Nacha - Mnachanganya (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- Watch Nacha Perfoming Mnachanganya,
Video was Shot And Directed by Deo Abel ™Work Space Films in Dar es Salaam Tanzania, Audio track produced by Kitonzo & Bear Beats Kiri records.
Follow Nacha on socials :
/ nacha_ousam
/ nacha_ousam
For Booking Contact: nachaousam17@gmail.com
Tokea uanze kuimba sijawahi kuona ngoma yako mbovu. Kiukweli we nifundi na unajua sana big up.
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
m.ruclips.net/channel/UCAA0GUMdusQu_lOrWtFhjeg
subscribe chanel yangu 👉 ruclips.net/channel/UC6NPwS0aUVVlp3AAToVUAIw
Tumeanza na😂😂hadithi
Tukafata na 😂😂ah wapi
Sasa MBNA mnachanganya🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Huyu jamaa ana future,anakua kimziki,namuona mbali sana
💪💪💪
Haya sasa hawa ndo wasanii tunaowataka kizazi hiki 00:58 nimependa sana kanyaga like apa pia gusa picha yang
Nakuelew san
254 representing
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
pa1
m.ruclips.net/channel/UCAA0GUMdusQu_lOrWtFhjeg
Sana Mzee baba blessed
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
Am your namba one fan from Kenya,I Like your Creativity..
thankx buudah 👍
subscribe chanel yangu 👉 ruclips.net/channel/UC6NPwS0aUVVlp3AAToVUAIw
Pia mii niko, huyu jamaa ako sawa,🇰🇪 tushskubali
Great spoken guy...from Kenya
254 tuko wengi
Vp mbona mnachanganya ata like 100 mnashindwa kunipa,!!! 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daaaa nacha nakukubali siku zote huja y kuniangusha nipeni likes za nacha twende sawa hizi ndio ngoma za maana
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
subscribe chanel yangu 👉 ruclips.net/channel/UC6NPwS0aUVVlp3AAToVUAIw
Huyu ndie mrithi wa #professaljay anae kubali hit my like here
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
Daaah yan we hakika mbal sana utafik ninakukubal saaana ktk game hili,SHIKAMOO NACHA
🙏🙏🙏🙏🙏
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
Nacha Music wala ucjal tuko bega kwa bega
Uyu Jamaa Nacha Ana Akir sanaa big up Mtanzania mwenzangu Mosamossile90@gmail.com from South Africa +277
_ebu tupia like kwanza ndio tuwende sawa kama unamkubali mkali wako na bado unasikiliza 2020_
Nimeikuta tu youtube ila ni BONGE LA TRACK
Unatoka wapi urafiki wa paka (serikali) , panya (wananchi), this is art 🙌🏾 ujumbe umefika
💪💪💪
Nyie msifieni twoh na hakitekwa tujitaid
Kupaza sahuti wa bongo kwa kusifia kaz
Nzuri
Nacha ubunge unaanza kukunyemelea coz hata hata prof.J alianza hivi hivi....GOOD JOB BOB
💪💪💪
Young ProfessorJay 🤭🤭
Dah we jamaa sure nataka tu japo nikuone maan we ni genious sitanii
hawa wanao dislike watakua ni WCB tu
😀😀
😂😂😂Diamond platnumz simba ka cheka sana baada yaku ona hii vidéo ebu jionee nawe u chekeeee
👇👇👇👇👇👇👇👇👇
ruclips.net/video/nzHStcK4g7g/видео.html
Wap wakali wa kuchana like za #NACHA kama umeskia kakwambia nani undugu ni kufanana ✌✌✌✌✌
Yaani kukuelewa wewe siyo kuwatch tu nikusikiliza ubunifu wako.
Yaaan ugekuw star unhekuwa mbli ila..... Sas we ni mbaramwezi ......unajua kaka good music
Mnachanganya
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
Nacha nakubali kazi zako blood
Nyasubiii is on👊👊👊👊👊🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nyasubiii icon
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
Nyasubi moja iyo
Kama umemkubali producer kitonzo like apa tukuane
#eti_elimu_ni_UFUNGUO_hembi_niambieni_hz_FUNGUO_zipo_wp!!!💯😀😀 MBONA_mnanichanganya_nn_amekuambia_UNDUGU_ni_KUFANANA
💪💪
Hii n nyingine tenaaaaa..
Ya motooooooooooo
Mbn mnachanganya"🔥🔥
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
NACHA UR BEST ...uko so creativity sanaa
Nishamwona wa kumridhi Proffesor J +254🇰🇪 Nyumbani
From today ntakuskiza wewe PEKEE❤️❤️❤️❤️
Maisha ya mjini wape ukweli wao 255 ,nadhani hamsupport ujinga
Napata ladha ya Rostam, Prof. Jay, na Mwana FA... Kazi nzuri
Sijawahi bishia uwezo wako aiksee...mkali sana Nacha
Hizi ndo vitu Ambvyo me natumia mda mwingi kusiklz kwa sababu vina darasa ndan yke
ELiMU NA BURUDANI
Na mapambano bdo yanaendlea
🔥🔥🔥🔥🔥 mbn mnachanganya kawaambia nani undugu ni kufanana🔥🔥🔥🔥🔥
tatizo hatukuoni kwenye show kama wasanii wengine ila unafanya good work
Daah mwanangu wee 🔥🔥🔥. Wakupe promo utatuwakilisha vizuri sana
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
@@Nacha_ousam Pamoja sana blood
Naomba Tujuane apa Team Nacha
Naam hizi Ndio NGOMA zinazofaa kwenye Jamii itanisaidia nini Nikimjuwa Aliyemwaga POMBE ya Nanii..!!
💪💪
Huyu mchizi Wa kahama namkubali asilimia 100 Dadeki
Kwa hii ngoma kam namuona professor j kweny ndy mzee big up kazi iko poa sna nacha
Tuwekee verse ht tatu
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
Nlikuwa nakuckia tyu midomon mwa watu kuwa na jamaa Anaitwa NACHA lkn ckujua km unaweza kuwa ni vitu adim namna hii,big up sana bro...unatsha
Swadaktaaaa,ngoma tamu kinomaaaaa.Keep it up bro,kwangu ni YES bro
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
Mziki mzuri Sana bro,kazi nzuri sana ubunifu pia uko kinyama zaidi
Yooh nacha mkufuzi wa mambo wemjuzi bwana tutafika
Video idea kama wimbo wa Kala jeremaya na Roma!,ila uko poa kinyamaaaa
*Wenye akili pekee ndo wanaelewa ujumbe wa nacha*
watu kama hawa wanahitajika San kwenye mziki
nimekubali SAN AHHWAPI Sas mnanichangany NKUBALI BROO NACHA
💪💪
Mm nishabiki yako nacha
uko vizur mzee baba kwanzia ile nataka kuingia kwenye kiki
Nyasubi Ndio nyumbani thanks brother to be proudly home God bless you
Aaaaaah zialalishwe bangeee😂😂😂😂😂
Mm ndo huyo nilosema "ihalalishwe bangee "
Uyu jamaaa hatari sana,ila km anafata nyayo za Roma
Nimeangalia video zako siku moja ila bro unajua
Daha tanzania bana ndo maaana naipenda saaaaana yani sijawahi ona
Nakukubali sanaaa kaka unajua gonga like kama unamkubali
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
Natamani kuona collaboration yako na maarifa buddy
Nyayo za #roma, pongez xn, me shabiki yko xn
We jamaa unajua hadi unakera...like kwa mnyama hapa
mwanang hujawahi kosea
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
Hawa ndo wasanii na wanamuziki wanaojua fasihi andishi
Wekaaa bahalia usicomment uhuni na hilo ntamwambiaa
location ya mwanzo kabisa si ndo imetumika kwenye ngoma ya hadithi aaaaaaaaaaaa😂😂😂😂
David Sonjoro noma sannnnn
Hii ngoma nimeiyelewa wazembe watabak na labda
Nacha Nachaaaaa Nyasubi ndami ya Mbanyuuu....
Heshima kakaaa...ROMA kapotea sasa unatupa utam tulio umiss,broo wewe ni motooo💪💪💪💪💪
Kweli kabisa
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
@@Nacha_ousam heshima Mwaka Mzimaaa
Ya mwisho ulikua noorah sasa leo professor
We nacha yan mm huwa naxemaga ww nifund naixhia hapo we fundi ban
huwanikiisikiliza hii nyimbo nafurah tyu
💪💪💪
NACHA UNAWEZA SANA ....SIJUI KWANN WATU HAWAELEWI
💪💪
NACHA umeshindikana jamaaangu!!!💪💪💪💪
thankx 💪💪
Nachaaaaa Hahaaaaaaa kweli kabisa wanachanganya..
mbn unachanganya mAra Aah Wap Mara unachanganya
Nacha, you always make sensible songs, keep it.
thankx 💪💪
nacha upo vzr sana me binafsi nilikujua kwenye ngoma yako na stamina.
ila ngoma kali, flow kali
big up br.
ila huyo jamaa anaedai bange katisha sana
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
Tz kumeingia mwalimu wa mziki
💪💪
Ngoma kari sana hii
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
Nakukubali Sana Since SUBIRI KWANZA kaza babu hii bongo ni yako
💪💪
Kama utamu wa Facebook ni ku like basi utamu wa RUclips ni ku subscribe pia💯💯
💪💪
Napenda kazi zako broo yani uko na vibes amazing sana... From 🇰🇪
Aaah Ihararishwe BANGE!! hahah Acheni akili za Kizembee!!! hahah Nacha ur on FIRE Brother!!
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
Hv hii ngoma n ya kwang. Mbona Mnachanganya.
😆😆
Wazee big up na saport muhmu...nimependa sana,nahizi ndo bongo flever na zinanikumbusha mbalii,hongereni na pigeni kazi na nawaona mbaliii
💪💪💪
Nakubali ni Kali siasa ni mwendo wetu
nomaa sanaa bonge la single(respect)
good music
Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍
@@Nacha_ousam pmj sn mkali nakuelewa
Nyasubi
Nacha ngoma ni kalii aisee shida ya media zetyuu hazipig ngoma kma hizii ila ngoma zenye wadada walio uchi na makalio makubwa ndo wanazipa promo ngoma za kuelimisha jamii wanatupa kapuni big up Nacha
💪💪💪
Nkbl
Nina imani Prof Jay kakupa bakora..
na hizi ndizo nyimbo za kuskiriza hata na wazazi na watu wako waheshima sio kila siku aidia za mapenzi tu sawa kijana tuende hivi hivi Mungu atakushindia tu
💪💪💪
nakuelewa naaaaacha
Vidhuri
Uandishi tungo zimesimama👍👍
Ila beat la kwaya 👽👽
💪💪💪
ngoma iko juu
mwenye hii ngoma naiomba whatsapp plz 0686666239 coz me nimejarbu kudownload imegoma😢
nakubali xan kz zak,haukoxei broo
mamamamamamamama mbn km huyu jamaa kunifungulia asbh yng vzr...duh nilimix bongo flava km hii
thankx 💪💪