Nacha - Mnachanganya (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Watch Nacha Perfoming Mnachanganya,
    Video was Shot And Directed by Deo Abel ™Work Space Films in Dar es Salaam Tanzania, Audio track produced by Kitonzo & Bear Beats Kiri records.
    Follow Nacha on socials :
    / nacha_ousam
    / nacha_ousam
    For Booking Contact: nachaousam17@gmail.com

Комментарии • 842

  • @hellyfridy
    @hellyfridy 5 лет назад +115

    Tokea uanze kuimba sijawahi kuona ngoma yako mbovu. Kiukweli we nifundi na unajua sana big up.

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад +2

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

    • @kyflavour
      @kyflavour 5 лет назад

      m.ruclips.net/channel/UCAA0GUMdusQu_lOrWtFhjeg

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 4 года назад

      subscribe chanel yangu 👉 ruclips.net/channel/UC6NPwS0aUVVlp3AAToVUAIw

  • @litonely746
    @litonely746 5 лет назад +22

    Tumeanza na😂😂hadithi
    Tukafata na 😂😂ah wapi
    Sasa MBNA mnachanganya🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @OfficialKiliPaul
    @OfficialKiliPaul 5 лет назад +4

    Huyu jamaa ana future,anakua kimziki,namuona mbali sana

  • @moejaymusic9261
    @moejaymusic9261 5 лет назад +203

    Haya sasa hawa ndo wasanii tunaowataka kizazi hiki 00:58 nimependa sana kanyaga like apa pia gusa picha yang

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious 5 лет назад +2

    Sana Mzee baba blessed

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

  • @peteradonga7668
    @peteradonga7668 5 лет назад +56

    Am your namba one fan from Kenya,I Like your Creativity..

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад +3

      thankx buudah 👍

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 4 года назад

      subscribe chanel yangu 👉 ruclips.net/channel/UC6NPwS0aUVVlp3AAToVUAIw

    • @KB-do5sr
      @KB-do5sr 4 года назад

      Pia mii niko, huyu jamaa ako sawa,🇰🇪 tushskubali

    • @jamesngumba9666
      @jamesngumba9666 4 года назад

      Great spoken guy...from Kenya

    • @tittat2440
      @tittat2440 3 года назад

      254 tuko wengi

  • @hassanmakweto4012
    @hassanmakweto4012 5 лет назад +89

    Vp mbona mnachanganya ata like 100 mnashindwa kunipa,!!! 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kassammwalo5663
    @kassammwalo5663 5 лет назад +25

    Daaaa nacha nakukubali siku zote huja y kuniangusha nipeni likes za nacha twende sawa hizi ndio ngoma za maana

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад +1

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 4 года назад

      subscribe chanel yangu 👉 ruclips.net/channel/UC6NPwS0aUVVlp3AAToVUAIw

  • @osiahstimah8910
    @osiahstimah8910 5 лет назад +97

    Huyu ndie mrithi wa #professaljay anae kubali hit my like here

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад +2

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

  • @samboreeadam4273
    @samboreeadam4273 5 лет назад +26

    Daaah yan we hakika mbal sana utafik ninakukubal saaana ktk game hili,SHIKAMOO NACHA
    🙏🙏🙏🙏🙏

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад +4

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

    • @samboreeadam4273
      @samboreeadam4273 5 лет назад

      Nacha Music wala ucjal tuko bega kwa bega

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 4 года назад +2

    Uyu Jamaa Nacha Ana Akir sanaa big up Mtanzania mwenzangu Mosamossile90@gmail.com from South Africa +277

  • @kingfocustzog
    @kingfocustzog 4 года назад +3

    _ebu tupia like kwanza ndio tuwende sawa kama unamkubali mkali wako na bado unasikiliza 2020_

  • @lelomellowtz
    @lelomellowtz 4 года назад +5

    Nimeikuta tu youtube ila ni BONGE LA TRACK

  • @ericboniphace6546
    @ericboniphace6546 5 лет назад +9

    Unatoka wapi urafiki wa paka (serikali) , panya (wananchi), this is art 🙌🏾 ujumbe umefika

  • @twahaanyoni9368
    @twahaanyoni9368 5 лет назад +5

    Nyie msifieni twoh na hakitekwa tujitaid
    Kupaza sahuti wa bongo kwa kusifia kaz
    Nzuri

  • @DbashTV
    @DbashTV 5 лет назад +1

    Nacha ubunge unaanza kukunyemelea coz hata hata prof.J alianza hivi hivi....GOOD JOB BOB

  • @SamuelBlueMedia
    @SamuelBlueMedia 4 года назад +2

    Young ProfessorJay 🤭🤭

  • @MrLionVictor
    @MrLionVictor 4 года назад +4

    Dah we jamaa sure nataka tu japo nikuone maan we ni genious sitanii

  • @jaydallu3158
    @jaydallu3158 5 лет назад +2

    hawa wanao dislike watakua ni WCB tu

  • @itsjkamolabeatz
    @itsjkamolabeatz 2 года назад +1

    😂😂😂Diamond platnumz simba ka cheka sana baada yaku ona hii vidéo ebu jionee nawe u chekeeee
    👇👇👇👇👇👇👇👇👇
    ruclips.net/video/nzHStcK4g7g/видео.html

  • @omarramadhan6303
    @omarramadhan6303 4 года назад +3

    Wap wakali wa kuchana like za #NACHA kama umeskia kakwambia nani undugu ni kufanana ✌✌✌✌✌

  • @ayubuhenry5426
    @ayubuhenry5426 5 лет назад +5

    Yaani kukuelewa wewe siyo kuwatch tu nikusikiliza ubunifu wako.

  • @donaldvanjoseph3059
    @donaldvanjoseph3059 4 года назад +1

    Yaaan ugekuw star unhekuwa mbli ila..... Sas we ni mbaramwezi ......unajua kaka good music

  • @zillawakitaa7140
    @zillawakitaa7140 5 лет назад +4

    Mnachanganya

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад +1

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

    • @zillawakitaa7140
      @zillawakitaa7140 5 лет назад

      Nacha nakubali kazi zako blood

  • @goodluckymartin334
    @goodluckymartin334 5 лет назад +23

    Nyasubiii is on👊👊👊👊👊🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nyasubiii icon

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

    • @abuumpesko9704
      @abuumpesko9704 5 лет назад

      Nyasubi moja iyo

  • @mcpapitz7547
    @mcpapitz7547 5 лет назад +8

    Kama umemkubali producer kitonzo like apa tukuane

  • @trecyeddie4064
    @trecyeddie4064 5 лет назад +1

    #eti_elimu_ni_UFUNGUO_hembi_niambieni_hz_FUNGUO_zipo_wp!!!💯😀😀 MBONA_mnanichanganya_nn_amekuambia_UNDUGU_ni_KUFANANA

  • @mdozmtz2968
    @mdozmtz2968 5 лет назад +12

    Hii n nyingine tenaaaaa..
    Ya motooooooooooo
    Mbn mnachanganya"🔥🔥

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

  • @richardkazungu9462
    @richardkazungu9462 4 года назад +3

    NACHA UR BEST ...uko so creativity sanaa

  • @mikenjuguna5466
    @mikenjuguna5466 4 года назад +2

    Nishamwona wa kumridhi Proffesor J +254🇰🇪 Nyumbani

  • @fitiaswere2343
    @fitiaswere2343 2 года назад +1

    From today ntakuskiza wewe PEKEE❤️❤️❤️❤️

  • @matrixkazungu519
    @matrixkazungu519 4 года назад +1

    Maisha ya mjini wape ukweli wao 255 ,nadhani hamsupport ujinga

  • @eddymwalagho354
    @eddymwalagho354 5 лет назад +1

    Napata ladha ya Rostam, Prof. Jay, na Mwana FA... Kazi nzuri

  • @zainabhassan8169
    @zainabhassan8169 5 лет назад +2

    Sijawahi bishia uwezo wako aiksee...mkali sana Nacha

  • @issamnimbo2525
    @issamnimbo2525 4 года назад +1

    Hizi ndo vitu Ambvyo me natumia mda mwingi kusiklz kwa sababu vina darasa ndan yke

  • @kabazijr8368
    @kabazijr8368 5 лет назад +4

    ELiMU NA BURUDANI
    Na mapambano bdo yanaendlea

  • @julianmali1335
    @julianmali1335 5 лет назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥 mbn mnachanganya kawaambia nani undugu ni kufanana🔥🔥🔥🔥🔥

  • @issayusuphissa6378
    @issayusuphissa6378 4 года назад +1

    tatizo hatukuoni kwenye show kama wasanii wengine ila unafanya good work

  • @meronstudioz
    @meronstudioz 5 лет назад +12

    Daah mwanangu wee 🔥🔥🔥. Wakupe promo utatuwakilisha vizuri sana

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад +1

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

    • @meronstudioz
      @meronstudioz 5 лет назад

      @@Nacha_ousam Pamoja sana blood

  • @alongwetv3151
    @alongwetv3151 5 лет назад +5

    Naomba Tujuane apa Team Nacha

  • @kimutattoo4067
    @kimutattoo4067 5 лет назад +4

    Naam hizi Ndio NGOMA zinazofaa kwenye Jamii itanisaidia nini Nikimjuwa Aliyemwaga POMBE ya Nanii..!!

  • @damajojo
    @damajojo 5 лет назад +1

    Huyu mchizi Wa kahama namkubali asilimia 100 Dadeki

  • @ibbutv4275
    @ibbutv4275 5 лет назад +1

    Kwa hii ngoma kam namuona professor j kweny ndy mzee big up kazi iko poa sna nacha

  • @meronstudioz
    @meronstudioz 5 лет назад +5

    Tuwekee verse ht tatu

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад +1

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

  • @simonjustin5921
    @simonjustin5921 4 года назад +2

    Nlikuwa nakuckia tyu midomon mwa watu kuwa na jamaa Anaitwa NACHA lkn ckujua km unaweza kuwa ni vitu adim namna hii,big up sana bro...unatsha

  • @joasalfred4503
    @joasalfred4503 5 лет назад +3

    Swadaktaaaa,ngoma tamu kinomaaaaa.Keep it up bro,kwangu ni YES bro

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

  • @franksimwanza3037
    @franksimwanza3037 4 года назад +1

    Mziki mzuri Sana bro,kazi nzuri sana ubunifu pia uko kinyama zaidi

  • @saidally3237
    @saidally3237 4 года назад +1

    Yooh nacha mkufuzi wa mambo wemjuzi bwana tutafika

  • @josephatymziray5572
    @josephatymziray5572 5 лет назад +1

    Video idea kama wimbo wa Kala jeremaya na Roma!,ila uko poa kinyamaaaa

  • @kaniyahiouise1474
    @kaniyahiouise1474 5 лет назад +1

    *Wenye akili pekee ndo wanaelewa ujumbe wa nacha*

  • @brightonvalentino7642
    @brightonvalentino7642 5 лет назад +1

    watu kama hawa wanahitajika San kwenye mziki
    nimekubali SAN AHHWAPI Sas mnanichangany NKUBALI BROO NACHA

  • @karimabdallah3296
    @karimabdallah3296 5 лет назад +2

    Mm nishabiki yako nacha

  • @sweetbertvahaye1482
    @sweetbertvahaye1482 4 года назад +1

    uko vizur mzee baba kwanzia ile nataka kuingia kwenye kiki

  • @thadeusmathiews2564
    @thadeusmathiews2564 5 лет назад +1

    Nyasubi Ndio nyumbani thanks brother to be proudly home God bless you

  • @priscacharles4647
    @priscacharles4647 5 лет назад +6

    Aaaaaah zialalishwe bangeee😂😂😂😂😂

  • @ahmedaziz7853
    @ahmedaziz7853 4 года назад +1

    Mm ndo huyo nilosema "ihalalishwe bangee "

  • @robbypeter1371
    @robbypeter1371 5 лет назад +1

    Uyu jamaaa hatari sana,ila km anafata nyayo za Roma

  • @allykitogo2570
    @allykitogo2570 4 года назад +1

    Nimeangalia video zako siku moja ila bro unajua

  • @mr.piellenoposzi3302
    @mr.piellenoposzi3302 4 года назад +1

    Daha tanzania bana ndo maaana naipenda saaaaana yani sijawahi ona

  • @CadoStudio9898
    @CadoStudio9898 5 лет назад +6

    Nakukubali sanaaa kaka unajua gonga like kama unamkubali

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

  • @josephkumburu7339
    @josephkumburu7339 4 года назад +1

    Natamani kuona collaboration yako na maarifa buddy

  • @mahembajulius7036
    @mahembajulius7036 5 лет назад +1

    Nyayo za #roma, pongez xn, me shabiki yko xn

  • @salumuissa8501
    @salumuissa8501 3 года назад +1

    We jamaa unajua hadi unakera...like kwa mnyama hapa

  • @allykawemba9842
    @allykawemba9842 5 лет назад +3

    mwanang hujawahi kosea

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад +1

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

  • @stevenpaschal359
    @stevenpaschal359 4 года назад +1

    Hawa ndo wasanii na wanamuziki wanaojua fasihi andishi

  • @allyclassic1768
    @allyclassic1768 5 лет назад +2

    Wekaaa bahalia usicomment uhuni na hilo ntamwambiaa

  • @mrh2812
    @mrh2812 5 лет назад +4

    location ya mwanzo kabisa si ndo imetumika kwenye ngoma ya hadithi aaaaaaaaaaaa😂😂😂😂

  • @allenmalembeka7393
    @allenmalembeka7393 4 года назад +1

    Hii ngoma nimeiyelewa wazembe watabak na labda

  • @mcdericktv7298
    @mcdericktv7298 5 лет назад +7

    Nacha Nachaaaaa Nyasubi ndami ya Mbanyuuu....
    Heshima kakaaa...ROMA kapotea sasa unatupa utam tulio umiss,broo wewe ni motooo💪💪💪💪💪

    • @reekjaytz6103
      @reekjaytz6103 5 лет назад

      Kweli kabisa

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад +1

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

    • @mcdericktv7298
      @mcdericktv7298 5 лет назад

      @@Nacha_ousam heshima Mwaka Mzimaaa

  • @Shirimatunda
    @Shirimatunda 5 лет назад +1

    Ya mwisho ulikua noorah sasa leo professor

  • @pauloogtv1741
    @pauloogtv1741 4 года назад +1

    We nacha yan mm huwa naxemaga ww nifund naixhia hapo we fundi ban

  • @ngenzisaid4958
    @ngenzisaid4958 5 лет назад +2

    huwanikiisikiliza hii nyimbo nafurah tyu

  • @BONGO_FILAMU
    @BONGO_FILAMU 5 лет назад +2

    NACHA UNAWEZA SANA ....SIJUI KWANN WATU HAWAELEWI

  • @mtumishihewa7595
    @mtumishihewa7595 5 лет назад +3

    NACHA umeshindikana jamaaangu!!!💪💪💪💪

  • @pdaxofficial3144
    @pdaxofficial3144 4 года назад +1

    Nachaaaaa Hahaaaaaaa kweli kabisa wanachanganya..

  • @gudaxfrank5145
    @gudaxfrank5145 5 лет назад +1

    mbn unachanganya mAra Aah Wap Mara unachanganya

  • @stevenraymondofficial_mrut8900
    @stevenraymondofficial_mrut8900 5 лет назад +9

    Nacha, you always make sensible songs, keep it.

  • @jameslucian1905
    @jameslucian1905 5 лет назад +15

    nacha upo vzr sana me binafsi nilikujua kwenye ngoma yako na stamina.
    ila ngoma kali, flow kali
    big up br.
    ila huyo jamaa anaedai bange katisha sana

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

  • @Lazaro_kibukira
    @Lazaro_kibukira 5 лет назад +1

    Tz kumeingia mwalimu wa mziki

  • @hamisikassimu4851
    @hamisikassimu4851 5 лет назад +3

    Ngoma kari sana hii

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

  • @swahiliforex
    @swahiliforex 5 лет назад +1

    Nakukubali Sana Since SUBIRI KWANZA kaza babu hii bongo ni yako

  • @madhouse603
    @madhouse603 5 лет назад +2

    Kama utamu wa Facebook ni ku like basi utamu wa RUclips ni ku subscribe pia💯💯

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад +1

      💪💪

    • @madhouse603
      @madhouse603 5 лет назад

      Napenda kazi zako broo yani uko na vibes amazing sana... From 🇰🇪

  • @adamshamte9123
    @adamshamte9123 5 лет назад +1

    Aaah Ihararishwe BANGE!! hahah Acheni akili za Kizembee!!! hahah Nacha ur on FIRE Brother!!

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

  • @cijotz4093
    @cijotz4093 5 лет назад +2

    Hv hii ngoma n ya kwang. Mbona Mnachanganya.

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 5 лет назад +1

    Wazee big up na saport muhmu...nimependa sana,nahizi ndo bongo flever na zinanikumbusha mbalii,hongereni na pigeni kazi na nawaona mbaliii

  • @habakukihabakkuk7568
    @habakukihabakkuk7568 4 года назад +1

    Nakubali ni Kali siasa ni mwendo wetu

  • @humphreyrweikiza6047
    @humphreyrweikiza6047 4 года назад +1

    nomaa sanaa bonge la single(respect)

  • @mariodattany
    @mariodattany 5 лет назад +3

    good music

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  5 лет назад +1

      Asante Kwa Sapoti Na Endelea Kutazama Na Ku share 👍

    • @mariodattany
      @mariodattany 5 лет назад

      @@Nacha_ousam pmj sn mkali nakuelewa

  • @chattabingwa
    @chattabingwa 5 лет назад +2

    Nyasubi

  • @amanmwambapa8415
    @amanmwambapa8415 5 лет назад +1

    Nacha ngoma ni kalii aisee shida ya media zetyuu hazipig ngoma kma hizii ila ngoma zenye wadada walio uchi na makalio makubwa ndo wanazipa promo ngoma za kuelimisha jamii wanatupa kapuni big up Nacha

  • @mudrickjunior316
    @mudrickjunior316 5 лет назад +3

    Nkbl

  • @victorkimutai8048
    @victorkimutai8048 5 лет назад +1

    Nina imani Prof Jay kakupa bakora..

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 5 лет назад +1

    na hizi ndizo nyimbo za kuskiriza hata na wazazi na watu wako waheshima sio kila siku aidia za mapenzi tu sawa kijana tuende hivi hivi Mungu atakushindia tu

  • @yussuphkazumar6229
    @yussuphkazumar6229 5 лет назад +2

    nakuelewa naaaaacha

  • @januarymshana8015
    @januarymshana8015 5 лет назад +4

    Vidhuri

  • @giftelia5535
    @giftelia5535 5 лет назад +1

    Uandishi tungo zimesimama👍👍
    Ila beat la kwaya 👽👽

  • @mohammedaly6854
    @mohammedaly6854 4 года назад +2

    ngoma iko juu

  • @fatyfrancistv5545
    @fatyfrancistv5545 5 лет назад +2

    mwenye hii ngoma naiomba whatsapp plz 0686666239 coz me nimejarbu kudownload imegoma😢

  • @amiryzuberi4293
    @amiryzuberi4293 4 года назад +1

    nakubali xan kz zak,haukoxei broo

  • @raymondkanyama6387
    @raymondkanyama6387 5 лет назад +1

    mamamamamamamama mbn km huyu jamaa kunifungulia asbh yng vzr...duh nilimix bongo flava km hii