu endelea kumtumikia Mungu

  • @christinedisii626
    @christinedisii626 6 лет назад +2

    Uko juu ubarikiwe sana Bella

  • @enockwandiba6673
    @enockwandiba6673 6 лет назад +1

    Impressed. True definition of songwriter

  • @Gabby86ification
    @Gabby86ification 3 года назад

    Dresscode hasa mwanzo wimbo haipo kiroho kabisa. Wimbo mzuri sana ila jitahidi unaemwimbia ni mtukufu kwahiyo jitahidi appearance yako iwe inamtukuza Bwana.

  • @user-yk7el8vq6e
    @user-yk7el8vq6e 8 месяцев назад

    I love this song🥰, God bless you bella🙏

  • @elizabethkea6431
    @elizabethkea6431 6 лет назад

    Nakpenda sana cct Bella. Uzidi kuinuliwa na Mungu wa Mbingu na Nchi.

  • @godfreyjoho7189
    @godfreyjoho7189 6 лет назад

    Bella kombo Mimi ni Yule kaka ulinifanyia prophecy pale best Bite naomba Mawasiliano yako.

  • @festuschunya7067
    @festuschunya7067 3 года назад +2

    You are so talented!!

  • @amonphilip5902
    @amonphilip5902 4 года назад +1

    Daah dada Bella you are so Anointed,very Anointed ...you are no just another artist ,you are something else in the realm of spirits ..your are blessed continue to bless us also

  • @anithanithaa2651
    @anithanithaa2651 6 месяцев назад

    My favorite Gospel song 🙏🙏💕💕💞💞🙏

  • @raheemaal-hady9328
    @raheemaal-hady9328 4 года назад +1

    Very Beautiful... GORGEOUS voice... Powerful message.

  • @johnalbert8337
    @johnalbert8337 6 лет назад

    Let no man take the Glory! He is Alpha and Omega! May the Lord Jesus i serve bless you and give you more revelation into wwritting and singing WORSHIP unto HIM YHWH

  • @samsaycer7252
    @samsaycer7252 6 лет назад

    Wooooooow nice hit,dah mefarijika sana,now nipo nabudu 😀😀😀

  • @conardconardson8159
    @conardconardson8159 6 лет назад +1

    Am in love with this song. Keep it up Dear friend Bella. You bless my heart

  • @glorymziray4153
    @glorymziray4153 4 года назад +2

    Ooooo NAKUPENDA MY UKO VIZURI KULIKO UNAVYOJIJUA NA KUFIKIRI ILA NAOMBA NIKWAMBIE KITU BADILISHA MUONEKANO WAKO ALAFU UTAONA KITU MUNGU ATAFANYA KWAKO ,HAUKO UNAVYOJIONA UKO ZAIDI YA UTUNAVYOKUONA PIA JITAIDI KUBADILI MUONEKANO WAKO KILA ENEO HUTAJUTA KUCHAGUA KUMTUMIKIA MUNGU ,NINAKUPENDA SANA NATAMANI UNGEKUWA JIRANI YANGU NIPATE KITU KWAKO SIKIA UNAVYO VITU VYAKUWAPA WENGINE WEWE ICHUCHUMILIE IYO KWELI UTAONA NAKUPENDA NATAMANI HATA NIONGEE NA WEWE KWA SIMU

  • @mathajohn9512
    @mathajohn9512 6 лет назад

    hongera sst atabadlika tu Mungu hubadilisha mtu taratb

  • @LawrenceYobuNdosi
    @LawrenceYobuNdosi 6 лет назад +1

    Nimeupenda wimbo na video.Hongera sana

  • @amirsab1158
    @amirsab1158 6 лет назад +2

    hii ngoma kubwa sana

  • @eliudmartine03
    @eliudmartine03 6 лет назад

    Nmebalikiwa na kaz hiii mungu aktie nguvu

  • @eglahellenjohnmgogwe6198
    @eglahellenjohnmgogwe6198 7 лет назад +2

    Mungu akuinue zaidi ..blessings

  • @gombatongeneralenterprises9879
    @gombatongeneralenterprises9879 7 лет назад +4

    Saaafi sana Bella !! Bongee la Nyimboo! Hujalkosea mwana

    • @dannyrich7739
      @dannyrich7739 6 лет назад

      gombaton General Enterprises God bless u Bella

  • @claverchengula4584
    @claverchengula4584 6 лет назад

    Wow Best song
    Jesus Christ is Alpha and Omega

  • @annabelwambui6389
    @annabelwambui6389 5 лет назад

    my Favourite gospel song right now lots of love bella

  • @hadassperez494
    @hadassperez494 6 лет назад

    hakuna mwingine Alpha and omega beautiful song. and the vocals eiiiiish 👌👌

  • @danielathumani2606
    @danielathumani2606 5 лет назад

    ☝☝☝☝☝☝☝👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👏👏👏👏Alpha Omega hakuna kama ww
    Be blesssss

  • @annakangajaka9450
    @annakangajaka9450 7 лет назад +1

    😍😍😍😍 be blessed sweetie..

  • @fabbyblessing3376
    @fabbyblessing3376 2 года назад

    I love this women....she blesses me a lot🙌

  • @kimwanahhamza1166
    @kimwanahhamza1166 6 лет назад

    Safi sana kazi nzur hiv chibi dayo yupo wap

  • @mwihakimungai7182
    @mwihakimungai7182 Год назад

    Your Ministry is a blessing

  • @leahnyambura4195
    @leahnyambura4195 6 месяцев назад

    Woww you are ablessing hoping to be under your some days

  • @ifunanyaonyinye278
    @ifunanyaonyinye278 7 лет назад +3

    Safi sanaa Bella niliimisi hii Sauti tangu nikusikie kwenye bss hongera na mungu akubariki

    • @taturamadhani6566
      @taturamadhani6566 4 года назад

      Nilikuwa nnajiuliza ndiyo huyu huyu bella kombo wa bss kumbe ni yeye daah mungu huyu mwacheni autwe Mungu

  • @mcfallenmacha9611
    @mcfallenmacha9611 6 лет назад

    This song is amazing, that's all I can Say Bella, when you told me at Raha towers that I should check it out, I was convinced that it will be a good song but I didn't know it would be this much beautiful, I could feel it from deep inside me, plus amazing video, figurative scenes, it's superb

  • @JayMetty
    @JayMetty 6 лет назад

    No hate in my heart , You killed it baby ☝️☝️

  • @LawrenceYobuNdosi
    @LawrenceYobuNdosi 6 лет назад

    Ubarikiwe Bella,Mungu akuinue juuuuuuuuuuuuu

  • @BenjaminFMosha
    @BenjaminFMosha 6 лет назад

    Mungu kakutoa mbali usimwache nice voice

  • @josephkasuja6900
    @josephkasuja6900 4 года назад

    Kipaji cha hali juu,keep it up.

  • @rodamrema3857
    @rodamrema3857 5 лет назад

    Nice song, the vocals are wow. Be blessed Dada

  • @elishasimbeye9684
    @elishasimbeye9684 6 лет назад +1

    wimbo mzur sanaaa ila vazi huko mgongo linashusha heshma ya ALPHA & OMEGA au otherwise directors wa video wawe wanaangalia na shot za kuchukuaa...BE BLESSED

  • @barakandambo2348
    @barakandambo2348 5 лет назад

    Nice song madam
    Keep up that sprit of worship
    I feel blessed wic this song

  • @dedebukasa716
    @dedebukasa716 3 года назад

    ❤️ God bless you my sister!

  • @princekeddymusic8381
    @princekeddymusic8381 2 года назад

    Amen to God be the Glory 🙌🙌🙌

  • @pearlpeter9378
    @pearlpeter9378 6 лет назад

    Tutumike mama tukiwa vijana tuna nguvu. You bless me Mungu akuinue kwa viwango vingine na usiache kumtumikia acha Roho Mtakatifu akuongoze usifanye kwa akili zako.Love you!!!!!

    • @lazaromiraji8197
      @lazaromiraji8197 2 года назад

      Hakika hakuna zaidi ya yeye ,aliye juu kulikon vyote azidi kukutia nguvu na kukufunulia zaidi,

  • @petermasapa498
    @petermasapa498 5 лет назад

    I love this song Bella

  • @moskwabhi2
    @moskwabhi2 3 года назад

    Awesome. Godspeed

  • @annabeljohn401
    @annabeljohn401 7 лет назад +3

    keep praising him sweetie.. 😍

  • @janethmasawe6363
    @janethmasawe6363 5 лет назад

    Nice song Bellah God bless you

  • @meriemasoud5252
    @meriemasoud5252 Год назад

    Nakupenda Sana ntungie nyimbo

  • @bibemelody2560
    @bibemelody2560 6 лет назад +1

    so happy for you ma....

  • @theworldeventstv
    @theworldeventstv 5 лет назад

    moja kati ya machampioni wa Tz so kila la kheri madam bella kombo

  • @shadrackrobert4969
    @shadrackrobert4969 6 лет назад

    This song is so good

  • @anne_mwangi_
    @anne_mwangi_ 6 лет назад +1

    Nakupenda Sana

  • @redemtajohn1374
    @redemtajohn1374 4 года назад

    Nimekupenda bureee dad

  • @gmuuniversal7252
    @gmuuniversal7252 2 года назад +1

    Like twende sawa

  • @ciadickson9401
    @ciadickson9401 6 лет назад

    Usiache kumtumikia God ua blessed

  • @barakandambo2348
    @barakandambo2348 5 лет назад

    Great message from the song

  • @mildredjepkemboi1281
    @mildredjepkemboi1281 3 года назад

    Bado udunia in mwingi ndani yako

  • @leahmcharo7306
    @leahmcharo7306 6 лет назад

    nice song Bella stay blessed

  • @gideonpaul3860
    @gideonpaul3860 7 лет назад +11

    Atake sema nyimbo mbaya huo ni wivu tu Kwanza message nzuri na imejitoshelezaMbili dada umevaa vizuri current ma kwa kujistiri hili huwa tatizo kwa wengi lkn umejitahidiTatu location na scenes ziko vizuri sana na story imeeleweka kwa lugha ya pichaMWANZO MZURI NATAMANI KUONA GOSPEL SINGERS LIKE U KEEP IT UPIG@gideon_paul_magangira

    • @sylvanussamson9506
      @sylvanussamson9506 6 лет назад +2

      Waoh! The massage is cool as well as the Video but the worst thing is that white dress. The song you sing is for the most high and perfect God not human so why you didn't put on something that glorifies the one you are singing for? Unless u where pointing a human and not God.

  • @eliasjoram2675
    @eliasjoram2675 6 лет назад +3

    kama wew nimsomaj wa biblia# nimsomaji was biblia jarbu kufuatilia namna impasavyo kuonekana mtu aliye okoka s then najua utabadilika # maana mungu kakupa kipaji lakin umekichanganya na mambo ya dunia kwa maana ya mavazi# nani kakudanganya dhambi haianzii katka mwaili# wakat miil ndiyo dhabihu ya mungu @ anasema tumekua hekalu# iv mungu amekuwa wa kufananiahwa na wanadam et# haangaliii mavaZI# iv kama wasanii wa gospal wa kiume kama Paul Clement wakiwa wanaimba huku wamevaa sual chin ya kiuno napo tutasema tusiangalie mavazi# tafadhali utakuwa hujaisoma biblia vzur nahapo ndipo maarfa yetu yanapotea# nakutakia mtazamo mpya na maisha mema ktk kazi yako Amen#

    • @noahmoses2852
      @noahmoses2852 6 лет назад +1

      mambo ya dunia kivipi na wakati anaimba nyimbo za kumsifu mungu, baada ya kumtia moyo nyie mnaojiita wsatakatifu ndio mnaoshiriki kuifanya huduma yake ione kane si ya maana! wabongo jaman! tunajionaga sn watakatifu

    • @egason2591
      @egason2591 4 года назад +1

      MAMLAKA YA KUMHUKUMU UMEYAPATA KUTOKA WAPI??? WEWE NI NANI??? HERI AKE BELLA ALOMUIMBIA MUNGU OLE WAKO WEWE UNAEJIONA UMEPATA NAFASI YA KUMHUKUMU

    • @egason2591
      @egason2591 4 года назад +1

      @@noahmoses2852 ULOKOLE MAANDAZI HUO KANIUDH SANA HUYO JAMAA ANAMACHO MACHAFU ANAONA MABAYA TUU HAONI JEMA HATA MOJA

    • @patiencendukwe120
      @patiencendukwe120 6 месяцев назад

      3 years later, she took your advice

  • @movierecapsswahili1042
    @movierecapsswahili1042 6 лет назад

    wow!!!!!!! nice.. that sounds unique and beautiful,,, may u be lifted much higher,,,,,u ar beautiful just go a bit slow wth make up and hair style not all Africans understand that...

  • @ninabrenda9545
    @ninabrenda9545 6 лет назад +1

    Wonderful song

  • @mmbandoruaich3045
    @mmbandoruaich3045 4 года назад

    Nakupenda sana Bella jamani

  • @ArnoldMadoda-or4iu
    @ArnoldMadoda-or4iu День назад

    ❤❤

  • @shadrackmhagama6569
    @shadrackmhagama6569 6 лет назад

    Nimebarikiwa mno na huu wimbo

  • @djomskenya
    @djomskenya 2 года назад

    Awesome song

  • @kenyancelebsgossip2494
    @kenyancelebsgossip2494 5 лет назад

    nimeelewa dada angu nzur hii

  • @victorjohn2917
    @victorjohn2917 6 лет назад

    Nice song.....

  • @naomimshanga9207
    @naomimshanga9207 6 лет назад

    nice one!