He is a man that has chosen for a certain work that has to be done from the Heaven to The world 🌎. May the Lord continue to protect him and give him strength 🙏
Mungu azidi Kukuficha,una hekima mno,ndio waimbaji au mwenye huduma inayotokana na Mungu lazima awe na vita mno.Mungu akufunike na ngao yake hata yakija hayo mabaya hayatakuweza/kufika.
Jaman kiukweli huyu kaka ananibariki sana nna mdogo wangu na mwanangu wa miaka 3 woiii aiseee wanapenda sana kuimba nyinbo zake tena ile ya MAJESHI YA MALAIKA YANAPAZA SAUTI WAKISEMA MTAKATIFU NI BWANA WE LOVE YOU SO MUCH MTUMISHI WA BWANA ZORAVO
Mungu anaangalia ndani ya moyo wako umebeba niniiii.... Wangapi wanapona moyo juu ya ujumbe wa uimbaji wako.. BIG UP mtumishi... Na barikiwa sna na nyimbbo zangu.. Weee stail yako ya nywele haimfanyi mtu asipokeee ujumbe🙏
@@chulelubella2819NASEMAJEEEE WEWE NA SHETANI WAKO ANAEKUTUMIA KUKASHIFU WATU WA MUNGU BADO HUJASEMA NA UTASEMA YAANI MPAAAKA USEMEEE😂😂😂 Yaani unaingiwa hasira adi unatukana huoni aibu babu 😂😂😂🤪🤪🤪
Bwana huyu pia ni mwanadamu ni kijana mzuri lazima atasumbuliwa sana na wadada, ni kumuomba Mungu amvushe salama ktk hilo, na hekima busara itumike, Kazi anayofanya ni kubwa na ina vita kubwa shetani yupo kazini muda woote, ni maombi yetu Mungu aliyekupa huduma hii akutetee na kukuinua zaidi ili kusudi uliloitwa kwalo lifanikiwe🙏
Hakuna mtu amekamilika hata kama ikitokea ni kweli hatutashangaa kwa sababu bro pale ni binadamu kikubwa ni kuendelea kumuomba Mungu na kukimbia kila aina ya vishawishi aendelee kublock wadada wasiojielewa.
Huwa napenda sana nyimbo za huyu kaka wa MUNGU kuna nguvu kwenye nyimbo zake wanawake tuache kuwachafua watoto wawanawake wenzetu kama kuolewa tutaolewa kwa kudra za mwenyezi Mungu tu na sio bla bla
@@sarahsesa8851uliwashika unajua kwa kujikuta mtakatifu sana huku ukizusha vitu . Imagine kwende kuzimu kisa uzushi😂 uzushi tu dah unachomwa pamoja na Osama 😂😂 Acha umbea lipa maden ya watu punguza stress
Brooh Zoravo tusamehe sisi wadadaa.. Nadhan ni mihemko tu,na upande mwingine shetani anatumia watu kuangusha watu..ila most of us tunakukubalii tuu😢😢 May THE MERCY OF GOD BE UPON US😢🙇...
@@mwakipiano4568 Ni kweli yaniii..wadada Mungu aturehemu tuu,coz wengine we fancy him as our brother 😔ila wengine wanampa shetani nafasi awatumiee.. Hili swala limenigusa sanaa,coz naelewa hii vita inakuwaje kwa Mtumish wa MUNGU ( haswa MBEBA MAONO WA UFALME WA MUNGU)😢
Am just disappointed with Zoravo..it's either black or white.. He ought to address his status with urgency ,as a minister that matters.Many peopleare looking up to him..the devil shall us that to destroy him if he won't move with speed..all the best as he is praying for a life partner..
Ukiongozwa na roho wala hauko chini ya sheria...msipende kujaji watumishi MUNGU,sisi ni mwili mmoja mguu hauwezi ng'oa jicho kisa umejikwaa be careful sana😂😂😂😂
Nakupenda Sana mtumishi wa Mungu zoravo maisha malefu my brother
I like that quote "JUSTIFICATION IS FOR THE WEAK "💯💯💯💯
He is a man that has chosen for a certain work that has to be done from the Heaven to The world 🌎. May the Lord continue to protect him and give him strength 🙏
I love the way anajieleza na song zake uubariki moyo wangu ❤🎉
Wooooow!!! Nimependa vile Zolavo anajibu, Mungu akutunze
my dear brother being protected by the precious blood of Jesus Christ always
Umebarikiwa sana mtumishi wa Mungu ZORAVO, songa mbele katika BWANA💪
Mungu azidi Kukuficha,una hekima mno,ndio waimbaji au mwenye huduma inayotokana na Mungu lazima awe na vita mno.Mungu akufunike na ngao yake hata yakija hayo mabaya hayatakuweza/kufika.
Zoravo is so wise.... May God's Favor, Grace and prosperous be upon your ministry 🎉🥳
Be blessed wherever you are.
Hekima Hekima yako ni kuuu ndani yako, Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu zaidi🙌
Jaman kiukweli huyu kaka ananibariki sana nna mdogo wangu na mwanangu wa miaka 3 woiii aiseee wanapenda sana kuimba nyinbo zake tena ile ya MAJESHI YA MALAIKA YANAPAZA SAUTI WAKISEMA MTAKATIFU NI BWANA
WE LOVE YOU SO MUCH MTUMISHI WA BWANA ZORAVO
Mungu anaangalia ndani ya moyo wako umebeba niniiii.... Wangapi wanapona moyo juu ya ujumbe wa uimbaji wako.. BIG UP mtumishi... Na barikiwa sna na nyimbbo zangu.. Weee stail yako ya nywele haimfanyi mtu asipokeee ujumbe🙏
Man of God. Blessed minister Zolavo
Napenda nyimbo zako yani ninazo Kama Zote .nikutue tu moyo endelea kunyenyeke Sana na hekima ya kiMUNGU iwe juu yako
God bless you my dear brother
The wisdom 🔥🔥🔥❤️ God bless you
This is very humbling ..may GODS GRACE be sufficient upon all his endevours
Waooooo ubarikiwe sana majibu yako ni tofauti nawengine endelea kupondeka
KUNAE HEKIMA IKO NDANI YA ZORAVO ADI HUWA NAOGOPA UKUU WA MUNGU NDANI YAKE 🙇🏾♂️🙇🏾♂️🙇🏾♂️🤍🤍🤍
Sana Zoravo amejawa na Roho ya MUNGU ndani yake
Bwana akutendee kadri utakavyo
🙌🏾
Acheni ujinga na kuwa na akili ndogo ukuu wa Mungu gani alionao nao huyu fala
@@chulelubella2819NASEMAJEEEE WEWE NA SHETANI WAKO ANAEKUTUMIA KUKASHIFU WATU WA MUNGU BADO HUJASEMA NA UTASEMA YAANI MPAAAKA USEMEEE😂😂😂 Yaani unaingiwa hasira adi unatukana huoni aibu babu 😂😂😂🤪🤪🤪
Nabarikiwa mno na uimbaji wake,huwa wimbo ameniona naupiga kila weekend nikiwa home Kwangu siku nzima Yani siuchoki
Wisdom in another level,,God bless u ad protect u frm all evil
Amen 🙏🙏
Keep on humble yourself Bro,Mungu ataendelea kukuinua,Pray and pray and pray and keeping on praying.
The chosen one blessing 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Bwana huyu pia ni mwanadamu ni kijana mzuri lazima atasumbuliwa sana na wadada, ni kumuomba Mungu amvushe salama ktk hilo, na hekima busara itumike, Kazi anayofanya ni kubwa na ina vita kubwa shetani yupo kazini muda woote, ni maombi yetu Mungu aliyekupa huduma hii akutetee na kukuinua zaidi ili kusudi uliloitwa kwalo lifanikiwe🙏
I love your work #Zoravooo
Ladies behave yourself haki...
Anyway am always blessed by his ministry
Mungu azidi kukutunza minister Zoravo I'm always blessed by your ministry
Your intelligent brother
Muombe mungu akuvushe katika hilii
Mr Big Brain zovoo
Hakuna mtu amekamilika hata kama ikitokea ni kweli hatutashangaa kwa sababu bro pale ni binadamu kikubwa ni kuendelea kumuomba Mungu na kukimbia kila aina ya vishawishi aendelee kublock wadada wasiojielewa.
Unaakiri sana ww malack
Nakupenda Sana zoravo kaka
Anaitwa zovoo😃
Wisdom upon Man of God
Zoravo be blessed
Mungu akutunze na upate kile uombacho
A wisely minister ❤🎉
I understand you bro,
Mwamba ananda huyo kinoma na anaimba kiroho❤❤❤❤
BE BLESSED BY JESUS
Ribarikiwe tumbo lilokuzaa
barikiwe mno kaka
Uko vizuri kihuduna ila Biblia inasema usinyoe denge , pembe za vichwani,Wala msihalibu pembe za ndevu zenu.mambo ya walawi 19;27
We endelea kuelezea kunyoa nywele sahau utakatifu kitakupata kitu😂
Sheria haikuweza kumuokoa mwanadamu...neema ya Mungu inatukamilisha
Ukiongozwa na roho wala hauko chini ya sheria😂
Huwa napenda sana nyimbo za huyu kaka wa MUNGU kuna nguvu kwenye nyimbo zake wanawake tuache kuwachafua watoto wawanawake wenzetu kama kuolewa tutaolewa kwa kudra za mwenyezi Mungu tu na sio bla bla
Me nakupenda
Kabisa kaka
Mbona mesg maelezo mingi...
Vimeumana😂
Wambieni backup wenu waache kuvaa suruali
Son Of the King
✍️✍️
Nimekaa kimya
Nikiwa Burundi huwana msikilizasana kama ana Rejesha
Mungu azidi kukutumia ili vijana tujifunze
Hey
Endelea mbeleee,, huduma Yako njema,,
Hakikaaaa
Kizazi hiki nishidaa tupu.
Waseja wakasema iih!😂😂😂
Its better you get married all those fights will cease
Yesu azidi kumtunza🎉
Ila bro ukioa unakuwa umemaliza hizo kesi😂,,Oa bhana 😂😂😂 au unapenda hizo gossips?
Kijana huyu ni mtumishi wamungu kbs
Wanafunzi wa Cuba Masters in mass communication and confusion tushajaza jibu. 😂😂😂 Presenter chukua maua 🎉🎉🎉😂
MFUMO..
Bado ujaokoka hakuna mahusiano ya mwenza wamaisha bila ndoa jibu liko pale pale huu ni uzinzi 😅
😂😂😂😂
@@happymaneno135 😜😜😜
Una kosea sanaa
@@KingSolomon-jo3dh nimekosea nin hapo huu unaitwa uzinzi mwanaume na mwanamke wakikutana kiwili kabla ya ndoa hao niwazinzi
@@sarahsesa8851uliwashika unajua kwa kujikuta mtakatifu sana huku ukizusha vitu . Imagine kwende kuzimu kisa uzushi😂 uzushi tu dah unachomwa pamoja na Osama 😂😂 Acha umbea lipa maden ya watu punguza stress
Brooh Zoravo tusamehe sisi wadadaa..
Nadhan ni mihemko tu,na upande mwingine shetani anatumia watu kuangusha watu..ila most of us tunakukubalii tuu😢😢
May THE MERCY OF GOD BE UPON US😢🙇...
Nimepanda umeongea Kwa hisia sana
@@mwakipiano4568 Ni kweli yaniii..wadada Mungu aturehemu tuu,coz wengine we fancy him as our brother 😔ila wengine wanampa shetani nafasi awatumiee..
Hili swala limenigusa sanaa,coz naelewa hii vita inakuwaje kwa Mtumish wa MUNGU ( haswa MBEBA MAONO WA UFALME WA MUNGU)😢
Nyoa nywele vizuri kama mtumishi wa Mungu
Nyoa zako uwe mfano ufanye interview uwe maarufu ajifunze kwako
Watumishi wana nyoa aje
Kwel umejbu kama mtumishi wa Mungu ume present ulichobeba sio wengne watumish kanisan ila wakhojiwa wanjibu jibu tu utafkri anahojiiwa konde
Never justify yourself zoravo.
Shucxy umeganda au 😂😂😂
Huyo ni msanii aneimba ujumbe wa gosple ila sizani kama uwepo wa mungu
Uwepo wa Mungu unapimwaje kwani?
Sawa yesu msaidizi
Ala!🤷
@@angellwehela4303😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@@angellwehela4303 😂😂😂
Jamani nahitaji namba za huyu mtangazaji
0788581367
Mi nina mashaka kwa nini ajawa straight kuhusu mchumba.
Vizuriiii Block kabisa
please Man of God you have to marry ,you're mirror that people look after they dress up to get out .come on...
Am just disappointed with Zoravo..it's either black or white.. He ought to address his status with urgency ,as a minister that matters.Many peopleare looking up to him..the devil shall us that to destroy him if he won't move with speed..all the best as he is praying for a life partner..
It's private life. why does he need to publicly address it?
Ila Mimi sipendi alivyo shave nywele duuuuh hata Kama Mungu anamtumia Ila badilisha muonekano wako ili vijana wengne wajifunze
Makubwa, mwengine atasema Mimi sipendi anavyovaa
Ukiongozwa na roho wala hauko chini ya sheria...msipende kujaji watumishi MUNGU,sisi ni mwili mmoja mguu hauwezi ng'oa jicho kisa umejikwaa be careful sana😂😂😂😂
@@aronjosephndaki6563umenena
Amen for the glory of our God... Jus a soft advice bro
ili akufurahishe😂😂 Acha ufarisayo hizo nywele hazina shida wew mbambana na roho yako iende mbingun
Ila zoravo jamani mbona utukule bloku😅
Be honest bro already you have shown a negative attitude regarding that simple question means you have sooo many girls
Nakupenda Sana mtumishi wa Mungu zoravo maisha malefu my brother