Bela, ndoa inatengenezwa, kama unapenda MUNGU na huduma uliyonayo tengeneza nyumba Yako, hicho kipindi ambacho hauko na mume wako unafikiri MUNGU Bado yuko n wewe. Muulize Roho mtakatifu harafu majibu atakayokupa fanyia kazi bila kuhesabu gharama.
Aiseee,hongera lkn kuchora tatuu ni dhambi tena kila tatuu Ina maana na inamajini 3,Mungu anakataza Sana kuchora miili kabisa Walawi 19:28,alafu Sasa naomba ujue mwili wako ni hekalu takatifu....
The best worshiper na unajiamini sana that way unaenda mbele mwingine Kwa maneno kuhusu tattoo angekata tamaa ila unajua kusudi keep moviñg bella
God bless u
My best girl song worshipper
She is very beautiful in deed
Napenda unavotangaza dada
Kama umebadilika,badilisha Hadi mavazi pia,itapendeza sana
Sound haijakaa vizuri
Efeso 4:26, umewezaje kukaa tofauti na mume wako kipindi chote hicho
Kwani wewe cio mzuri.. Wacha kujiangusha
Bela, ndoa inatengenezwa, kama unapenda MUNGU na huduma uliyonayo tengeneza nyumba Yako, hicho kipindi ambacho hauko na mume wako unafikiri MUNGU Bado yuko n wewe. Muulize Roho mtakatifu harafu majibu atakayokupa fanyia kazi bila kuhesabu gharama.
Vp huo upaja?unamuo yesha nani?au ndo upo sokoni?very sorry
Aiseee,hongera lkn kuchora tatuu ni dhambi tena kila tatuu Ina maana na inamajini 3,Mungu anakataza Sana kuchora miili kabisa Walawi 19:28,alafu Sasa naomba ujue mwili wako ni hekalu takatifu....
Uliza kwanza ilikuwaje hizo tatoo kabla hujatoa hukumu yako
@@priscamwabulanga5294 je umesikiliz the whole interview???