First time nilipoona hii nyimbo wala sikuhangaika nayo but today mpaka nimelia nilipousikiliza hakika kimbilio letu ni kwa Bwana we have to worship Lord forever
Tenda wema na wew ulipewe mema 😍 Tuishi kwa wema jaman huwez kujua nan n msaada wako wa baadae just imagine wasinge msaidia chakula huyooo dog hiyooo siku hospital ingekuwaje duuh Mungu tufunze ktenda wema
Mimi nampenda Zuchu alafu nampenda Nandy na sina team coz mi mtanzania .. Coz when they're doing good they make me proud being Tanzanian here I'm nd wherever i go.. Nd I'm very happy to see people form other countries love our music nd our musician it's a big honor for the national... 🇹🇿 keep ur head up Nandy 💯 together we can 💪🏿 i will be so happy if will hear u got a collaboration with Zuchu one day .. 🇹🇿🇰🇪🇿🇼🇿🇦🇹🇬🇸🇳🇸🇸🇳🇬🇺🇬🇨🇩 Africa unite💪🏿
Umeimba gospel hadi leo siku ya 3 haijafika hata 300k viewers ,ila sasa ungeweka kama ile.LEO LEO ungekuta tayar inazo 1M ,... Mungu ni wetu sote ,tumuabudu kila wakati
Kama binadamu wangelikua na uwezo wa kuandika maisha yako upya basi wengi wangelitamani kukuandikaa maisha ya injili,yenye furaha na baraka mingi kutoka kwa Mungu..Wapendeza sana katika kuimba nyimbo za injili.
Come-on Nandy,, just be a gospel artist aki,, you'll do better than the way you're doing the bongo style. Take that decision siz and you won't regret it. Rep Kenya Nice song.. wanibariki
Nandy there's something God has put inside you. As some gospel artists have abandoned the gospel it's my prayer that God is going to raise many vessels and Nandy you're one of the vessels.
Hapa ndipo panapokufaa kwa ushauri wangu kwako achana na nyimbo za dunia mtumikie Mungu kwani Mungu amekujalia kipaya na pia ameweka huduma kuu ndani yako ichochee karama ambayo Mungu ameiweka ndani yako. Nyakati tulizonazo nazo ni za mwisho dada! Mungu alikomboe taifa lake
Nady okoka tu sijui huko ulifataaa nin 😂😂 mpka nimeupenda huu wimb 💖💖 okoka 2 Mungu anakupenda dada ye2 . Kwel bongo huku hakufaii kwel suree hapa nakubali
Nzr saaana tatizo mm sikuelewagi uko kwenye bongo flava au upo kwenye nyimbo za injili ,? Nakupenda nyimbo nzr saaaaawna😘😍😍😍😍makopa kopaaa kama yoteee😍😍😍😍😘😘😘😘😘😘🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩
Shalom, Dada kweli umeweka nadhiri. Yakumuwabudu MUNGU milele basi Fanya ivyo ushuda. Muku kwako. Iko mbele. Yako amen. Ni muchungaji bulambo nikiwa. Mombasa kenya
Iwapo watu wote tumeguswa na huu wimbo, kwa nini tusiende mbele za Mungu, tukimsihi Bwana Yesu amrejeshe Nandi ktk kusudi la kumuumba awe mwimbaji wa Gospel, sijui kama tunamkumbuka Sauli ambaye badae aliitwa Paulo, sijui tunamkumbuka Rahabu alikua kahaba ila alikua nisehemu ya uzao alio tokea Yesu..... Tumuombe Mungu kwahili..
Wema ni akiba, nyimbo yako ina maadili na inatufundisha kutenda wema na pia kuweka tumaini kwa mungu bila ya kukata tamaa. Barikiwa sana The African princess
One thing that I know, Nandy is a great gospel singer and she's going to bring many to Christ. Just watch and see...I'll witness this great transition!!!
Sister mwenyezi mungu akutie nguvu katika mihangaiko yako yahapa duniani kuimba umajua so maneno yamitandao ata isikutetemeshe naupenda music wako every day naushindia nikiusikiliza SUPPORTED FROM TUNDUMA SONGWEEEE
Nyimbo za kawaida siyo dhambi hata biblia imewatambua waliokuwa wakiburudisha enzi za biblia na haijasema walitenda dhambi. Acheni kuwakarisha tamaa watu na vipaji vyao. Keep singing what is in your heart Nandy.
Why is it that,, when a secular artist sings a gospel song, in most cases it's more professionally composed than one from a Gospel Artist,, I love the song,, Mungu hatuachi kamwe
Nandy, you have a rare gift from God. Don't allow the world to lure you and misuse that gift. I first heard your song nifundishe wema wako and frankly speaking, it is a blessing. Serve God with your gift Nandy, you are God's child, Rudi nyumbani
Oooh hongera mtumishi wa Mungu.. Ahsante Yesu maana nyimbo hii imefanyika baraka kwangu na kwa wengine pia Mungu aliye hai akutunze na kukikuzi kipawa kilichoko ndani yako kwaajiri ya faida ya Ufalme wa Mungu..Rum 10:9,10,17..Kut..20:1-3. Barikiwa dadah..
Nandy una kipawa cha kumuimbia mungu wako...ingia gospel..i believe thats wea ur calling is...ministering to people through music...u dont know how many souls youve touched by making music like this....Mungu na akubariki..
Nandy tatizo unajua sana jaman.....Na history ya hio nyimbo inafundisha utabaki kuwa juuuu NANDY wakimambele ww sio watanzania tyuu....Me nakupenda sana ubarikiwe dada anguuu
Kusaidia ni tendo la huruma na ni baraka kubwa endapo utamsaidia mtu mwenye uwitaji utazidishiwa kila wema utendalo kwa mtu hata kama so leo basi kesho tukumbuke wema ubalipa😍😘#nandy
Nandy Sasa huku ndio Nyumbani kwako, huko kwingine wajicheleweshea muujiza wako na wito wako wafaa uende mbali Zaid ila nakuombea Yesu akufungue macho ya ndani na masikio ya ndani ili upate na kuona na kusikia wito wa Mungu
Hakika nimebarikiwa kwa mana hadi muda huu "MUNGU WANGU" umenipa kibari bado naimiliki pumzi 🙏🙏🙏🙏.Tusha sana Nandy ujumbe mzuri sana , idea ndo umeuwa balaaa🔥🔥🔥🔥🔥
Bonjour le Monde, eh bien, je ne comprends pas la langue, mais les images parlent d'elles-mêmes ! Des situations qui se croisent sur des parcours séparés et différents, mais qui se retrouvent parfois à avoir une terminaison commune, comme des petites rivières qui se séparent et se retrouvent en embouchure à l'entrée de la mer ! Comme quoi, à faire du bien, un jour ou l'autre on en récolte les fruits ! Bravo à cette Damme et sa Fille pour leur assistance à ce jeune Garçon lorsqu'il en avait besoin, et Bravo à cet Homme devenu Médecin pour sa Reconnaissance ! Très belle leçon de vivre ensemble !! Paul 73 ans de Guadeloupe, résidant en région parisienne ! Merci pour cette vidéo !! Je vous embrasse ! Très Grande chanteuse Nandy que je viens tout juste de découvrir !
Kila nlipokua nikitaka kuskiliza nyimbo hii nlikua naona cwez kupata kishwawishi chchte kutokana na nyimbo unazoimba lkn sio kweli nmeskiliza ukweli mungu azdi kukubariki nandy 🙏🙏😭
Nandy qkiiingia katika gospel anaeza fanya vizuri sana kama unamkubali gonga like
Exactly
Daah hii nyimbo imenifanya nifurahi yaaan hiii nyimbo kali sana aiseee kama unampenda nandy na unampenda Yesu aliyefufuka kwa ajili yako gonga like☺☺☺
ruclips.net/video/Vnso1zH4F5Q/видео.html
Walai she fits in gospel
Nice
Nimejifunza kufanya mazuri kwa kila mtu Asante yesu kwa fundisho lako kupitia mtumishi wako
Nandi my dear mgeukie mungu umuimbie saut nzur amekupa umuiimbie yey sio kuiimbia dunia plz
Tunaopenda nandy awe mwimbaji wa gosple
Wimbo n mzuri ubarikiwe nandy
hakik
Ukiimba nyimbo za gospel unanibariki san na unapendezea sana kumtumikia Mungu kwa hicho kipaji,,,tunalioona hili kama mm tukutane kwenye coment
That's true ,no doubts
That's true ,no doubts
ruclips.net/video/An3TTcRB-9w/видео.html
Amini kwamba
Very true
Hii ni nyimbo inanibarki SaaAAAN 🙏🙏ooh MUNGU nilinde mm na kizazi changu mlinde baba yangu huko alipo hakika wewe ndie mwenye kujua kesho yetu
All people from Tanzania show some love here💜💜💜💜
Yaani wakenya tuko kila mahali imagine.....like
Nandi Leo sijachelewa ..kazi nzuri Kama wewe wa 🇰🇪 nipe likes za Nandy
Waooooh 😘
Waooooh 😘
Hiii
ruclips.net/video/AafVSFV13lwv/видео.htmlb
ruclips.net/video/Vnso1zH4F5Q/видео.html
Team nandy gonga like hapa kwa kazi nzuriii
First time nilipoona hii nyimbo wala sikuhangaika nayo but today mpaka nimelia nilipousikiliza hakika kimbilio letu ni kwa Bwana we have to worship Lord forever
Unae soma comments huku una watch najua hatujuani ila naomba mwenyezi mungu akuzidishie maishani 🙏🙏🙏❤️
Pia Nawe
@@rahabwaseykarim1507 Shukran 🙏🙏
Haki ubarikiwe
Pia nawe bro
Pia nawe bro
Anyone supporting this talented girl from Kenya gonga like
ruclips.net/video/AafVSFV13lwv/видео.htmlb
She’s Tanzanian
Since when Nandy is Kenyan?
She is from Tanzania.
ruclips.net/video/Vnso1zH4F5Q/видео.html
😂 😂 😂
Jamani Nandy okoka tu uingie kwenye gospel Una kitu cha MUNGU ndani yako hii nyimbo imenibariki hongera na asante
Tenda wema na wew ulipewe mema 😍 Tuishi kwa wema jaman huwez kujua nan n msaada wako wa baadae just imagine wasinge msaidia chakula huyooo dog hiyooo siku hospital ingekuwaje duuh Mungu tufunze ktenda wema
Mimi si nmesema na nina sema tena Hakuna kama Nandy... African Princess gonga like kama unamkubali
Yupooo. Pouwa Sana
Mimi nampenda Zuchu alafu nampenda Nandy na sina team coz mi mtanzania .. Coz when they're doing good they make me proud being Tanzanian here I'm nd wherever i go.. Nd I'm very happy to see people form other countries love our music nd our musician it's a big honor for the national... 🇹🇿 keep ur head up Nandy 💯 together we can 💪🏿 i will be so happy if will hear u got a collaboration with Zuchu one day .. 🇹🇿🇰🇪🇿🇼🇿🇦🇹🇬🇸🇳🇸🇸🇳🇬🇺🇬🇨🇩 Africa unite💪🏿
Nandy is God's vessel just a little diversion by the devil but her breakthrough is on the way in Jesus name.
Umeimba gospel hadi leo siku ya 3 haijafika hata 300k viewers ,ila sasa ungeweka kama ile.LEO LEO ungekuta tayar inazo 1M ,... Mungu ni wetu sote ,tumuabudu kila wakati
Kizazi hiki ni cha nyoka ndo maana hizo za dunia zina likes nyingi ndani ya masaa na hii ya Mungu haina.
my thoughts too,may God guide her
Kaxi ya shetani ni ya haraka na haina ufahamu but ya mungu ni pole pole and original dada umenigusa
Mm nimefungua kwakua nimeona ni Gospel
Kama binadamu wangelikua na uwezo wa kuandika maisha yako upya basi wengi wangelitamani kukuandikaa maisha ya injili,yenye furaha na baraka mingi kutoka kwa Mungu..Wapendeza sana katika kuimba nyimbo za injili.
Very true, she is magnificent in gospel, #Nandy you should consider sing gospel frequently
#Radiokanjo ,,,,Nakubali yuko vizuri sana kwa nyimbo za injili
Kweli kabisa kaka...100000000M support kutoka 254 KENYA
Baada ya kusikiliza huu wimbo wako nimeamua kuokoka,,Asante Yesu kwa mtumishi wako HUYU🙌🙌
Hongera mpendwa kwa kumpa Yesu maisha yako
😂😂😂🙏🙏👏👏
Aminaaa
I hope sio jokes
😂 huwa nafurahi sana moyoni nikoliona watu wanamrudia MUNGU
Come-on Nandy,, just be a gospel artist aki,, you'll do better than the way you're doing the bongo style. Take that decision siz and you won't regret it.
Rep Kenya
Nice song.. wanibariki
Nandy there's something God has put inside you. As some gospel artists have abandoned the gospel it's my prayer that God is going to raise many vessels and Nandy you're one of the vessels.
Bongo falava unaweza na gospel unaweza. Official Andy upo juu saana. Wanaomkubali Mandy gonga like hapa
Mungu akuzidishie siku na baraka,Katka maisha yako yote ,naomba like zako nandy
Hapa ndipo panapokufaa kwa ushauri wangu kwako achana na nyimbo za dunia mtumikie Mungu kwani Mungu amekujalia kipaya na pia ameweka huduma kuu ndani yako ichochee karama ambayo Mungu ameiweka ndani yako. Nyakati tulizonazo nazo ni za mwisho dada! Mungu alikomboe taifa lake
Nady okoka tu sijui huko ulifataaa nin 😂😂 mpka nimeupenda huu wimb 💖💖 okoka 2 Mungu anakupenda dada ye2 . Kwel bongo huku hakufaii kwel suree hapa nakubali
Kama mnamkubali NANDY shusha like zako na comments
👋
You are great
ruclips.net/video/AafVSFV13lw/видео.html
Si mkubal ahamie gospel mazima ,maana haielewek anatuchora
ruclips.net/video/Vnso1zH4F5Q/видео.html
Finally the video is out,I know one day this girl will sing for God fully
@gadson35287am from ke,in regards to what u have said,i have noticed she has this attachment to God ni vile anaifichanga kiplan.ama aje stesh
My prayer too such angelic voice👌👌👌❤❤❤
@@shickysshicky1745 t'will be my happiest day manze.
Mwanzon kabla ya mziki alikuaga nimwana praise kanisan
Yeah, in some interview she mentioned that she was brought up as a christian. Atarudi nyumbani where she belongs
Huku ndiko nyumbani kwako Mamaa Njoo Mapema Ukiimba hizi tunabarikiwa Saana MUNGU Kulinde na kukutunza Kipenz Chetu
Nzr saaana tatizo mm sikuelewagi uko kwenye bongo flava au upo kwenye nyimbo za injili ,? Nakupenda nyimbo nzr saaaaawna😘😍😍😍😍makopa kopaaa kama yoteee😍😍😍😍😘😘😘😘😘😘🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩
Wimbo huu umenifunza usikose kumsaidia mtu ili siku moja Mungu atakulipa panapo majaliwa
Ubarikiwe Dada ila Rudi kwenye injili itapendeza zaidi
Wanibariki🙌🏽...sitokuacha milele , wanilinda Mie sitakuacha milele ...umenivisha baraka ✨.Nilipo mie na wewe upo 🤗.
ruclips.net/video/Vnso1zH4F5Q/видео.html
Shalom, Dada kweli umeweka nadhiri. Yakumuwabudu MUNGU milele basi Fanya ivyo ushuda. Muku kwako. Iko mbele. Yako amen. Ni muchungaji bulambo nikiwa. Mombasa kenya
Iwapo watu wote tumeguswa na huu wimbo, kwa nini tusiende mbele za Mungu, tukimsihi Bwana Yesu amrejeshe Nandi ktk kusudi la kumuumba awe mwimbaji wa Gospel, sijui kama tunamkumbuka Sauli ambaye badae aliitwa Paulo, sijui tunamkumbuka Rahabu alikua kahaba ila alikua nisehemu ya uzao alio tokea Yesu..... Tumuombe Mungu kwahili..
Wema ni akiba, nyimbo yako ina maadili na inatufundisha kutenda wema na pia kuweka tumaini kwa mungu bila ya kukata tamaa. Barikiwa sana The African princess
Wa kusoma comment as we watch pigeni like❤😍
ruclips.net/video/AafVSFV13lwv/видео.htmlb
ruclips.net/video/Vnso1zH4F5Q/видео.html
ruclips.net/video/8bs_9VGV_0k/видео.html
Woyooo
Daaaàah ur the first nandy
For this reason you were born to glorify God with your voice.
Amen🙋🙋
🙏🙏🙏❣
One thing that I know, Nandy is a great gospel singer and she's going to bring many to Christ. Just watch and see...I'll witness this great transition!!!
Amen
It is tru
I love your voice Nandy. Much support from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Huu wimbo unagusa sanaa😤🤧. Km na we umeguswa km mm like hapo
Surely hii nyimbo inanipa makumbusho makali sana...nikiwa martant word na mke wangu 😲 🙏🙏 Mungu ni mwema
Do to others wat u want them. to do to u.and the Almighty Will bless u abundantly .Sweet voi nandy
Moto Sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪haki nipeeni likes za Nandi
Kama Umebarikiwa kama Nandy, tuonyeshe ❤️❤️❤️❤️
Wacha itambeee
Sister mwenyezi mungu akutie nguvu katika mihangaiko yako yahapa duniani kuimba umajua so maneno yamitandao ata isikutetemeshe naupenda music wako every day naushindia nikiusikiliza
SUPPORTED FROM TUNDUMA SONGWEEEE
Ubarikiwe kwa wimbo wako mzuri wenye darasa ndani yake nakutakia Kila raheri zije nyingine nyingi zenye ujumbe wa mandhari hii♥️♥️♥️♥️🕷️🕸️🕸️🕸️🕸️🙇🙇🙇🙇
Mim ni Mwislam lakin hii song imenigus much love Nandy 🥰🥰from Burundi
Welcome to gospel music mama,God loves you
Nyimbo za kawaida siyo dhambi hata biblia imewatambua waliokuwa wakiburudisha enzi za biblia na haijasema walitenda dhambi. Acheni kuwakarisha tamaa watu na vipaji vyao. Keep singing what is in your heart Nandy.
My prayer is for you to sing for God and I know God is preparing you nandy itikia wito wa Kristo.
Well said sis. I pray for her to be 💯 God worshipper.
Why is it that,, when a secular artist sings a gospel song, in most cases it's more professionally composed than one from a Gospel Artist,, I love the song,, Mungu hatuachi kamwe
This flag is internationally recognized 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
ruclips.net/video/Vnso1zH4F5Q/видео.html
YAANI NANDI UMENIFURAHISHA MWANANGU DAAA YAANI SAUTI YAKO NI YAKUMWIMBIA YESU MWANANGU DAAAA HONGERA SANAAAA
New subscriber After This... nipewe likes 🇰🇪
MUNGU anawajua walio wake , na kamwe hataacha apotee hata mmoja, sema Ameen!!!!!
YOU LOOK EVEN MORE GREAT AS A GOSPEL SINGER DAUGHTER OF GOD
Yeah....she should be doing gospel all the time .. she's good at it ...❤️
Mrembo you are such a blessing to many through this song + 254
U
Niice song
I cant get enauf of this song
Blessing over and over
+254 to the world 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nandy, you have a rare gift from God. Don't allow the world to lure you and misuse that gift. I first heard your song nifundishe wema wako and frankly speaking, it is a blessing. Serve God with your gift Nandy, you are God's child, Rudi nyumbani
Ukiwa umepitia matatz au unayapitia matatz ukickiliza huu wimbo unapata Imani mbele za Mungu
The song has spoken to me am from the hospital to see my dad naomba mungu amponye cku moja turejee nyumbani sote Thank you Nandy
From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
May he get well sooner
Thank you my dear
In jesus name its well with him
Imeandikwa kwa mijeredi yake umepona, amini atapona kwa jina la Yesu
Oooh hongera mtumishi wa Mungu.. Ahsante Yesu maana nyimbo hii imefanyika baraka kwangu na kwa wengine pia Mungu aliye hai akutunze na kukikuzi kipawa kilichoko ndani yako kwaajiri ya faida ya Ufalme wa Mungu..Rum 10:9,10,17..Kut..20:1-3.
Barikiwa dadah..
Uku njo kwenye kuna fasi yako dada acha maisha yetu ya msifu Yesu kristo kila siku.
Nandy dada angu karama unayo kubwa sana unafaa umwimbie Mungu dada huu wimbo kila siku lazima ni usikilize.
Unapendeza zaidi hivi kuliko duniani
Mm pia
🥰🥰🥰 I am muslim but I really love you Nandy I love your songs and hauna majigambo one love I am Radhia from +254
Kwani waislamu hawaezipenda wakristu "whats that?"
I guess this is my friend biimu in dubai kama ni wewe reply dear
ruclips.net/video/Vnso1zH4F5Q/видео.html
@@princerangudi4049 she said she love her n her songs....thats appreciation of the highest level....muslims n praising songs???mmmmh
ruclips.net/video/8bs_9VGV_0k/видео.html
Nandy una kipawa cha kumuimbia mungu wako...ingia gospel..i believe thats wea ur calling is...ministering to people through music...u dont know how many souls youve touched by making music like this....Mungu na akubariki..
exactly
Dada angu nandy rudi nyumban kumenogaaa,,,Yesu anakuhitaji umtumikie yeye,,, kwa wimbo huu bwana atafanya ktu ,god bless you
Nandy tatizo unajua sana jaman.....Na history ya hio nyimbo inafundisha utabaki kuwa juuuu NANDY wakimambele ww sio watanzania tyuu....Me nakupenda sana ubarikiwe dada anguuu
Kusaidia ni tendo la huruma na ni baraka kubwa endapo utamsaidia mtu mwenye uwitaji utazidishiwa kila wema utendalo kwa mtu hata kama so leo basi kesho tukumbuke wema ubalipa😍😘#nandy
Nikweli kabisa km harmonize alivyo msaidia Angela
Nandy professional and talented women but for this let our God never pass on you :if possible deep on Gospel Nandi may God bless you
Nandy Sasa huku ndio Nyumbani kwako, huko kwingine wajicheleweshea muujiza wako na wito wako wafaa uende mbali Zaid ila nakuombea Yesu akufungue macho ya ndani na masikio ya ndani ili upate na kuona na kusikia wito wa Mungu
Couldn't help noticing Alice Kimanzi's lyric and melody "..moyo wangu wa kutamani ewe Baba nafsi yangu yakulilia.."
I do love that song of Alice wooiiih 🙏🙏🙏
Amen
Nilipo mie naamini na wewe upo bwana🙏🙏
gonga like kama unaamini
Hakika nimebarikiwa kwa mana hadi muda huu "MUNGU WANGU" umenipa kibari bado naimiliki pumzi 🙏🙏🙏🙏.Tusha sana Nandy ujumbe mzuri sana , idea ndo umeuwa balaaa🔥🔥🔥🔥🔥
Nandy tulia kwa Yesu na umtumikie kwa kipaji chako hiki cha uimbaji unapendezea hadi raha
Bonjour le Monde,
eh bien, je ne comprends pas la langue, mais les images parlent d'elles-mêmes ! Des situations qui se croisent sur des parcours séparés et différents, mais qui se retrouvent parfois à avoir une terminaison commune, comme des petites rivières qui se séparent et se retrouvent en embouchure à l'entrée de la mer ! Comme quoi, à faire du bien, un jour ou l'autre on en récolte les fruits ! Bravo à cette Damme et sa Fille pour leur assistance à ce jeune Garçon lorsqu'il en avait besoin, et Bravo à cet Homme devenu Médecin pour sa Reconnaissance !
Très belle leçon de vivre ensemble !!
Paul 73 ans de Guadeloupe, résidant en région parisienne !
Merci pour cette vidéo !!
Je vous embrasse !
Très Grande chanteuse Nandy que je viens tout juste de découvrir !
I am representing all Ugandans here show some love my people. 🇺🇬 ❤️
ruclips.net/video/Vnso1zH4F5Q/видео.html
Cicta nandy huu wimbo umejitahid sana afu unanigusa sana chapili video imeendana na wimbo ulivy mungu akubaliki sana
Nandy ita kuwa vizuri Sana uki amua ku mu tumikiya Munguuuuuuu una sautiiiiii nzuri sana
Bado nasimama kwa neema zake mwenyezi mungu🙏
We love you mamah....all the way from Kenya...malkia mwenyewe
I am proud of you Daughter of God...Your voice is very great when you sing for the Lord your God my sister..
yaan we dada unaupako wa gospel hebu mpokee yesu uiache bongo fleva ukamwimbia mungu binafsi nakupendaga sana unahuduma kubwa sana
Lesson:Be nice to people...tends weka nenda zako🙏
This song reminds me nikumbushe cover.nandy kenya twakupenda sana
Bora uhamie huku uachage kuimb zile nyimb nyengin big up nandy 😘😘😘
Huko uliko wamekuiba huku ndiko kwako Rudi nyumbani,Yesu anakupenda
Just sing gospel music Nandy. Toka secular 🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭 this is so awesome
Kama umependa story ya huu wimbo kutoka mtaani hadi kuwa doctor. Wema ni akiba.
Nice song, waiting for a collaboration with Christina Shusho.
ruclips.net/video/Vnso1zH4F5Q/видео.html
Mungu akubariki kwa huu uwimbaji mzuri dada mimi napita tu wimbo zako ila nlijaribu nisikize huu wimbo kweli Unakaa poa ukiimba gospel
Sasa ndo unafanya kitu cha maana...hold onto God nae atakuongoza... hizo nyimbo za kidunia ni kelele mbele za mungu.
Wimbo mtamu kweli
This song is motivation for all those people who face a hard time
Nandy never disappoints 🇰🇪🇰🇪
ruclips.net/video/Vnso1zH4F5Q/видео.html
Nandy I pray u be singing gospel but i like everything about u am a kenya but I love ur songs alot
Kila nlipokua nikitaka kuskiliza nyimbo hii nlikua naona cwez kupata kishwawishi chchte kutokana na nyimbo unazoimba lkn sio kweli nmeskiliza ukweli mungu azdi kukubariki nandy 🙏🙏😭
God bless everyone watching 💕🇰🇪
ruclips.net/video/Vnso1zH4F5Q/видео.html
African princess you have an amazing voice and wow you should also consider doing more gospel songs❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥👌🇰🇪
Unapendeza ukimtumikia Mungu dada,wacha akuinue na azidi kukubariki kwa uzuri huo na sauti umebarkiwa❤️
All surpport from kenya i love u my kenyan ppl 🇰🇪🇰🇪🇰🇪